Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 48
@AngelMbaga9 ай бұрын
Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.
@maryamtanzania97439 ай бұрын
Kaka yuko vizuri
@joycekalago5329 ай бұрын
Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂
@Fx_expertmoneymaker0019 ай бұрын
😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.
@RehemaMandai9 ай бұрын
Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂
@rizikiabdalla25019 ай бұрын
Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana
@khalsasalim79309 ай бұрын
Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂
@hidayamotto72109 ай бұрын
😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi
@Ummukuruthum-m1m9 ай бұрын
Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂
@bulugubujashi63789 ай бұрын
Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂
@RehemaMandai9 ай бұрын
Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake
@samiramohamed59259 ай бұрын
Bro handsome MaashaAllah
@rahimaaaaa56829 ай бұрын
Kbs yupo vzr😝
@awadhrajabu14039 ай бұрын
Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine
@zuwenaabdallah77489 ай бұрын
Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊
@FatimaAli-of4gh9 ай бұрын
Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂
@fahadfahmy9 ай бұрын
hata mimi nimepanda lile feni pamoja nataa
@Ummukuruthum-m1m9 ай бұрын
Mm pia ni nzuri mno
@nigamo96459 ай бұрын
Na mziki pia mwenyewe nimelipenda
@aminathaabubakarmasoud5659 ай бұрын
Wow! Brother handsome ❤
@aliaden55129 ай бұрын
hata mimi handsome
@samiramohamed59259 ай бұрын
Very handsome
@aliaden55129 ай бұрын
Am more hansome than him try me you will know what i meant
@dottomsuya65979 ай бұрын
Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa
@MariaSengo-cn5bx9 ай бұрын
Nakuona Nuba Batton hongereni
@Aiisha9019 ай бұрын
na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia
@rashidkatundu96749 ай бұрын
Siyo kila kitu uyu anakoremeo
@moriscollins44949 ай бұрын
Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu
@StellarmamottoFlowersMam-ms1nz9 ай бұрын
Wemeshanza kujichanganya. Mara taa zitoke china mara zitoke morogoro.....suala la muda tu
@fatmamansour6769 ай бұрын
Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako
@bennymochiwa48009 ай бұрын
Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂
@alexjosephmambo69909 ай бұрын
Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona
@kizegakizega80739 ай бұрын
wadogo zangu hao mtaa wa uhuru
@kadibebe71289 ай бұрын
Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.
@fahadfahmy9 ай бұрын
yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.
@rizikiabdalla25019 ай бұрын
Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote
@fahadfahmy9 ай бұрын
@@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa
@OfficialA836409 ай бұрын
@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂
@Mainda-q5b9 ай бұрын
Hawa jamaa wasikuumize kichwa
@halimaamani89589 ай бұрын
Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku
@andrewmachage91029 ай бұрын
Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂
@princekarani78369 ай бұрын
Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,
@halimaamani89589 ай бұрын
Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa