Hakika Mungu muum wa mbingu na nchi anaenda kutenda mambo ya makuu na ya kushangaza katika maisha yangu Amen.
@zakiaemanuel661812 күн бұрын
Vita si vyagu ni vya Bwana🤲🤲🙌🏻
@scolastikapeter589212 күн бұрын
Asante mchungaji Mbaga ninamshukuru Mungu wa Mbinguni kwa ajili yako Maombi yangu kwako uweke familia yangu katika maombi yako ili imjue Mungu, na tumtumikie kadri atakavyo yeye 🙏
@scolastikapeter589212 күн бұрын
Asante mchungaji Mbaga ninamshukuru Mungu wa Mbinguni kwa ajili yako Maombi yangu kwako uweke familia yangu katika maombi yako ili imjue Mungu, na tumtumikie kadri atakavyo yeye 🙏
@bikyeombemteulwa272412 күн бұрын
Amen amen amen 🙏 atasijuwi kwanini kwanini nikisikia maubiri yako uwa najikuta nalia mahubiri yako uwa yanagusia maisha yangu natamani ningekuwa TZ angalau nikuone pastor MUNGU akupe maisha marefu kwahajiliyangu baba yangu