Zali la Mentali Prof Jay fet Juma Nature

  Рет қаралды 7,936,262

ProfessorJay

ProfessorJay

Күн бұрын

Buy it from iTunes: geo.itunes.app...

Пікірлер: 3 700
@josephmaina1669
@josephmaina1669 Жыл бұрын
few days to 2023 and this jam still rocking,a generation of Tanzania musician were just a Gem. the flow in poetry showed real talent
@Metrodesigns21
@Metrodesigns21 Жыл бұрын
Si aty nini
@azizigweth2921
@azizigweth2921 Жыл бұрын
True
@joasyeliya
@joasyeliya Жыл бұрын
Rich Gang
@georgeshija9130
@georgeshija9130 Жыл бұрын
Dv
@MohammedIsmail-fw9vn
@MohammedIsmail-fw9vn Жыл бұрын
​@@joasyeliya P
@manyanyatzd24
@manyanyatzd24 7 ай бұрын
Nani bado anaangaria hii Ngoma 2024 kaka mm gonga like 🎉🎉
@tivelyaloyce3943
@tivelyaloyce3943 3 ай бұрын
Bosi some time tunakumbuka ngoma kali za kitambo
@JohnsonMigo
@JohnsonMigo 2 ай бұрын
Mimi red 😂
@saraphinadamian6332
@saraphinadamian6332 Ай бұрын
Aipiti day kaka
@nasrachambo1592
@nasrachambo1592 7 ай бұрын
It's 20th February 2024, still fav song 💯 thanks Prof for this memorial hit song 🎉🙌
@MFM-t1e
@MFM-t1e 7 ай бұрын
IM THERE WITH YOU 21/02/24
@jessesurvivor5002
@jessesurvivor5002 9 ай бұрын
Siku chache zimebaki tumalize 2023 tuanze 2024 happy new year in advance wote mnaompenda professor jay tunamuombeya maisha marefu na Mungu amuvushe mwaka professor na kumponya kabisa 🎉🎉🎉
@BabaZoey
@BabaZoey 3 жыл бұрын
Prof Jay was ahead of time, the guy is a great poet, our generation will never see a great hip hop artist better than jay.
@almeidhalu3238
@almeidhalu3238 2 жыл бұрын
Oh please!! ... ahead of time?! everybody was hot in that tym
@Brotherkhassimbizimungu
@Brotherkhassimbizimungu 2 жыл бұрын
He has proved with time that he was a rare talent!
@silaskamau364
@silaskamau364 2 жыл бұрын
@@almeidhalu3238 some truth here. Bongo music was at its best then
@almeidhalu3238
@almeidhalu3238 2 жыл бұрын
@@silaskamau364 skiza bwana kamau Hua wakati Kila mtu alikua Ni mkali usiulize wachuja nafaka wagosi wa Kaya,Daz baba,Johny walker,ngwea nk sio kama sasa Ni wasafi tu lakini mtu kuanza sema eti ahead of us time niku Andika maneno maana waona watu waandika tu sasa hio head of tym akiambiwa aseme hata hajui
@BabaZoey
@BabaZoey 2 жыл бұрын
@@almeidhalu3238 I will say it again here for the record, Prof Jay was ahead of time and there is nothing you can do about it, its my opinion.
@Kay-lk2wy
@Kay-lk2wy Жыл бұрын
Professor Jay is a lyrical giant, you make East Africa proud.
@abundalakaka7446
@abundalakaka7446 3 жыл бұрын
From Nairobi, Kenya. This is a legendary and timeless track. Professor Jay naye Juma Nature ni ma gwiji wa muziki wa kizazi kipya.
@reubenmwangi3461
@reubenmwangi3461 4 жыл бұрын
I remember watching this song at Channel 5 ... Oh my ... 2020 still feeling this. Music made to last 🇰🇪💯
@stevenokal7973
@stevenokal7973 2 жыл бұрын
Channel ngofo hahaha i miss those old days
@deepweb6280
@deepweb6280 Жыл бұрын
Channel 5 was my favourite
@nicobura5543
@nicobura5543 Жыл бұрын
It's now known as EATV
@classicbarik
@classicbarik 8 ай бұрын
tunao angalia hi ngoma 2024 tujuwane kwa like plzzzz
@khatibumangally
@khatibumangally 17 күн бұрын
2024
@patrickpaticool1487
@patrickpaticool1487 4 жыл бұрын
Who's listening this beautiful song in 2020? 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@thomasnyarutu6740
@thomasnyarutu6740 4 жыл бұрын
am here dude
@MagnaCartar
@MagnaCartar 4 жыл бұрын
Dude kaz hili
@frankevaresty7662
@frankevaresty7662 4 жыл бұрын
Me
@Intelinside-vo7wn
@Intelinside-vo7wn 4 жыл бұрын
NAIROBIWEST NIGGA IN THA HOUSE!
