2024 tuko hapa,gonga likes za Abbah na YOUNG D..WE STILL JAMMING TO THIS TUNE.
@derickstabu6843 Жыл бұрын
I always listen to this song whenever I log into my KZbin account.🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@blacknation84195 жыл бұрын
Young Dee we ndoo rapa wa kwanza me kujua mistari ako dingoo maybe is just because all we are called David it's hard to know am your number one fan see you international
@redleafmedia66805 жыл бұрын
Mwanangu umetisha gari langu wangapi wameeleww huu wimb kama umeeleww gonga like hapa twende sawa
@husseinhussein78015 жыл бұрын
bonge moja ya ngoma..i see the original young dar es salaam,,
@hamisichikota27235 жыл бұрын
Daaah kumbe hii chorus kaifanya abbah duuh anajua kisengee
@lifestarkoech7595 жыл бұрын
Yaani wazee wamehama kwa T-touch!!!touch come for me sitaenda mahali, piga like touch aguzwe
@lubavaclassic70485 жыл бұрын
Na tuliokuwa tunasubilia kuona Mandinga kutoka U.S.A TOUR ...tujuwaneee hapaaaa....!!!!
@rmprostudio5 жыл бұрын
Wamezingua idea ya nyimbo na video tofauti
@flinchclassic17265 жыл бұрын
Maana fiche hio utunzi umeenda shule gari ni demu
@lubavaclassic70485 жыл бұрын
@@rmprostudio awajazingua mzeee....gari inayozungumziwa hapo ni Manzi ni mjombaaa
@rmprostudio5 жыл бұрын
Nakubali mwanangu.
@iq_dazen1225 жыл бұрын
Lubava Classic yani ww acha tu boy 🤣🤣🤣
@juliusjulius20805 жыл бұрын
Namkubali sana young dee paka rapa Mzee wa swagger
@DICKSON-vz6lj5 жыл бұрын
Asikwambie MTU gari yangu naipenda paka bas baba we mkali sana bigapu kwako ewaaaaaaaaa
@gearemmanuel32825 жыл бұрын
Young dee huu wimbo ni dunia #dreamcity
@zanzibartourguide42915 жыл бұрын
wimbo mzuri sana, haustahiki kuwa hapa ulipo, unahitaji kufika mbali zaidi🙌🙌
@carlosn_tz4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aWq8nHWCa6yBntE
@Samandito5 жыл бұрын
🤪 ... mzeeeeh babaaah umeNiKoShA xNaaaa sipAti piCha kama KuNgeKuwa na Saut ya ChiDiiii bEnziiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥kwa HiLo biTiiiii DaaaaH @ GoNga LiKeee kAma zoTeee
@lucyhamisi13855 жыл бұрын
peter johnstone
@Biloicon4 жыл бұрын
Abbah ni multi-talented kaka lit sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 halafu wanangu humo ndani hiyo GARI ni demu mkali siyo ndinga
@moseya04795 жыл бұрын
daaaaaaamn G ....bonge la hit ...much love for this hit song .........much love from 254 Ke
@amirisalum62715 жыл бұрын
Abbah.. That was next level men...
@samirasalumu83784 жыл бұрын
Amri Salum Samira Salum My family
@deogratiusernest62935 жыл бұрын
nilkua naisubiria hii kwa hamu sana leo hatimaye.....kaz nzuri japo niltaman mwenye hii ngoma carlos na yy angekuwepo japo ni Rmx bas sio.keso
@matikupeter5 жыл бұрын
Same to me
@wizshine19045 жыл бұрын
Hiii ni kwa wote ambao tunamiliki mandinga ambayo si ya baba zetu wala ya familia ni kwa jasho letu aijalishi gari.. ata kma nissan march..stallet... ama vitz gonga like hapa tujuane
@victorsir-nga77085 жыл бұрын
Salum Said hata ile aliyosema makonda Mkuu😂😂
@kweka14l354 жыл бұрын
Gari yangu means Demu Mkali sio gari za barabarani 😂😂😂😂
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Wengi hawaelewi ,japo Kuna baiskel,na pkpk, (Dem)
@shabanimohamed7843 ай бұрын
8❤❤❤❤❤
@shabanimohamed7843 ай бұрын
Qqqq@@victorsir-nga7708
@charlesndoti78475 жыл бұрын
Bonge la nyimbo apa nimelizika ulivo itolea official video ni hot
@boeihongoa14363 жыл бұрын
Unafaa mwana kuimba reggae riddims....💥💥💥💥💣💣💣💣burning dem babylon. Braap braaap! Kabooom!!
