MAONESHO YA NANE NANE
0:59
14 күн бұрын
KIJIWE MCHONGO S01 E02 - UMOJA FUND
8:34
UTT AMIS - COMORO
1:13
21 күн бұрын
JINSI YA KUFUNGUA AKAUNTI
1:23
21 күн бұрын
MFUKO WA JIKIMU (JIKIMU FUND)
4:24
MFUKO WA UMOJA (UMOJA FUND)
7:23
MFUKO WA WATOTO (WATOTO FUND)
5:33
TUPO TAYARI KUKUSIKILIZA
0:16
Ай бұрын
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
Mfano wa Jedwali la Kuwekeza
1:47
JINSI YA KUWEKEZA NA UTT AMIS
1:18
Пікірлер
@Sempchannel
@Sempchannel 7 күн бұрын
Lazima niende CRDB, NMB haiwezekani?
@uttamiss
@uttamiss 7 күн бұрын
Habari, unaweza kuwekeza na NMB.
@romstatistics2194
@romstatistics2194 9 күн бұрын
Ninaomba mtembelee ma vyuoni!
@romstatistics2194
@romstatistics2194 9 күн бұрын
Aisee nimependa sana hii idea, endeleni kupga KAZI
@kjb_user0077
@kjb_user0077 9 күн бұрын
Mmechelewa sana Utt Amis kutoa elimu kama Kwa public..maana mpk Sasa ingekuwa na followers wengi sana
@BOASHAURI.09
@BOASHAURI.09 9 күн бұрын
Dodoma Hamji
@kelvinkileo-v3j
@kelvinkileo-v3j 14 күн бұрын
Nitajuaje nimekamikisha usajili kwa usahihi?? Kwanini mtu akijaza form na nyie mkishaipokea na kuhakiki kwanini msimtumie sms kua amekamilisha usajili ili mtu awe na uhakika
@kelvinkileo-v3j
@kelvinkileo-v3j 14 күн бұрын
Nitajuaje kama nimekamilisha usajilii na nimeukamikisha kwa usahihi??? Kwanini mtu akikamilisha usajili kwa kujaza form msimjulishe kwa sms au kwa namna yoyote ile?
@BOASHAURI.09
@BOASHAURI.09 14 күн бұрын
Kazi nzuri 🙏
@Aviero_07
@Aviero_07 15 күн бұрын
Appreciate, brother ally 🙏 hii ni kubwa kuliko 🙌
@uttamiss
@uttamiss 15 күн бұрын
@@Aviero_07 karibu UTT AMIS
@user-zc9uv6ri5b
@user-zc9uv6ri5b 15 күн бұрын
Je kama sina vitambulisho hivyo ulivyo vitaja swezi kufungua utt?
@uttamiss
@uttamiss 15 күн бұрын
@@user-zc9uv6ri5b unaweza kufungua akaunti bonyeza *150*82#
@aishaomar3298
@aishaomar3298 16 күн бұрын
Tunasubiria uje zanzibar
@uttamiss
@uttamiss 15 күн бұрын
@@aishaomar3298 Habari, Zanzibar tunaofisi tayari.
@magemathingo3997
@magemathingo3997 17 күн бұрын
Jaman mm nna shida ya kutoa ela kwenye mfuko wa umoja na kupeleka kwenye mfuko wa ukwasi mnanisaidiaje
@Aviero_07
@Aviero_07 23 күн бұрын
Finally uzeeni
@uttamiss
@uttamiss 22 күн бұрын
💯
@BOASHAURI.09
@BOASHAURI.09 23 күн бұрын
Naifaham naombeni elimu iende hadi chuoni ili wanachuo wawekeze bum
@uttamiss
@uttamiss 22 күн бұрын
Tutalifanyia kazi.
@salvatorybakilana2378
@salvatorybakilana2378 25 күн бұрын
Nina app natoaje gawio
@uttamiss
@uttamiss 25 күн бұрын
Kwenye fomu zetu kuna sehemu ya kuweka tiki ikiwa unataka gawio lako kila mwezi au kila baada ya miezi 6 kwa mfuko wa Bond, kwenye App utaona gawio hilo ikiwa limekuza mtaji au kutolewa tu. na Gawio ikiwa litatoka litaingia katika benki akaunti yako uliyotujazia kwenye fomu.
