Nampenda Sana baba askofu Bagonza,amenisaidia sana Kwa mafundisho yake makubwa yenye kujenga na kuelimisha
@elct-karagwediocese4244Ай бұрын
🙏
@michaelambangile3632Ай бұрын
"Hahitaji msaada wa kitu chochote alichokiumba mwenyewe." Nimeipenda. BWANA akubariki Baba Askofu na ambariki huyo Mwandishi ambaye anayemudu kukuuliza maswali kwa mpangilio unaotoa ushirikiano.
@elct-karagwediocese4244Ай бұрын
@@michaelambangile3632 🙏
@KanutiKasianАй бұрын
Hivi kwanini vipindi kama hivi visipewe nafasi katika TV zetu kubwa Nchini ili ujumbe huu na kama huu uwafikie watu wengi.Maana imeandikwa kuwa WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
@elct-karagwediocese4244Ай бұрын
@@KanutiKasian Muda ukifika vitapewa nafasi.
@innocentb.s4008Ай бұрын
Nani anapotosha na nani anapotoshwa...👀 "Huenda hata wapotoshaji hawajui kama. Wanapotosha na wapotoshwaji hawajui kama wanapotosha😢😢"
@elct-karagwediocese4244Ай бұрын
🤷
@GodfreyOswardАй бұрын
Ukitaka kujua nani anapotosha soma habari Swameli na Heri. Au Musa na Yoshua.
@jaspertito5343Ай бұрын
Ni uchambuzi unaokidhi mahitaji ya jamii kwa sasa.