WEWE MWINYI VIPI AMANI NAUNAKIMBIA HAKI ,KIKWETE AAKUDANGANYA KUMBUKA ULIO YASEMA MABUNGENI UKIKATA KUUTTYA ZANZIBA ,UMEWAWEKA NDUGUZO JELA MASHEIKH VILEMA ,NYINYI CCM HAMNA AIBU ,NCHIYENU INAKWENDA KAMA WATU WAAA PALASTINI ,ALLAH ANAWAONA WANA UTETEA NCHIYAO YA ZAANZIBA ,MFANO KINA MZEE NASUORO MOYO NAWENZAKE .
@user-kn8zx5gz3g2 сағат бұрын
Hakuna salamaa amani ya kusuasua kuweni makini jamani..
@muhamadsalim52952 сағат бұрын
Mashekh wengi siku hizi mumekua wanafiki sana kwa sababu ya maslahi yenu binafsi
@FakihBakari-vt5tz2 сағат бұрын
jamani haya maneno yametushtua sana maana hadi video tumetumia hatuna amani kwa kweli
@SCSI523X3 сағат бұрын
Kama umesikia neno shule sema muungano oyee
@OmarAmran-t7k3 сағат бұрын
Unguja imekwisha tunakwenda tu ivi sasa
@user-hk2oz2eg4j4 сағат бұрын
Haya matatizo yote yamesababishwa tokea kuingia watu wa nchi jirani bila ya passport (Ndugu zetu wa damu). Atakae aje ndio hayo sasa.
@saidrakwe87274 сағат бұрын
Sawa salama je zantel waliotuma ujumbe vipi????😢
@saidrakwe87274 сағат бұрын
Sasa kwenye simu hizi meseji vipi???😂
@BachooHassan-n8r4 сағат бұрын
Kwani hivisasa znz hakuna amani mbona sijamuelewa kwa maana ameahidi bandar hatuiyoni ajira hakuna sasa huko sikuvunja amani maneno yake hayaendani navitendo
@sultansallah87725 сағат бұрын
Iyo kamera isogee pale mabondeni meli tano kwendea njia kongwe
@AbdallahJuma-wb8lq5 сағат бұрын
Miskitini,unasema,vyengine,ukitoka,unakua,chui
@AliMsellem6 сағат бұрын
muogopeni allah s w kila tunalolifanya tutaenda kulizwa na allah s w yaumatubla sarailu muogopeni allah s w
@alwiyiynmission28206 сағат бұрын
MUHIMU uhai Si Miliki yenu,kwa Hilo Tunamshukuru Mola
@AliMsellem6 сағат бұрын
hakuna cha milele ipo siku mutsondoka kwa uwezo wa allah s w
Ameona akisema wanawake wa znz atakuwa amebagua. Wazanzibar hawajui wanataka nini.yaani wamekubali kutawaliwa ki uchumj mpaka ki fikra
@AliMsellem6 сағат бұрын
CCM LINI IMESHINDA NAOMBA MAJIBU WATU WAMECHOKA NA FITINA NAUWADUWI WENU WA CCM WATU HAWAITAKI CCM WEKENI UCHAGUZI WA HAKI NA USALAMA CCM HAMUPENDWI
@user-xv4tl8iv4l7 сағат бұрын
JAMANI TOFAUTISHENI N NA M. AKIA ANKIA, MWANANKE, NTU NDIO NINI?
@RukiyaKombo-mm5pr9 сағат бұрын
Zanzibar imekua jaa LA wageni kila leo
@user-nq2np6de6l5 сағат бұрын
Hebu wazanzibar wenzangu tubadilike maendeleo ya miji ni kuingia na kutoka watu sasa tukisema tuwe sisi tuu bila kuingiliana na jamii nyengine itakuwa familia ya mafisi sasa
@BakaryOmally4 сағат бұрын
@@user-nq2np6de6lukosefu wa kutembea miji ya wengine unabaki kua na akili mgando ndiomana wazanzibar ambao wanashindwa kutoka nje ya zanzibar wengi wao huo na akili iliolala
@BakaryOmally4 сағат бұрын
Unataka muishi wenyewe? Ili mrogane??
