Mungu atukuzwe mtumishi wa Mungu nilikuwa nasumbuliwa na maumivu ya kifua Mungu amesikia maombi nimepona sasa ivi ashukuriwe Mungu wetu
@dorinimalisa30623 жыл бұрын
Amen mtumushi Mungu azid kukubarik
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@benben85983 жыл бұрын
Sifa kwa Mungu!Mungu azidi kukupa nguvu tokea mimi na familia langu tume kugunduwa,na zaidi ivi corona bado sisi tungali nayo apa Canada 🇨🇦 watu awaendi saana kanisa .ndio maana ume kua baraka kwetu sababu tunasikiliza mahibiri tv nasiwezi eleza ni mara ngapi ina tusaidia...
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji
@habaritv63643 жыл бұрын
Amen
@doricefrancis31173 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe pastor. Nipo dar es salaam nahitaji vitabu vya siri ya maombi yaliyojibiwa na vingine.
@ellenmbota12413 жыл бұрын
Amen amen pr umenifurahisha na hiyo sitor Mungu akubariki
@hellinahombuya41133 жыл бұрын
Napenda sana neno la Mungu,barikiwa mchungaji.
@asooraaasooraa48163 жыл бұрын
Ameen
@wewehehe64053 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa neno nzuri
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Siwez lala bila kusikiliza maombi kil siku izi apa nipo kitandani nasikiliza uku nasinzia..
@godfreydavid6996Ай бұрын
Nimekuwa na hofu kwa miaka kumi,ila kuanzia leo naenda kuishinda kwa jina la YESU.