Рет қаралды 13,552
Mwanafunzi Yusra Makame Kombo akisoma Shairi lilioandaliwa maalumu kwa mgeni Rasmi katika mahafali ya kuwaaga wanafunzi waliomaliza kidato cha nne wa mwaka 2023.
Mahafali hiyo ilifanyika hapa hapa skuli siku ya jumamosi ya tarehe 20 januari 2024.
Mgeni rasmi alikuwa Mama Wanu Hafidh Ameir Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kusini na Mwenyekiti wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF). Pia ni mtoto wa Mheshimiwa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.