Рет қаралды 4,402
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) iliandaa Kongamano la Fursa za Biashara kwa njia ya mtandao (Online Business Forum) lilofanyika 7 Desemba, 2020 kwenye Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania lilolenga kuwapa wazalishaji wa bidhaa za viwanda na wafanyabiashara wa Tanzania kufahamu fursa mbalimbali za kibiashara zilizoko katika nchi za Oman, Quatar, Israeli, Saudi Arabia, Kuwait pamoja na Comoro. Sehemu ya Pili ya Kongamano hili lilokuwa na Washiriki zaidi ya 319 lilibainisha fursa za biashara nchini Comoro.
Bofya link ili kusikiliza sehemu ya Kongamano hilo.