Kipindi kizur ila ukifanya ya video itaongeza mvuto zaidi ya kipindi kaka..
@salomemkilima57322 ай бұрын
safi sana mnafanya vizuri mnatusaidia sana sisi wabongo ni waoga na uoga wao ni kuzurumiwa na hela yenyewe tunaipata kwa shida sana hadi unauza vitu then unakuja kuzurumiwa inaumiza sana.tusaidieni sana.
@salomemkilima57322 ай бұрын
nimeomba kazi za mashambani zinazo tangazwa na serikali yani makampuni yanapeleka maombi yao serikalini then serikali ya CANADA inatangaza watu kutoka nchi mbalimbali waombe nchi hizo kazi yani kazi za watu wasio na elimu japo hata wenye elimu zao wanaomba.
@salomemkilima57322 ай бұрын
Tunashukuru kwa ushauri .je sisi tunaotaka kuja kwa vibarua vya shambani je tunafanyaje? maana wengine ndio tumeanza mchakato wa nafasi za kazi za mashambani tunataka kuja kutafuta kipato tu japo mimi ni nurse najua huko nursing yetu hailingani na huko wenzetu wapo juu japo ujuzi ni uleule ila vyeti vya wenzetu vipo juu.ila care giver je ninaweza kupata?
@salomemkilima57322 ай бұрын
kwamfano mimi nime apply kazi za mashambani hivi karibuni lakini sija jibiwa bado je kama watachelewa kujibu hadi mwezi huo je itakuwaje endapo nitapata nafasi ya kuja CANADA?
@ElizabethKitimeАй бұрын
Umeapply vipi maana kila nikijaribu nashindwa nielekezi
@tatually13662 ай бұрын
🤝🤝
@tatually13662 ай бұрын
🎉🎉
@user-iz9ci4rs3d2 ай бұрын
Tunashukuru
@JimmyMbobo3 ай бұрын
Saf sana
@reginahmwanzia9273 ай бұрын
This your number not on WhatsApp
@alphoncemaganga18763 ай бұрын
Ok asante kwa uelimishaji,mm nahitaji kazi canada ,je unaweza nisaidia? danmaga31
@user-ec6fv3if8g3 ай бұрын
Tupe viitu kaka
@user-sy7dw6be5v3 ай бұрын
Bro mwezi wa tisa wa mka upi
@joejoshua77913 ай бұрын
Kazi hakuna immigrant wengi wanahamia nchi zingine
@jescanicodemus2 ай бұрын
@@joejoshua7791wewe upo nje
@lemzansi25863 ай бұрын
Ebhna jamaa kanyoosha Sana najiandaa kuja uko kuanza maisha unaweza niconect nae uyo jamaa nimemkubali uyo genius Sana anaweza niongoza nianzie wapi
@SalomeKhalfani-cm9xy3 ай бұрын
Mie nataka kwenda lakini Sina pesa ajedi hugalamiu safali mtu akifika mtalipana
@Levis4383 ай бұрын
Hivi kulikua na ulazima gani wa kumsifia huyo mama yenu mxiuuuuuuuuuuuu
@mtizman_salimridhwan1873 ай бұрын
nice interview 👌
@benedictobujiku95263 ай бұрын
Kwenye hiyo namba yenu ya sim niweke cod ya wapi? Mi nipo sauzi, nataka kuongea na nyinyi kuhusu safari
@josephnyanda15123 ай бұрын
💥💥💥💥
@ThomasMkwavi3 ай бұрын
Kaka saidy tupo pamoja sanaaa
@sylvesterfrancis68263 ай бұрын
Good!!🎉
@mobilebeats30863 ай бұрын
Asnte sana
@ThomasMkwavi3 ай бұрын
Shukrani sanaa kwa taarifaa
@husseinsalimbora35343 ай бұрын
Habari ni nzuri sana.
@twahiruabdul3 ай бұрын
Ahsante ndg
@abuusalum9283 ай бұрын
Ma shaa Allah
@abuusalum9283 ай бұрын
Nondo kali sana bro !!
@geraldwilliam28223 ай бұрын
Interview imekaa poa.
@khadijashinani43343 ай бұрын
Said una nipa moral san
@khadijashinani43343 ай бұрын
Ngoj nijichange maan nimechok
@fallykhan23833 ай бұрын
Lete muendelezo wa hii kitu
@alhajikimoto14443 ай бұрын
Tatizo tu ni kwamba kwenye Simu hizo charts zinakuwa ndogo mno kiasi cha kushindwa kuifutilia!!
@alhajikimoto14443 ай бұрын
Keep it up brother!!
@jovovichmedia94243 ай бұрын
Wanaitwa Cash Dog
@joshuafabian89343 ай бұрын
Superb
@user-un1qm5zs5k3 ай бұрын
Moja ya Interview kali sana iliyoamsha zaidi hali na morali ya kusafiri asante kwa madini.
@haroubkibanda51823 ай бұрын
Imekaa vzr sn hii mkuu @ Saidi Mbondela
@abdulfimbo32763 ай бұрын
Good advice
@user-xk5hd3rg5n3 ай бұрын
Kiongozi hebu chek na sauti mkuu. Iko chini sana
@saidimbondela91583 ай бұрын
Sawa nitalizingatia hilo
@imujunior87483 ай бұрын
Keep it up i really like what you doin' 👏👏👏 Keep showing up! Until they recognize