@fadhilikazimanganya2256
@fadhilikazimanganya2256 4 жыл бұрын
Patrick Paticool p
@ecksonkurubone5183
@ecksonkurubone5183 3 жыл бұрын
mwaka 2021 like hapa twende sawa . anaemjua vicky jaman anifahamishee.
@danfordjackline9426
@danfordjackline9426 3 жыл бұрын
Anaitwa nargis Mohammed
@henrynjeri7725
@henrynjeri7725 3 жыл бұрын
Tuko area, hii ngomaaa kali saaaana
@samsonbarasa6855
@samsonbarasa6855 3 жыл бұрын
Kuja nikupe namba yake
@hamiskengwa6148
@hamiskengwa6148 3 жыл бұрын
Kasha zeeka 🤣🤣🤣🤣🤣
@happyhussnaassey1905
@happyhussnaassey1905 3 жыл бұрын
Pamoja
@chitemaloba8851
@chitemaloba8851 2 жыл бұрын
This is one in a million hit from one in a zillion poet singer, song writer & a public servant. ❤❤❤
@dennowderullow1118
@dennowderullow1118 2 жыл бұрын
Oh my👏....Professor Jay is a true swahili rapper💪{"watching from Africa in Kenya🇰🇪}HONGERA sana Tanzania🤝🙏
@jamesmuseku8843
@jamesmuseku8843 5 жыл бұрын
JUMA NATURE killed the hook man!And what a lyrical storyteller Proff JAY is!
@JUSTUSWANGILA
@JUSTUSWANGILA Жыл бұрын
Juma killed it,,,🙏🙏
@dottobundala4637
@dottobundala4637 8 ай бұрын
Ooh yeah Story teller Jay is and will always be precise story teller
@bernardkintos2212
@bernardkintos2212 4 ай бұрын
Storytelling at its best🙌🔥🔥🔥
@agieshee817
@agieshee817 8 ай бұрын
2024 kwa mbigo🎉i used to hear this song when i was young❤ such a throw back❤
@veeibra1015
@veeibra1015 3 ай бұрын
Kama umeiangalia 2024 gonga like❤
@briankayembe2654
@briankayembe2654 3 жыл бұрын
Watching from the Congo 🇨🇩 Much respect for the Prof Jay and the whole Bongo music. Love you my people
@mudzukuutadyiri8184
@mudzukuutadyiri8184 Жыл бұрын
Furaha isiyo kifani ilifanyika bonge la party, watoto uswahilini walibeba wali kwenye mashati.kama wakubali kuwa haya mashairi yalienda shule gonga likes zote za prof.
