Ally Kamwe saizi nakuelewa zaidi mwanzoni ulikuwa una na maneno ya huruma sana Kwa kolo ila Kwa sasa naona unawawasha vizurii ona wanavyotapatapa hapo mpaka kolo waseme yotee
@ashuramhandoashuramhando6798Күн бұрын
Semaji la Ushindi hana Nuksi huyu Semaji Kila mchezo anaongelea Ushindi tu yule Semaji Gundu kule Ukoloni Shida tupu, Yanga ni Raha tu 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛🙏🙏
@BullahSambigaКүн бұрын
Daima mbele nyuma mwikoooooo 💚💚💛💛
@naliakafatuma98702 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@rehemamahendeka-rm2ek2 күн бұрын
Asante vjn mahiri ushindi mnono,hlf Ally Kamwe,pap ushatoa singo kupitia mirindimo ya Simba wa nyika,wee una hatari weye !!! Hongereni vjn mahiri
Kuna watu wanaendelea kuumia😂... kufeni kabisa shwain
@abuutrika8688Күн бұрын
All the best kwenye safar ya ubingwa, Naipenda Yanga
@mwajumampokileomckapela75412 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiiii 💛💛
@monicalucas37382 күн бұрын
Tunamshukuru MUNGU kwa ushindi huu wa point 3muhimu 🙏
@RoseRicharld-f8w2 күн бұрын
kama unaipenda yanga mtot wa jangwan gonga like hapa 💟
@OmaryMajivuno2 күн бұрын
❤❤❤❤❤ good 👍👍👍
@betridakazimoto1291Күн бұрын
Yanga bigwaa
@BernadethaKamagi2 күн бұрын
Jkt ingecheza na simba ,simba ingekula nyingi
@mussaissa67962 күн бұрын
HAKIKA KABISA
@PeterAgathon2 күн бұрын
Yanga Raha sanaaaaaaas
@ramadhanjamaliКүн бұрын
Tatizo UBAYA UBWELA hamjitambui ndomana mnashinda goli mbili na zote zimerud apo ndo ujiulize je simba inaweza kumfunga yanga 💛💚⚽💚🇹🇿 yangaaaa oyeeeee daima mbele nyuma kwa ubaya ubwela
@alphoncealmack9240Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂unajua; ukweli ni kwambq kolo kumfunga Yanga kihalali hivi uwanjani ni ngumu sana, ndio maana wanatafuta ushindi wa kimazabe ooo tumeonewq, mara tumemyimwa penati😂 (funga goli kihalali likataliwe mdio tuone kweli umeonewa) lkn lipigwe bato uwanjani kolo atafungwa mpak atakuwahaleti timu kwa hii Yanga ya sasa.ifikie kipind wawe na heshima ma kulir kwamba sasahiv Yanga iko vizur sn kuzid wao km sisi tulivyokiri kipind kolo anatumyanyasa miaka ile 4
@AgenesMugema2 күн бұрын
Kocha Yuko vizuri.
@HamisiMkangamo2 күн бұрын
Nice semaji la kikosi kipana
@leoninga-y8i2 күн бұрын
Tatizo la Simba wanaongea Sana badala ya kutengeneza timuyao igeni mazuri kutoka yanga sio dhambi
@dicksonngasapa70072 күн бұрын
Wana sima hata mashabiki hamjui , hata kidogo😊
@Masengo-su3mf2 күн бұрын
Ali kuna digida mungu yupo daima mbele nyuma mwiko yanga bingwa tuhombe mungu2
@AbdallaAbdalla-i3f2 күн бұрын
makolo ndo hamn tim
@JamesKamwela2 күн бұрын
Hongereni wanayanga wote
@brycesonmathias61122 күн бұрын
Diarra aache visingizio vya wazi vya kuchelewesha mpira vinamgharimu kadi za njano
@rajabukamis9411Күн бұрын
Timu ya wananchiii 💚🔰💛
@ManfaceFildoline-d9xКүн бұрын
Kosha yupo vzr sanaaa
@amaniomar17552 күн бұрын
Mwenyekiti mwaga madini huna baya kaka wewe ni msemaji halafu mchambuzi 🎉🎉🎉 Daima mbele nyuma mwiko pambaneni wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi
@LainaKanani2 күн бұрын
Yanga Bingwa
@ashahamad18482 күн бұрын
Ali Ali Ali nakupenda Sana kakaangu kiukweli yaani unatema madini yaani unamtafuna mnyama kwa nidhami kubwa dah weweeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila priva, kiingereza cha nn sasa. Yani kila kitu unataka kutoa 'r' ni BADGE na sio BARDGE
@AlexMbagata2 күн бұрын
Watu Bora wanaleta mawazo Bora na wanajenga taasisi Bora hongereni Sana utawala Bora mikakati Bora kabisa.
@EsterMartin-n5hКүн бұрын
Jaman Bora angenenepaa bas Kam timu ni Bora Badoo yupo kama njitii
@hamisramadhan-eb3ie2 күн бұрын
We yangawe umepigajehapo 😂
@AlexMwajanga2 күн бұрын
Yanga wamesajiri marefe hamna timu ap 😅😅😅😅😅😅😅
@shaibusaady24202 күн бұрын
Allaah Akbar
@DavidLeonard-o4r2 күн бұрын
Kisema ukweli mm kama halima huwa nalipenda sana cheko la kamwe
@EmanuelMiyonjoКүн бұрын
Yanga bigwa 💚💛
@Julius-e3o2 күн бұрын
Ali hilogoma ss mashabiki tutakupeleka studio bonge la goma chukiyanini mama
@yuzzosoloka15452 күн бұрын
Makini wakuu
@Zaynab-ny6gr2 күн бұрын
I love yangaaaaa 🎉🎉🎉🎉
@benedictkiteji36272 күн бұрын
Aly ubalaaa😂😂😂
@LatiffahAbdulmalik2 күн бұрын
𝐡𝐚𝐡𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐚𝐰𝐚 𝐚𝐤𝐢
@WemaKondo-e5z2 күн бұрын
Kolo tuache na yanga yetu 😅😅😅😅
@rashidkweyunga58062 күн бұрын
We uko mbeya umeshindwa ngap
@vangraphixvan83202 күн бұрын
AZIZ UNAZINGUA KIWANGO KINASHUKA SANA
@zawadielisikay2 күн бұрын
Kibwana Yuko wapi wapendwa mpambanaji sana
@salemarahbi91712 күн бұрын
😅😅Nyie wote mmekutana kwa masimango
@NakiMsangi2 күн бұрын
Cha msingi pont 3 ww
@JumaAthumani-bh5hp2 күн бұрын
Kama hatuna timu lete timu yako kolo
@pambaboniface11992 күн бұрын
Kolo ni kama semu tu ...ukitaka unaita ..Asha njoo chumbani 😂😂
@Jabiirjuma14 сағат бұрын
👍
@AngelinaHassan-fe3jpКүн бұрын
💚💛💚💛
@monicalucas37382 күн бұрын
Rawhide acahna na kolo wamechanganyikiwa hao, uko mneya kwenyewe nenda kaanalie goli lilofungwa la maajabu kipa anaporwa mpira mkononi ananyoshq mkono refa hana abari nae, naa kama umeshimfwa kuwafunga prison jkt utaweza timu.nzima imekaa ktk goli lao
@estherezekiel3196Күн бұрын
Kolo hunaga uwezalo Kwa hivyox2
@MalinoKadwame-u1c2 күн бұрын
❤❤❤❤
@RamaSinahela2 күн бұрын
😊😊😊😊😊😊
@mudykweka162Күн бұрын
Tulipo wafunga madunduka piya walikua pungufu???
@SaidiMohamedMkude2 күн бұрын
Simba na time ya sudani walikuwa pungufu wasudani mkatoka 1-1
@jamesmahatane27232 күн бұрын
😂😂tuna enda kubeba tena
@dalmasokoth41902 күн бұрын
Kwa taarifa Yao wanaotaka kutukimbia Sisi hatukombiliki!hata mkienda Comoro Sisi tutawafuata huko huko
@DaudiKasese2 күн бұрын
Llingi haijawai kuwa rais
@damsonzabroni12242 күн бұрын
We unaesema tume cheza na tim ye nye wat pungufu we tulikufunga 5 mkiwa nme kamilka ko JKT wazuri kuliko simba
@clementnyagawa329Күн бұрын
Ww umeshinda ngapi
@mohamedimchungu5706Күн бұрын
Hivi simba mnapata wapi ujasiri wa kuisema yanga?JKT kufungwa magoli kidogo ilihali walikuwa pungufu haimaanishi kuwa yanga ni 4:01 mbovu,gili hata nyie makolo mnalijua,ni game plan ya mwalimu tu.
