Jinsi ya Kulitambua Kanisa la Mungu Duniani

  Рет қаралды 44,426

Godfrey Machota

Godfrey Machota

Күн бұрын

Ufafanuzi wa Ufunuo sura ya 12 juu ya Pambano Kati ya Joka na kanisa la Mungu la siku za Mwisho.

Пікірлер: 129
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Ufafanuzi wa kitabu cha ufunuo sura ya 12
@oscarngowi5578
@oscarngowi5578 5 жыл бұрын
Mwinjilisti Machota . Mimi nilikuwa mkatoliki tena mwenyekiti wa jumuia . kutokana na mafundisho yenu nikabatizwa nikahamia SABATO . ubarikiwe sana mtumishi
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
@@oscarngowi5578 Ubarikiwe sanaaaa Mungu aendelee kukupigania
@danielelinest1237
@danielelinest1237 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akulinde daima
@TheCvm229
@TheCvm229 5 жыл бұрын
@@oscarngowi5578 mafundisho yako sawa kwa kiasi fulani suala la wasabato ambalo linawatenga na kweli ni Jumamosi na vyakuka kama kitimoto..
@samuelmoses9243
@samuelmoses9243 4 жыл бұрын
@@oscarngowi5578 Mungu akutie nguvu udumu ktk kweli yote
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 5 жыл бұрын
Mimi hufurahia Mungu kwa ajili ya kuweka watumishi wake ili wajulishe watu ukweli na kuokoka. From protestant to Catholic now am happy to be an SDA
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Barikiwa sana
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 4 жыл бұрын
Me too Rose
@saitotisapiyo5997
@saitotisapiyo5997 4 жыл бұрын
Hapo sawa same
@geraldyohana7718
@geraldyohana7718 3 жыл бұрын
@@MwinjilistiMachota mpo wap mtumishi au kama inawezekana nitumie namba yako
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 3 жыл бұрын
Tafuta kanisa lolote la waadventista wasabato lililopo karibu nawe, watakusaidia
@elizabethfatuma9053
@elizabethfatuma9053 2 жыл бұрын
Babeli kweli Mungu atusaidie sana
@okungukevoh7324
@okungukevoh7324 2 жыл бұрын
From napenda mahubiri yako. I like how you preach prophecy with all evidence
@marzymarcy96
@marzymarcy96 5 жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwaukweli huu nilikua gizani lakini ninapofatilia mafundisho yako ninaiona nuru.barkiwa
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukuangazia nuru na kukuongoza
@doricemrema2177
@doricemrema2177 3 жыл бұрын
Umeongea vema nami nakuunga mkono,🙏 mm mwenyewe NATAFUTA kanisa la sabato maana ndo naona Lina fuata sheria
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 5 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi
@jimidoni4467
@jimidoni4467 2 жыл бұрын
amina
@maryamayitsa6181
@maryamayitsa6181 3 жыл бұрын
Mungu tu atusaidie
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Thanks for uploading to enlightening us in one way or another 🇰🇪🇰🇪✊
@sadockruhasha6512
@sadockruhasha6512 3 жыл бұрын
Nawezaje kuokoka
@titus_maridhia
@titus_maridhia 2 жыл бұрын
Faida mojawapo ya mitandao, darasa hili limewekwa miaka mitatu iliyopita, Mimi najifunza leo.natumai na mwingine atajifunza miaka ijayo video hii ikibaki kuwapo. Atukuzwe Mungu
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 2 жыл бұрын
Amen
@danielelinest1237
@danielelinest1237 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu Kristo aliye hai
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Amen
@jelwaslinje8603
@jelwaslinje8603 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@gracenyamisa8703
@gracenyamisa8703 3 жыл бұрын
Amen Amen ukweli kabisa Dunia imeisha
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 3 жыл бұрын
Kanisa la kweli la yesu kristo ni wamini waminifu waliojazwa Roho Mtakatifu wanao tembea na ishara na majabu ya jehova Mungu analithibitisha neno kwa ishara na ajabu kanisa la kweli sio thehebu wala Dini za watu hapana Mungu anawatu wake na Dini inawatu wake
@haronotindo
@haronotindo 4 жыл бұрын
Thank you may God bless you,and your family I'm very happy
@edwinezawadi4707
@edwinezawadi4707 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana na Bwana
@elishampoki8751
@elishampoki8751 7 ай бұрын
Joka ni tasisi za kidini ,zimewameza watoto wa Mungu,Hawatoki humo
@upendoedward1651
@upendoedward1651 5 жыл бұрын
Asante kwa kuliinua jina la Bwana, kwa kulitambiaha kanisa lake. Umenifundisha kitu kikubwa sana Mungu akubariki sana.
