Пікірлер
@vickylayda6336
@vickylayda6336 Күн бұрын
Haleluya
@vickylayda6336
@vickylayda6336 Күн бұрын
Hkweli tuwe makini
@user-iz8iw2lb4z
@user-iz8iw2lb4z 4 күн бұрын
Barikiwa mtumishi
@JeanMabele
@JeanMabele 5 күн бұрын
Chiting only
@HildaMyagila
@HildaMyagila 8 күн бұрын
Mda mwingine mwache oengee mpe direct swal lakini muache aelezee si kuingilia kati ya mazungumzo
@djnizoh
@djnizoh 9 күн бұрын
Kusoma comment yangu tu kuandika ya kwako aaaah😂😂
@ameenaameena422
@ameenaameena422 10 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@valenakomba7686
@valenakomba7686 10 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@njiaya6833
@njiaya6833 13 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@valenakomba7686
@valenakomba7686 13 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@swalehramadhani4192
@swalehramadhani4192 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@vesentsikainda
@vesentsikainda 14 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@kennethmagupa698
@kennethmagupa698 15 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 17 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@EzraManiratanga-hb9wo
@EzraManiratanga-hb9wo 18 күн бұрын
Amen tena Asante sana. Basi tunaomba part 3 na zifuatazo ❤
@barackbrysonramsey
@barackbrysonramsey 20 күн бұрын
Umekua muongeaji kuliko unae mhoji.
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 20 күн бұрын
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 20 күн бұрын
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
@JoelMoshi
@JoelMoshi 17 күн бұрын
Kabisaa awape watu na fani zao
@user-uj7kj3fh7n
@user-uj7kj3fh7n 21 күн бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@meshack3266
@meshack3266 23 күн бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@marymassawe8655
@marymassawe8655 24 күн бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266
@meshack3266 23 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
@ahadimalamso4155
@ahadimalamso4155 25 күн бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi
@JoelMoshi 17 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel7927
@audaxemmanuel7927 16 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha​@@JoelMoshi
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 25 күн бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 25 күн бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 25 күн бұрын
Yaaani unamfanya Mzee ashindwe ku flow ungemwachaa aelezee Kisha maswalii yaje mwisho
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 25 күн бұрын
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 25 күн бұрын
Ungemuacha mzee aongee tu maswali yako yanakera maana tayar tulishamuelewa wew unarudia
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 26 күн бұрын
Ndiyo afande
@TuroRukiko
@TuroRukiko 26 күн бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@DAWASADAWASA
@DAWASADAWASA 26 күн бұрын
Dunia inamambo
@optimamarenda7082
@optimamarenda7082 26 күн бұрын
Wewe mtangazaji wewe
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 26 күн бұрын
huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 26 күн бұрын
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
@joshuaedward275
@joshuaedward275 26 күн бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 18 күн бұрын
kabisaa
@NghobokoSalehe-kv3qm
@NghobokoSalehe-kv3qm 26 күн бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@marionoti5760
@marionoti5760 27 күн бұрын
Acha uwongo, hadaa, na ghiliba ili kuwarubuni wana wa Mungu mwanafiale.
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 27 күн бұрын
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 26 күн бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 26 күн бұрын
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
@AlexAyubu
@AlexAyubu 27 күн бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 27 күн бұрын
Story nzuri sana muuliza maswali anauliza maswali ya honyo hovyo
@nabihelias821
@nabihelias821 27 күн бұрын
Mwendelezo haupo
@ancecalkitalika7606
@ancecalkitalika7606 28 күн бұрын
Nilimwona mara ya kwanza pale Makalala Chuo cha Makatekista, siku ya mahafali, akaonyesha michezo kama kuzuia gari kwa mkanda kwa meno yake; kuushinda umati wote wa watu KWA kuvuta kamba; Landrover kupita kifuani n.k.
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 Ай бұрын
Ndo imeisha au
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 Ай бұрын
Mbona uweki sehemu ya tatu
@faithe4063
@faithe4063 Ай бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@ElisifaLukas
@ElisifaLukas Ай бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@GivenesCharles
@GivenesCharles Ай бұрын
Mung akubarik 2:07
@GivenesCharles
@GivenesCharles Ай бұрын
Elshamah washira
@reginaphillipo8758
@reginaphillipo8758 Ай бұрын
❤❤❤❤
@Elecovid
@Elecovid Ай бұрын
Yesu ni bwana