jifunze namna bora ya kulima zao la tangawizi, wadudu magonjwa na mbegu bora ya tangawizi SUBSCRIBE CHANEL HII kwa makala nyingi zaidi
Пікірлер: 5
@nicodemshello16310 ай бұрын
Mtaalam uko vizuri endelea kupiga kazi
@banzimtizii50203 жыл бұрын
Je, naweza lima kwenye muinuko mfano miinuko ya morogoro, pia gharama ya mbegu zake ni shilingi ngapi na nazipata wapi ambazo ni bora.
@kilimopesa273 жыл бұрын
mbgu mara nyingi hupatikana kwa wakulima wakawaida, na morogoro zinafaa zaid maeneo ya tambarare wilaya ya kilosa zinalimwa maeneo yanaitwa makwambe na kwakua upo moro jaribu tembelea maeneo ya sua au mawakala wa mbegu watakupa maelekezo zaidi juu ya mbegu bora sababu mbegu nyingi ni kutoka kwa wakulima
@SalsabeelLtd3 жыл бұрын
Naweza kuchanganya Dap na Samad?
@kilimopesa273 жыл бұрын
unachanganya tu sababu samadi haina madhara pia sabadi hufny kaz polepol ... pia n vizuri kuweka samad mwezi mmoj kabla ya kupanda lakini Dap unaweza weka siku moja tu kabla ya kupanda... samad inahitaji iwekwe mapm sanaa