MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2

  Рет қаралды 26,949

LUSEKELO MWALYAJE

LUSEKELO MWALYAJE

7 ай бұрын

Пікірлер: 42
@flm1530
@flm1530 6 ай бұрын
Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 20 күн бұрын
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@marymassawe8655
@marymassawe8655 19 күн бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack3266
@meshack3266 18 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
@ahadimalamso4155
@ahadimalamso4155 20 күн бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi
@JoelMoshi 12 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel7927
@audaxemmanuel7927 11 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha​@@JoelMoshi
@user-vl3sg1fz7w
@user-vl3sg1fz7w 6 ай бұрын
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@NghobokoSalehe-kv3qm
@NghobokoSalehe-kv3qm 21 күн бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 12 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@joshuaedward275
@joshuaedward275 21 күн бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 13 күн бұрын
kabisaa
@vesentsikainda
@vesentsikainda 9 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@user-uj7kj3fh7n
@user-uj7kj3fh7n 16 күн бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 20 күн бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@TuroRukiko
@TuroRukiko 20 күн бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 20 күн бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@faithe4063
@faithe4063 27 күн бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@ElisifaLukas
@ElisifaLukas Ай бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@AlexAyubu
@AlexAyubu 22 күн бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@njiaya6833
@njiaya6833 8 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@swalehramadhani4192
@swalehramadhani4192 8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 29 күн бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@nabihelias821
@nabihelias821 22 күн бұрын
Mwendelezo haupo
@ameenaameena422
@ameenaameena422 4 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@meshack3266
@meshack3266 18 күн бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@kennethmagupa698
@kennethmagupa698 10 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@valenakomba7686
@valenakomba7686 8 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 25 күн бұрын
Mbona uweki sehemu ya tatu
@JeanMabele
@JeanMabele 18 сағат бұрын
Chiting only
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 21 күн бұрын
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
@optimamarenda7082
@optimamarenda7082 21 күн бұрын
Wewe mtangazaji wewe
@DAWASADAWASA
@DAWASADAWASA 21 күн бұрын
Dunia inamambo
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 21 күн бұрын
huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 22 күн бұрын
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 21 күн бұрын
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 21 күн бұрын
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 15 күн бұрын
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 15 күн бұрын
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
@JoelMoshi
@JoelMoshi 12 күн бұрын
Kabisaa awape watu na fani zao
@renatusmtakyawa594
@renatusmtakyawa594 25 күн бұрын
Ndo imeisha au
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 1
23:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 12 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 60 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 45 МЛН
JE KUNA MUNGU WATATU?
48:05
Testimony Tv
Рет қаралды 2,9 М.
CHEKESHA : KIKAO KIFO CHA BOSS / MASANJA / MPOKI
32:06
CHEKESHA
Рет қаралды 73 М.
MASANJA AIGIZWA LIVE NAYE AKIWA HAPO HAPO
14:23
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 902 М.
ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA
19:09
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 4,5 М.
Wanaosema heri mchawi kuliko mnafiki hamuwajui vizuri wachawi
21:51
Pastor Musa sheka
Рет қаралды 10 М.