@oj999
@oj999 4 жыл бұрын
Makes me flash back the days of EATV channel 5, Nairobi. Classic and nostalgic memories. 🇺🇸🇰🇪
@husnednour2349
@husnednour2349 3 жыл бұрын
surely this brings back such sweet memories
@khamisimunga2559
@khamisimunga2559 3 жыл бұрын
Nani kamuona diamond akicheka hpo
@ronk2974
@ronk2974 2 жыл бұрын
EATV was🔥🔥
@EmmanuelSiwale-we8ew
@EmmanuelSiwale-we8ew 8 ай бұрын
Kama unsisikiliza hii Ngoma 2024 gonga like ❤❤❤
@MalikMwanzigheTV
@MalikMwanzigheTV 6 ай бұрын
@Margret-si7ul
@Margret-si7ul 6 ай бұрын
Mmm🎉
@kanekaso9674
@kanekaso9674 6 ай бұрын
Ferooz ndo amefanya nmekuja kutafuta professor jay
@KatoMayanja-v4k
@KatoMayanja-v4k 4 ай бұрын
Hatar
@ngareedwin3886
@ngareedwin3886 Ай бұрын
Kenya 254 tupo
@christineopiyo7769
@christineopiyo7769 3 ай бұрын
Professor Jay was one of my favorite rappers from Tz always telling stories in those raps😅. Love from kenya🇰🇪
@joetwiza3184
@joetwiza3184 3 жыл бұрын
Who else still listening 🎧 to this beautiful song more love to pro jay 🇹🇿🇿🇲🇳🇦🇿🇦🇿🇼🌎💜💖
@daisygloria
@daisygloria 3 жыл бұрын
Prof Jay is such a story teller in his songs
@mussaallykaoneka5327
@mussaallykaoneka5327 6 ай бұрын
leo ni pasaka 2024 ngoma la kuishi nalo ❤😂🎉🎉🎉🎉🎉
@aboually7656
@aboually7656 3 жыл бұрын
It's 2021, still listening 🎧 this hit song, kweli zali🤣🤣
@grandsonp298
@grandsonp298 3 жыл бұрын
Who is listening to this in 2021🇰🇪🇰🇪
@irennyende2927
@irennyende2927 3 жыл бұрын
Am here
@makunombure4090
@makunombure4090 3 жыл бұрын
Here
@erickotunga11
@erickotunga11 3 жыл бұрын
Ngoma kali haizeeki
@richmnyambugha5463
@richmnyambugha5463 3 жыл бұрын
Together
@morryjohn8499
@morryjohn8499 3 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@johnmgejwa9754
@johnmgejwa9754 Ай бұрын
The real bongo flavor that will never expire, the best of BongoLand, Tanganyika!
@mikeokota6022
@mikeokota6022 4 жыл бұрын
No artist in East Africa can do sick hooks like Juma Nature.. Love from +254 #2020
@benjaminmangheni7506
@benjaminmangheni7506 2 жыл бұрын
Feerooz
@motomoto1152
@motomoto1152 2 жыл бұрын
@@benjaminmangheni7506 yes always ferooz
@kingofkings7525
@kingofkings7525 5 жыл бұрын
Wangapi ambao wanasikia kibao ichi 2019????
@leahjoram7693
@leahjoram7693 5 жыл бұрын
Alikula kwa, machooooo tu
@فجرالروشدي
@فجرالروشدي 5 жыл бұрын
Mm hapa leo hii trh 7.4.2019
@abdulrazakgwotta5561
@abdulrazakgwotta5561 5 жыл бұрын
فجر الروشدي pamoja sana.
@trendyafricans6243
@trendyafricans6243 5 жыл бұрын
Nipo hapa
@hekimahamis4192
@hekimahamis4192 5 жыл бұрын
Mm hapa
@norbertjoseph9484
@norbertjoseph9484 3 жыл бұрын
Mamae, this was one of my favorite song in 2003, had to listen it all long day, J you actually killed it! Still listening it in Dec 2020
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 Жыл бұрын
Kweli baba ni kajala etiiiiii...kongowe dada maua kwake❣️
@farrukogangalee7576
@farrukogangalee7576 7 ай бұрын
I wake up daily alive alhamdulilah and start with watching this video it never gets old 🎉❤ Professor jay was mentor frl The 🐐 ever and Ever. Achana na wale wameanza kuimba nyimbo siku Karibu but professor ni mtu wa zamani Sana Keep up from Kenya 🇰🇪❤️ big fan.
@vincentkiprotich7959
@vincentkiprotich7959 7 жыл бұрын
Heshima kwa Prof J p funk majani na watanzania bomba la hit.
@christophersanga255
@christophersanga255 8 жыл бұрын
hii ni moja ya song yenye creativity kubwa sana
@NewtonPesil
@NewtonPesil 2 жыл бұрын
This I have listened to this song more than 20 times... thank you Prof Jay for this legendary song
@danielhaule155
@danielhaule155 4 жыл бұрын
Ilinipa Hela za kula maandaz na ice cream enzi izo ili goma limetoka,siku 5 tu Nlkuwa nmeshalikalili watu wanasema niwachanie then wananpa pesa,daaaah I was very young but nlikuwa na uwezo Wa kukalili nyimbo Kwa muda mchache Sana. Big up Kwa prof J.
@nalingacomedian3251
@nalingacomedian3251 5 жыл бұрын
HILI ZALI TULIACHE TYU AISEE SHIKAMOO MH.JOSEPH HAULE 2019 NAIANGALIA HII NGOMA
@justuswangila7604
@justuswangila7604 2 жыл бұрын
This song is my best song ever 🙏🙏huwa nawatch kila siku 🙏🙏🙏
@alikimera1583
@alikimera1583 3 жыл бұрын
The best MC East Africa has produced. Big up legend.
@anthonykamaukuria
@anthonykamaukuria 2 жыл бұрын
This is what we call pure music..it does not fade..thanks prof jay #2021
@mirajintandu9787
@mirajintandu9787 7 ай бұрын
Febr 2024 nimerudi apa kucheki hii ngoma aysee hawa jamaa mwanzo waliweza sana. . Saiv matusi tu. Nani mwingine bado anaichungulia hii ngoma.
@nelsonmandela5877
@nelsonmandela5877 7 жыл бұрын
2017 I don't understand Swahili lakini lazima niskize profesa jay everyday...nipe like tujuane social network
@stevenurioofficial4165
@stevenurioofficial4165 6 жыл бұрын
Ebaanaaaa dahhhhhh imenikumbusha Mbali Kinoma respect mheshimiwa bado unaeleweka kitaaani
@zschariatungu5374
@zschariatungu5374 5 жыл бұрын
Utabaki juu mzee mbunge unaongoza watu na wanyama
@ibrahimkamal4809
@ibrahimkamal4809 Жыл бұрын
Vikie ni jay,Jay ni viki mustaree.kitoka ndani ya dhiki saa kila siku ni sheree 🙆🏻prof.wee ni mnoma❤🔥🔥🔥🇰🇪
@tuyizereghadi1619
@tuyizereghadi1619 Жыл бұрын
Verse 1 - Professor Jay] Naamka asubuhi niko chwiri tena mapema Nautoa mkeka sakafuni kisha naukunja vema Nawaza nitakula nini mentali kisha naguna Naanza kujikongoja kichwa chini mikono nyuma Naelekea kilingeni nilikopaki mkokoteni Nasaga na rumba kimshazali nyie acheni Nawapa Hi machizi wananipa peace tunafurahi Tunapiga stori nyingi wallahi bila maslah Mara napata zali napeleka kago uswahili Wananipa buku mbili danga chee nazisunda chini Wakati natoka huku kijasho chembamba kikinitoka Nikaona toto ya nguvu nikajikuta nimeropoka “Dada habari samahani naomba niulize swali” Akajibu “maskini koma tafadhali hii ngoma aghali” “Ehee unajua dada-” “We vipi hebu nipishe!” “Dada mbona mkali?” “Wee kinyago, kubali yaishe” Nikasema inshallah sawa hiyo yote kwa sababu ya fukara Nisije nikakubaka nitupwe selo nikawe kafara Nikaachana nae sehemu za nyuma akizitingisha Nilikula kwa macho hadhi yangu haikuridhisha Nageuza mkokoteni nakuelekea maskani Nikawapa stori machizi wakanicheka ikawa utani Siku moja nililemaa maskani sikuwa na tenda Na nilikuwa nikitafakari ni vipi siku itakwenda Kumbe kuna gari ilikuja na kupaki karibu yangu Sikuweza kuisikia labda sababu ya njaa yangu Nilishtushwa ghafla na mlio mkali wa honi Nilipatwa na mshtuko na hofu kubwa moyoni Kuangalia pembeni ilikuwa imepaki Toyota Surf Kulikuwa na sura ngeni ya malaika akaomba tafu Nilisita kunyanyuka kwa sababu nilikuwa mchafu Na alitoa elfu kumi na alikuwa akitaka dafu Nilipokea hela alichotaka nilimletea, akakipokea Tabasamu zito akanitolea nilimpa chenji “Ohh no keep change, una mawazo mengi itakufariji weekend” Alikunywa maji ya dafu alitupa na kunikonyeza Niliganda kama nyamafu nikahisi alinibeza Alinipa busu la huba shavuni akanichombeza “I love You” akawasha gari akateleza [Chorus - Juma Nature] Zali la mentali limetokea wakati mimi nnjaa Nikapendwa na demu mkali Na kuwaacha watu wote wakinishangaa, katika mitaa [Verse 2 - Professor Jay] Zilipita siku mbili nikiwaza kilichotokea Nikawaza yule ni mtu au jini amenitokea Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali Narudi nanyonya napuliza mentali nakuwa shwari Nabeba rumbesa nakatiza Samora Avenue Mara kwa ghafla mbele yangu inapaki Toyota Mark II Ohh napata ghadhabu mara nyingi sipendi dharau Naifuata gari kuanza kupaka mara nahema juu juu Aah ni yule mrembo! “Maskini pole sana mzigo mbona mzito kweli utafika nao salama” Natabasamu “Oh nimeshazoea