Huyu ni mwalimu wangu kama na wewe ni mwalimu wako gonga like twende sawa.
@lightmoshi31314 жыл бұрын
Nawaonea wivu watu unaowahudumia apo ana kwa ana,wewe nimtu mkuu sana,Mungu anakutumia kwa namna ya tofauti sana paster wetu👏👏
@jamesomwada29843 жыл бұрын
Amin nimebarikiwa na neno
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMINA🙏🙏nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji.na mungu akubariki akuzidishie kwa wema wake,asante kwa maombi yako kwetu,barikiwa🙏unatufunza mengi katika maisha kupitia maandiko matakatifu jinsi unavyo tuelekeza na kuya dadavua kwa kina.barikiwa sana frm KENYA;...be blessed.🙏
@Simplepleasures94 жыл бұрын
amen, hakika mhubiri umenisungumza kabizaa, ni kama tupo pamoja. Mungu akubariki Sana tena zaidi... Sifa kwake Maulana.
@semelameck2172 Жыл бұрын
Aminaa, barikiwa sana mtumish kwa somo hili, hakka nmebarikiwa na somo hili
@dianamalaba17764 жыл бұрын
Pr umenipa mbinu mpya ya kuomba, Asante Sana kwa somo hili, nmejua Maana halisi ya imani, nabadili mtazamo na namna ya kuomba Kuanzia leo. Ubarikiwee sana pr Mmbaga.
@EzekielMwamba8 ай бұрын
Amen Barikiwa sana mtumishi
@danielpaul92964 жыл бұрын
Amina,Mungu akubariki sana pr ,najifunza mengi sana na nnapata mabadiliko maishan mwangu
@everinekabakilwa73364 жыл бұрын
Amen Glory to Jesus Christ and Asante sana kwa mafundisho kwa maana nafarijika sana
@judithnyanduko83044 жыл бұрын
May God walk with you forever pastor! You have been a blessing to many
@bosireogwera38752 жыл бұрын
Amen powerful message 🙏🙏🙏🙏
@lightmoshi31314 жыл бұрын
Great u man of god
@eliadeus2363 жыл бұрын
Asante Baba Mungu wangu na akubariki .
@beatricemageka79724 жыл бұрын
Amina pastor,Mungu na atusaidie tuweze kufahamu jonzi zetu
@eliakimstephen86074 жыл бұрын
barikiwa sana pastor ,n imesikia nami nimeamini ,naenda kutendea kazi
@josephinejob32274 жыл бұрын
Be blessed a lot pastor
@esternaftari45534 жыл бұрын
Mtumishi unanibariki sana Mungu ukimpendez naomb kuongea na wew
@TommyLee-ib5pk4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kuna kitu kikubwa sana ndani yako wewe ni mwalimu mzuri sana
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Kwa kweli Niko na njonzi moyo, nikiuliza nitaitimiza vipi, ila kwakisikia maubiri haya, nimeondoa maswali, mungu ashuulike. Amen thank you my lord from qatar.
@exuperkamili51742 жыл бұрын
Mtumishi ameni
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Asante Mungu anisaidie sana barikiwa mchungaji
@paulmakingi83964 жыл бұрын
Amina, Mungu akubariki sana pastor
@kitulohenry23934 жыл бұрын
pr atukuzwe Mungu kwa ajili yako....unazidi kufikisha ujumbe kwetu..ubarikiwe.
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amen hakika mafundisho haya yananibariki sana naona tamaini jipya
@maliyadinas96454 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungazi ni mebarikiwa sana tena ninapo sikiliza mahubiri yako najiskia kuguswa kweli kweli
@marycheupe86134 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu mana nabarikiwa vyaajabu
@janejoseph90094 жыл бұрын
yaani pastor unanibariki sana acha niombe MUNGU anipe raho y kukuombea
@edouardwalofils41354 жыл бұрын
Nivizuri kabisa
@jeniferjohn60834 жыл бұрын
Brother WILFRED NIMEKUONA LONG TIME SANA KANA BE BLESSED.
@farajachalamila54864 жыл бұрын
Jenifer John tunamshukuru Mungu,kwayote,,maana kama nichangamoto zabiashara tunajaribiwa sana
@gaudensiakumalija88714 жыл бұрын
Barikiwa Sana Pr songa mbele natamani siku moja tuonane Mungu atusaidie.
@nondoedimo95862 жыл бұрын
God bless you pastor 🙏❣️
@glorymarandu54264 жыл бұрын
Mungu atukuzwe Sana Mungu akutunze na kukutumia vema kwa jina la Yesu
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Wewe pastor unanibalikii sana 🇰🇪🇰🇪mungu aedele kukuinua
@verahillah23883 ай бұрын
Amina
@risperlumumba9664 жыл бұрын
Amen 🙏 Barikiwa Mtumishi wa Mungu..
@maombijofre2302 Жыл бұрын
God bless you
@mn94844 жыл бұрын
Amina!! Asante Mungu kwa mafundisho.
@rosembwambo3813 жыл бұрын
Amina
@barakajoseph18164 жыл бұрын
May God uplift this minsirty forever
@elizabethstephen40492 жыл бұрын
Asante MUNGU
@shukranjulius95262 жыл бұрын
Haleluya
@rosemaryotieno32434 жыл бұрын
Ubarikiwe nawe, mchungaji
@asiamahanga94524 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji
@dianamhanila51874 жыл бұрын
Amen Amen
@stellamosota26 Жыл бұрын
Amen 🙏
@joshuamasiaga70514 жыл бұрын
Joshua kutoka NyAmongo Tarime pastor nabarikiwa sana na mafundisho yako
@jordanmashaka504 жыл бұрын
Majuzi nilifika eneo moja linaitwa Nyarwana...je hapo ni karibu na Nyamongo?
@frankgabriely92944 жыл бұрын
Amina
@judithcherono25954 жыл бұрын
Amen Thank you
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
AMEN
@upendoashery77054 жыл бұрын
Unani bariki Sana mtumishi
@yusuph15474 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa Mahubiri Tv
@nippermshana92604 жыл бұрын
Barikiwa sana
@RoseRose-vf5km4 жыл бұрын
Naji funza barikiwa sna
@samuelkusina37559 ай бұрын
Mchg nina tamani nipate nakala za vitabu vyako , nitavipataje. Mchg Samuel A. Kusina.
@MahubiriPrMmbaga9 ай бұрын
Mpigie huyu +255673888226
@moseretanicolas60204 жыл бұрын
Amen neno hili likawe baraka kubwa kwa watu wa MUNGU
@janenyagwencha77374 жыл бұрын
Mafunzo mazuri ya kugusa roho Amen
@namsifumnzava61633 жыл бұрын
Amina Barikiwa mana tunabarikiwa
@naomijuventus54364 жыл бұрын
Mbaga nakukubali kwa chakula unachonipa,nami nimekubali kuchapwa na nimemwambia MUNGU inatosha,nasubili mema.
@jestinasimon4130 Жыл бұрын
Swali la ufahamu kuhusu mavazi hasa wanawake je tuvaeje?
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
1 Timotheo 2:9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;