Ila Mh magufuli you was a Hero hakika tutakukumbuka sana mkuu kuna jambo nimejifunza sana kwako kupenda mawazo ya Mtanzania mwenzako Lala salama ulipo Mungu akuweke kwenye neema ukawe kiingozi wa malaika kama ulivyokuwa ukituambia before Ila Waafrica pale ulipotuacha bado hatuamini kwamba tunaweza kufanya mambo yetu bila kutegemea mataifa ya magharibi
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Mungu skulaze mahali pema peponi sasa hivi unakatika kila siku vyombo vinsungua manyama yanaoza kwenye mafriji kila kitu hovyo kabisa kuhusu umeme tumechoka ile mbaya Watanzania kuhusu umeme maji ni shida mtindo mmoja hata kama maji yanejaa
@EmmanuelNaftali7 ай бұрын
Big.R.I.P MAGUFULI.HAWA JAMAA WANATUTESA SANA HADI WANANCHI WANAICHUKIA SERIKALI.
@AbuuFarhaan-ri2yj7 ай бұрын
Huyu ni mwamba
@edinamadebele9736 ай бұрын
Huyu huyu aliyrzungumza na miwani yake myeusi😂
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Unakumbukw kila siku na watanzania vutu bei juu kila siku vitu vinapanda bei
@the_data20247 ай бұрын
Rip mwamba
@norahfrank7 ай бұрын
Sasa imekuwaje Mungu wetu.umeme umekuwa shida hivi???