Amesaidia sana watu sana lakini hakuwa chochote mkamzushia huto makonda n8 muongo alikuwa anataka honga kwake kawaida makondo akinyimwa pesa anamsingizia mtu anauza madawa ngoja na yeyye makondo mungu atamlipa hapa duniani alims8ngizi tajiri mmoja tanga na kuchukua gari lake sasa roho zenu zitawatulia
@mukhsintwaha59097 күн бұрын
Innalillah wainnaileihy rajiuun
@farhannahkulishwaburekunam53604 күн бұрын
Mmemtia stress mkamkama na kumuqeka ndani mpaka akaondoka akawachia nchi yetu sasa kiko wapi aliye mtia tafurani keshakufa makufuli na k8jana wa watu bado mdogo kaondoja haya faidini nyie sasa
@user-xk7vy4gb6g7 күн бұрын
Innalillah waina ilah rajihun
@user-ds7ho1my4u7 күн бұрын
Mitaji yote ya Wahindi, hupata hapa Tanzania, kwa Kuwa Watanzania wengi, ni Waoga wa Kutafuta Utajiri, Watanzania wengi ni Wafanyakazi wa Wageni.
@asgherpanju9994 күн бұрын
Ww ni mwongo huyo hakuwa na asili ya kutoka punjab, alikuwa na asili ya GUJARAT
@SEDJamii4 күн бұрын
Ahsante kwa kuturekebisha
@masoudalriyamy62988 күн бұрын
Leo mnamsifu mmesahau
@knight67577 күн бұрын
Ndio kawaida yetu !! Utamaduni !!
@lilyrose79837 күн бұрын
Hio sababu ya kifo chake iko wapi mchawi mkubwa wewe.Kazi kutafuta viewers kwa nguvu
@gaspercharles22447 күн бұрын
Kwa hiyo ataletwa au anzikwa huko huko? Maana hii Tanzania bana Ina mambo