@RukiyaKombo-mm5pr9 сағат бұрын
Nakwambia mtihan tu
@salumnassornassor973313 сағат бұрын
Mnafiki mkubwa mbona hasemi haki na uadilifu anatangaza amani wananchi hawana haki amani mbona ipo ayo majeshi mapolisi na vikosi vya Zanzibar ndio vinavovunja haki kwanza haki itawale then amani itakuwepo lkn 2025 inshaallah utaondoka Zanzibar yetu hatukutaki mwizi mkubwa shenziiiii time
@rashidramadhani926414 сағат бұрын
Wazalendoooooooooooeeeeeh..!!!.😂
@cath-ef7wd14 сағат бұрын
Haya machawa bwana
@rashidramadhani926414 сағат бұрын
Jamaa anatafuata tonde duu. Familia kitu chengine. Tangaza yako brothe. Daar.kama ajira kaka hata kubiga debe pia ajira. Unaweza ukenda ukafanya. Ywongozi huuwezi. Puuuuu mbavu. Kisaka tonge we. Zanzibar kwanza. Mambo mengine baadae. Mamlaka kamili ndio shida yetu. Tuwe na utambulisho wetu mbele ya mataifa mengine. Takana kusima km mzanzibar sio😂 mtanzania.😮😂😂😂😂😂😂😂😂
@hajiabdalla577214 сағат бұрын
Zanzibar kuna mijitu tafauti siku hizi hata wanatokea wapi.vurugu Tu maadili na heshima na usalama haupo
@natafutamatatizo438214 сағат бұрын
HAHAHAH, DU! YAANI DR MWINYI NI MWEHU! 👁️👁️ ANANUKA DAMU YA WATU 21 SASA ANATAKA AOMBEWE NA DUA🤣🤣🤣🤣
@aliharoun865915 сағат бұрын
Haki then ndio amani shekhe
@user-om2ur5by9n15 сағат бұрын
Quran inaeleza kuwa wafalme wakuu wa Duniani wanapenda Dhulma tuu,kugawa raia na kuwakandamiza wengne bila sababu. Z ID mpk leo vijana hawapewi kisa upinzani na ni haki yake kupewa ndo kutenda haki huku?
@khatibal-zinjibari695615 сағат бұрын
BILA YA MAMLAKA KAMILI YA ZANZIBAR HAKUNA MSHIKAMANO Si kosa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi kufanya Kampeni zao Misikitini.☪️ Mashekhe wa Uwamsho Waendelee na Khutba zao Misikitini Kutaka Mamlaka Kamili ya Zanzibar☪️ Hakuna Mshikamano kwa Wazanzibari bila Mamlaka Kamili ya Zanzibar sio huu Ukoloni wa Tanganyika✝️
@LUBAINAMOHDRAJAB15 сағат бұрын
Haki, uadilifu, ukweli na usawa ndio huleta amani na utulivu.
@adamstour5736-kb6zq16 сағат бұрын
Kuuza kaburi co tatizo eti maana aliyezikwa Tyr ashafika kwa ALLAH na ndio maana panapo makaburi sheria haikatazi kujenga makaazi
@NassorAlmazruy-bz4or16 сағат бұрын
Acheni unafki pasipokua na haki hmn amani. Na penye dhulma hmn maendeleo tusidanganyane wazee..
@adamstour5736-kb6zq16 сағат бұрын
Tifu tv kiukweli mnatakata kutafutia fitina na Mamlaka ili tujetuambiwe tunatukana e kumbe tunasema ukweli maana maneno ya huyu jamaa yanakereketa nafc hasa kwa kukosa mshonano wa hoja
Yaan tupo kwenye zama ambazo Raisi wengi katika hii dunia ya sasa wanaendesha nchi kwa mabavu na sio matakwa ya wananchi
@adamstour5736-kb6zq16 сағат бұрын
Kiuhalisia nafasi yako kiitifaki na uwezo wako wa kuzungumza ni mbingu na ardhi kiukweli hujuw kuzungumza bali unajuwa kusema tu
@adamstour5736-kb6zq16 сағат бұрын
Kwaiy Tanganyika hakuna mtu wa Dodoma ambaye anacmamia uchaguzi geita ikiwa wako kwnn nako kusiwe na kura ya cku mbili ?