@salvatorybakilana2378
@salvatorybakilana2378 25 күн бұрын
Unachukuaje gawio lako
@uttamiss
@uttamiss 25 күн бұрын
Kwenye fomu zetu kuna sehemu ya kuweka tiki ikiwa unataka gawio lako kila mwezi au kila baada ya miezi 6 kwa mfuko wa Bond, kwenye App utaona gawio hilo ikiwa limekuza mtaji au kutolewa tu. na Gawio ikiwa litatoka litaingia katika benki akaunti yako uliyotujazia kwenye fomu.
@salvatorybakilana2378
@salvatorybakilana2378 25 күн бұрын
@@uttamiss nilijaza kupata gawio kila mwezi ila na naona imeongezea łąki 2 lakini hakuna kitu kimeingia kwenye account yangu
@magrethzakaria7659
@magrethzakaria7659 26 күн бұрын
Ukienda crdb utakutana na watoa huduma wa Utt na wanatoa elimu kuhusu hii mifuko?
@uttamiss
@uttamiss 7 күн бұрын
Ndiyo.
@BOASHAURI.09
@BOASHAURI.09 26 күн бұрын
❤❤❤❤
@Aviero_07
@Aviero_07 Ай бұрын
Big up hii nimeipenda.. good idea.. Each one Teach one 🙌 UTT amis 🔥🔥
@uttamiss
@uttamiss 25 күн бұрын
Karibu UTT AMIS.
@user-wl9ry9tk7p
@user-wl9ry9tk7p Ай бұрын
Inahuzunisha sana kuona vijana na watu wengi hatujui wala hatuchunguzi kwa kina michongo ya maana kama hii badala yake tumeishia kuwekeza katika kuangalia mimovie, miziki ya kipuuzi na mapicha picha ya ajabu ajabu mara kununua mafuta na maji eti ya upako kwa manabii, kujua majina ya wachezaji, ushabiki wa mechi za mpira, kubeti na kuangalia season za kwenye TV yaaani mh! Kimbia UMASIKINI wekezeni huku UTT AMIS, "Mshirika hakika katika uwekezaji" huku tunajidai na Interest rate za kuanzia 12%.....benki gani au nani anayethubutu kutoa riba kama hii kwa mwaka? Hapo hatujaongelea ajabu la 8 la Dunia" COMPAUND INTEREST" kama umejielewa nipe like na tukutane ofisi za UTT AMIS Dar Sukari house, Mwanza Nyamagana jengo la NSSF gorofa Mezanine n.k "STUKA" amkeni kutoka usingizini aisee!
@othumntz6953
@othumntz6953 Ай бұрын
Nawapata vizuri sana
@uttamiss
@uttamiss 25 күн бұрын
Karibu UTT AMIS.
@ZinadiniMmou
@ZinadiniMmou Ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa " vipande" hii imekaaje maana nashindwa kuelewa vizuri.
@user-wl9ry9tk7p
@user-wl9ry9tk7p Ай бұрын
Amin, Amin nawaambia; Hizi ndo habari za kusikiliza for the better 2morrow. "Mshirika hakika ktk uwekezaji"
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Karibu UTT AMIS.
@othumntz6953
@othumntz6953 Ай бұрын
Aise vizuri sana nafanya mpango nakuja kuwekeza
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Karibu sana.
@Elikiyosaki_
@Elikiyosaki_ 26 күн бұрын
Make fast vipande vinakuwa value kila siku
@user-wl9ry9tk7p
@user-wl9ry9tk7p Ай бұрын
Ni mfuko upi kati ya hiyo 6 una Compaund intetest ??????
@user-wl9ry9tk7p
@user-wl9ry9tk7p Ай бұрын
Tunaojua umuhimu wa hii kitu tumewahi na naombeni like zenu aisee
@songweairport7602
@songweairport7602 Ай бұрын
AISEE MAELEZO MAZURI SANAAAAAAAAAA
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Karibu UTT AMIS.
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l Ай бұрын
Naomba kuuliza kila siku napewa kiasi flani cha hela kwenye bond fund je na mwisho wa mwezi ntapewa gawio
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
SIFA ZA MFUKO Habari, Mfuko wa Bond Fund unatoa machaguo matatu ya uwekezaji kama ifuatavyo; (a) TZS. 50,000 kwa mpango wa kukuza mtaji; (b) TZS. 10,000,000 kwa mpango wa gawio kila mwezi; na (c) TZS. 5,000,000 kwa mpango wa gawio kila baada ya miezi sita. Kiwango cha chini cha nyongeza katika uwekezaji ni TZS. 5,000 kwa mipango yote ya uwekezaji.
