Hapa ni mahali pekee ambapo Wakristo na Waislamu wameungana duniani ndiyo maana Wayahudi wanakosa nguvu. Humo ndani ya huo ukuta kuna Al Aqsa na Kanisa pia. Kujenga hekalu wanapaswa kubomoa huo Msikiti na Kanisa sasa inakuwa ngumu kwao. Kumbuka Wayahudi ni wenye uchumi wa dunia na viranja wao ni Wakristo wa Magharibi. Je wanawezake kuwakasirisha viranja wao kwa kuvunja Kanisa? In fact Ukristo ndiyo unaozuia Dome of the rock isivunjwe kwa kuwa ikivunjwa basi na Kanisa litavunjwa kwa sababu ileile ya kuvunjwa Msikiti
@fadhilngalanda752022 сағат бұрын
Huyu ni muongo kabisa kama we ni mchungaji unawalisha wahumini wako matango poli hufawi haswaa hiyo history huijuwi hata yaan umepuyangaaaa haswa dom of the rock inamilikiwa na Wayahudi masjid Aqsa inamilikiwa na Waislam wewe ni muongo tena MUONGO MUONGOOOOOOOOOOOOOO
@lukabekatundu8136Күн бұрын
Leo kuoa dada mzungu amekataza. Wewe umeoa dada yako?
@lukabekatundu8136Күн бұрын
Sio neno la mungu . Ni neno la mzungu. Umelipwa kiasi gan? Cha vipande? Wewe umeoa dada yako? Tuambie dogo
@alikerupenjiКүн бұрын
Hawakukosa nguvu, lakini wanangoja nyakati ya ELOHIM wao.
@SadatiDauda2 күн бұрын
Acha ujinga wako wewe ujui lolote.
@ArbertMhando2 күн бұрын
Tafsiri ya kwanza ya biblia kutoka kiingereza kija kiswahili ilifanyika zanzibar.mazingira ambayo ni ya kiislamu.kwa hiyo wafasili walitafsiri, sinagogi ni msikiti wa wayahudi ili waeleweke katika mazingira ya waislamu.
@jojosky3372 күн бұрын
Siku utakao bomolewa huo msikiti ndio kurudi kwa kristo❤
@sarahabdullatif85562 күн бұрын
Naendelea kujifunza kitu kumbe waisilamu mambo yao niyakuiga barikiwa
@CostaNashon3 күн бұрын
Kama nisehem Mungu alio iandaa kujengwa hekalu lake na ilikuwa ni chaguo lake mwenyewe Mungu litajengwa tena
@chuimokua45783 күн бұрын
Imekuwa je wengine kwenda kwenye hekalu takatifu na kutoa kafara ya nguruwe!!!!
@andrewkundya73243 күн бұрын
Msikiti wa Al -aqsa unaanzaje kuwa Hekalu la Suleimani wakati ulijengwa karne ya 7 yaani miaka ya 800s hivi tangu kuondoka kwa Kristo au miaka takribani 200s tangu kuondoka kwa Prophet Muhammad???.....acheni kudanganya watu...someni history vzuri
@SirajiThadeo3 күн бұрын
Mgekua mnamungu wa kweli wakristo mgejida mana ata kanisa yesu kaondoka halijui kifupi nyote hamna mungu hata wasilamu magumashi
@fadhilngalanda752022 сағат бұрын
Myahudi umetishaaaa 😂😂😂😂
@ZimamMbaruk3 күн бұрын
Jiulize wewe kwanza ni kwanini Mayahudi wanashindwa kuuvunja huo Msikiti wa Alaksa? Kama eneo hilo nilao?,
@mohdseif24593 күн бұрын
Nabii Suleiman hakua yahudi alikua mwana wa israil na alikua muislamu Mkumbuke kwamba uyahudi ni dini sio kabila wala utaifa
@mustafamsati95993 күн бұрын
Munahangaika tu kwani waliovunja hekalu si niwaroma ? Walipovamia ila wapaahindwa sindowatu wakajenga msikiti wakaendelea kumuabudu mungu au munazan waroma walikimbianini na kuwacha akina poul na luka wazuie ibada zisifanyike si imeandikwa kwenye biblia kua poul alikua akivamia misikiti na kuwapiga bakora waimini?
