KWANI DARAJA LA KIGAMBONI NANI KAJENGA NA NI FEDHA ZA NANI NA DARAJA LA SALENDER NA NI AMEJENGA ACHENI KUONGOPEA WANANCHI
@VailettyShigerla-fw2sg9 сағат бұрын
Mdogo kwa mtazamo wako
@user-wh9zj7kf7h10 сағат бұрын
Manara mdomo mchafu mpuuzeni.
@SalomeKiduko11 сағат бұрын
Wewe kwa nafasi yako umewafanyia nini wananchi?matusi ndio yanafanya chadema msieleweke,toa hoja ya msingi ili ueleweke.
@ramadhanmahongole929311 сағат бұрын
Simba I a mashabiki wengi zaidi Tanzania kuliko tim nyingine yoyote takwimu inaonyesha kati ya watu 10 nane kati yao ni mashaka wa simba
@HassanKibwana-h3w12 сағат бұрын
MPINA YUPO VIZURI SANA
@user-dq1ss2uq6u14 сағат бұрын
Ccm inapendwa lkn kuna bomu ndani ambalo linadhoofisha misingi yake..kinachoonekana kiukwel kinaonekana kama chombo cha manufaa kwa mtu na c watu...na inapotokea kati yenu anasimama kwa manufaa ya watu anaonekana muasi na hatakiwi jmn hiki c chama cha ccm tunachokijua.
@ruthsebastian4633Күн бұрын
Mmmmmmh uuuwiiii
@user-bz5gl7nb4mКүн бұрын
😱😱😱😱😱
@user-xk7vy4gb6gКүн бұрын
Sisi tunaomba Mh masauni na Mh mchengerwa watupatie majibu kuhusu Mh Makonda 😢😢 vinginevyo watu tutaingia barabarani km Kenya. 😢
@angelaangela5805Күн бұрын
Mwizi mkubwa. Wote wa kuazimwa.
@yosephatMasanyiwa-oh1rlКүн бұрын
Yanasumbua sana
@angelaangela5805Күн бұрын
Unafaa kurudi kwenu Somalia
@angelaangela5805Күн бұрын
Peleka dawa hospitali sio kujenga vieanja huku watu wanakufa kwa kukosa dawa. Unataka kupiga hela kupitia ujenzi huo.
@malakisilas6523Күн бұрын
Barikiwa sana Kwa ujumbe ,noted
@JackobJackob-dq8sq2 күн бұрын
Pumbavu kabisa nawapenda xn wana chadema ila kwa hili lakutokuonekana makonda siasa wekeni pembeni cyo ccm wala chadema mtujibuni kwanza sisi wananchi kiongozi wetu wa arusha mkuu wa mkoa yuko wapi maana hata mkiendelea na siasa sizani km kuna mwananchi atawaelewa
@rukiaiddyyahaya95062 күн бұрын
Daaa yani tanzania 😢😢😢😢
@farijijustine12 күн бұрын
Good sana kaka 😅
@muharamijuma15692 күн бұрын
Wewe niTaperi sio Nabii Kesho yako Hujui
@ponsianomnyaru91402 күн бұрын
Watu washaona mbele Kuna yai bovu wanakimbia mapema
@emmanuelmashishanga71412 күн бұрын
Chawa wewe
@omarinyahegs45392 күн бұрын
Unataka ukuu nini mku*du
@emmanueljohn49682 күн бұрын
Hakuna chama cha hovyo duniani kama ccm, chama gani hakitaki ukweli, ukweli ni kosa kubwa ndani ya chama. Binafsi sihitaji hata kukiona kikiendelea kutawala 61 ya uhuru mmh ?
@mohamedothman57922 күн бұрын
TZ ina watu wapumbavu wengi sn
@PhilipoMwita-b2x2 күн бұрын
Haki sihami bongo Kuna commed sanaa
@pwaniseries2 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣makolo mnaota kwa mpanzuu
@irenekalinga3232 күн бұрын
Kwenye hili ikibainika kweli kanyweshwa sumu basi tutatafuta hapo tz watajulikana tu!
@RenaldaZeramula2 күн бұрын
Wazazi wake wapo wapo wspi au wamehusika mtoto wao kuuliwa
@RenaldaZeramula2 күн бұрын
Walifanya hivo kw Magufi. Tuandamane.ccm wamezoea
@JoshuaSalimu2 күн бұрын
Tumefunga ndoa NA CCM HAINA SHIDA WAJINGA SI WAPO WENGI
@DaimonMwapelele2 күн бұрын
Aacha uongo wako utabil uhalisia wa mambo
@SundaySteven-bz4yq2 күн бұрын
Pia ni aibu Kwa ccm maana baada alichokisema ni kweli baada ya kufanyiwa kazi anafukuzwa bungeni ni ajabu sana?
@DaurdCharles2 күн бұрын
Pastor swala lahaki hakuna kusubiri ikiwa unamuogopa mungu tunamuombea popote alipo mungu amlinde
@user-hm8yt9ol4c2 күн бұрын
Ukweli tunamtaka makonda.maana
@user-hm8yt9ol4c2 күн бұрын
Kuna Siri gani juu ya makonda na wateule wake sisi tunamtaka Makonda wetu
@saidiathuman-og6bc2 күн бұрын
Chawa ilooo
@saidiathuman-og6bc2 күн бұрын
Nani akipende chama icho kimejaa mafisad mpaka kero
@uredmwasembo85792 күн бұрын
We waache wakae kimya ila tunamtaka makonda wetu
@rosalienahimana62872 күн бұрын
Kweli kabisa
@lucksonsikaona5052 күн бұрын
Huo siyo utabiri hiyo ni demokras
@zebrakacole58222 күн бұрын
JOSEPHAT GWAJIMA NAYE AMEPOTEA SIKU 5 hivi naye haonekani
@faustinedeogratias43372 күн бұрын
Hana quality ya Makonda, that's why hakuna anaehoji
@freddykulwa81902 күн бұрын
Waache tu utirimba wao .wachi utawala uzee duniani apo sasa vijana niwakatiwao
@pwaniseries3 күн бұрын
viva viva jamaniiii vivaaa
@yordanyona12343 күн бұрын
tumuombee Sana ni mtu muhimu kitaifa
@walidmgonja36442 күн бұрын
Muombee wewe choko
@pwaniseries3 күн бұрын
Matabili hakumbuki kama alitabiri hadi akumbushwe🤣🤣🤣😂😂
@evansokemwa65873 күн бұрын
pastor dunia hii atuogopi kufanya.kazi nsuli ni heri tufe.
@yordanyona12343 күн бұрын
ni kawaida kwa mtu kama mpina ..wala haitaji kutabir
@GervasonTabwa3 күн бұрын
Ukweli husemwa 2
@ponsianomnyaru91403 күн бұрын
Jambo lolote litakalo mkuta makonda liwe baya rais ajiuzulu na patachimbika
@justinemalima6701Күн бұрын
Kweli kabisa
@christinenyagiro66623 күн бұрын
Kweli lakini watanganyika ni watumwa wa CCM Zanzibar.
@christinenyagiro66623 күн бұрын
Kweli lakini watanganyika ni watumwa wa CCM Zanzibar.