Рет қаралды 27,779
Kitabu cha Ufunuo kinataja habari za Muhuri Saba, ambayo Kristo ndio mwenye mamlaka ya kuifungua, katika somo hili utajifunza ukweli huu wa kushangaza wa Ufunuo wa matukio katika kanisa la Kikristo mpaka wakati wa Mwisho, Mungu akubariki sana.