Hongereni sana Vijana wa Usharika wa Kayanga. Hakika mlilolifanya, Mungu amefurahi na mtabarikiwa kila mmoja kwa wakati wake.
@rosengiloi93813 күн бұрын
Nilikuwa kifungoni ukaja kuniona,Mwenyezi Mungu awabariki.
@geraldshoo62263 күн бұрын
Very nice of Pastor Kalikawe Lwakalinda
@shushastressliveshow97853 күн бұрын
Barikiweni
@elct-karagwediocese42443 күн бұрын
Amen 🙏
@eliasmollel80173 күн бұрын
We have seen a lot in life, that's why we ask them not to go against our wishes. We wish them well coz their future is more important to us for a moment but at last they "mark" we parents' as tumepitwa na Wakati.
@elct-karagwediocese42443 күн бұрын
But do you always make it clear before stoping them from doing what they think is good for them? Do we listen to them and understand why they go against our wishes? We still have a long way to go.
@saidbawazir28794 күн бұрын
Msituletee kanisa la wataliano
@saidbawazir28794 күн бұрын
Walijishughulisha na mambo yasio ya msingi
@elct-karagwediocese42443 күн бұрын
@@saidbawazir2879 Sawa
@saidbawazir28794 күн бұрын
Asivuruge mtu amani
@saidbawazir28794 күн бұрын
Kwahiyo unaweza kubadilika ukawa nini tunaelewa viongozi wa kanisa munajisahau yenu ni sala sio zaidi ya hilo
@godfreymussa76765 күн бұрын
Hongera Ask. Bagonza kwa uchambuzi makini, ubarikiwe sana
@elct-karagwediocese42443 күн бұрын
@@godfreymussa7676 Amen
@braytonchavala6 күн бұрын
waaaawo hongereni sana watumishi
@elct-karagwediocese42446 күн бұрын
🙏
@braytonchavala6 күн бұрын
waaaawo hongereni sana watumishi
@elct-karagwediocese42446 күн бұрын
🙏
@Ngaizavedastus6 күн бұрын
Artistic.
@elct-karagwediocese42446 күн бұрын
🙏
@VodacomTanzania-l8c6 күн бұрын
Ongera sana na Mungu awazidishie Kwa Kila mlipo toa
@elct-karagwediocese42446 күн бұрын
Amen 🙏
@ShemeraBenedicto7 күн бұрын
Mubarikiwe kwa Kazi mlio ifanya
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
🙏
@etbs73327 күн бұрын
Kazi nzr sana hii...
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@etbs7332 Ahsante
@MethodiaStephano7 күн бұрын
❤❤❤
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@MethodiaStephano 🙏
@eliethkikaka3727 күн бұрын
Mwenyezi mungu awaongezee pale mlipotoa
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
Amen 🙏
@JonasMulinda7 күн бұрын
Hongeren kwa kazi njema
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
🙏
@jovinsylivester36017 күн бұрын
Mwagilamayoge, nimeichukua
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
🙏
@Brightonkatabaro7 күн бұрын
Asanteni sana kwa huduma hii njema sana na ya Ki-Mungu!
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@Brightonkatabaro Amen
@MercyPeledawsonTV7 күн бұрын
Mungu awabariki sana kwa tendo hili mlilolifanya
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@MercyPeledawsonTV Amen
@mrkalabamu48697 күн бұрын
🙏🏾🙏🏾
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@mrkalabamu4869 🙏
@NelsonRodrick-n1c7 күн бұрын
Mbalikiwe kwa Huduma
@elct-karagwediocese42447 күн бұрын
@@NelsonRodrick-n1c Amen
@ramadhanibahati28298 күн бұрын
Good
@elct-karagwediocese42448 күн бұрын
@@ramadhanibahati2829 🙏
@maase20238 күн бұрын
Maridhiano na nani ww? Chama hakuna viti bungeni maridhiano gani yafanyike ! Hakuna kitu hicho
@elct-karagwediocese42448 күн бұрын
@@maase2023 Hata walioko Bungeni wanahitaji kuridhiana unless kama hujui maana ya MARIDHIANO........
@maase20237 күн бұрын
@elct-karagwediocese4244 maridhiano kama chama kuna viti zaidi ya asilimia 30 ndio maridhiano yanafanyika ! Hichi ambacho ccm wanasema maridhiano ni kuwapa moyo chadema wasione wanabaguliwa lkn hawana haki ya maridhiano
@petermfinanga40269 күн бұрын
Hongera sn Baba Askofu Bagonza hakika ww ni kichwa na una madini
@elct-karagwediocese42449 күн бұрын
Amen 🙏
@evanstweve77209 күн бұрын
Asante sana kwa maoni yako bora kwa wananchi kwenye mwaka huu wa uchaguzi. 🎉
@elct-karagwediocese42449 күн бұрын
🙏
@togophillimon37769 күн бұрын
Watanzania mpo,chambueni maoni hayo,ya Ask bagonza,kabula ya uchaguzi
@elct-karagwediocese42449 күн бұрын
🙏
@HABIBHASSAN-wf5mr10 күн бұрын
HUYU BAGONZA ANAWEZA KUAMUA KESI YA CCM NA CHADEMA ?
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Pande zote mbili zinaweza kuridhiana kwa Amani. Wao peke yao wanaweza kutengeneza Amani ya watu wao.
@GeorgeKoba10 күн бұрын
Naomba nitumiwe huo ujumbe mzito uliyo tumwa na mzee wetu BAGONZA ,kwamaana umejazwa amani utukufu na ni mwanzo mzuri kwa yeyote anaye itakia mema nchi yete Tz, mungu ampe maisha baba ili awe tochi kwenye Giza Nene ambalo litaikumba nchi yetu 2025 +++,amina
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Amen 🙏
@HenryInyasMrema10 күн бұрын
Adui wa ccm ni Chadema na adui wa Chadema ni ccm ! Vipi viongozi mnahubiri nchi ina mshikamano ?
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Mungu asaidie iwe kinyume chake
@ManaseJubilate-kk2gz10 күн бұрын
Huyu askofu amenyooka km rula kijiko anakiita kijiko ,He is like saw🙌
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
@@ManaseJubilate-kk2gz 🙏
@benedictmrisho180010 күн бұрын
Wazee ( kuanzia miaka 60) wanaposimulia vijana tulipata uhuru bila kumwaga damu lakini miaka 64 baadae damu zinamwagika, chaguzi si za kuaminiana kiasi cha kuzaa wakimbizi wa kisiasa, kufungana kisiasa, kupotezana , kutesana, kutupa miili ya Watanzania na kuwa na wasiojulikana ktk taifa huru miaka 64 ambayo ni umri wa babu, kutokulaani maovu ama kukemea maovu , hawawezi kuelewa wazee wa nchi hii. Ipo haja wazee taifa hili bila kujali itikadi zao, dini zao, haiba, kabila, upande wa muungano, heshima za kisiasa, mamlaka, chombo gani , wawe na baraza la taifa la usuluhishi na upatanishi kabla ya kampeni za uchaguzi mkuu kuanza. Ushahidi ni kuwa alipotezwa na kuuwawa mzee mwenzao kwa hiyo sio vita ya vijana tu. Sasa kuna mzee mwenzao tena balozi wa kuheshimika anayo kesi ya kujibu mahakamani itokanayo na mdomo wa kisiasa. Si hivyo tu kila chama kina baraza la wazee ambao kama vile hawana meno na haifahamiki kama wanaheshimika na jamii kadiri ya mila na desturi za Kiafrika kuamini " wazee ni dawa, wazee ni hazina ya busara na hekima wazee ni watu wa haki uwazi na ukweli". Kuna hatari vijana wa taifa hili wakawa wanawaona wazee kama wazee poa tu, ama wazee noma, ama wazee wanafiki nafiki tu, ama wazee waongoongo ama wazee hovyo vyovyote vile watakavyoweza kuwaita wazee wa taifa hili. Wazee iko haja kurudisha heshima yao ktk jamii ya taifa hili haraka iwezekanavyo. Mungu wafunulie wazee wa taifa hili wajitambue.