@feisalmwinyi242917 сағат бұрын
Sifikiriii km Mama zng walowepo apo km wanafuraishwaa na uneno unao leta chuki kati ya jamii km mlifanya pmj kumbe mshafanya mingi ok na naona km wakati serekali kuanza kumfuatilia kaka yk kule nugwi 😅
@ShadiaMussa-z6c17 сағат бұрын
❤
@abdillahmohd431717 сағат бұрын
Allah atuhifadhi
@AhmedSeif-il1xx17 сағат бұрын
Ww nimwizi tu mnafiki mkubwa ww
@RashidiAlly-cl7fo17 сағат бұрын
Wananchi wako hatuna uwezo wa kupata mlo mmoja wa uhakika kwa siku,jee!! hili unalijua bwana Rais?
@RashidiAlly-cl7fo17 сағат бұрын
Umeona wapi binadamu anayetembea bila ya kichwa?,Kichwa cha amani nchini ni haki,bila ya haki hakuna amani tusidanganye watu wazima msikitini,kwa nini neno haki hulizungumzi na wala kutaja angalau kwa sekunde moja tu kwa ulimi wako?,
@shaabanmohammed261117 сағат бұрын
Ofisi ya Mufti haina record nzuri katika kusimamia Utawala bora haki na usawa. Sitegemei wakupe ushauri wa maana. Wanaangalia matumbo yao na kumpamba Mfalme kwa maslahi yao binafsi. Wamesoma Dini lakini hawajahitimu. Hawafati mafunzo ya Dini yao
@shaabanmohammed261118 сағат бұрын
Unatafuta huruma kutoka ofisi ya Mufti/Kadhi i dont know. Watu hao wanalalia upande wako wakijipendekeza na kusahau kukukumbusha wajibu wako wa kusimamia haki. Wanapaswa kukuasa kukemea ufisadi na wizi. Wanatakiwa wakukumbushe kukemea ubaguzi. Wakwambie Mkuu unabeba dhima tekeleza ahadi watendee haki Wananchi. Mumuase Mkuu kutodhulumu nafsi za Wazanzibari kwa kumwaga damu hasa kipindi cha Uchaguzi. Mkumbusheni yalotokea wakati wa Uchaguzi 2020. Mwambieni yale yasitokee tena. Acheni kuzungumza maendeleo ya Barabara
@AbdulhaamidSoud18 сағат бұрын
Sheria zakijinga wizi.mtupu Tanganyika kubwa mara 50 ya Zanzibar mbona wanapiga kura siku 1?
@hafidhhemed151418 сағат бұрын
Amani haiweze kuwepo kama hakuna haki.. simamisheni haki amani itakuja automatic... Maendeleo gani, hayo ya kutawaliwa na wageni na maadili ya kizanzibari na ya kiislamu kuporomoka, kisa barabara na majengo? Waislamu tusiwe wanafik
@AhmedSeif-il1xx17 сағат бұрын
Kwani ww niwakundi gani
@AhmedSeif-il1xx17 сағат бұрын
Hatumtaki kamwe
@shaabanmohammed261118 сағат бұрын
Kampeni ndani ya Msikiti. Mashekhe wakilianzisha mnawazuwia. Mnachanganya Siasa na Dini. Unapata shida kubwa kukwepa neno Haki. Maendeleo yepi unayoyataka? Si unajenga Barabara Skuli Spitali....Hujali Haki za Watu uko tayari kuwanyima ZanID wasiweze kupiga Kura. Hukemei Ufisadi. Matendo yako yatajibiwa Oct 2025