Masalaf. Mnaishi kishabiki sana, mbina naona kama mmetumwa na mayahudi, mnaturibia uislam maana yake nisalama
@OmarSalum-y9c8 сағат бұрын
Basi c ungemskiliza
@OmarSalum-y9c8 сағат бұрын
Yasije kua ya muhammad mafuta ayo unayoyasema
@mrmahmoud12789 сағат бұрын
msisahau kua waislamu wote duniani ni bidaa isipokua masalafi😂😂
@SonofJacol-t6h3 сағат бұрын
Usisahau pia kila Bidaa ni upotevu na kila upotevu mwisho ni Motoni km alivyosema Mtume ﷺ. Zingatia: Wanaokusudiwa ni wale vinara na viongozi wa uzushi ambao ni maadui wa Sunnah. Vigezo na masharti huzingatiwa.
@fadhilimusa973212 сағат бұрын
Kaondoka mwiba wa mawahabi inabidi washerehekee.ni muovu kwa mawahabi ni mwema kwa allah
@safarinisafari712 сағат бұрын
makhawaarij wakifa munafurahi je askari wanao dhulumu waislamu wakifa pia munafurahia? aliye choma Quran kafa je masalfy wamefurahia? hakika nyie ni maadui wa uislamu
@safarinisafari712 сағат бұрын
salafy waovu sana na wanakiri kwamba wao ni wazee wa taqiya ukifa kama sio salafy wana furahia sana lakini wataficha kama mashia wafanyavyo pumbavu sana ; eti ana sema haifai kutangaza lakini ufuarhue tu ;
@safarinisafari712 сағат бұрын
kwa clip hii masalafy ni sawa na mashia yani wanafanya taqiya kwamba inafaa kufurahia lakini iwe kuficha yani kukaa kimya na kuficha furaha ; hakika salafy ni najisi sana kwenye umma wetu ;yani misingi ya dini yao ni kwamba wanafurahia sana masheikh wasio kuwa genge lao la kumuabudu MBS lakini tu wafiche kwa kufanya taqiya
@njchanpaknet42849 сағат бұрын
MBS ni nini hicho mkuu?
@hamisshaaban83928 сағат бұрын
Allah akuongeze wewe na sisi Ufahamu wako sio sahihi
@SonofJacol-t6h2 сағат бұрын
@@safarinisafari7 Misimamo yetu ipo wazi sana. Lakini kanuni inasema: kila maneno yana mahali pake na kila watu wana maneno yao ya kuelezwa. لكل مقام مقال، ولكل مقال رجال
@safarinisafari712 сағат бұрын
#salafy waapumbavau tu genge hili la Uingereza aliliunda ili kuvunja dola ya kiislamu tangu Abdulwahab ;salafy ni genge baya sana na kwa sasa wanalaana kubwa wao kwa wao wana gombana kuanzia Ansari sunna salafy jadidi salafy mtutu salafy hajuri salafy jaamii salafy hadahiya salafy mafutawiya salafy m,b,siya nk halafu watu wa bid,aa walio kusudiwa na maimamu shafy sio hawa wapiga dufu kwa ushetani wenu bali hao ni makafiri kabisa na sio hawa kina khitma na dufu nyie wajinga sana makhabithi
@ramadhanmakame132823 сағат бұрын
Kibaarul-umma, wameteuliwa na nani? Aya uliyotumia ya kulazimisha watu wafuate Wanachuoni hao watatu sio sawa. Siungi mkono kunyonya tupu lakini salafi mnazidi na nyinyi kuwapa hadhi ya unabii wanachuoni wenu wa kisaudia
@mussamabawa2973Күн бұрын
Usitupangie
@nasirmohamed15898 сағат бұрын
Hakuna mtu anakupangia nyonya mavi na mikojo kama kawa
@jumafaki2891Күн бұрын
kwanza wewe unaezungumza watu hawaamini kua ni salafi au jini maana huonekani yule alofurahia alijiita salafi ndio maana wakaamini watu kua masalafi wanafurahikia sasa umezuka wewe hata hufahamiki unani wala huonekani hatujui kama ujini au nani halafu hao munoamini nyinyi kua ni watu wa bidaa na wao wanaamini nyinyi masalafi si islamu kamwe ni mayahudi mlotumwa kuuharibu uislamu kwa hiyo musijitape kua muko kwenye haki
@Saidfadhil-o3oКүн бұрын
Je Mola ameharamisha hilo au akili zenu tu na nyinyi
@MusaNjalo-z9k14 сағат бұрын
Ww akili huna kwani usikii nukuu za wanachuon? Na wanachuon wa mtume
@nasirmohamed15898 сағат бұрын
We endelea kunyonya mavi na mikojo tu maswali mengi ya nini
@husseinalidina140Күн бұрын
Washamba nyie hamna ilmu kwanza pumbaaavu wahabi
@Saidfadhil-o3oКүн бұрын
Mtume yeye kasemaje juu ya hilo
@SalumuRamadhanisungiКүн бұрын
Allah awahifadhi mashekhe wetu wa kisalafi mzidi kuibainisha haqii inshallah
@RajabuAbdallah-yp5dpКүн бұрын
Sema nyinyi nanyi mnafanya TAQIA Kama Mashia
@SonofJacol-t6h2 сағат бұрын
Misimamo yetu ipo wazi sana. Lakini kanuni inasema: kila maneno yana mahali pake na kila watu wana maneno yao ya kuelezwa. لكل مقام مقال، ولكل مقال رجال
@RajabuHamisi-y5nКүн бұрын
Jazakumullah kher shkh naomba kuulza vp kuhusu yule aliemtia mimba mwanamke alafu akaamua kumuona vp hukumu ya ndoa hiyo na hukumu ya mtoto atakae zaliwa
@mohamedhamismagoraonlinetv459Күн бұрын
Nyie MAWAHHABI MNA LAANA
@nganasilimavuai9944Күн бұрын
كلم نفيسا
@QassmuManaaphКүн бұрын
Kumbe Ibnu kathiir ni Mshafiiy😂😂😂😂
@SonofJacol-t6h18 сағат бұрын
Naam, Lakini sio Sufi-khurafi. Hata Sheikh Qasim Mafuta ni Mshafiy walijua hilo?
@QassmuManaaph15 сағат бұрын
@SonofJacol-t6h Ushaafiiy wa mdomo labda au unafki. Alafu wewe uongo utakusaidia Nini ndugu yangu
@SonofJacol-t6h14 сағат бұрын
@@QassmuManaaph Kwani Ushafi wa kweli ni upi? Unakusudia usufi?
@msafirindiyembuke51685 сағат бұрын
@@SonofJacol-t6h Anasoma Qunut swalatu Subhi? Anadhihirisha Basmala kwenye swala za Jahri?
@SonofJacol-t6h4 сағат бұрын
@@msafirindiyembuke5168 Hafanyi hayo yote kwa kufanyia kazi maneno ya Imam Shafi mwenyewe aliposema: _pindi itakaposwihi Hadithi Basi Hayo ndio Madhehebu Yangu_ Na hivyo afanyavyo ndio Madhehebu ya Shafi na wala haimtoi katika madh'hab kama alivyoyanukulu hayo *Shaykhul Madh'hab al Imam al Bayhaqiy ash Shafi'iy* katika kitabu chake kiitwacho Ma'rifatu as-Sunnah wal-Aathaar. Pia Mufti wa Madh'hab aitwaye Imam Nawawi alikuwa akikhalif kauli za Madh'hab katika mambo mengi ya Kifiqhi kwa kufuata Dalili zilizothibiti na hili utaliona katika Ikhtiyarat zake katika al-Majmuu. Nitakupa Mfano mmoja tu nao ni katika suala la kuchukua udhu kwa kula nyama ya ngamia 🐫. Allah awarehemu maimamu wetu wote.
@mussakhamis-g8cКүн бұрын
Ivi Mawahabi mnazijua sifa za huyo mzushi aliekufa wakati wa Mtume saw?? Au ndo mnanasibisha watu na mambo msiyo na ilmu nayo.......!!
@AhmadiMaduaКүн бұрын
Haya majamaa ni wehukabisa
@hamisshaaban83928 сағат бұрын
Kutukana namna hii hakusaidii kwa lolote Bali hii ni dini siyo siasa za mrengo wa kitwahuti
@islamseyffden7723Күн бұрын
Ina maana muhammad iddi mzinifu,mlevi,mcheza kamari,kakufuru mtume na allah 😮hii ndo maana ya mtu muovu wallahy hawa wanawapoteza watu sana allah awaongoze
@IsihakaRajabu-y6vКүн бұрын
Mbona mnashindwa kuelewa kilichosemwa au hujasikiliza hii khutba ? Weka namba yako ya whstp nikutumie hutba mzima huenda ukaelewa
@abdulmuminabdullah1296Күн бұрын
Radiator kisikiliza, acha kukurupuka, na haya ndiyo matatizo yenu, mnamihemko kama moto wa kifuu, shuda yenu huwa mnatanguliza misimamo yenu mbele bila ya kufuata dini.
@husseinazizi1275Күн бұрын
قال العلامة ربيع بن هادي المدخلي حفظه الله. نحن مع الحق والذي يحخطى حتى من علماء السنة. لا تقبل خطاء . نحن نقبل الحق لكن ليس بالسفاهة والطيش والعداء . لكن بالادب والاحترام والصدق ولاخلاص
@allymbarouk5362Күн бұрын
Nyinyiunao kufursha, kufurahia, kutia waislamu motoni, kufanya sherehe Kwa Vifo vya wenzetu, bila shaka mwisho wa siku tuombe tu khatima njema Mizani yetu ni moja haijalishi ulikuwa Nan Hakuna pepo ya mwenye kujiita salafi, Kuna Janna ya wenye kutenda mema.
@AlhassanbnuAliOnlineMadrassaКүн бұрын
Nani kasema ni wa mitoni... Tatizo hamtaki kuambiwa mnafanya bidaa...bidaa ni dhambi kama madhambi mengine...hata ikiwa alikuwa anafanya bidaa inayopelekea akufuru hakuna atakaye sema yeye ni wamotoni... itasemwa vibaya na dhambi yake ili watu wasimuige huko ndiko kumpenda aliyefariki...ikiwa alikufa akiwa ni maarufu kwa kufanya hayo madhambi. Hata shekh wa Abuu Idi Shekh Muhammad Ayubu atasemwa ni mtu wa bidaa ili tumpunguzie watakaomuiga
@hassanjuma6144Күн бұрын
Achen ujinga masheikh gan wa kisalaf nyie hamna ata Aibu kusem kua mko masheikh wa kisalaf nyiekarne hiyi mbon Kam mko ma zumbu kuku hivyo
@AbdallahKhamis-h1hКүн бұрын
Allah akulipe herii
@munyanezaismail7642Күн бұрын
بيان واضح جزاه الله خيرا
@SaidiMohamed-bj2wgКүн бұрын
Nyii nimayahuditu naunafiki ndowenu
@omaryhamisi576Күн бұрын
Dini mashekhe imewashinda ndio maana faraka imewajaaa badara ya itrafu.
@Lakalhamdu-u4hКүн бұрын
Wewe uislaamu umeishinda, hongera sana 'aalim
@SalumuRamadhanisungiКүн бұрын
@@omaryhamisi576 mi sijaelewa ndo unakusudia nini??
@ibrahimjumbe8121Күн бұрын
Yani kwa maelezo yako nikua mnafurahi lakini kutangaza ndio sio vzuri Hiyo kufurahi ndio tunasema si katika uislam
@Lakalhamdu-u4hКүн бұрын
We unaona haifai?
@ibnabdillah4901Күн бұрын
hua ukweli unauma sana ila niwarudishe nyuma sana. hiv fir-aun alivyo kufa kwakuzama kwe maji nabii mussa na watuwake walifurahi hawaja furahi sas kwa nn hili lakusema ya faa kufurahia kwa mtu inakua gumzo?
@mussakhamis-g8cКүн бұрын
Uwahabi mtihani unafananisha watu na firauni.
@Seng522Күн бұрын
Hapa hamna dini kabisa ni khiana tu na kibri, yani hata haya huna kumfananisha fir aun na Mohammed iddi.
@HassanIddy-v1bКүн бұрын
Kwani fir'aun hakuwa mtu,we nae punguani😂😂😂
@alwiyiynmission2820Күн бұрын
NDIO MAFUNZO YENU, MASHEIKH WOTE WALILAUMU KWA KUSEMA MAPEMA LAKINI MPAKA BACHU NA WENGINEO WAMEDHIHIRISHA. HAKI YA KUTANGAZA KAPEWA SHEIKH GANI. MASALAF HATA AWE MFUPI PIA NI SALAFI. NAWE UMESEMA WAZ YAFAA KWANI TATIZO NINI...ENDELEENI KUFURAHI. KILA MTU ATAFUFULIWA NA KUHUKUMIWA PEKE YAKE. HAKUNA USALAFI KWA MOLA VYAMA VYENU MUTAACHA HUKUHUKU DUNIANI
@alwiyiynmission2820Күн бұрын
Hatujasikia KWA VILE MUKIFANYA TAQIYA.....SASA MOLA AMEWADHIHIRISHIA upotevu wa Mafunzo yenu....na Jamii Ipate Kujua NJIA ZENU SIO SAHIHI. FITNA NDIO ZENU. HUYO MKUU WA USALAFI TZ..MUMEMPATA VIPI?
@Lakalhamdu-u4hКүн бұрын
Kwani wewe unaamini sisi ni mashia mpaka tuwe na TAQIYA?
@SalehLoffy-kn6ohКүн бұрын
Duh, kwa kweli salafy sio waislam maana mtume s.a.w na maswahaba alifurahi warome ameshinda vita na hawa ni wakristo tu na mtume s.a.w alisikitika alipokufa myahudi sio muislam akaulizwa lakini huyu ni myahudi akajibu kwani sio roho? Hawa mnaosema ipo haki ya kusherehekea hawa ni waislam na wameamini nguzo za kiislam zote 5 na imani zote 6 kwanini unasema ipo haki ya kusheherekea kifo cha muislam
@ramadhanihamisi3977Күн бұрын
Sasa ww unasema masalafi sio waislam sasa tuambie ni ipi dini yaoo
@AdnanMohammed-l6iКүн бұрын
Mtume hakusikitika kwasababu ya kuwa ni roho alisikitika kufa akiwa kafiri kutomkubaliyy ivo ata alipo kufa babayake mdogo Abuu twalib kauzunika kwani mtume s.a.w. akuwaombeya watu duwa ya kuwaangamiza?
@sayman158Күн бұрын
@@ramadhanihamisi3977Ni mayahudi
@AthumaniAmiri-fv5zpКүн бұрын
Watafute dini yao isiyo kua uislam uislam hauna mafunzi ya hovyo kama haya ya masalafi waohovyo@@ramadhanihamisi3977
@SaidiMohamed-bj2wgКүн бұрын
Diniyao niyakiyahudi kwasababu ili mtu awee muislam anatazamwa aqidayake naaqida yakiwahabi niakida yawakristo nawaseme nisalaf Gani ktka salaf swaaleh aliekua na aqida kama yakwao
@SalehLoffy-kn6ohКүн бұрын
Hata Muhammad bachu alisema ni vizuri kusherehekea mtu wa bidaa lakini uangalie muda na mazingira usiseme tu unaweza kuingia katka matatizo
@alwiyiynmission2820Күн бұрын
Waacheni WAFURAHIE,HAIPUNGUZI WEMA WA MAREHEMU....NA WAO WAKISIFIANA HAIONDOSHI UBAYA WAO. KILA MMOJA ATAFUFULIWA NA KULIPWA PEKE YAKE. VYAMA VYAO VYA KISALAFI WATAVIACHA HAPAHAPA. KUFURAHIA KWAO NI ITHIBAT YA MANENO YA IMAM ALI: UBAYA WA KILA MJA HUDHIHIRIKA KWENYE NCHA YA ULIMI WAKE.... TUNAPOSEMA MASALAFI WANAFADHILIWA KWA FITNA MUKAWA NA SHAKA, SASA MOLA AMEWADHIHIRISHIA. MMOJA WAO ASEMA ATI IKIFIKA 2030 MASALAFI WATAKUA WENGI SERIKALINI KWA MADAI ATI VYUO WAMESHAVITEKA
@SaidiMohamed-bj2wgКүн бұрын
Kwani m bachu nikamanani ktk elimu
@NadhifaAbdulКүн бұрын
Unjua
@hafidhwajina67182 күн бұрын
Hivi kauli ya masalafy inazingatiwa akizungumza nani ,
@nurdinikisoma5452Күн бұрын
Mashekh wakisalafu wenye kutambulika katika jamii ya kisalaf
@sama-_8368Күн бұрын
@@nurdinikisoma5452huyu anayezungumza ni sheikh wa kiwahabi mwenye kutambulika?
@AdnanMohammed-l6iКүн бұрын
Ukisikiliza vzr clip ya sheikh khamis imamu kawataja baazi kwamajina yao tosheka na hao
@hafidhwajina6718Күн бұрын
@@nurdinikisoma5452 wapo wanapohizbishana wao kwa wao nifanye nini kwao,
@hafidhwajina6718Күн бұрын
@@AdnanMohammed-l6i ana clip nyingi nitajie tuu
@AsampiMpili2 күн бұрын
Jazaakallahu khayran sheikh wetu, naomba kuuliza swali ikiwa Imaam katengukiwa na udhu wakati yu katika tashaahud ya mwisho pindi yeye akinyanyuka kuashiria kubatwilika swala yake nini wafanye maamuma? Kila mmoja amalize kivyake kwa kutoa Salamu au mmoja atangulie kumalizia swala? Naomba jawabu katika hilo baraakallahu fyiikum.
@abdulhaliimali320Күн бұрын
imam atatakiw akamilishe swal n
@abdulhaliimali320Күн бұрын
ikiwa atatengukw na udhu kabla hajatoa salam itatakiw mwngine atangulie kukamilisha
@AsampiMpiliКүн бұрын
@@abdulhaliimali320 Akamilishe swala vipi wakati Hana twahara? Hebu soma dini nataka jibu la kisomi sio kukurupuka2
@AsampiMpiliКүн бұрын
@@abdulhaliimali320 Yaani ataenda mbele alipotoka imaam Kwa kusota au palepale alipo atamalizia?
@abdulhaliimali320Күн бұрын
@AsampiMpili imam kwa maan yq mwingine atasimama na kusogea pale mbele
@HassanIddy-v1b2 күн бұрын
Acheni ujinga enyi kundi potovu la swa'aafiqa,haya mas'ala yenye khilafu kwa wanachuoni,hivyobasi msimamo 1kati ya misimamo2hauwezi kuwa hoja kwa mwingine
@MusaNjalo-z9k13 сағат бұрын
We jinga endelea kunyonya mpaka upate kansa ya koo
@OmarSalum-y9c8 сағат бұрын
kwani wewe ni dokta kwani kansa inapatikana kwa 7bu gani hasa ama una sema tu hebu fungua vitabu kwanza ndipo useme
@rshidmwasa84932 күн бұрын
Kwani Sunnah ni mwenendo wa mtume au kikundi cha watu?? Jamani tusaidieni hapo. Kwa mfano mtu ameoa/ameolewa, anaswali, anatoa sadaka, anahudumia wasiojiweza kama wajane mayatima na maskini, na mengineyo kama sio salafi inamaana sio MTU wa Sunnah?? Yaani MTU wa Sunnah ni lazima ujiite salafi ndio MUNGU na mtume wakukubali hata kama huna hivo vigezo. Kabla ya hii salafi kuanzishwa wale waislam wa enzi za dola ya kilwa waliishije katika mifumo ya dini.? Inamaana walikuwa nje ya Sunnah sindio?
@AllyHamran2 күн бұрын
Huyu jamaa elimu kubwa lkn hekma busara fasaha na uadilifu zero.Nashangaa kaipataje Phd.
@DossaAbuzufaila2 күн бұрын
wewe ni mwehu ndio umeongea nini sasa unataka haq ifumbiwe macho?
@suodymmbaga65832 күн бұрын
Wallah kuna watu ata kheri iwe vipi yeye ata tafutatu shari sasa wewe mjinga na huyo alie kutuma waambie watu wamesha ijua hakki bakini na fitna zenu, nyinyi ndio mnataka kuambia ummah kua masalafi ni wabaya lakini haya maneno ya sheikh doctor Allah amihifadhi yapo wazi sasa sijui wew unataka nini
@OmaryJuma-zd2nq2 күн бұрын
Sa we wataka hekma gani awe nayo we juda usie jielewa
@OmaryJuma-zd2nq2 күн бұрын
Ujielewi
@rshidmwasa8493Күн бұрын
@@DossaAbuzufaila yaani kufurahia kufa muislam mwenzio ndio haki hiyo???
@rshidmwasa84932 күн бұрын
Hivi ingetokea yale maneno alosema yule mwenzao kuwa wamefurahi yasingepata upinzani mkubwa kutoka kwa waislam mbalimbali haya matangazo yangesikikaa???? Wanajitetea kwaajili mambo yalishafikia pabaya ila kusingekuwa na upinzani kutoka kwa waislam wasingejitetea .
@suodymmbaga65832 күн бұрын
Hiii ndio elimu nyinyi.bakini na ubaya wenu na fitna zenu lakini tumuomba Allah ziwarudie nyinyi wafitinishaji, haya maneno yame eleweka kwa yule mwenye akili sio ww mwehu
@OmaryJuma-zd2nq2 күн бұрын
Allah akuhefadhi mwalim wang. Hawo wajinga2 Wao wamesahaau manenô walio yazungumza wakati alipo faliki marehem shekh jaabir mwalim
@eidallyeidally5093Күн бұрын
ttz si kauli yayule huenda hata nipandikiz la kisufi liliamua kuchafua hali yahewaa ndio maana shekh kasem ktk hawa mashekh wakubwa wa kisalaf kwamfano qaasim mafuta anaishi tanga na maziko yamefanyik tang nawalikua na mvutano wa muda mref na abuu iddi umeskia akisem chochote kuhus kif chake akafurahi ? kunawakt tunasikitik mtu aliejikita katk daawa mud mref kisha akafa ktk uzushiii
@alwiyiynmission2820Күн бұрын
NDIO MAFUNZO YENU, MASHEIKH WOTE WALILAUMU KWA KUSEMA MAPEMA LAKINI MPAKA BACHU NA WENGINEO WAMEDHIHIRISHA. HAKI YA KUTANGAZA KAPEWA SHEIKH GANI. MASALAF HATA AWE MFUPI PIA NI SALAFI. NAWE UMESEMA WAZ YAFAA KWANI TATIZO NINI...ENDELEENI KUFURAHI. KILA MTU ATAFUFULIWA NA KUHUKUMIWA PEKE YAKE. HAKUNA USALAFI KWA MOLA VYAMA VYENU MUTAACHA HUKUHUKU DUNIANI
@AbdulIssa-o7e2 күн бұрын
Yule mzee anatakiwa ataraju na Hilo na lakutukana ulamaa, amebaki na msimamo batwil,na huku analazimisha nae ni salafii