mama Na namshukuru Mwenyezi Mungu kwani hii ni kama karama” Anakuwa mnyonge anang’ata kucha anantazama Anaaza kulia anatoa lesso anainama Namwambia, “bibie ni mara ya pili tunaonana Na sidhani kama ni mbaya iwapo tukifahamiana” “Naitwa Vicky na miaka 22 Ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri” “Oh naitwa Jay ukiniita fukara haukosei Na naishi kwa nguvu za macho siku zenyewe hazisogei” Alishuka toka garini na kusema “Jay nakupenda” Akaruka kwangu mdomoni na kuanza kupata denda Nilichomoka kwake na kuanza kurudi nyuma “Tafadhali mpenzi Jay jamani nionee huruma Acha kubeba mizigo panda ndani kwa ile mchuna Twende Mbezi Beach kwangu upepo unapovuma” “Sikiliza Vicky napenda tuwe marafiki Lakini hadhi yako hutakiwi kuwa na mtu wa dhiki Hata wazazi wako naaamini hawataafiki Tajiri na tajiri, maskini sithaminiki Tafuta kibopa mwenzio ili usishushe hadhi yako Mimi sistahili hata kuwa kijakazi wako” “Tafadhali Jay usitamke maneno hayo Naomba unielewe haya machache niyasemayo Hadi huu wakati mimi nimekupenda kwa dhati Ukikubali niwe wako nitajiita mwenye bahati” “Nimeelewa Vicky naomba niwahishe mzigo Tajiri ni mkorofi anansubiri Migomigo Na kila nikichelewa mwenzako napata kipigo Nasaga na rumba jua na mvua kwa mpigo” Tuliongea mengi akanipa hela za matumizi Sikuwahi hata kuziona nilikuwa kama chizi Niliacha kubeba mizigo penzi letu likaota mizizi Watu wa uswahili wakasema natumia kizizi [Chorus - Juma Nature] Zali la mentali limetokea wakati mimi n’njaa Nikapendwa na demu mkali Na kuwaacha watu wote wakinishangaa, katika mitaa [Verse 2 - Professor Jay] Baada ya miezi mitano Vick alipata ujauzito Tulifurahi sana mambo yakawa mpwito mpwito Suala la kwenda kwa wazazi wake halikuwa zito Walifurahi sana kuniona tukafanya tambiko Walisema Jay maisha ya Vicky yapo chini yako Tumefurahi mmpendana kumlea ni jukumu lako Ilipangwa mikakati kamambe ya kufunga ndoa Watu hawakuamini ka mimi Vicky nitamuoa Ilifika siku ya siku mentali Jay ndani ya jumba Na Vicky ndani ya shela hakuna uchawi wala ndumba Tulishikana mikono ni nderemo na vifijo Tukafunga pingu za maisha kanisani bila ya fujo Furaha isiyo kifani lilifanyika bonge la party Watoto wa uswahili walibeba wali kwenye mashati (duh!) Zawadi zilizagaa, zilikuwa nyingi tena kemkem Baba mkwe alitupa Benz, kiwanda, nyumba na BM Acha zawadi nyingi kutoka kila sehemu Nilikumbuka nikacheka nilivyoteswa na wale mademu Mambo swadakta nipo na Vicky ndio my wife Kidume nang’aa wanajigonga shenzi type (shenzi type) Nilipokuwa arosto mlinikwepa kama ukoma Mambo juu ya mstari kunisalimu mnaona noma Sahivi napeta, nabadili gari full kipupwe Mlio nicheka wanataka ardhi ipasuke Naelekea kilingeni kuwapa dili machizi wangu Tena mara kwa mara siwezi kuwacha asili yangu Vicky ni Jay, Jay ni Vicky mustarehe Kutoka ndani ya dhiki sa kila siku sherehe [Chorus - Juma Nature] Zali la mentali limetokea wakati mimi nnjaa Nikapendwa na demu mkali Na kuwaacha watu wote wakinishangaa, katika mitaa
@Noelchaless
@Noelchaless 10 ай бұрын
Tupo wengi
@elimatteo4168
@elimatteo4168 7 жыл бұрын
my favourite still watching 2016 from Netherlands
@mauminhoahmed4412
@mauminhoahmed4412 7 жыл бұрын
Eli Matteo mako mnyama
@fransismange1091
@fransismange1091 6 жыл бұрын
From Belgium 2018
@nassirsalim7793
@nassirsalim7793 5 жыл бұрын
From japan
@sebunyapaul
@sebunyapaul 25 күн бұрын
Old is Gold, Was very strong hit those days up to UG
@nicky3025
@nicky3025 5 жыл бұрын
2020 here..still banging 🙌
@taj_254
@taj_254 3 жыл бұрын
Wow,the lyrics...... Deserve a FIVE FIRE STAR 🔥🔥🔥🔥🔥
@lshayo1658
@lshayo1658 6 ай бұрын
This was the era Pfunk Majani was the best music producer of east and central Africa. What a beat!
