Ask. Bagonza ataja hatari SITA kuhusu Mafundisho potoshi. Wewe zako ni zipi?

  Рет қаралды 5,934

ELCT-KARAGWE DIOCESE

ELCT-KARAGWE DIOCESE

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@MwanahawaaMkanza
@MwanahawaaMkanza Ай бұрын
Very kin analysis. Beyond immaculate 💯💯 BKB Mungu aendelee kumtunza
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@MwanahawaaMkanza 🙏
@uoendokivuyo6589
@uoendokivuyo6589 Ай бұрын
Mungu akubariki una maono makubwa na mema kwetu waumini
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
Amen
@JohnBosco-d3g
@JohnBosco-d3g Ай бұрын
This Bishop is Genius!!!❤
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@JohnBosco-d3g 🙏
@dastandomition7665
@dastandomition7665 Ай бұрын
Ahsante sana Baba Askofu kwa kazi njema unayoifanya...! Baba Askofu, KAZI YAKO INANIKOSHA SANA. Ni ukweli kabisa kuwa Mafundisho potoshi yanasababishwa na ugumu wa maisha! Wakati watu wanatafuta unafuu wa maisha, matapeli huwanasa na kuweza kuwaibia kwa mgongo wa jina la Yesu Kristo. Aidha, kwa mtazamo wangu naona kuwa Mafundisho potoshi yanatokana na watu wengi kujiamilia kuwa watumishi wa Mungu bila kupata elimu wezeshi kama falsafa, sosiolojia n.k. Kuna mtu unakuta anatoposha NENO si kwa kupenda, isipokuwa naye anakuwa hajui maana yake hasa ukilinganisha kwamba BIBLIA imeandikwa kwa mafumbo! Naomba kuwasilisha!
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
Ahsante Sana kwa maoni yako mpendwa.
@DennisAnthony-j5y
@DennisAnthony-j5y Ай бұрын
Ukristo umeshakuwa wa kihuni mfano mwanamke ni wapi maandiko yamemuamuru awe mchungaji?
@stanleyngoda1554
@stanleyngoda1554 Ай бұрын
Jambo zuri sana hili na ni kuungwa mkono lifike na kuwafikia wengi zaidi kote duniani hususani Afrika
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@stanleyngoda1554 🙏
@uoendokivuyo6589
@uoendokivuyo6589 Ай бұрын
Mungu atusaidie hakika
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
🙏
@akonaayako7185
@akonaayako7185 Ай бұрын
Hii kauli ya Askofu ni muhimu sana kuzingatiwa na vyombo vya dona kuhusu usafirishaji magendo kwa njia ya mahubiri huko Kongo DR.
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@akonaayako7185 🙏
@enezaeliakyoo2086
@enezaeliakyoo2086 Ай бұрын
Nimefurahi mno Kwa ufafanuzi mzuri mliotoa Viongozi wetu Wa dini hususani wachungaji
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@enezaeliakyoo2086 🙏
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Umeongea logic🎉
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Bishop u b arikiwe
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
🙏
@PaulsadickYosia
@PaulsadickYosia Ай бұрын
Glory to God aliye kufunulia
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
🙏
@RastaMany-p8x
@RastaMany-p8x Ай бұрын
Asante baba askofu bagonza
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
🙏
@yohanalaizer5706
@yohanalaizer5706 Ай бұрын
We love it
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
🙏
@PaulsadickYosia
@PaulsadickYosia Ай бұрын
Hongerenii sanaaa
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
Ahsante
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 Ай бұрын
MATHAYO 24:11 "Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi"!
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
Kwakweli
@akonaayako7185
@akonaayako7185 Ай бұрын
Vyombo Vya Dola Vifungue Masikio na kuchukua hatua kupambana na hali hiyo.
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@akonaayako7185 🙏
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Tusisahau kuwa kuna watu kama akina Mwamposa na manabii wengine tu Tz.ni hatari
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
😢
@raynoldchristopher-g2f
@raynoldchristopher-g2f Ай бұрын
Baba askofu ubarikiwa sana umesema kweli mimi ni mpendekoste natamani uje kilimanjaro kutoanelimu hii muhimu
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@raynoldchristopher-g2f 🙏
@innocentb.s4008
@innocentb.s4008 Ай бұрын
Njaa na umaarufu 😢
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
😢
@ManswetKimario
@ManswetKimario Ай бұрын
Ni kweli huyu Askofu ni genius ila laiti angesema ukweli kuhusu (1)UTATU na Kudai kuna (2)Maisha baada ya kifo hali tunahubiri UFUFUO maana nayo ni upotoshaji wa ukristo au tuache magugu na ngano viote pamoja siku ya mwisho ndo kitaeleweka mbele ya mwana wa Adamu?
@elct-karagwediocese4244
@elct-karagwediocese4244 Ай бұрын
@@ManswetKimario Swali lako litajibiwa kipindi kijacho, endelea kufuatilia
@ManswetKimario
@ManswetKimario Ай бұрын
@elct-karagwediocese4244 sawa.
Hiki hapa anachokisubiri Ask. Bagonza kwa Taifa lake #Tanzania
39:52
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 2,5 М.
Ask. Bagonza na Wafia Dini. "Machawa hawafii mtu, wanafia chakula na cheo."
34:37
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 4,7 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Ask. Bagonza: Je, ni dini au Ujasiriamali?
21:57
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 2,4 М.
Ask. Bagonza: Ufahamu Utatu Mtakatifu. Je, ni Dini au Ujasiriamali?
17:08
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 1,6 М.
Ask Bagonza: Yesu haitaji msaada wa Maji, Chumvi wala Udongo, yeye ANATOSHA.
18:34
Ask. Bagonza: Ni dini au Ujasiriamali? Sehemu ya Pili.
17:38
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 665
MAJINA YAO YAMEONDOLEWA KWENYE KITABU CHA UZIMA
32:00
Ukweli Church of Christ
Рет қаралды 59 М.
JORAMU NKUMBI - The Best Speech- Hotuba bora Kabisa
12:58
Joramu Nkumbi
Рет қаралды 50 М.
Ujumbe wa Ask. Bagonza Krismasi hii... Akemea ukatili kwa watoto.
23:22
ELCT-KARAGWE DIOCESE
Рет қаралды 1,2 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН