Рет қаралды 3,056
Wakulima 330 kutoka maeneo mbalimbali nchini, wamepata mkopo wa trekta katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2022 kupitia mpango wa matumizi bora ya zana za kilimo na fedha unaoendeshwa na Taasisi ya Fedha ya EFTA iliyo chini ya Benki Kuu ya Tanzania.