HII NDIO SABABU YA KIFO CHA MANJI • HISTORIA YA MAISHA YAKE • UGOMVI WAKE NA MAKONDA

  Рет қаралды 12,556

SED Jamii.

SED Jamii.

9 күн бұрын

Пікірлер: 17
@happymushi4493
@happymushi4493 7 күн бұрын
Mungu amrehemu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 7 күн бұрын
Pumzika Kwa Amani Manji.
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 5 күн бұрын
Lailahailah rabbi nsataraa manji
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 5 күн бұрын
Pumzika kwa amani.
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 күн бұрын
Amesaidia sana watu sana lakini hakuwa chochote mkamzushia huto makonda n8 muongo alikuwa anataka honga kwake kawaida makondo akinyimwa pesa anamsingizia mtu anauza madawa ngoja na yeyye makondo mungu atamlipa hapa duniani alims8ngizi tajiri mmoja tanga na kuchukua gari lake sasa roho zenu zitawatulia
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 7 күн бұрын
Innalillah wainnaileihy rajiuun
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 күн бұрын
Mmemtia stress mkamkama na kumuqeka ndani mpaka akaondoka akawachia nchi yetu sasa kiko wapi aliye mtia tafurani keshakufa makufuli na k8jana wa watu bado mdogo kaondoja haya faidini nyie sasa
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 7 күн бұрын
Innalillah waina ilah rajihun
@user-ds7ho1my4u
@user-ds7ho1my4u 7 күн бұрын
Mitaji yote ya Wahindi, hupata hapa Tanzania, kwa Kuwa Watanzania wengi, ni Waoga wa Kutafuta Utajiri, Watanzania wengi ni Wafanyakazi wa Wageni.
@asgherpanju999
@asgherpanju999 4 күн бұрын
Ww ni mwongo huyo hakuwa na asili ya kutoka punjab, alikuwa na asili ya GUJARAT
@SEDJamii
@SEDJamii 4 күн бұрын
Ahsante kwa kuturekebisha
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 8 күн бұрын
Leo mnamsifu mmesahau
@knight6757
@knight6757 7 күн бұрын
Ndio kawaida yetu !! Utamaduni !!
@lilyrose7983
@lilyrose7983 7 күн бұрын
Hio sababu ya kifo chake iko wapi mchawi mkubwa wewe.Kazi kutafuta viewers kwa nguvu
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 7 күн бұрын
Kwa hiyo ataletwa au anzikwa huko huko? Maana hii Tanzania bana Ina mambo
@knight6757
@knight6757 7 күн бұрын
Kishazikwa huko huko..
@lilyrose7983
@lilyrose7983 7 күн бұрын
Washazika toka jana usiku
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 14 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 101 МЛН
FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM
10:49
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 12 М.
HISTORIA FUPI YA YUSUPH MANJI
5:23
Matukio Online Tv
Рет қаралды 6 М.
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 14 МЛН