Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
@marymassawe865519 күн бұрын
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
@meshack326618 күн бұрын
Sijaelewa maana yako
@ahadimalamso415520 күн бұрын
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
@JoelMoshi12 күн бұрын
Ww uliloga na yy
@audaxemmanuel792711 күн бұрын
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
@user-vl3sg1fz7w6 ай бұрын
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
@valenakomba76865 күн бұрын
Anakamuliwa NGAMA.
@NghobokoSalehe-kv3qm21 күн бұрын
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
@festokivuyo712112 күн бұрын
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
@joshuaedward27521 күн бұрын
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
@trophywilson721113 күн бұрын
kabisaa
@vesentsikainda9 күн бұрын
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
@user-uj7kj3fh7n16 күн бұрын
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
@tumsifumassawe127320 күн бұрын
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
@TuroRukiko20 күн бұрын
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
@tumsifumassawe127320 күн бұрын
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
@faithe406327 күн бұрын
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
@ElisifaLukasАй бұрын
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
@AlexAyubu22 күн бұрын
Muuliza maswali daaa achaaa
@njiaya68338 күн бұрын
safi kwa yesu kuna furaha
@swalehramadhani41928 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
@festinamwakipale391929 күн бұрын
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
@nabihelias82122 күн бұрын
Mwendelezo haupo
@ameenaameena4224 күн бұрын
Mtagazaj kasome
@meshack326618 күн бұрын
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
@kennethmagupa69810 күн бұрын
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
@valenakomba76868 күн бұрын
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.