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
ikiwa utachagua mpango wa kukuza mtaji mwisho wa mwezi gawio ulilotakiwa kupata litawekwa kwenye mtaji wako. Kumbuka: Gawio ni sehemu ya Faida
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l Ай бұрын
@@uttamiss nilikua wapi mimi jmn 🙏
@johnstonemwesiga236
@johnstonemwesiga236 Ай бұрын
@@uttamiss ni kiasi gani cha gawio kinachotolewa?
@uttamiss
@uttamiss 15 күн бұрын
@@johnstonemwesiga236 Ni asilimia 1% kwa mwezi lakini Hatutakupatia yote mfano; ikiwa utaweka 10M leo kwa mwezi utapokea 87,000 kila mwezi kwa muda wote mpaka utakapoongeza pesa lakini kiwango kingine kilichobaki kutimia 100,000 kitaenda kukuza mtaji.
@gaiadgets8913
@gaiadgets8913 Ай бұрын
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 Ай бұрын
👏👏👏🙏🙏🙏🙏....UTT Mshirika hakika katika uwekezaji.
@boniphacegervas8118
@boniphacegervas8118 Ай бұрын
Kwanini hapo kwenye verification msifanye kama walivyo fanya DSE , weken sehem ya mtu kuweka no ya nida ili taarifa ziji update zenyewe maana kila no ya nida iko na picha
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
habari, Asante kwa mpendekezo tumepokea.
@GraceNkondola
@GraceNkondola Ай бұрын
🎉
@estergasper
@estergasper Ай бұрын
❤❤❤
@mkiramwenitv6948
@mkiramwenitv6948 Ай бұрын
🎉
@komboratz
@komboratz Ай бұрын
Naomba kujua kati ya mfuko ukwasi na bond upi mzuri zaidi
@mkiramwenitv6948
@mkiramwenitv6948 Ай бұрын
Yote Ni Mifuko Bora Na Mizuri Mnooo, Naona Katika UTT ni Moja Ya Mifuko Imara Na Bora, Ila Inautofauti Mdogo Sana, Maana Kwenye Bond Tunazungumzia Dhamani Za Serekali, But Kwenye UKWASI hapo pesa ikiingia inaenda kuwekezwa kwenye Dhamani, Mabank Na Makampuni, So Bond Inabezi kwenye Hatifungani tu za Serekali(Dhaman?, Kwa uelewa wangu,
@mosescompany5913
@mosescompany5913 Ай бұрын
💯..
@Aviero_07
@Aviero_07 Ай бұрын
I'm 24 now 📈
@mwanamakahaji240
@mwanamakahaji240 2 ай бұрын
Nambari ya simu haipokelewi nina shida kila siku nasubirishwa sijawahi kupokelewa simu mpaka sasa nina shida ya app siipati ile ya kuonyesha account
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Habari, Pole kwa changamoto.
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Tafadhali tumia msimbo wa *150*82# kupata Huduma hiyo.
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 5 ай бұрын
Utt oye
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Karibu UTT AMIS.
@catherinegideon4689
@catherinegideon4689 6 ай бұрын
Mm nimependa hii presentation Ila nashauri uoneshe ukuaji kwa kila mfuko
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Asante, Tumelipokea.
@AmaniMacha
@AmaniMacha 7 ай бұрын
App haifunguki inaleta error kila masaa
@uttamiss
@uttamiss 7 ай бұрын
Tipigie simu 0800 11 20 20 au tuandikie barua pepe [email protected], kwenye barua pepe usisahau kuweka namba yako ya simu na namba yako ya uwekezaji.
@franciscathadei2045
@franciscathadei2045 9 ай бұрын
Jinsi ya kudeposit kwny simu
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
habari, unatumia mtandao gani ?
@kaundimemwinyi6644
@kaundimemwinyi6644 Жыл бұрын
Naomba form
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
habari, Tafadhali ingia kwenye website yetu www.uttamis.co.tz kupata fomu hiyo
@vincentlaizer
@vincentlaizer Жыл бұрын
Mkitoa na video inayoelekeza jinsi ya kuuza vipande ingekua vizuri zaidi.
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Habari, Tunalifanyia kazi. utaiona video hiyo
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@uttamiss
@uttamiss Ай бұрын
Asante