@djpatode2107
@djpatode2107 5 жыл бұрын
Professor Jay hio ndoto buda... love the jam from way back
@HenricPelegric
@HenricPelegric 6 жыл бұрын
“Ooh no keep change , unamawo mengi itakufariji weekend” 😂😂😂 sio Enzi za makufuri
@jescarngonyani3283
@jescarngonyani3283 5 жыл бұрын
hahaha
@cirukarago7251
@cirukarago7251 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@abdulrazakgwotta5561
@abdulrazakgwotta5561 5 жыл бұрын
Henric Pelegric Haaaaahaaaa
@AminaSaidi-et4xm
@AminaSaidi-et4xm Жыл бұрын
Apa mpaka 2026 ngoma nado itaendelea kuwa Kali tu Kwa uwezo wa Mungu
@robertmuiruri550
@robertmuiruri550 Жыл бұрын
One of the best song to be composed in east Africa
@damyenmwey972
@damyenmwey972 6 жыл бұрын
This was a massive hit, nd still is todate...Respect Prof Jay!
@lshayo1658
@lshayo1658 6 ай бұрын
Thanks to all involved in creation of this magnificent classic track! Prof J + J.Nature + Mkoloni + Nagris Mohammed + Mkoloni + Soggy Doggy + Pfunk Majani = 🔥
@jamgitex
@jamgitex 2 жыл бұрын
This is art. Lyrical mastery, this is class of 2022
@nonoplatnum6951
@nonoplatnum6951 4 жыл бұрын
2020/2 nani yupo anaangalia???
@researchconcepts7810
@researchconcepts7810 Жыл бұрын
Everything about this song is A+. Classic.
@Tozdance3570
@Tozdance3570 Жыл бұрын
Undead song I will lesten to this track till my end ,. Ukiwa bado unasikiliza hi 2023 plz weka like
@RaiderTube
@RaiderTube Ай бұрын
Hii combination kwa watoto wa 2000 ni sawa na Diamond afanye Collabo na Diamond tena, Professor alikua wamoto, Nature alikua wamoto.
@hassanmkwawa
@hassanmkwawa 2 ай бұрын
2024 na tuko hapa.Gonga like hapa kama tuko pamoja
@RaiymekDeLaRose
@RaiymekDeLaRose 4 жыл бұрын
Who is still watching this 2020
@dinnajeff6570
@dinnajeff6570 4 жыл бұрын
Me
@jamesstev8705
@jamesstev8705 4 жыл бұрын
Nipo hapa
@nkundimanajmv8408
@nkundimanajmv8408 4 жыл бұрын
Me
@onesmuskariuki5614
@onesmuskariuki5614 4 жыл бұрын
This is a timeless piece.
@raphaelotieno888
@raphaelotieno888 4 жыл бұрын
Timeless jam.
@paulmsape163
@paulmsape163 Жыл бұрын
Inanikumbusha mbali kidogo, Mungu umjalie mtumishi wako Joseph Haule afya njema kwani amepitia ktk changamoto ya kuumwa kwa muda mrefu sn, Mungu mfanyie wepesi wa kupona, amina
@exactmedia221
@exactmedia221 7 жыл бұрын
2017 and still my number one hit ever,hittting it bad in my car all way here in NEW YORK CITY everyday
@healthyforpurpose1898
@healthyforpurpose1898 7 жыл бұрын
he was ahead of his time
@marthakedesi161
@marthakedesi161 6 жыл бұрын
kiukwer ngoma hi bado inatisha xana boy babarao?
@idrissajanuzaj118
@idrissajanuzaj118 9 ай бұрын
This song will remain a hit forever 🔥
@Mugishaberry257
@Mugishaberry257 3 жыл бұрын
Truly Prof Jay is a legend
@julietmoraa5106
@julietmoraa5106 7 жыл бұрын
2017, still rocking....brings back memories of my childhood days
@fredrickoloo8046
@fredrickoloo8046 Жыл бұрын
Yaani nimeangalia hii ngoma tena baada ya kujua sauti ya kike inayosikika hapo ni kajala wee hatarii kajala shika maua yako🎉🎉🎉🎉🎉like jamn twende sawa
@sanawasteven2079
@sanawasteven2079 3 жыл бұрын
We will listen to this forever
@nevers7561
@nevers7561 Жыл бұрын
Jamani irudiliwe waweke prof ft kajala😂😂😂😂😂 mbwa sisi imetoboka siri kajala eshima kwako kwakutunza siri
@stumaially6081
@stumaially6081 5 жыл бұрын
Kama bado una ukubali uwimbo wa wa henga gonga like wa henga wote fanyeni kama mna jikuna ivi alafu una like
@jamesmwangi973
@jamesmwangi973 8 жыл бұрын
Professor Jay alikuwa ashatufunza "kula kwa macho" @<a href="#" class="seekto" data-time="60">1:00</a>
@barakachawe6241
@barakachawe6241 7 жыл бұрын
Hah ha ha James Mwangi
@lydiahnyabonyi2943
@lydiahnyabonyi2943 7 жыл бұрын
James Mwangi 😂😂😂😂😂😂😂kula kwa macho
@cizakabiona8172
@cizakabiona8172 6 жыл бұрын
Oh maisha njoo hivo bwana
@petrondakilwa964
@petrondakilwa964 6 жыл бұрын
James Mwangi hahaaaaaa
@mugadimon3563
@mugadimon3563 5 жыл бұрын
Hawa ndio walikuwa wanaimba
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 Жыл бұрын
Watu wa uswahilini wakadai unatumia ndumba walai 😂😂😂 3d July 2023 ❤❤❤❤❤
@fabiosoudtz
@fabiosoudtz 5 жыл бұрын
Piga like kama una watching Hadi 2019
@akiduluambano7976
@akiduluambano7976 4 жыл бұрын
fabio soudtz pamoja san mwak 2019 miamia
@vinniearap
@vinniearap 3 жыл бұрын
Bonge la ngoma toka kwa profesa; the lyrical story teller mwenyewe!
@TheGshit1
@TheGshit1 7 ай бұрын
This and Nikusaidiaje was work of art by professor Jay!
@nammanjeanafi9002
@nammanjeanafi9002 Жыл бұрын
Nani amekuja baada ya interview ya TBC??
@hidayashabani5897
@hidayashabani5897 Жыл бұрын
tuliokuja kuangalia baada ya kuona interview tujuane😂
@davidnchoji
@davidnchoji 11 ай бұрын
Leo hii tarehe 18 October 2023 ndo nimegundua kuwa yule dada alietingisha nyuma ni Kajala... after all these years of watching this hit😂😂😂😂😂😂😂
@benjikab6467
@benjikab6467 7 жыл бұрын
Drc Congo 2000 i miss my family
@shukranikapange608
@shukranikapange608 6 жыл бұрын
noom
@fredjohntanzania3881
@fredjohntanzania3881 5 жыл бұрын
WANGAPI WANAIKUBALI HII KAZI MPAKA LEO 2019...
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 10 ай бұрын
Together we can 🤝🙏 love from mozambique 🇲🇿🇲🇿
@TamuzaKale
@TamuzaKale 8 жыл бұрын
When the music was alive..
