AMEEN hakika Mtumishi wa Mungu ,hofu ni hatai mbele za Mungu na hata ktk maisha yetu.
@ngendahayongenasamuel29035 жыл бұрын
Naomba mwendelezo wa sehemu ya pili. Mungu akutie nguvu mchungaji.
@davidmmbaga33505 жыл бұрын
Ngendahayo Ngena Samuel Utakuja hivi karibuni
@juliusstephen57535 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji mahubiri yako yamebadli isha maisha yangu nimeamua kubatizwa.
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Amen! Mungu akubariki
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Amina
@josephjoseph38115 жыл бұрын
Ubarkiwe
@philipowilliam14555 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish
@samuelmussa48095 жыл бұрын
Amina
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amen Bwana apewe sifa milele nimeguzwa mchungaji nasikia kufunjika mbele za BWANA MUNGU Ooh Yesu nisamehe mimi mtenda dhambi.
@victoriachaula39214 жыл бұрын
Asante Yesu , umeniona uovu wangu
@jeniferjohn60833 жыл бұрын
Amen
@calvinmusa85054 жыл бұрын
Mafundisho makuu kweli kweli. Ubarikiwe Mchungaji. Mungu aendelee kukuongeza hekima. Amina!
@neemahamisi43024 жыл бұрын
Shalom pastor asante kwa hili somo nimejua Mungu ananipenda sana God blues you
@dorahmcharo50295 жыл бұрын
Amen. Somo limekuja kwa wakati nilipo lihitaji. Asante Yesu.
@davidmmbaga33505 жыл бұрын
Dorah Mcharo Amen
@olvermbwambo43054 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji nabarikiwa sana namahubiri yako
@janekwahada5805 жыл бұрын
Ubarikiwe muchungaji mungu akoinuwe glory to God AMEN AMEN
@florabenard85425 жыл бұрын
Asante sana mchungaji nabarikiwa sana na mahubiri yako, Mungu wetu azidi kukufunulia zaid ili uzid kutulisha sisi wenye njaa
@watwegopnina64804 жыл бұрын
Nimekuelewa Mchungaji, Asante, yote ni kweli. Bwana Mungu atuhurumie.
@jeremiahoumaonditi82855 жыл бұрын
Have been blessed very much,the blood of Jesus Christ cleanses
@babyjanezablon88234 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa PR
@bonifacebeatrice80774 жыл бұрын
Hakika Mungu akuzidishiuye Upeo wake, na aturehemu tulipo mkosea% Amen.n
@yusuphzakayo7025 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Pr. Somo zuri mnoo
@EzehaSamson Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@josephmajura98035 жыл бұрын
hofu na hatia kwa kweli nimejifunza mengi Mungu akubariki PR nakuombea sana
@isabelavictor99644 жыл бұрын
Amen Amen
@abdonbwiro25745 жыл бұрын
Nakpenda mchungaji Mbaga hakika Roho wa Mungu yupo juu yako ubarikiwe
@johnsonfrodianus62374 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@mossesjoseph22022 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU.
@dorothybundalla5434 жыл бұрын
Pastor Mmbaga barikiwa endelea kutuelimisha ili tumjue Mungu
@gerraldamosskitula36163 жыл бұрын
Hakikaa mungu yupamojaa nasii
@childofgodkeziahabel71172 жыл бұрын
Neno zuri Asante Mungu wangu
@paschalmaya52024 жыл бұрын
Amen
@user-xg4mr4gs6j3 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji Mungu azidi kukutumia
@alexmlekwa63985 жыл бұрын
pastor nabarikiwa sana na masomo yako. uende mbali...
