Рет қаралды 6,444
Suala la utekaji nyara wa kiongozi wa muamsho kisiwani Zanzibar Sheikh Farid hadi limechukua sura mpya baada ya jeshi la polisi Zanzibar kudai utekaji huo haukuwepo na kiongozi huyo na viongozi wenzake saba kukamatwa na jeshi la polisi na wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.