Kumbe aliiona Tanzania muhimu kuitakia mazuri Mungu akupokee hata km Kuna ulipokosea Mungu akusamehe nasi tunakosea ,RIP Yusuph Manji
@bekakasambala710817 күн бұрын
Labda supermarket sio duka la mangi asee...nimeshafanya hiii nafahm sn....mara nyingi zingatia maeneo..unakuta katik eneo moja maduka ya aina hiii yapo mengi hapo sahau kuhusu faida. Kwa maana maduk yapo mengi kulko wateja
@farhannahkulishwaburekunam536019 күн бұрын
Amesaidia sana watu sana lakini hakuwa chochote mkamzushia huto makonda n8 muongo alikuwa anataka honga kwake kawaida makondo akinyimwa pesa anamsingizia mtu anauza madawa ngoja na yeyye makondo mungu atamlipa hapa duniani alims8ngizi tajiri mmoja tanga na kuchukua gari lake sasa roho zenu zitawatulia
@farhannahkulishwaburekunam536019 күн бұрын
Mmemtia stress mkamkama na kumuqeka ndani mpaka akaondoka akawachia nchi yetu sasa kiko wapi aliye mtia tafurani keshakufa makufuli na k8jana wa watu bado mdogo kaondoja haya faidini nyie sasa
@asgherpanju99919 күн бұрын
Ww ni mwongo huyo hakuwa na asili ya kutoka punjab, alikuwa na asili ya GUJARAT
@SEDJamii19 күн бұрын
Ahsante kwa kuturekebisha
@HamisMghuna-fj3vz20 күн бұрын
Lailahailah rabbi nsataraa manji
@MagrethKatondo-qs9oz21 күн бұрын
Pumzika kwa amani.
@lilyrose798322 күн бұрын
Hio sababu ya kifo chake iko wapi mchawi mkubwa wewe.Kazi kutafuta viewers kwa nguvu
@happymushi449323 күн бұрын
Mungu amrehemu
@hafsalucky108823 күн бұрын
Pumzika Kwa Amani Manji.
@user-ds7ho1my4u23 күн бұрын
Mitaji yote ya Wahindi, hupata hapa Tanzania, kwa Kuwa Watanzania wengi, ni Waoga wa Kutafuta Utajiri, Watanzania wengi ni Wafanyakazi wa Wageni.
@gaspercharles224423 күн бұрын
Kwa hiyo ataletwa au anzikwa huko huko? Maana hii Tanzania bana Ina mambo
@knight675723 күн бұрын
Kishazikwa huko huko..
@lilyrose798322 күн бұрын
Washazika toka jana usiku
@mukhsintwaha590923 күн бұрын
Innalillah wainnaileihy rajiuun
@user-xk7vy4gb6g23 күн бұрын
Innalillah waina ilah rajihun
@masoudalriyamy629823 күн бұрын
Leo mnamsifu mmesahau
@knight675723 күн бұрын
Ndio kawaida yetu !! Utamaduni !!
@kinglayzwakuchanaАй бұрын
😀😀 cyo kweli had disk uanzie na BT 8 bei yake 240K na full compyuter ni hp cure i5 ndo inafaa bei yake ni 200K kuijaza hyo hdd maelewanoncyo chini ya 50K kuna VGA cd empty 18K kopo sizn single catoon ni 800 kila moja yaani mznguko wake jumla cyo chini ya 1M maana location uitafute kunagarama kuna code hapo ukizamilia 60K utakuta 80K so kunavtu vngi aise
@selinajohn3552Ай бұрын
Asnteh naenda kufanya Kwa matendo
@RuqaiyaEidАй бұрын
Shst Kwa somo zur
@elisiameela2778Ай бұрын
Duh kumbe ni process kupata hzo line
@Devilinintungwawc2vkАй бұрын
Pamoja sana kwa kutujunza lazima nifunguwe Dukan mwaka hu 2024
@irenemichaelАй бұрын
Asante napenda biashara hii
@MwajabuMatibwa2 ай бұрын
❤❤❤
@neemarabi20292 ай бұрын
Naitaji muongozo
@pauloammy-sc1vz2 ай бұрын
🎉
@jammykamangila74472 ай бұрын
You so positive keep good work✌️
@fridaminja71912 ай бұрын
Nimekuelewa sana kka, somo zur sana yan umenitoa tongotongo aisee, nilikuwa najifanyia tuu jaman asante sana
@maalimumachichanatangu83322 ай бұрын
Umetisha
@maalimumachichanatangu83322 ай бұрын
Safi sana 😊
@PascalMgoya2 ай бұрын
Ranchi ya narco
@queenjacklinedavid26002 ай бұрын
Kaka Asante mungu akubariki
@user-ru6ct4rh3t2 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka angu.🙏🙏
@HadjiRamadhani2 ай бұрын
Nikwel mkuu
@user-rr2uj7cl7z2 ай бұрын
Mawasiliano
@salehabdallah27373 ай бұрын
Asante nimepata kitu
@user-sw2fi1gu4j3 ай бұрын
Nataka kujuwa bei
@HusseinYusuph-sz8lu3 ай бұрын
Asante
@OfficialMutrah3 ай бұрын
Tunaomba namba zako kaka
@user-dp3ls6st2m3 ай бұрын
kaka naomb namb yako ya wass
@user-pr5xj9xc9w3 ай бұрын
nipo tayari unifundishe kwa buku
@user-xc4ys6sf9s3 ай бұрын
saf sana kaka lakini mimi niliazisha bisshara bila kujua eneo vizur kumbe nilichagua eneo baya yanii apa nmefunga kwanza ni mbalii natumia tu naul afu siuzi
@SafiyaJ-yw2vt3 ай бұрын
Nimecheka hao wapenda dezo😅😅😅😅
@SafiyaJ-yw2vt3 ай бұрын
Umechemsha sahani 70😅
@danielwilfred26093 ай бұрын
A-Z imenyooka 🤝 Pia nna swali kuhusu kufunga GPS nngependa nijue gharama zake na jins inavooperate
@PriscaYusuph3 ай бұрын
Asante. Naomba kuuliza chimbo la plate, square pipe na flate bar, Asante.