@mtotomzuri15165 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
AMEN & AMEN
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Hallelujah
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@damarissimon28345 жыл бұрын
amen
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amen sana
@elodieshukuru8568 Жыл бұрын
Mimi pasteur kwakwili siyo wewe unaye sema Nami, ila ni kristo peke yake, ubarikiwe Sana baba
@user-xg4mr4gs6j3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Mchungaji
@KaskeboyKaskeboyАй бұрын
Amena
@asooraaasooraa48164 жыл бұрын
🙆♂️🙆♂️🙋♀️.haleluya,
@florarose16263 жыл бұрын
Amen 🙏🏾
@denismodest15404 жыл бұрын
mm philipo justine na swali kwako naomb unisaidie kuna mtu kila siku huwa ananena na huwa na jeruhika sana wako wawili wana ni ponda keamba mim na hila nikijitazama sina hila wanayo isema
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina👏👏😂😂
@deborahmukendi19285 жыл бұрын
Amen 🙏🏻
@judithcherono25955 жыл бұрын
Amen barikiwa sana pastor
@sikuzanijulias20085 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor. Nabarikiwa Na mm nahtaji Mungu apate kuniokoa maana najiona cfai kupitia Roho Mtakatifu naamini nitaokolewa.
@nenya92nyandongo235 жыл бұрын
nι ĸwel нoғυ ιnaυмιza wengi
@BeatriceSosipeterWagara5 жыл бұрын
Amen, umenifungua macho kwa somo hili.
@agneskabura88544 жыл бұрын
Amen 🙏🏽
@hamisamohamed35594 жыл бұрын
asant ,MUNGU badilisha maisha yangu
@nyaluluntemi2778 Жыл бұрын
Mungu wetu niwaupendo anaendelea kutufunulia sili hizi nzito nakupata mchungaji toka hapa Tabora
@johnfaustinechannel7465 жыл бұрын
Mchungaji hili somo naomba ulirudie kwa kina bado sijaelewa vizuri hyo siri mimi kuna wakati nafika nakuwa sina amani na Mungu kutokana na dhambi zangu hasahasa zile za kujirudia Mchungaji nieleweshe vzuri hili fumbo maana bado haliiingi akilini kabisa bado nna hatia japo mimi ni wa humuhumu kwetu sisi wa siku ya saba. aliyeokolewa akiendelea kuwa mkosefu Mungu huamua nini?
@leahamosi27224 жыл бұрын
mchungaji hapo kwenye habari ya martin lutha alipozungumzia habari ya kama wazazi wake wangekua wamekufa angekua tayari kufanya matendo yake mema ili kuwatoa toharani. je TOHARANI NI NINI? NA JE NI WAPI? . JE MTU AKIFA ANAKWENDA HUKO TOHARANU AU ANAMRUDIA MUNGU? msaada tafadhali
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Mchungaji niko na brother zangu watatu wako na uraibu naomba mungu awakomboe kutokana na hiyo hali
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atende
@bonifacenaaly64145 жыл бұрын
Bado ukitoa kwa wingi utabarikiwa na si kuokolewa
@bonifacenaaly64145 жыл бұрын
Neno linasema umebarikiwa mkono Wa utoaji kuliko wakupokea
@neemajohn61422 жыл бұрын
Hata mimi sielewi!! Una kanisa kubwaa lakin waumin wako wako hoi hata mimi sielewi, mnajenga shule kwa mchango wa waumini lakin wanakosa Ada ya hiyo shule hata mimi sielewi @mahubiri tv
@violetjoseph86495 жыл бұрын
Somo zuri limenifanya nibadili dhana mbaya ya kutoa ili nibarikiwe,,,,sasa nitatoa kwasababu nmeokolewa
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Amina
@janethdeus21275 жыл бұрын
Ubarikiwe
@upgo61122 жыл бұрын
Ndio.
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Eee Mungu nisamehe dhambi zangu ili nipate kibali machoni pako.
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Amina
@samsonngweina50483 жыл бұрын
Nilikuwa na hofu lakini nimeamini hata hivi nineema ya Mungu
@fredmakambo71605 жыл бұрын
Natamani Wenzangu wa Sloam wasikilize huu UFAHAMU wa kweli