Рет қаралды 30
Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) Mkoani Katavi kimelalamikia malipo kiduchu wanayoyapata pindi wanapokabidhiwa majalada kwa ajili ya kuendesha kesi za watuhumiwa wa makosa ya jinai ambapo wamedai kuwa malipo hayo hayawiani na uzito wa kazi.