Roho ya umasikini hii ,na kila kitu kizuri kita kukwepa na pia ni changamoto ya kindoa Omba sana
@annachachage4931Күн бұрын
YESU KRISTO Atukuzwe,kwa kukusafisha salama
@irenemwanri3023Күн бұрын
Amen
@AweMagdalenaКүн бұрын
Nini maana ya ndoto nalishwa mifupa mikavu iliyobabuliwa kwa moto na mfanyaka mwenzangu
@AgnesStephano-u9dКүн бұрын
Shalom mtumishi samahani nataka kujua maana ya ndoto hii nilikuwa njiani nitaanza kumchapa mtoto wa dada yangu pamoja na mdogo wangu nikawajeruhi Sana na nilitumia fimbo kuwachapa na pasipo na sababu naotwa agness nipo temeke
@user-rr2jb6jj4sКүн бұрын
Mtumishi Mimi naota mume wangu tuliachana naye kuwa ananifuatafuata halafu huyu tulikuwa tunaishi naye lakini kupigana Kila siku mbaka nikatoroka Bado kafuata kuniambia ataniua Bado aliniumiza
@ClementinaUrassaКүн бұрын
Sifa utukufu tunampa yeye alie juu kukutunza katika safari baba
@JescaDeogratiasКүн бұрын
😢amina baba jakilini kutoka dodoma kweli baba nimeota naendeasha baiskeri lakini baba Barbara ilikua imejaa magari nikapita kwenye nyumba ya mtu nikawaomba kupita ili niendelee na safali
@irenemilau2946Күн бұрын
Glory to God...welcome back
@هايلينلКүн бұрын
Irene shalom shalom Baba, mungu ni mwema, nashukuru umefika home vyema
@edinahmoraamageto7344Күн бұрын
Mtumishi, nimeota nikiwa mahali tukiwa wawili lakini hapo mahali tulikua tutoke lakini mtu nilikua naye Kuna mtu alikua anamsuhia tusiende na alikua anamsidi nguvu Hila Mimi nilikua na mtu alikua na nguvu kuliko huyo alikua anamzuhia tusiende lakini nilifinyia huyo wangu jicho akashika huyo mtu alikua anamsuhia huyu mwingine na tukatika Hila tukiwa njiani yule mtu wangu akaona tumeenda mbali akaajilia yule mtu, akatufuata akatufukia na akamkalia huyu mwanzangu akaanza kumpiga nikienda kumtoa asimpige akataka kunituma na meno akiwa ameniwekea mdomo Kwa mabega aniume nikaamka na nikashtuka sana lakini hakufaulu kuniuma
@iqrahiqrah377Күн бұрын
Habari Rev. Mie nimeota tumeonana ukanisalimia ukamuulizia baba angu nikakwambia alikufa kwa sukari ukaniambia ulijua tu maana kuna namba nilikwambia nikawa nakwambia naijiwa sana na namba 111 ndo nikaamka bt so heartbroken
@ruthouma9449Күн бұрын
Tena pia aliota anpigana na step brother wake alikuwa anampigana naye na chupa ..
@ruthouma9449Күн бұрын
Baba asifiwe yesu baba Mume wangu aliota ananipiga kwa ndoto sana
@revpeternjihiaКүн бұрын
Kuta inuka ja kuinuka changamoto kati yenu.
@JoanpetershayoPetershayoКүн бұрын
Nikaota tena ndoto napanda mlima ila naleteza nakunguka kisha nafanikiwa kupanda mlima
@JoanpetershayoPetershayoКүн бұрын
Mm nimeota matunda yaliyoivaa nachuma juu ya mti
@paschalsamsagala9739Күн бұрын
Bwana yesu Asifiwe Mtumishi wa Mungu naliota napita njiani kisha nikaona simba mkubwa sana anakuja kisha nikaona watoto wakanizunguka weeengi sana nikawa katkat yao yule simba akafunga macho akaondoka
@اسيلالعنزي-ذ8حКүн бұрын
Amen nmeota mm namke mwenza tuko namimba
@ReginaAndrea-e4u2 күн бұрын
Amen 🙏 🙏 izo ninazo kweli
@prosahkristina7572 күн бұрын
Amen
@WitnessChrisant2 күн бұрын
Shalom mtumishi
@CatherineNgosso2 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu...mimi nmeota chuon kwetu nyuki wanatungata wanafunz na malecture na nmepewa SUSPENSION chuon kwangu hii inamaanisha nn
@veronicaadhiambo-gx1yk2 күн бұрын
Ameen
@JacklineMushi-o8g2 күн бұрын
Shalom mtumishi wa mungu Mimi ni Jacklin mushi nipo Tanzania nimeota ninachambua mboga za majani na baada ya hapo nikaziamdaa na viungo tayari kupika nikapika nilipogeuza mboga na mwiko nikamwona nyoka wa kijani ndani ya sufuria jikoni mboga inatokota akatokea kijana wangu wa kanisani amechukua yule nyoka kwa sufuria akataka kunilisha kwa nguvu nikamkataa nikashtuka asubui
@Nyachama2 күн бұрын
mtumishi wa mungu,nimeota kakangu akipigana na dadangu aliye kufa,alafu walikua wanapigana juu ya mchele uliopikwa, kisha nikaona ndenge nisiye mjua mweupe ametoka kwenye kakangu alikua amemufungia kisha katoeka,katika Ali iyo kakangu akawa ananingombanisaha ni kwanini nimemfungulia yule ndenge,kisha tukatoka inje kwenda kumtafuta,tukiwa katika ile Ali ya kumtafuta yule ndege,tukakutana na ndege mweupe aliechomwa na jua kalibia kufu,nikamchukua yule ndege ili nimsaidie asife,kusonga kidogo tukakutana na mtu alie umwa na nyoka amekalibia kufa,mimi nikamchukua nikaaza kumusaidia yule mtu akawa sawa,nabii wa mungu tafadali naomba nijue manake ni nini
@vandyjavol96282 күн бұрын
Vipi kama unakula njugu karanga na mtu alieaga dunia na anakuambia kula tu usijali!
@GraceLeonidas2 күн бұрын
Amen
@AlaphatSophia2 күн бұрын
Samahan mtu mishi naitaji msaada wako wa maomb
@AlaphatSophia2 күн бұрын
Samahan bwana yesu asifwe mm niota ngombe wapo wengi mmoja akawa ananifata