@GroriaDhahabuКүн бұрын
😅😅😅 Hawa madunduka Wana laani kweli yanga inashida naalama tatu tu
@LameckKulwa-u6d2 күн бұрын
Mtabak mna sema ss tutazid kuinuka
@DamianiItandula2 күн бұрын
Hamna lolote hao jkt wote nyie bos wenu mmojs
@Mariam99-ld4gw2 күн бұрын
Ubaya kijiri 💚💛💚💛😂
@dicksonngasapa70072 күн бұрын
Nakujibu kipa wa kwanza kafungwa gori inamaana hakuwepo? Kutojua Shelia kunawaponza timu hizo kipa anafanya makosa lazima madhiniwe
@MariaHussen2 күн бұрын
Ety siwadai dabi iludiwe watakula tano bila mbulukenge hawa wananiudhi kwamidomo yao mbwa hawa
@thadeusmarkiminja22822 күн бұрын
😂Wimbo unaitwa Sina Makosa uliopigwa Simba wa nyikaaa😂😂😂 ha ha ha ha
Yaaani unatengeneza kwa wengine na kwako polomoka mnansema harsi wa watu yeye yupo kimnya hivi hamjioni kuwa ni wajinga sasa na gsm kawakosea nn na oneni aibu mnataka kuharibu mpira wetu ila mmeshidwa😅😅😅😅
@yasrikomba7874Күн бұрын
😂😂😂😂alikamwe anakela
@MariaPaschal-z1t2 күн бұрын
W kolo inaku huxu nn kw mfn tkixhinda 2 mech mechi zako dear unaumwa Kwan 😂😂😂😂😂😂😂
@MwanaishaMatajiri37 минут бұрын
Wewe ulivofungwa mlikua pungufu
@FrolahKamiliusКүн бұрын
Utopolo nyie kimoj tu kinawalizaaaa nyooooo
@JosephkNtiga-ww8uz2 күн бұрын
😅😅😅😅 ila ali kamwe
@jamesishimba2 күн бұрын
yanga laha
@PeterJumla2 күн бұрын
Huyo anasema eti tumeshinda mbili jkt wakiwa pungufu,Hebu tukuulize wewe kolo mashujaa walivyokuwa pungufu mliwafunga ngapi? Si ndiyo waliyowatoa kwenye FA au? Hawa jamaa vipi? Au mmelewa vichapo mfululizo kutoka kwa YANGA nini?😂😊
@Tassyomy2 күн бұрын
Kuni Ya Akiba Popote Ulipo Kunywa Soda..😂😂
@Veronica-b2f2g2 күн бұрын
♻️🫣🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💕
@TitusKihwiliКүн бұрын
Kalete timu Yako wewe kolo kama nzur
@NdalawaChigaКүн бұрын
Mda huo kolo kala ngapi!??😂😂😂😂😂 Jinga sana kolo!!
@VaiEliass2 күн бұрын
Kuna wengine naona hata Shure hmjaenda wewe umeshinda ngapi mbwaa wewe
@NelsonMatambo-m3i2 күн бұрын
Hahahaaha japo mojat2 ila ali
@danielsokoni6055Күн бұрын
shinda ww bc mjinga Sana wewe nahisi utakuwa mchawi
@nikolausishillingi378Күн бұрын
Unae SEMA hakuna timu Kuma wewe
@lydiadaudi40762 күн бұрын
Ya kuagana 😂😂😂
@christianjohnmwalugaja80902 күн бұрын
Kwa kweli Mimi binafsi kama mwanachama wa Yanga sijafurahishwa na matokeo ya magoli machache. Kumbukeni mwaka huu Ligi itakuwa ngumu sana.
@catherineamiri98542 күн бұрын
😂😂😂we tutolee uchuro hapa hayo magi ni extra ukizingatia goal difference itatufavour cuz hatujaruhusu goli hebu tulia kikubwa 3pts timu itakayoingia kwenye mfumo itapigwa hizo nyingi msiwape presha wachezaji wetu
@gervaslukaya2 күн бұрын
We sio mwanachama hauwezi kusema ayo angalia timu zimetoka kwenye Darby na wao binadamu wanachoka kubwa point tatu
@benotayari59702 күн бұрын
Ungeenda kucheza wwe mpumbavu wwe
@dafrosamselle79352 күн бұрын
🤣🤣🤣watakuloga eti
@NyasanaTv-ol4ix2 күн бұрын
timbu mbovu
@DaudiSimba-h7r2 күн бұрын
Mnabebwa mbwa nyie
@thadeusmarkiminja22822 күн бұрын
😂
@SaidAlly-mr5de2 күн бұрын
Weewe mwenye timu mbona umeshindwa kufunga mpaka bao la kupewa na refa na refa huyo awe mwamuzi wenu mukibadilisha siku hiyo mtahama nchi
@amanizavala2 күн бұрын
Utopolo hamna timu nyie mmeshinda goli mbili watu wakiwa pungufu
@yusuphally64202 күн бұрын
Duh 😂😂😂
@josephwijengo88512 күн бұрын
We kolo Kaa kwakutulia msikimbie naona mnataka kwenda zambia
@catherineamiri98542 күн бұрын
😂😂nyinyi mlikuwa kamili na tukafunga tena dk za jiooooniii sasa nyie na hawa wapi wabovu
@promisetenson72582 күн бұрын
Na tulipowafunga mara zote mfululizo mlikuwa pungufu wangp bwege ww?
@godfreysimoni42702 күн бұрын
Una tatizo la afya ya akili kama hatna timu Lete timu Yako kolo ww
@SaraRobert-io8xv2 күн бұрын
Wewe ulizan ukiwa pungufu ndo kugunga kwanza hayo magor tumefunga wakiwemo wote moja ilikuwa faulo