@benedictmrisho180010 күн бұрын
Wazee ipo.kazi. Vijana kila wakitafakari wazee hawawaelewi vizuri. Wazee wanakwenda nyuma na mbele .
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
@@benedictmrisho1800 .....
@muharamijuma156910 күн бұрын
WÀMƁIE CHADEMA WA FANŸE NA MBOWE AMEWA MBIA CCM WAFANYE YA NINI ? KUWA MKWELI !!
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
@@muharamijuma1569 Wewe pia unaweza kuwaambia mwenyewe
@GeorginaAnatory-u1z10 күн бұрын
tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
@@GeorginaAnatory-u1z Hakika 🙏
@elimikasasa64310 күн бұрын
Kwanini?
@AnyosisyeKiluswa-fe2eu10 күн бұрын
Hoja ya nguvu ya askofu Bagonza, Tunamshukuru Mungu kwa kulipenda Taifa letu na ametujalia watu wenye vipawa mbalimbali.
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Amen 🙏
@NyitikaMbusiro10 күн бұрын
Amina
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
🙏
@williamalphonce353410 күн бұрын
Mtangazaji unaupiga mwingi
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
🙏
@wazirewazire709210 күн бұрын
Hivi na huyu Hana Chama? hiyo Kauli yakenatoka Rohoni?
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Ukweli anao msemaji 😄. Sisi ni wasikilizaji.
@MasoudMgassa10 күн бұрын
We ni kiboko aisee nimekuelewa zaid ya ulivyoelewa wewe muongeaji
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
🙏
@penifordjeremiah10 күн бұрын
Vichwa kama hivi ni hazina kwa taifa vinafaa kuenziwa maana si vingi ndani ya nchi yetu. ASANTE sana Asikofu pamoja na afisa habari kutuletea makala hii. Mungu awabariki sana
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Amen 🙏.
@amanieliya371010 күн бұрын
Asante Askofu kwa comments zako. Lakini nyingi BILA kufafanua hadi ueleweki. Kama kiongozi uwe wazi zaidi. Mpenda amani,DSM.
@jesaminzo10 күн бұрын
❤❤
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
🙏
@dizzboss752610 күн бұрын
Dada mtangazaji umeolewa? Kama hujaolewa bwana akuongoze unijibu
Ccm kwenye maridhiano niwaongo ikifika uchaguzi wanabadilika kutumia vyombo vyaulizi wakurudezi wasimamizi wa uchaguzi tamisemi wanaenguwa wapinzani bila woga hata mawakala wanazuiliwa kuingia kwenye vituo vyakula
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Mungu asaidie 🙏
@zaidsaidmwinori570810 күн бұрын
Bagonza una choko choko kuwa makini
@jangalaalexbubehi765810 күн бұрын
Wewe ni nani ??
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Sawa 🙏
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Haha 😄
@LwakalindaBagonza10 күн бұрын
Mwinori vipi tena mbona umegeuka?
@FrancisThomas-jc8wq8 күн бұрын
Tumia akili
@romanaolomi299710 күн бұрын
Dada mtangazaji hongera kwa sauti na umakini wakusoma.pongezi kwa Kongozi mleta hoja tupo shule.
@elct-karagwediocese424410 күн бұрын
Ahsante
@romanaolomi299710 күн бұрын
Dada mtangazaji hongera kwa sauti na umakini wakusoma.pongezi kwa Kongozi mleta hoja tupo shule.