Tumefaidika vya kutosha, nafikiri mngetuekea link tuione documentary yenyewe, shukran
@bindawood978Күн бұрын
Mamaake Aida na Adila
@user-iw2kk4mw5m2 күн бұрын
Lazindua
@ecologicaltourskenya4462 күн бұрын
Mashallah sxeikh mutta, you have open my eyes, thanks to ghassani to !
@theteacherchance67502 күн бұрын
Yananitoka machozi nishavyopotezwa mimi Wameshanifanya chizi wamenikata ulimi Sie mimi wa hirizi si wa teke si wa ngumi N'shazubazwa
@King_Of_Everything3 күн бұрын
👊✌️👍.
@user-bl6xy3cy9w4 күн бұрын
O matamu
@user-bl6xy3cy9w4 күн бұрын
Shukran
@MohdRashid-qq6js5 күн бұрын
Alikuwa humble, wengi tunakosea tuangalie mwisho wake
@amesaleh68246 күн бұрын
MashaAllah ndugu yangu
@a.8566 күн бұрын
Jazakallah khayran
@theteacherchance67506 күн бұрын
Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
@rayasaid37347 күн бұрын
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
@hassankhamis3447 күн бұрын
Nasra juma
@TheTarabist8 күн бұрын
BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.
@TheTarabist8 күн бұрын
Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.
@fatmasayid88958 күн бұрын
Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya
@mohammedrashid29068 күн бұрын
Ahsante
@laylayahya248 күн бұрын
Bismillah Masha Allah
@rumesibarka53128 күн бұрын
Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa
@KassimYakout8 күн бұрын
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo
@bahrynbahry11388 күн бұрын
Na Ana ana do
@bahrynbahry11388 күн бұрын
Na kinyuri kinyuri aliejuu na arushee😂
@maryamabdullah91698 күн бұрын
Mashaaallah
@muhammedameir35828 күн бұрын
Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.
@fatimasaid94699 күн бұрын
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
@yanyikawaterwelltanzania96009 күн бұрын
MashAllah,
@hamadrajab80429 күн бұрын
Mashallah, tabaarakallah
@MassoudMaghwaly-jo8sh9 күн бұрын
Nice❤
@salyali78079 күн бұрын
Wapi tutaiona film
@NuruJuma-zv3yz9 күн бұрын
Hivi uko na mtoto huku Bara? Anayetukana Wana zuoni? Hakika mnafanana naye sana
@AliAbdalla-lb8su11 күн бұрын
Huyu ni kiongozi wa mfano kabisa
@salyali780712 күн бұрын
OMO is an asset for zanzibarians lakini penye miti hakuna wajenzi
@walterngowi583512 күн бұрын
Haya machotara yanataman kweli waarabu warudi Zenji kama xix tunavoitaks Tanganyika yetu Kwa udi na uvumba 😎😎
@mbukumagiubukumagu40612 күн бұрын
Jamaa yupo vizuri sana nampenda sana kusimkiliza.
@ZuenaSharifu12 күн бұрын
Rais wangu 2025
@omarkb677512 күн бұрын
Mtu kma huyu anazaliwa kila baada ya miaka 50 heshima kwako fundi mkuu
@allyalially496314 күн бұрын
Unatufaa kuwa rais wetu
@arafaamour795214 күн бұрын
Uwapi kake uwapiiii😅
@GumzolaGhassani14 күн бұрын
Niwapo papo mulipo.
@Bintkilabe14 күн бұрын
Thanks comrade.....that is an apostolic philosophy.....vivaaaa
@omarhusna176614 күн бұрын
Tanzania or zanzibar muheshimiwa
@femksenkoro373915 күн бұрын
Huu muhadhara ulitakiwa utolewe katika vyuo vikuu vya Afrika ya Mashariki.
@mangofish907915 күн бұрын
Hii interview ni ya zamani kidogo sio mpya kama sikosei
@RashidAli-rn3ro12 күн бұрын
C ya zaman hpo tyr ashakua MWENYEKÌTI taìfa ACT
@salyali780715 күн бұрын
Mashaallah Mh Othman.. May Allah akuhifadhi ... utuvushie jahazi letu tufikie zanzibar kamili ... Allahumma ameen Allahumma ameen
@buchbeats533715 күн бұрын
Diaspora Zanzibar kutamu Ishllh ACT ichukue nchi
@w405815 күн бұрын
Hatuwezi kuwa na mapenzi makubwa kwa na kwetu mpaka mtukubalie raia pacha nyengine hamtaweza kututambuwa
@w405815 күн бұрын
Tunaweka wazi ni siasa tu hakuna chengine wanajaza jamaa zao wenyewe uccm umekithiri
@theteacherchance675015 күн бұрын
Wa N'zambarau-Takao wan'kutana, ela vichwa vyao vin'jaa pomoni