Рет қаралды 128,580
Mwandishi wa habari za kiuchunguzi wa Tanzania anayeishi nchini Uingereza, Erick Kabendera, amechapisha hadithi ya maisha yake akisimulia mateso aliyopitia na waliyopitia maelfu ya watu wakati wa miaka sita ya utawala wa Marehamu Rais John Magufuli. Kitabu hicho kwa jina IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST" kinapatikana kwenye duka la mtandaoni la Amazon.
www.amazon.com...