KAHAMA 2020 AUGAST . . . USISAHAU KU-SUBSCRIBE NA KULIKE CHANNEL YA MGMN TV ILI USIPITWE NA KILA SOMO JIPYA
Пікірлер: 43
@rosemnene51333 жыл бұрын
Asante Yesu 🙏🙏 Mungu akubariki MWL. GRACE MUNGU ABARIKI ISRAEL🇮🇱🇮🇱
@happinessmshana34754 жыл бұрын
Asante YESU, somo limekuja kwa wakati sahihi. Mungu ktk Kristo Yesu akubariki mwalimu
@joycemajule28463 жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi KWA masomo adimu sana. Uendelee kutufungua fahamu. Ubarikiwe sana. Amen
@jisandumachibya21633 жыл бұрын
Amen sanaa tunajifunza sana
@doreenmusee69084 жыл бұрын
Tunakuskia vizuri tena mwalimu....somo hili timely sana
@simonlema86783 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kupitia mafundisho ya Mwalimu, ndugu yangu amenusurika kudondoka kwenye mti mrefu baada ya kujiachilia kutoka juu, tawi likamzuia....kabla ya hilo tukio nilivamiwa na roho ya mauti wiki moja mfululizo, nikawa nasikiliza mafundisho Haya sehemu ya 1-4, nilifanya maombi mfululizo lakini bado niliota naandika risala ya msiba nyumbani, huzuni na nyimbo za msiba ilikuwa inanijia mara kwa mara, (Yesu kristo ni wa miujiza)
@mrsmobisa3 жыл бұрын
Amina Ushuhuda mkubwa sana.Asante Mungu akubariki.
@preciouspeter61263 жыл бұрын
Wow! Hongera mpendwa
@hildandyuki463810 ай бұрын
We
@eunicepilly8022 жыл бұрын
Amen Amen Asante Mungu kwa mafundisho haya Mungu akubariki Mtumishi wa MUNGU
@mwanyongaelectricalcontrac83883 жыл бұрын
Ahsante, sanaMwalimu, MUNGUakubarikisana
@angelanaftael79653 жыл бұрын
I love u mwl Grace
@nshomajuke25533 жыл бұрын
Ee Mungu wa rehema, niseme nini juu ya Roho mtakatifu aliyepo ndani mwako? Maana amesema na Mimi mno kupitia wewe mwalimu na anaendelea kusema mami. Yaani Roho amekuweka kayika viwango vya juu sana mama. Nafuatilia sana masomo yako. Yana hekima sana, yanaponya na kuokoa lakini kubwa zaidi nililolipenda kwako ni ile unatifundisha ili tujiombee wenyewe na tushughulikie matatizo yetu wenyewe. Lakini misingi ya utatu mtakatifu yaani Mungu baba, mwana na Roho mt na unatumia biblia. Naamini si kwangu tu nimepona Bali ni maelefu wataponywa. Umenifanya nijijue kwa kweli. Ubarikiwe sana mama na atukuzwe Roho my kwa ajili yako. Amina
@loothasanare36503 жыл бұрын
Natamani nifike kwako ninamengi ya kuzungumza na wewe mwalimu
@mrsmobisa3 жыл бұрын
Amina ni kweli Mwalimu anafundisha watu kujiombea.Mungu aendelee kumbariki mafundisho yake yanafungua wengi sana.
@janemarymilemberutahoile72103 жыл бұрын
Shaloom Mama Asante Kwa Tafakari nimeguswa na yule Mtoto mashine imeshindwa Kusoma Baba alikataa kumbe ni kuwa waombaji Viganganizi
@nevergiveup71163 жыл бұрын
Histagra anatumia jina gani??
@glorynkini57323 жыл бұрын
Amen.Mungu akubariki mwl
@hildernelson8214 жыл бұрын
Najifunza Mwl
@marianguli7994 Жыл бұрын
Asante Mama kwa somo zuri
@sakinaamoc94543 жыл бұрын
barikiwa mtumish
@Shalom20184 жыл бұрын
Amina mw.Mungu azidi kukubariki na kukusimamia
@elizabethlameki21233 жыл бұрын
Ezlia
@nevergiveup71163 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu akawe mlinzi wangu na familia yangu
@christopherrweyemamu32144 жыл бұрын
Amina. Mwl Mungu akuinue
@alhajikhalfani87153 жыл бұрын
mama mungu akubariki jaman sana kama unaongea na mm mama
@aristaricklekule49323 жыл бұрын
Ameen
@judithtungaraza26604 жыл бұрын
Amina...Mtumishi wa Mungu
@wallacestevenrutaserwa45172 жыл бұрын
Amen Mungu akawe mlinzi maisha yangu yote.
@neemamturi76522 жыл бұрын
Mungu unisaidie kuomba kwa bidii
@eliasifiwekileo81503 жыл бұрын
Asante Yesu
@sakinaamoc94543 жыл бұрын
asante
@humphreyswai14582 жыл бұрын
Amen katika jina la yesu
@magrethclement72434 жыл бұрын
May God bless you madam Grace,
@neemamassawe74193 жыл бұрын
Ameen mwalimu
@maikojohny3453 жыл бұрын
Amen
@scoviaokaronon43053 жыл бұрын
Amen am blessed 🙏
@marianguli7994 Жыл бұрын
Mama naomba kupata misaada nalipokuwa katika kuomba sana kushughulika na roho ya mauti juu ya familia yangu nilikuta niko ktk ndoto, nikaletewa picha nashambulia roho ghafla zinatokea ngurumo kali mfano ubapoongalia move ya kichawi mfano wa mizimu nilipozid kuomba nalipelekwa chooni kwenye ndoo ya maji nalipochungulia ndani ya ndoo nikakuta ngurumo nlipokaza kutazama nikaona mayai mawili mazima, natamani kupata tafsiri yake, maana yake nini, naomba nisidie