@abdulhamidnjovu60313 күн бұрын
Msikiti wa Al Aqsa na the Dome of the Rock ni vitu viwili tofauti. Msikiti wa Al Aqsa una 'dome' lenye rangi ya kijivu na lipo pembezoni mwa ukuta.
@AndondileKaliboti3 күн бұрын
Yaani Africa ndio chimbuko la uzao wote ulimwenguni kuliko hata wazungu wenyewe wanaotuda ndanya kwa vitu nyao wannaotupa hata Israeli kimwili walikuwa ni watu weusi na sio wazungu biblia Iko wazi hata yesu kristo alikuwa ni mweusi na sio mzungu biblia Iko wazi
@mfalmenjozi89023 күн бұрын
Aqsa zipo mbili kuna ile suleyman ya pili msikiti wa qubar ambao lenye tungi la dhahabu
@mfalmenjozi89023 күн бұрын
Ukristo asili yake roma na muanzirishi ni paulo na paulo ni mroma kabra ya ukristo ukristo hakukuwepo wala yesu akuanzisha ukristo agano la kale akuna ukristo umeanza kuligana kwa agano jipya
@amossluluta72532 күн бұрын
Wewe ndugu yaani ni zero Paulo mroma? Hahahaa umekaririswa ila hujasoma
@mfalmenjozi89023 күн бұрын
Suleyman sio mkristo wala sio myahudi wa kidini suleyam alikuwa a mwislamu msikiti wa aqsa ulikwepo toka enzi ya suleyman mwenyewe nyinyi wakristo nendeni kwenu uko ulaya roma ndio kwenye makao makuu ya ukristo duniani sio uwarabuni thenanyou hapa mamlaka juu ya jumba la mfalme suleyman
@YasirAbdi-b1f3 күн бұрын
wewe acha uongo wewe umeona wapi mtu Muhammad kukutana na mtume Ibrahim hata hizo ni hadithi zako kutoka kichwani mwako quran haisemi hivyo so acha uwongo kasome quran ndipo ushiwishi watu upuuzi 😂
@RashidiNgabuja3 күн бұрын
We mjinga muongo mpk unaboooa Kasoma history vizur OTTOMAN empire utajua ukweli ktk hii dunia unabwabwajaaa
@islamjuma55574 күн бұрын
wewe taarifa hii umeipata wapi? hadithi hii unayoitoa umetoa kwenye vitabu gani? sasa ngoja nikwambie ukweli hapo kwenye msikiti Hilo eneo lilikua shamba la mtu WAKATI huo, m/mungu akamwambia nabii ibrahimu aende akanunue like shamba na ajenge msikiti ndio asili yake na ndio maana m/mungu katika quraani m/mungu alimpeleka mtume muhamadi ndio akapandishwa mbinguni akapewa swala. usipotoshe watu tupe ushahidi wa maandiko kitabu gani kinasibitisha hayo unayoyasema.
@ShabaniRashidi-d2v4 күн бұрын
Wayahudi wa walioiishi enzi za mitume wa mungu walikuwa waislam ndio mana waliingia kwenye masinagogi walivua viatu walitawadha na kusujudu,ata yesu aliingia kwenye sinagogi (msikiti)alitawadhisha wanafunzi wake alisujudu,na mitume wote wa mungu ADAM mpaka MUHAMMAD S.A.W,walikuwa waislam ,tatizo linakuja alipoondoka yesu ndipo pakaanzishwa ukristo na kanisa uko antiokia uturuki matendo 11.26,wakaficha injili ya ukweli ya issa wakaandika biblia ya kina matayo,yohana nk
@andrewkundya73243 күн бұрын
Hoja dhaifu sana hii kaka....hata wachina na kuna baadhi ya waabudu sanamu huko India wanavua viatu kwenye temple zao
@ShabaniRashidi-d2v3 күн бұрын
@andrewkundya7324 toa andiko yesu anasema ukristo ni dini ya mungu au andiko yesu aliingia kanisani
@KajoleKandala4 күн бұрын
Wanadamu ubadilika kulingana na mazingira
@AsiaAsi-s3u4 күн бұрын
Yaani wewe mtu wa ajabu unawahadisia watu kitu hujui
@Shabanisungi-k9u4 күн бұрын
