Lakini wanatoka hawana namba za simu jina la hotel namba za hotel wasimamizi wanafanya sio ivo watu wanatakiwa wapewe full information na watebee nazo kadi zao wakipotea wanapigiawa simu marjent au wanajina na namba ya hotel wanafikishwa hotel ingekuwa kazi rahisi sana
Mashaallah.. Allah mkubwa inshaallah hajj yako iwe kubul.. Hakika uislam ndio dining ya haki isiyo na ubaguzi na ni msingi wa mfumo mzuri wa maisha ya binadamu..
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Baba angu wa kigoma nimecheka sana 😂😂😂halafu kuhusu watz hajui kingereza sio wote babu bhn 😂😂😂😂ht cha kuombea maji baadhi yetu twakijua 😂😂😂
@WanguMimiАй бұрын
Mungu mkubwa
@zaliafakilavire5689Ай бұрын
Mashaallah ila babu yetu mjanja sanaa nimependa alivyo jielezea Allah awatakabalie HIJJAH nasi tuombeeni dua siku moja tuende makka ❤❤🎉
Assalam Alaykum Johari, tunaomba kupata mawasiliano yako ya Whatsap ili upate maelekezo zaid
@johariabby4120Ай бұрын
@@tawheedislamchannel1945 Waalaikum salam nawapigia nimeona namba zenu kwenye mtandao nawapigia leo saa nne
@AishaMberwaАй бұрын
Aisha J Mbelwa
@tawheedislamchannel1945Ай бұрын
Assalam Alaykum Bi. Aisha, tunaomba kupata mawasiliano yako ya Whatsap ili upate maelekezo zaid na kutimiza nia yako ya Hijja
@MazikuKahawaАй бұрын
mungu aiweke mahalapema sheikhe wetu inalilai wainalilajuun
@MariamHaroon-pu3lxАй бұрын
😢😢😢😢😢😢
@tawheedislamchannel1945Ай бұрын
Assalam Alaykum ndugu yetu, tunaomba kupata mawasiliano yako ya Whatsap ili upate maelekezo zaid
@MariamHaroon-pu3lxАй бұрын
Mariamu aiko
@tawheedislamchannel1945Ай бұрын
Mariam nani unaitwa
@farukwaiswa3059Ай бұрын
WAISWA FAROUK
@tawheedislamchannel1945Ай бұрын
Assalam Alaykum, unaweza kutupatia mawasiliano yako ya whatsap ili tukupatie maelekezo Inshaallah
@ratifahassan6501Ай бұрын
Mashaallah ❤❤
@saudmohammed3390Ай бұрын
Umati Muhammad umejaa siyo rahisi
@saudmohammed3390Ай бұрын
Pole saaaana Babu kikubwa umefanya ibada yako tumuombe Allah apokee salaa na duwa zako wewe na Mahujaji wengine woooooote Ameeeeeen
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Amiin 🤲🤲
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Huyu Mzee nampenda sana anastori sana tuko naye hapa Kigoma.
@salumhassan8993Ай бұрын
Twakuomba ya ALLAH wakubalie hija yao mahujaji wetu
@salumhassan8993Ай бұрын
Ya ALLAH tujaalie tuwe wenye kuidiriki safari kwa ajili ya hija kabla hatujaondoka katika mgongo wa dunia.
@aminabdalla7824Ай бұрын
Yah Allah tujalie na sisi waja wako tuende tukalione kaburi la mtukufu wa daraja mtume wetu Muhammad swalahallaiih alaih wasaalm... Allah humma Ameen 🤲
@aziza9093Ай бұрын
❤❤❤❤
@nuhuabdil7073Ай бұрын
Namumba mola wangu wahaki ajotole tajiri Alie ruzukiwa namola na Mimi nikahiji mwaka 2025 kwani riziki anatowa mola nitakacho jaliwa
@sumaiyasaid235629 күн бұрын
Allahumma Ameena . Mola akupokelee maombi yako.
@TimaMohammed-pn9ehАй бұрын
Mashalah haj makbul
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
Ndio Mnakwenda kuswali huko tatizo hambadiliki kwa nyie viongozi. Mkirudi mnaendelea na yaleyale tu ya ufisadi na dhuluma kwa wananchi wenu.
@suleimankombo1743Ай бұрын
Uislam ni dini ya ALLAH, dini ya HAKKI dini ya KIPEKEE sana.
@HAPPYSULEАй бұрын
Huko nijoto Sana au vipi? Mbona hakuna shati Wala nguo ya juu?
@salmahalfani6307Ай бұрын
Hio ni Sheria kwa wanaume. Lake ni unawaona wanawake wamejistiri vizuri tu.
@AndulHida-hs5pyАй бұрын
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri, mola Awakubaliye mahujaji wote hijja maqbuli inshaallah
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Allahu Akibarr. Allah awakubalie maumbiyenu nasipia mtuombee Dua tujekuhiji. Amyn😢
@user-hj4sy9fy4gАй бұрын
Huko wote ni watakatifu ee ! Yupo huko tu ee! Au ni utalii tu ! Kama mumefika kwa Mola, mwarudije tena makwenu ! Mie nikijafika huko, labda nirudishwe kwa kukotwa na jibrekidauni tani 100 ! Hongere ni sana !
@ZubaibaАй бұрын
Mashaallah ❤❤
@gamarmahsan8254Ай бұрын
اللهم صل وسليم عليه
@gamarmahsan8254Ай бұрын
Amiiin yaarab
@OsmanMussa-ry6mhАй бұрын
Yaaallah nijaalie mm na waislm wengn kwend hij
@hamilhashir4452Ай бұрын
Masha Allah hahahahaaaa
@alikibwana4657Ай бұрын
Basi pia Allah atupe uwezo wakuhiji inshaAllah
@NoraKedirАй бұрын
Manshaallah tabarakallah ❤❤🎉
@hassanmakameАй бұрын
Hajj MABRUR...
@martinkisha6307Ай бұрын
Kumbe Mohamad ni mfu alikufa yuko kaburini mtuandikie history yake tumujue
@AllybinamourАй бұрын
ahsanten mahujaji kwa darsa mlotupa allah atakabal hijja yenu
@ramadhanmahongole9293Ай бұрын
Niamini Imani ni kitu kibaya sana
@SaumuHamadi-gk4byАй бұрын
Nakuomba allah nijaliye mm na familiya yangu utujaliye mwishoo wa uhaii wangu tuwe tushafika makka na Madina na piya kufanya ziayara ya kaburi la mtume muhaamadd s,w,a na rafiki zake
@barutiabuu9492Ай бұрын
Subhana llah allah atujalie some ishallah tufike hija ishallah
@mamitomamita6284Ай бұрын
MASHAALLAH TABARAKA ALLAH SHEIKH ANAELEZA KWA MAKINI