MITANDAO YA KIJAMII INAYOTOA ELIMU YA KILIMO BORA CHA MAZAO MBALIMBALI YA CHAKULA .NI NEEMA KWETU SISI WAJASI.IA MALI.
@ErastoNzali-on5gnАй бұрын
Mavuno kwa heka moja ni kiasi gani
@othmanSuleiman992 ай бұрын
Heka 1 ya bamia kama imekubali na ukaivisha katika bei nzuri mfano lita 10 ikawa inauzwa elf 10 je katika heka 1 utapata faida kias gan
@JoyceJackson-ru6ux2 ай бұрын
Kwa kweli nimependa Sana SoMo lako
@GillesMuliriye2 ай бұрын
Asante, kea elimu yako.Je ekari 1utavuna KIASI gani?
@julyyatery11062 ай бұрын
Maelezo mazuri, yameekeweka vema. Asante
@MaryMasawe-wz1zw2 ай бұрын
Mm nataman kw mkulima kama ww
@kilimopesa272 ай бұрын
0656258254
@essaukapufi4242 ай бұрын
Wow!
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Naomba namba yako
@kilimopesa272 ай бұрын
0656258254
@williamkimani68313 ай бұрын
Niko kenya na hitaji bengu
@mwanatumumraba3 ай бұрын
Natwa mwalimu kutoka kenya nahitaji elimu yako ya kilimo cha mahindi
@kilimopesa273 ай бұрын
Nitaft whatsapp 0656258254
@evasilem45113 ай бұрын
Asante kwa elimu nitalifanyia kazi,naomba miche nijaribu kwa kipindi hiki kitambo msimu wa mvua haujpita,ni hii malkia F1 niko ARS.
@nasikiwa4 ай бұрын
Somo zuri samq, ❤❤❤
@user-ls2uj3fl1o4 ай бұрын
Naomba no yako
@kilimopesa273 ай бұрын
0656258254
@NathanSwilla-ig7hr4 ай бұрын
Hekali mbili za mahindi zinahitaji mifuko mingapi ya mbolea
@kipkogeikimereng7384 ай бұрын
Hiyo tinga tinga no aina gani na anafanya kazi gani kwenye shamba
@user-ny3fg1db1v4 ай бұрын
Hazar kaka mm naomba ushaur naishi marangu mvua haishi ipo marakwamara nioteshe mbegu gani kaka. Yang
@philipomapingula22234 ай бұрын
Ooooh good
@herielmao39004 ай бұрын
Maelezo mafupi na yamenyooka...thank you
@user-os3ed2nl2k4 ай бұрын
Nataka hizi mbegu za pilipili
@user-ex5ln6iv6f5 ай бұрын
Kiongoz naomba nambayako na taka mbegu
@RahmaAmran-qy1hp5 ай бұрын
Kwa ekari mbili naweza tumia gharama ya bei gani plz
@DaudiPyuza-fu6dn5 ай бұрын
Unapatikana maeneo gan kaka
@janeombati22905 ай бұрын
Sinjasikia jina ra borea ya kuandia samahani kama kuna mtu amesikia anisaindie jina ra borea ya kupandia
@davidsimbeye15484 ай бұрын
Dap
@user-lv5zf8oh8b5 ай бұрын
Mm natamani kushikwa mono Na mkulima mzoefu
@KA-ps1ne6 ай бұрын
Je ? Bamiya, mbegu kienyeji zinahitaji umbali gani baina ya shimo na shimo.
@ZubedaAbdallah-yy6zh6 ай бұрын
Asante naomba no yako
@kilimopesa276 ай бұрын
0656258254
@richardshayo68384 ай бұрын
Hii famgadi navyo piga naweza changanya na busta au yenyewe inatosha @@kilimopesa27
@edithmziray72996 ай бұрын
No zako please
@misezerohusseini29746 ай бұрын
Mna tuilimisha kwa kweli ila kunaulazima kutuonyesha sum,au dawa tukaona Ganda lake hilo itakua ni murua zaidi kuliko kusema.
@aronntirubaza7527 ай бұрын
Asante nimejifunza
@KelvinMtavangu-ow8yo7 ай бұрын
Upo vizuri sana. Nipo Mpunguzi Dodoma. Hapa ni ardhi kame. Hata hivo mahindi yanastawi vizuri endapo mvua zitakuwa nzuri. Wadudu ni changamoto.
@haroldgabriel87677 ай бұрын
Salaam. Nipo Dodoma. Nisaidie kupata soko la mwendokasi
@nusraabdull7 ай бұрын
Samahani mm nimeweza kulima papai lakini ilipo karibia kuchanua jua likawa Kali baadhi yamimea ikawa Kama imedimaa majani kukakamaa baada yavua kunyesha ikaendelea vizuri. Lakini mepamba mauwa mengi lakini hakuna linalo komaa inaishia pale kwenye mauwa basi. Nifanyeje wapendwa nikate hiyo sio miche haifai tena nikate.