Mbona zamani kulikuwa na sinagogi ambayo ni misikiti na mnadai kuwa ukiristo umeamza kwa yesu vip mkanisa yawepo
@AsiaAsi-s3u4 күн бұрын
Jizo history kajifunze kwa waislamu walio hifadhi qur an,wewe hajui ila wakristo wanaona upo sawa kwakuwa hawasomi
@Shabanisungi-k9u4 күн бұрын
Acha uongo
@AsiaAsi-s3u4 күн бұрын
Wewe mpuuzi kweli hujui chochote ila umekariri bible
@sarahabdullatif85564 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@lilhydon4524 күн бұрын
Daaa aisee wewe Rabi nilikua nakutafuta sana umenifundisha Mengi mno 😢
@lilhydon4524 күн бұрын
Hizi ni Hadith za mtu Muhammad na maswahaba wake 😂😂😂
@lilhydon4524 күн бұрын
Natamani makafiri wa kiislam wakusikilize 😢
@alhabibmustwafa4 күн бұрын
hio sehemu imetajwa saaan kwa quran,,kua ni sehemu tktifu,,,so hizo ndoto zako nizauongo..s waelewa waislamub hawawezi ruhusu huo,,,ujinga,,,,alfu ujue tofauti ya yerusalem na palestina,,,,hizo n town mbili tofauti
@assateke71994 күн бұрын
Kama waislam hawakujenga kwa kupigana na kuua ina maana walipata kibali kutoka kwa Mungu. Kutumia nguvu kurudisha baraka iliyopelekwa kwa mwengine ni sawa na kutafuta laana tu. Mungu umpa amtakae na umnyima amtakae. "Tumeumbwa tushindane ktk heri"... Ya hii dunia yatapita lkn sio matendo yetu.
@shemsaUmmuFawzaan1234 күн бұрын
Acha uongo wew Mbona hujaonesha msikiti ulifika je hapo ? Wacha uongo wew Wacha kubuni stori za uongo
@samwelmushi61624 күн бұрын
Inajulikana hiyo historia na inajulikana kuwa huo msikiti utabomolewa kama mtu akibisha na abishe
@zikirination67694 күн бұрын
Mpk unakata moto hakuna mtu anaweza bomoa man😂
@adamissa6972Күн бұрын
Kweli kaka@@zikirination6769
@fadhilngalanda752022 сағат бұрын
Hapo ndio paliposemwa halitodondoshwa jiwe juu ya jiwe
@JabirMfaume-g9y4 күн бұрын
Matamshi hovyo kabisa sio 🔐 ni rock...
@mgosimkulu664 күн бұрын
Kabla ya hapo hao Wapalestina walikuwa wapi?
@AsiaAsi-s3u4 күн бұрын
Hajuwi
@GhamalukuSalma4 күн бұрын
Mungu akuongoze. Kila siku tunaokusikiliza tupate kuelewa
@GhamalukuSalma4 күн бұрын
Nimefahamu mungu akubariki azidi kukufunulia ufunuo wake
@salminisaleh92494 күн бұрын
Yani Wewe Hata Uweke Viporo Hizo Mada Huna Unachojua Unakuja Kuwalisha Matango Pori Tu Watu
@Hussein-gx4qu4 күн бұрын
Acha uongo kwanza huo msikiti unaouonyesha sio msikiti wa al aqasa msikiti wa al.aksa hauna paa la njano wenyewe ni ule wenye paa la kijani uko jirani na huo hapo lakini huo sio hilo unalotuonyesha ndio linaitwa the don of the lock huo unaitwa msikiti wa omary na sio msikiti wa al aksa acha propanganda za uongo shenzi wewe
@Hussein-gx4qu4 күн бұрын
Huyu jamaa ni muongo hadi hata mjinga anajua kuwa ni muongo kwanza hata kiswahili chenyewe hajui yaani huyu hana anachokijua we unafikili mtume aliwambia tu nimepelekwa masjid aqasa watu wakamkubalia tu kirahisi walimuuliza maswali kama kweli umepelekwa kule twambie huo msikiti una milango mingapi na madilisha mangapi ? Na akawajibu kila kitu jinsi huo msikiti ulivyo na watu wakamwambia swadakta umepatia sasa nakuuliza wewe unijibu kama kweli huo msikiti ulikuwa haupo waliwezaje kumwambia mtume kuwa amejibu sawa sawa ?