Hao ndio wenyewe wakina makamba. Hawana lolote zaidi ya ufisadi
@chemstry4095 ай бұрын
HUYO MAKAMBA TUNAMKUMBUKA ALIKUWA YEYE YAANI JANUARY MAKAMBA, NAPE NAWIYE,ABRAHAM KINANA NA YUSUF MAKAMBA WALISIKIKA WAKIMTUKANA MAREHEMU MAGUFULI DHAHIRI SHAHIRI....
@valenakomba76865 ай бұрын
MAKAMBA NDO YEYE HUYOO.😂😂😂😂😂😂
@nghomanohosea92515 ай бұрын
Kipele kikikuwasha lazima ujikune tu,
@epimackjohn4615 ай бұрын
JAMBO HILI LISIPUUZWE , MTAMKAJI ATHIBITISHE ALICHOKITAMKA , NA WANAOHISIWA PIA UKWELI UTAFUTWE . TULIKOFIKA MATAMSHI YANATOLEWA KIRAHISIRAHISI HATA KWENYE KUMBUKIZI ZA VIFO VYA VIONGOZI WALIOTUONGOZA KIUADILIFU !
@PhilkevinFelix5 ай бұрын
Hivi itakuwaje kama Makonda akampelekea taarifa Mheshimiwa Rais bila ya kuyataja majina hayo kama anavyolazimishwa ayataje?
@borysaronge14935 ай бұрын
Kwani aliyetakiwa kutoa majibu ni Lema au ni makonda kwa hiyo na yeye Lema ni mmoja kati ya wale wanaolipwa kwa ajili ya kutoa matusi maana inaonekana kuwa yeye binafsi inaonekana anawajuwa iweje atoe majina ya wale aliowataja nina wasiwasi na huyu Lema .
@clemencemkondya85615 ай бұрын
Makamba hajakosea na wala hajamsema makonda .Acheni kuwakosanisha .viongozi hao
@RamadhaniSuru5 ай бұрын
Hapa hajamtaja mtu kama cyo.kujishutukiya acheni mbwembwe wasiwasi wanini tuliyeni
@Mima-cl2im5 ай бұрын
Zamu yetu kusemwa. Makamba na baba yake walimusema maręhemu Magufuli mpaka kaburini. Ni Nani aliyesema wenye kufa ni wenye dhabi. Wengine wakasema tunayempenda Hayati Magufuli tukazikwe naye. Makamba ni munafiki mkubwa. Hata Magufuli walimusema mpaka wakarekodiwa. Mwenye lake haachi.
@samsonmsomi83305 ай бұрын
Gobless Lema si amewataja
@AliMkwende-hn6my5 ай бұрын
Fitna ndio kazi tuhangaike tuutafute ukweli juu anayosema makonda na anayosema Makamba viwekwe kwenye mizani na serekali pamoja na ccm wafanye mikutano ya secretariat Ili kujuwa mbivu ,mbichi ,ukweli au uongo