Mda mwingine mwache oengee mpe direct swal lakini muache aelezee si kuingilia kati ya mazungumzo
@djnizoh9 күн бұрын
Kusoma comment yangu tu kuandika ya kwako aaaah😂😂
@ameenaameena42210 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@valenakomba768610 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@njiaya683313 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@valenakomba768613 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@swalehramadhani419213 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@vesentsikainda14 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@kennethmagupa69815 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@festokivuyo712117 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@EzraManiratanga-hb9wo18 күн бұрын
Amen tena Asante sana. Basi tunaomba part 3 na zifuatazo ❤
@barackbrysonramsey20 күн бұрын
Umekua muongeaji kuliko unae mhoji.
@MeckitilidaTushabe-or9hu20 күн бұрын
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
@MeckitilidaTushabe-or9hu20 күн бұрын
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
@JoelMoshi17 күн бұрын
Kabisaa awape watu na fani zao
@user-uj7kj3fh7n21 күн бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@meshack326623 күн бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@marymassawe865524 күн бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack326623 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
@ahadimalamso415525 күн бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi17 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel792716 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
@tumsifumassawe127325 күн бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@tumsifumassawe127325 күн бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@mahomamahoma77525 күн бұрын
Yaaani unamfanya Mzee ashindwe ku flow ungemwachaa aelezee Kisha maswalii yaje mwisho
@kilalamuhumba461225 күн бұрын
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@kilalamuhumba461225 күн бұрын
Ungemuacha mzee aongee tu maswali yako yanakera maana tayar tulishamuelewa wew unarudia
@Mahershalalhashbazi-kf6xi26 күн бұрын
Ndiyo afande
@TuroRukiko26 күн бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson721118 күн бұрын
kabisaa
@NghobokoSalehe-kv3qm26 күн бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@marionoti576027 күн бұрын
Acha uwongo, hadaa, na ghiliba ili kuwarubuni wana wa Mungu mwanafiale.
@AizackKalenge-ro5rc27 күн бұрын
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki509526 күн бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
@utakatifunahaki509526 күн бұрын
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
@AlexAyubu27 күн бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@odhiaodhia989827 күн бұрын
Story nzuri sana muuliza maswali anauliza maswali ya honyo hovyo
@nabihelias82127 күн бұрын
Mwendelezo haupo
@ancecalkitalika760628 күн бұрын
Nilimwona mara ya kwanza pale Makalala Chuo cha Makatekista, siku ya mahafali, akaonyesha michezo kama kuzuia gari kwa mkanda kwa meno yake; kuushinda umati wote wa watu KWA kuvuta kamba; Landrover kupita kifuani n.k.
@renatusmtakyawa594Ай бұрын
Ndo imeisha au
@renatusmtakyawa594Ай бұрын
Mbona uweki sehemu ya tatu
@faithe4063Ай бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@festinamwakipale3919Ай бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo