Hongera sana traore kwa kuisimamia Burkina Faso wananch wanahaki na wanaishi vizur kwa haki
@gracemima52343 күн бұрын
Kuna watu, ama vigogo ndani ya serikali wanafaidika na biashara hii ya sukari. Wananchi wakulima wengi wawo hawana uwezo wa kujisemea (the voiceless) , kwa bahati mbunge musomi mwenye kuelewa Mpina kwa uchungu anatetea wakulima wasio na sauti. Serikalini kuna wajanja. Kabla ya kupeleka kesi hii kortoni, alianzia bungeni. Pamoja na ushahidi wote, speaker akamufukuza , wengi tulishangaa na kufuatilia kesi hii. wakishangilia. Ni uchungu mkubwa wananchi kuwafanya wajinga, na vitisho kwenye nchi yawn. Kwa sasa wananchi wanategemea mahakama kuwapa haki,Inavyo onyesha ndani ya CCM kuna cartels wanaocontrol economy ya Tanzania.
@PartySekemi3 күн бұрын
Kwaiyo serikali ndio inakuja kutetea walanguzi na matapeli kama bashe?
@hajjisanga7893 күн бұрын
Kwani sukar bei gani sasa hivi mlitaka iwe juu hongera bashe
@hamdincatalonia32723 күн бұрын
Mpina anatetea wafanyabiasha wa sukuar badara ya kutetea wananchi alitaka sukar ifike 10000 kg
@NethrinePaul3 күн бұрын
Mim nilijua serekali itashinda maana wao ndio washtakiwa na wenye mahakama sasa sisi wananchi tutashindaje?
@MalandoJilala3 күн бұрын
Hongera sana traore kwa kuisimamia Burkina Faso MUNGU akubarik sana
@hamdincatalonia32723 күн бұрын
Mpina anachuki mbaya sana
@mwalimukhamisi16803 күн бұрын
Tayari yanaonekana madhaifu. Taarifa sahihi za sugar gaps zinapatikana kwa mzalishaji wa sukari au bodi ya sukari?
@mwalimukhamisi16803 күн бұрын
Hapa nahisi kuna mchezo wa kuigiza. Tuendelee kufuatilia na kuchunguza hadi mwanzo mwisho.
@mwalimukhamisi16803 күн бұрын
Nahisi kama vile ni waarabu wa pemba.
@AliSalim-yu4mo2 күн бұрын
Chuki zitakutafuna na Mungu akupe mzigo wa mshipa Kwa kuchukia viumbe wake
@levissanga886712 сағат бұрын
Watanzania sio wajinga. Tusiwe na hukumu za jumla kiasi hicho.
@PartySekemi3 күн бұрын
Leteni namba tushiriki
@kasomishedrack50273 күн бұрын
Yameshaanza kuchakachua vielelezo ili yaonekane kuwa ya maana kabisa.