KWA KWELI HUYU NI WAKILI WA KWELI ..YUPO SAHIHI KABISA . -KWA NINI,KILA KITU NI:DAR ES SALAAM ..?? -ARUSHA IPO...MOROGORO...MWANZA..NK. -KODI AU MAPATO YOTE NI DAR...NAJIULIZA SANA
@LuluFwalo4 сағат бұрын
Kila laheli timu yanguuuu❤❤❤❤❤
@ShakiraKwesa-pv4pb5 сағат бұрын
Kila la kheri simbaaaaa ushindi leo
@FloridaAdelinus8 сағат бұрын
Nakumbuka Wananchi wa Mtwara walivyopoteza maisha wakipinga Bomba la Gesi kupelekwa Dar es Salaam wakati kwao gesi amna wakati chanzo cha gesi kipo Mtwara, Hiyo inanifikirisha Wananchi wa Kanda ya ziwa Maji kwao ni anasa wakati huo Mkoa Mkame wa DOM maji ni ya Kumwaga.
@cloudjulius-sf6nw9 сағат бұрын
Home boy tunakukubali sana mbeya fanyeni mpango jiji la mbeya mgawane na sugu
@mwabulambomoses987110 сағат бұрын
Alichosema Mwabukusi ni sahihi kabisa, hili jambo lipo katika katiba mpya ila kwa wale wenye akili finyu watalitazama kisiasa.
@rahimzuberi267310 сағат бұрын
Akili ndogo sana huyo
@rahimzuberi267310 сағат бұрын
Akili ndogo sana huyo
@pueblo14810 сағат бұрын
Mpk siku tukiamua kuukwamisha huu uovu
@hildandumbalo582710 сағат бұрын
Mimi pia nilishangaa kila kitu Dar mmh kuna nini?
@wadeelegbogun301510 сағат бұрын
Watanganyika amkeni
@knight67578 сағат бұрын
😴😴 nzitoooo..
@wadeelegbogun301510 сағат бұрын
Mwarabu amesha beba dar es salaam,
@knight67578 сағат бұрын
Au Tanzania ?
@adelinelyaruu30367 сағат бұрын
Huyo Mwarabu wampe tenda za kujenga highways kwa njia sita mpaka nane. Hii itapunguza ajali kama siyo kuzimaliza kabisa Tanzania nzima
@ChristerKokuКүн бұрын
Amepoteza sifa tangu lini? Sio wewe ulikuwa unampamba ahamie ccm.au ndo siasa.
Hizo habari za ndani za Yanga mnazipata wapi? Eti tetesi...., pumbavu sana!
@SylvesterKameoКүн бұрын
Kama vile Ally Kamwe anapoteza dira.... Tunajua vijana mna matamanio na ndoto za kufika mahali fulani kupitia barabara mbalimbali, lakini isiwe kwa njia hii. Itikadi na imani za kidini na siasa zinapingwa katika tasnia ya michezo popote duniani.
@Amedeus-i8bКүн бұрын
Alikamwe Hatutaki Usenge
@jacktonetiibuza9970Күн бұрын
Mpira wa TZ umejaa uCCM inakera sana
@ZephaniaNdaki-vq1tiКүн бұрын
Kidogo kidogo, polepole mtawafikisha wapenzi na mashabiki pabaya sana! Umeanza kujisahau, yanini haya? Mtasababisha hasira namafarakano ndani ya clab.
@asteriashios1852Күн бұрын
Waizi haooo
@CharlesEmmanuel-t2wКүн бұрын
Ccm hatuipendi,tutaondoka
@CharlesEmmanuel-t2wКүн бұрын
Kwa utaratibu huo tutahama wengi hii timu,huu ni ujinga,tambua tupo kwenye hii timu watu wa cdm,habari za uchama hadi kwenye clabu,waovyo kweli
@helencyprian87452 күн бұрын
Hovyo kabisa
@maligiretongora33332 күн бұрын
Ally Kamwe acha ujinga wa ushabiki wa vyama. Tutahama!!
@ChristerKoku2 күн бұрын
Toeni hizo pesa wananchi tunashida sana hacha kabisa upuuzi wa kishenzi.
@JohnMtundu-f4z2 күн бұрын
Jeshi la porice ringefutwa tubaki na jeshi ra wanchi
@nyucletkikonamaluhe22742 күн бұрын
Hizo tshet na vitenge tusambazieni tutanunua Kwa wingi
@ramadhanmahongole92932 күн бұрын
Hiyo ni club ya mpira inajumuisha vyama vyote mambo siasa achaneni nayo yatahalibu emage ya mpira
@helencyprian87452 күн бұрын
Kabisa
@yassinnabwera42732 күн бұрын
Kupitia mpira wa Tanzania,siku sio nyingi mtaliingiza taifa letu kwenye machafuko makubwa,kuna mpuuzi namsikia anasema eti Simba na Yanga ni timu za CCM?,Rubbish.
@ElieshPoul2 күн бұрын
hawo ni chawa wa chama tawala
@markoshem-ij6cf2 күн бұрын
Toa namba tuchange
@JaneMkinga2 күн бұрын
Mungu atusaidie padre ambae anachunga kondoo ndiye shetani wa kwanza kuuwa? Mie haya mambo ya kuungama siyataki, unatubu nini kwake? Kumbe mtaalamu wa waganga harafu anavaa ngozi ya kondoo huku mnafki. Wanyongwe tuu mtoto wamemchinja mzima mzima maumivu gani aliyasikia. Mungu ampumxishe Asimwe kwa amani.wapende sana watu ila tusimwamini mtu.
@OlasaJuliusMlawa3 күн бұрын
❌
@AyubuChacha-u6u3 күн бұрын
Chadema nyie mnatafuta pesa mnawapa ccm kwaajili ya kufanya kampen lengu la ccm ni kuwafilisi tu maana wanakusanya pesa za kuhonga watu ila muwe macho wasimpoteze tena mungu amsaidie atakuja kuwa kiongoz mkubwa sana.
@AminaMkumba-u3z3 күн бұрын
❤❤❤❤Simba yangu jaman
@bevinmtendo87143 күн бұрын
Nyie wachambuzi mnajisemea tu! Kipi kilitangulia? Dk ya 15 tu unaonewa utakosa kutoka mchezoni? Kama Kayoko angekuwq fair Wala hayo makosa mengine yasingetokea, watu walishavurungwa ujue so wakaona liwalo na liwe
@amiryhassan17253 күн бұрын
Tanua screen hyoo
@MatronaThomas-wz5si3 күн бұрын
Huu ni uzushi tu kura zinaandikwa vituoni
@ElishaMwakajila3 күн бұрын
Ccm.nimashetanitu
@esgardmmanyi30603 күн бұрын
HUO NI MPANGO MKAKATI WA POLISI NA CCM ILI WAWAKAMATE CHADEMA
@JoyceKabula-in1sh3 күн бұрын
Mh huyo kali ya fungal mwaka
@RehemaMbilinyi-i2e3 күн бұрын
Uwe makini maana usije ukatekwa SI unajua
@exaverysimon10643 күн бұрын
ILA MSIJE MKAWA MMEMTOA AF BADAE MUMPOTEZE AF MSEME M POLICE 😢😢😢 TUNAJIA HUYU MNATAKA KUMTUMIA KISIASA KWAN KUNAWATU WANGAP WAKO JERA WANAHITAJ DHAMANA NA HAWAJATOLEWA😢😢😢
@AbdulhaamisSoud3 күн бұрын
Haya asubiri kupotezwa ss mungu amuhifadhi
@StevenGendo-vx9jo3 күн бұрын
Police wanaupiga mwingi Kama mama yao, maua yao tafadhali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉.Hahahaaaa madeleka bwana! Noma sana
@EstherJerald-tc6ct3 күн бұрын
Wafiche sana lkn ushindi upo palepale
@asteriashios18523 күн бұрын
Waibe tuu maana unaulinzwa jina tuu eti ni basi huo ni uhuni wa waizi Sasa km ndo hivyo si watajaza majina tuu hata km hujajiandikisha Bora ambao hawakupoteza muda muda Kwa kweli binafsi nimejiandikisha lakini sikupenda