@danielprim11175 жыл бұрын
ngoma kali ila kazngua k2 kimoja video hkn uhalisia hatuon gari drctr kafeli km umebain hchi gonga like
@kipozidon1695 жыл бұрын
Kaliiiiiiiiiiiiiiiiiii
@alexderefa82072 ай бұрын
Gari anamaanisha mwanamke wake sasa nyie karagabao
@yunaisamidd7587Ай бұрын
@@alexderefa8207khe makubwa nilikua sijui 😂😂😂😂😂😂😂
@dominickalume28915 жыл бұрын
Abbah umeni surprise sana Broo....keep it up imeweza Sana'a sema unafki wa bongoflavah tuu but chupa Kali Sana'a paka Ameweza....#Gariyangu#pakadee#abbahmnyamamkali
@daudiyusuphu95075 жыл бұрын
Uswazi sipiti sitaki roho juu Wasije kwangua rangi Hawajui bei juuuuu NOMAAAAA DAH
@leahngweta68535 жыл бұрын
Aaaaaaah!! gar yangu naipenda hii nyimbo kuskiza kila mara🚙🚙
@Makavelithedon2086 Жыл бұрын
*Ukiwa huna gari huwezi kujua uzuri wa huu wimbo,nilikuwa nasubiri niwe na gari na sasa hivi ni kidogo tu na play huu wimbo kwenye gari na chomoka shoutout kwa Young Dee na Producer na wote walio husika ku kamilisha huu wimbo*
@vivansaleh61234 жыл бұрын
Pongezi kwa kazi mzuri young brother👆👆👆👆👆
@jackemanuel46974 жыл бұрын
hata mimi sikuelewa young dee we mkali mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa duniani
@georgewashington92444 жыл бұрын
Ambao wanaangalia huku wanasoma comment gonga like twende sawa
@morama7jr5595 жыл бұрын
#Abbah you kill it bro. Big up #Youngdee you make it better
@lidyakiyabo35442 жыл бұрын
Nikinunua gar jaman lazima nijirekod na huu wimbo🥰🥰🥰🥰🥰 ngoma kali sana hii
@issamaulidi44874 жыл бұрын
Iyi song nimekuwa naskiiya najiuliz when tapata yang ila iv namilik yang BMW car 🚘 thanks 🙏 god mungu njo chief
@kelvinaevarist4405 жыл бұрын
Nimeupenda huu mwimbo jamn,,"ukiona gar kali ujawahi kuiona jua nigari yangu""oweee aaah gar yangu 👏👏👏👏👏
@ibrahimhemedomar93715 жыл бұрын
Bei rim tu nannua Vitz .... young D nimkali sana ,, itisha colIabo na diamond utakua msanii wa international
@lenjeevara34075 жыл бұрын
Pwaaaaaaaaaaa I REALLY DON'T UNDERSTAND THE LANGUAGE BUT HUYU MSENGE ANAWEZA AIXEEEE
@zamdabakari63725 жыл бұрын
Mbona umetongoa vizuri
@edwinmwamahonje8724 жыл бұрын
Hamady Lemunje Hahahahahahaha
@aloycemmassi820 Жыл бұрын
Huu wimbo ni mkali kinomanoma kila siku naskiza hataa mara mbili asee big up sana
@mtolelahwaya36054 жыл бұрын
hii ngoma ni next level, kiukweli huwa sizikubali sana ngoma zake ila kwa hii ngoma umetisha sana sana, nyimbo ni nzuri beat kiitikio wimbo umekamilika.
@MOtownTV.5 жыл бұрын
MI YOUNG DEE NI MSANII NINAE MKUBALI TOKA ON THE SCRACHHHHHHHHH NAKUOMBEA SANA BROOH PIGA KAZI SASA.
@bsroutbarout68565 жыл бұрын
Hapo gari si uyoo apo demu ila young deee uko vizr mm nakukubal sana paka rapaaaaaaa hoeeeee gari yangu
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
Auna ndinga afu unavimba, gari yangu aa gari yangu, wajukuu wa mzee young_d gonga like tujuane
@kiluwasalum50025 жыл бұрын
Wewe ndio young de sasa umeludi kaka safi dogo
@danielcharles74765 жыл бұрын
Young deee konk sana🔥🔥🔥
@bakariissa31603 жыл бұрын
Inyo nyimbo naielewa kinyama yaan
@profile42725 жыл бұрын
Mamammamaaaaaaaaaa🙆♂️🙆♂️ Hii ngoma ya kichawi sio bure..
@adamhussein84695 жыл бұрын
Uwaga naangaliaga video humu afu naendelea na yangu Leo ndio Mara ya kwanza Kuwe comment ..hii ngoma kali
@iddkinyamagoha95942 жыл бұрын
Hi ngomaa imesimama sana.. haustahilii hizo like aisee
@dammybobo59275 жыл бұрын
Kama unapenda mziki wa kinyamwezi gonga like🔨
@christophersoty1015 жыл бұрын
Tungo tata watoto hawawezi kuelewa GARI=ĐEMU plan b ya mpenzi ni sabuni Dee Umeua kinoma 🔥🔥
@mohamedluja41465 жыл бұрын
kwa tunaopenda music na tuliokuwa tunasubiria kwa ham hii nyimbo, utagundua kuwa kuna vipande havipo as compared to original audio song.
@johnmigila5 жыл бұрын
young we ni mkali hii ngoma inanifanya nirejeshe upendo na mapenzi ya nyimbo zako.
@sekundemaster4605 жыл бұрын
oyaaaa Mzee babaaa bonge la ndingaaa umetishaaa Mzee baba young d
@njeriw27492 жыл бұрын
2022 still here for this jam🤩💥💫
@eyezarc12392 жыл бұрын
It’s simply the youngest hiphop best ever stars ⭐️
@angelikaaugen61655 жыл бұрын
Hii ndio gari yangu💃💃🔥🔥🔥
@mulastar5 жыл бұрын
SASA hiyo gari ni Manzi au ni Real car? kama ni real car mbona hatujaiona humu ndichi.Halafu hii ngoma ni kali sana sema ww ulishaidharau toka mwanzo right now ndyo unaichukulia serious.Super dope shit
@browntisha37725 жыл бұрын
hatariiiiii 🔥 🔥💯 ngoma kali like hapa
@devotedkayanda8924 жыл бұрын
Uyu jamaa kasimama vizuri kwenye chorus
@vivansaleh61234 жыл бұрын
Pongezi kwa kazi mzuri you brother👆👆👆👆👆👆
@enobaboy11615 жыл бұрын
muuuuh wa2 mnakesha humu ndani. sawa mbona sioni hiyo gari
@mwigakatumpula21755 жыл бұрын
Kumbe gari ni demu duh! Haya mambo ya fasihi ni noma
@DrSanai5 жыл бұрын
Mwishowe kavideo kametoka, kazi nzuri YoungD. Love from china
@nyamohangagisire91655 жыл бұрын
Mbna umedharau "kavideo??????"
@stellathomas41264 жыл бұрын
Mario's
@lucylucy73073 жыл бұрын
umesema ukwel au nakuja hapohapo china😂
@daudimaswa36495 жыл бұрын
Bwanaaaaaaa naweeeee like hapo aiseee
@nationboy25415 жыл бұрын
Kaz.kaz Mr young dee
@abamotv5324 жыл бұрын
dah bonge la gomma mzee baba young D big up
@manfredmarcelino91165 жыл бұрын
Wengi tulitegemea kuona gari moja kali sana ila nafikir hapa lugha ya picha ndo young dar ametumia nafikiri amemaanisha mtoto mmoja mkali sana na ndo maana tunaona wadada badala ya Magari
@almacyokha41995 жыл бұрын
MANFRED MARCELINO Kwan umeona 'THE END' Ujue nyimba haijaisha Subili part 2 utaona gari
@luccabosslugendo97225 жыл бұрын
Kazi nzuri saaana niliisubir video kwa hamu na nimependa director alivoisogeza vyema.... #Ngadu
@chusaboy50685 жыл бұрын
amezingua gari hamna picha kamili yaiyo nyimbo hamna video kama chibonge
@asalimaua43345 жыл бұрын
wimbo yangu kweli kweli love it
@jennifermrope15775 жыл бұрын
Afazali wewe young" D" dem wako wa kwanza kumpenda kang'olewa na "balluni" me dem wangh "bajaji mze baba" Daaaaah 😢😢😢😢