@ishimweaisha4032
@ishimweaisha4032 7 жыл бұрын
Boy
@sulleysidey2844
@sulleysidey2844 5 жыл бұрын
100%
@makunombure4090
@makunombure4090 3 жыл бұрын
2021 here reminiscing about when game was game
@SuperJaydeejay
@SuperJaydeejay 3 жыл бұрын
love this song always and forever
@niccolmakaveli9774
@niccolmakaveli9774 Жыл бұрын
Habari ya real bogo flavour daaah cool sijawahi choka kusikilila wa 1 2023
@kowech2626
@kowech2626 5 жыл бұрын
my naive childhood life made me believe this was a true story
@Kovu_21
@Kovu_21 8 ай бұрын
Nani yupo 2024🎉🎉😊
@daudimuema2955
@daudimuema2955 9 ай бұрын
Few days to 2024 ,this song is still a vibe❤
@oceanpierwszekroki1482
@oceanpierwszekroki1482 3 жыл бұрын
Super piosenka! Sztos! Pozdro z Polski!
@SoFrii
@SoFrii 2 жыл бұрын
Love from Tanzania... Karibu
@evancykiputa2046
@evancykiputa2046 Жыл бұрын
Ngoma Kali mno hadi Leo 2023 naamini juma nature alitoa chorus Bora kwenye maisha yake kupitia Ngoma hii ya prof jay
@athmanbakari5932
@athmanbakari5932 5 жыл бұрын
2019 ,Representing from 254 .
@Kobe_254
@Kobe_254 4 жыл бұрын
Wangapi tunamaliza 2019 na hii jiwe!?? Like twenzetu
@freddynzabakiza597
@freddynzabakiza597 Жыл бұрын
Love this from Missouri USA
@muhamohd4017
@muhamohd4017 8 жыл бұрын
who is still loving it 2016???
@johanesambroseochieng44
@johanesambroseochieng44 7 жыл бұрын
mimi
@siradosh6821
@siradosh6821 7 жыл бұрын
muha mohd more like 2017 haha 😁
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 7 жыл бұрын
Miss osh hahhaaaa
@kamareantony2914
@kamareantony2914 7 жыл бұрын
.
@kamareantony2914
@kamareantony2914 7 жыл бұрын
.
@jasminebaibe7355
@jasminebaibe7355 6 жыл бұрын
uuwiiii eti wee kinyago kubali yaishe fuuu....zari la mentali bado ipo juuu
@cardinarynkanawa1346
@cardinarynkanawa1346 6 жыл бұрын
Zariiiii LA mentali hizo
@princeluqman2504
@princeluqman2504 6 жыл бұрын
Jasmine baibe haha
@faridsaid9180
@faridsaid9180 6 жыл бұрын
watoto wa kiswahili kubeba wali kwenye mashati
@innocentjuliusmpuya6356
@innocentjuliusmpuya6356 6 жыл бұрын
Jasmine baibe
@muhalito9011
@muhalito9011 6 жыл бұрын
Jasmine baibe Niko nawe 2018
@peterekish1546
@peterekish1546 Жыл бұрын
Back in the days when I was in class 3 respect the legend
@jigabahandwa4163
@jigabahandwa4163 5 жыл бұрын
Kama bado unaangalia hii ngoma 2019 bas gonga like
Professor Jay ft Ferooz - Nikusaidiaje
4:57
ProfessorJay
Рет қаралды 7 МЛН
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 3,7 МЛН
The joker favorite#joker  #shorts
00:15
Untitled Joker
Рет қаралды 30 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 13 МЛН
Professor Jay - Bongo Dar es Salaam
5:37
ProfessorJay
Рет қаралды 134 М.
Juacali feat Sana - kwaheri (Official Video)
4:14
Calif Entertainment Africa Ltd
Рет қаралды 3,5 МЛН
Tmk Wanaume -Umri
4:43
Mziiki
Рет қаралды 1,3 МЛН
Afande Sele feat Ditto - Darubini kali
5:19
Ami de jeune
Рет қаралды 227 М.
Professor Jay Feat Jose Chameleone - Ndivyo Sivyo (Official Video)
4:28
ProfessorJay
Рет қаралды 2,7 МЛН
Nipe mkono - kyline ft young blue (From Tanzania
4:28
mpangala
Рет қаралды 326 М.
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 3,7 МЛН