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Amen
@UfalmewaMungu
@UfalmewaMungu 4 жыл бұрын
Nimekubali MKUU uko vizur ubarikiwe,, saana mtumishi
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@josejohn8524
@josejohn8524 5 жыл бұрын
Ubarikiwe kwakwer ww ni jembe la yesu
@isaiahstadius2383
@isaiahstadius2383 5 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwinjilisti, mimi nipo Morogoro Mungu amenifunulia kuondoka katika taasisi ya Lutherani kutokana na mafundisho yako,naomba nifahamu wapi lilipo kanisa la Wasabato hapa Morogoro.
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
0754319664 nitafute nikuelekeze
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
@malaikawatatutv.ufunuo14.84 4 жыл бұрын
Hongera Sana maana mm pia nilkuwa EAGT Sahv n Muadventist karbu kweny ukweli
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 2 жыл бұрын
Isaya 1:13 Dini ya sabato sio Dini ya kweli hao Ni waongo kanisa la kweli Ni mwili wa yesu na watu waliookolewa na yesu kristo kanisa la kweli Ni waumini waminifu mbele za Mungu na kanisa la yesu kristo lipo ulimwenguni pote na hawana Munganiko wowote na Dini yoyote maana wanatembea rohoni na wanaoongozwa na Roho Mtakatifu
@abdonbwiro2574
@abdonbwiro2574 5 жыл бұрын
Barikiwa dah Mungu akbark mtumishi
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Barikiwa pia
@elishampoki8751
@elishampoki8751 7 ай бұрын
Muongo Mkuu Dini ya sabato sio kukimbilia huko nako kunashetani Sehemu ya kukimbilia nikumkimbilia Yesu kristo tu sio tasisi za kidini Dini yoyote ni pepo la uongo
@barikimatabishi3544
@barikimatabishi3544 Жыл бұрын
@deustutu1162
@deustutu1162 5 жыл бұрын
amina sana mtumishi nimebarikiwa sana
@otianasanga9106
@otianasanga9106 3 жыл бұрын
Ninacho mshukulu MUNGU yeye anaangalia moyo siyo siku zakuabudu MUNGU anaabudiwa kila sekunde
@tonnsimbasportsclub7168
@tonnsimbasportsclub7168 5 жыл бұрын
***ubarikiwe***
@octaviusakizabraiton5133
@octaviusakizabraiton5133 4 жыл бұрын
Yesu alisema katika Marko16:15.... Endeni ulimwengun mwote mkaihubili injili kwa kila kiumbe aaminie na kbatizwa ataokoka asieamin atahkumiwa na ishara hzi ztafatana nao wamwaminio kwa jana la yesu watatoa pepo watapoza magonjwa watanena kwa luga mpya nk je ishara hzo znafanywa na kanisa gan npe jb Acha ubabaishaj
@susanraphael5894
@susanraphael5894 3 жыл бұрын
Watu wa sheria sadukayo na mafarisayo
@emmanuelmbuliimo7055
@emmanuelmbuliimo7055 5 жыл бұрын
Good
@stephanelupemba4713
@stephanelupemba4713 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mutu Mimi nimezaliwa katika dini yaki Protestant na sasa tiara tumekwisha kujuwa kama Sunday ni juma pili na tangu tumezaliwa huwa tuna Muabudu Mungu juma pili Mungu Ibrahim isaka na yakobo Mungu wa Israel tukimuabudu katika Roho na kweli na Yesu Kristo na sasa tumeona ni wapi makanisa yako yanaelekeya. Sasa tufanyaje sisi waabudu juma pili! Ila kwangu mimi siwezi nikaingiya katika dini laki Catholic apana siwezi kabisa.
@stephanelupemba4713
@stephanelupemba4713 5 жыл бұрын
From south Africa
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu ushuhuda wako ni wa nguvu, tafuta kanisa la waadventista wasabato lililo karibu nawe
@stephanelupemba4713
@stephanelupemba4713 5 жыл бұрын
@@MwinjilistiMachota okay
@josejohn5237
@josejohn5237 5 жыл бұрын
Mchungaji jaribu kwenda taratibu usiwe na spidi sana, binafis nakuelewa sana
@amanimwidowe653
@amanimwidowe653 5 жыл бұрын
Ameni
@abakukikasiano5707
@abakukikasiano5707 4 жыл бұрын
Nihatali
@octaviusakizabraiton5133
@octaviusakizabraiton5133 4 жыл бұрын
Ishara alizotaja yesu ndo znawakilisha kanisa la kweli la wafuasi wa yesu wala wala sio kuabudu jmamos tu na ishara hzo znafanywa sana na makanisa ya kipentekoste sio mengine usituubili siku utuubili uzima wa milele
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 3 жыл бұрын
Ukiona mtumishi anahubili na kuitetea Dini yake huyo sio mtumishi wa Mungu ni washetani maana mashetani ndio wenye mathebu ndio watawala wa Dini watumishi wa Mungu tunawajua wanahubili injili ya Toba kwa mataifa yote ili mwamini yesu waokolewe sio kujiunga na.dini.dini ni Mali za watu.na zimepoteza watu kibao wanaenda moyoni na Dini zao ikiwemo dini.ya saboto na Dini zingine Ukitaka kwenda uzima wa milele achana na Dini yako mfwate yesu kristo hakika na kwambia utaponywa wewe na familia yako ukifanya hivyo
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 3 жыл бұрын
Kanisa la kweli wewe hulijui hata kidogo Mungu anawajua watu wake na kila mtu alitajae jina lake na ahache uovu kanisa la kweli ni mwili wa kristo sio Dini ya sabato hapana hiyo ndini sio niongo kanisa la Mungu ni mtu mmoja yaliezaliwa kwa roho Hilo kanisa la kisabato ni Dini nimali ya watu Kama Dini zingine
@alisonikihedu9614
@alisonikihedu9614 3 жыл бұрын
Siokwel
@florence1kemuma840
@florence1kemuma840 3 жыл бұрын
Which church are we supposed to worship.please help!
@eliaslorry6343
@eliaslorry6343 3 жыл бұрын
Church of chirst.
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 3 жыл бұрын
Find any seventh day Adventist church near you
@octaviusakizabraiton5133
@octaviusakizabraiton5133 4 жыл бұрын
Ww jamaa unatetea jumamos unaonekana unaabudu siku
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 3 жыл бұрын
wewe hitetei neno la Mungu unatetea Dini yako unachanganya mafundisho tetea mwili wa kristo sio tasisi ya Dini ya kisabato usiwadanganye watu wewe ni Mali yadini sio mtoto wa Mungu.watoto wa Mungu hawachangamani na Imani za mathehebu Wala Dini za watu
@oblemongi4195
@oblemongi4195 3 жыл бұрын
Tunahitaji Neema yake Muumba haya mengine ni Yale yaliyokataliwa ya kujikweza na kujidhiri
@deustutu1162
@deustutu1162 5 жыл бұрын
mm ni mkatorick ila hao mapapa watapa adhabu yao kuposha watu wa Mungu
@feriksizakayo7894
@feriksizakayo7894 5 жыл бұрын
Jifunze zaidi utagundua mengi
@shishshikoh4979
@shishshikoh4979 5 жыл бұрын
Toka huko uje zizini mwa Bwana
@michaelmaguru6435
@michaelmaguru6435 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@georgegithua9589
@georgegithua9589 4 жыл бұрын
Mathew 15:14
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 4 жыл бұрын
Nilikua mwaminifu sana katika kanisa katoriki (mfia Dini) lakin nilipogundua uongo wa kanisa hili niliondoka na sijawahi kujuta kutoka moyo wangu unafuraha sasa
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
Imeandikwa utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake..... Hayo mambo ya dini lkn mliookoka mtazameni YESU aliewaokoa hayo ni ya ulimwengu ni dini ,dini ni mbwa mwitu aliejivika ngozi ya kondoo hujifanya ni mpango wa Mungu kumbe sio Bali ni uongo, wajifanya kuwa ni wayahudi kumbe sio Bali wasema uongo ni sinagogi la mashetani.
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 4 жыл бұрын
Hakika dini mbele ya Mungu ni ya Uislamu, na yeyote atakaekuja na dini isiyokuwa ya Uislamu siku ya Qiyama (malipo) hatokubaliwa mtu na dini hiyo nae atakuwa katika waliokula hasara.
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 4 жыл бұрын
Hahahaaa umechelewa sana
@samuelmoses9243
@samuelmoses9243 4 жыл бұрын
Umepotea sana wewe hujui hata historia ya uislam
@malaikawatatutv.ufunuo14.84
@malaikawatatutv.ufunuo14.84 4 жыл бұрын
Ona huyu mtu aliyepotea
@apolikapilugenge3846
@apolikapilugenge3846 5 жыл бұрын
Mtumishi,yesu alikuja kwaajir ya wenye dhambi.waache wenye dhambi waende kuona mungu anavyoabudiwa ,sio kuwakatanza wasiende kuona jinsi mungu anavyoabudiwa.Namefrah kuona jinsi kanisa katoriki linavyojitahidi kuwaita wenye dhambi kanisani.Kanisa limeletwa kwaajiri ya wenye dhambi sio wale ambao hawana dhambi.labda nyie wasabato mnawaita wasio na dhambi waingie kanisan kwenu.Yesu alikuja kwaajir ya wenye dhambi ,soma biblia uelewe,kuropoka ovyo
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Huwezi kuchanganya nuru na giza, huwezi kuligeuza kanisa la Mungu litumike kufanya matambiko ya kimizimu. Wadhambi wanaitwa waache dhambi zao, sio aendelee na dhambi zao maana Hakuna ushirika Kati ya nuru na giza
@johntemba4218
@johntemba4218 5 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa mafundisho ya kweli cz Me nipo kama watu wa Beroya kwan huwa napima unachofundisha na kile ambacho Biblia inasema.
@johntemba4218
@johntemba4218 5 жыл бұрын
Kwa hiyo mtaishi kwenye dhambi mpaka lin? Mathayo 25:1_...
@nurumasud1962
@nurumasud1962 4 жыл бұрын
Mwinjilisti Machota upo vizurii sana wasikuchanganye yaaan mm nimekuelewa sana hao wanakupinga ni wapinga kristo wasikuumize kichwaaaaa sema tuu ukweli tuchomweeeeee wanyakyusa tunasema isyu lya kyala likulasa ila hapo ungeseema RC ndo kanisa la mung weng wangekukoment c huko raisiiii lakin ukisema sabato wapingaji weng sababu waikiitwa wasabato wanaona aibuuu😭😭😝😛😛 ndo uone shetan anavoifedhehesha sabato ya kweli na hapo ujiulize nyimbo za din na bongo freva zinazovuta weng ni nyimbo za bongo freva na jiulize bong frev ni nyimbo za upande ganiii???na ivoivo siku ya kwanza ya juma waendaji kanisan weng wakat sabato waendaji wachache bas hapo jibu unalo kwa mfano tu huo weng wanakimbia sabato et mashart na Kumbuka shetan anamulaum mung kuwa et hawapi uhuruuuu wanadamu ila yye ndo anawapa Uhuru bas mm hukohuko kwenye mashart ndo kwa mungu sasa maana sabato c inamashart mnasema bas ndo ya mung na huko kuliko hakuna mashart ni kwa shetan si hambanwii😋😋😋 na pia mungu anasema mkizishika sabato zang mtanipenda jee mbona hajasema mkiishika siku ya kwanza mtanipenda?? mwinjilist we tupe tu ukweli usitufiche sabato ndo mpango mzima hakuna kingne
@aminachacha3591
@aminachacha3591 3 жыл бұрын
Mom na amini unayofundisha nikweli mungu atusaidie kuelewa@@MwinjilistiMachota
@BakariAbdallhah
@BakariAbdallhah Жыл бұрын
Kanisa riko juu ya biblia mkasome (mathayo)28/1yesu alikufa ijumaa aka zikwa kabla yasabato akafufuka sikuya kwanza ya juma ambayo jumapili ninani katiyenu asiejua yesualifufuka jumapili (mathayo)28/1.inasema sikuyakwanza yajjuma (luka) piah hivo hivo
@jacklinengina3437
@jacklinengina3437 5 жыл бұрын
Naomba number yko nikuulize swali moja tu
@octaviusakizabraiton5133
@octaviusakizabraiton5133 4 жыл бұрын
Unipe majb naksbli je yesu aliacha kanisa linaitwa sda yaan sabato? Acha kdanganya watu ww
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
Wasabato ndio walimsumbua sumbua Bwana wetu YESU hata kumsulubisha wakipanga siku isiangukie sabato nao hawakujua kama sabato ni kwaajili ya MTU au mtu ni kwaajili ya sabato wakatukuza siku ya pumziko na kumuacha mpumzishaji mwenyewe Bwana wa sabato
@TheCvm229
@TheCvm229 5 жыл бұрын
Unaongeza maneno, hakuna sehemu imesema amri 10 za Mungu... Anaseme wazishikao amri za Mungu ila hajasema idadi.. Hilo andiko la Yakobo ulilotumia ni kwamba mnaambiwa ukiamua kufuata sheria shika zote. Mfano kama kitimoto ni dhambi basi shikeni torati yote..
@georgegithua9589
@georgegithua9589 4 жыл бұрын
YAKOBO 2:10-11
@samuelmoses9243
@samuelmoses9243 4 жыл бұрын
Sasa Amri za Mungu ni zipi sasa?
@chrispinimpepo7447
@chrispinimpepo7447 5 жыл бұрын
waga sichok kuangalia maubiri kam haya
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Barikiwa na share na wengine
@titusmutuo2810
@titusmutuo2810 5 жыл бұрын
mtumishi wa Bwana,katika jimbo letu nyumbani hamna kanisa ya SDA,mwenyewe sio mwanaSDA hila nauona ukweli...nalianza na Africa Inland Church (AIC) kisha nikaenda kanisa katoliki...kisha sikupendezwa na ule uabudu wa sanamu kule...nikarudi tena AIC...sasa nimekuwa nikifuatilia kwa kina sermons zako...ningetaka kujiunga naSDA hila hilo kanisa lipo tu hapa Nairobi lakini kwetu nyumbani halipo...ni rahisi kuhudhuria nikiwa mjini hila nikienda nyumbani kutakuwa na shida nifanyeje jameni...Nairobi sina shida nitahudhria..swali la pili,je kuenda Kanisani on sunday ni dhambi? kwa sababu nimeshawahi sikilia sermon isemayo uabudu jumapili ulikuwa wa miungu ya jua...
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Upo jimbo gani mtumishi
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
Kama sasa upo nairobi unaweza kesho enda kanisani ukutane na pastor ili akusaidie kukuunganisha na kanisa lililo karibu na kitui magharibi
@titusmutuo2810
@titusmutuo2810 5 жыл бұрын
@@MwinjilistiMachota ahsante mtumishi wa Bwana...Mungu awe nawe
@MwinjilistiMachota
@MwinjilistiMachota 5 жыл бұрын
@@titusmutuo2810 Amina, Bwana akawe ngao katika maisha yako, akupiganie na kukuongoza
@tobesimatiku8459
@tobesimatiku8459 5 жыл бұрын
@@MwinjilistiMachota barikiwa Sana
@TheCvm229
@TheCvm229 5 жыл бұрын
Hivi kumwabudu Mungu jumapili au siku nyingine zaidi ya Jumamosi ni dhambi? Umeeenda kote vizuri lkn hili la jumamosi ndo tunaachna hapo..
@mtumishitv3210
@mtumishitv3210 5 жыл бұрын
Kijana,kuwa makini Sana, hakikisha Ukweli unaotoka kwenye Biblia,Kisha utambue kuwa uko wapi,,soma maandiko kwa kuomba uongozwe na Roho mtakatifu,Kisha nae atakufunulia,Kisha chukua uamzi usisite,Wala usiwaze kuwa watu wa family ya kuwa watakufikiliaje,,Mungu akufunulie Ukweli
@nurumasud1962
@nurumasud1962 4 жыл бұрын
koo unataka lin wewee kama jumamos mungu ndo aliisimika wewe unaipingaje hulazimishwi ila mungu jumamos ndo anaitambua yeye wewe weka tu yakwako hyo sawa hulazimishwi okeyyyyy
@samuelmoses9243
@samuelmoses9243 4 жыл бұрын
Ng'ang'ania mafundisho ya wanadamu na kukataa Neno la Mungu.
@octaviusakizabraiton5133
@octaviusakizabraiton5133 4 жыл бұрын
@@nurumasud1962 yesu alisema wakati unakuja watamwabudu mungu katika roho na kwel kwahiyo kweli siokusali jmamos tu
@sadickcheyo1633
@sadickcheyo1633 4 жыл бұрын
Rafki sikiliza vizuri kishamluhusu mungu akufunulie ukweri mpendwa
@innocentmatanawe6250
@innocentmatanawe6250 4 жыл бұрын
NI muhimu wanaadamu wakaisoma Sana biblia, nakuifata,
@susanraphael5894
@susanraphael5894 3 жыл бұрын
Kanisa katoriki limewakaa kooni Hubirini neno la Mungu muache upotoshaji hukumu mnayo nyie mtabaki hivyohivyo kutafuta wateja Badala muhubiri neno la Mungu. Kwaiyo sabato ndo kanisa la kweli ?
KWELI ZA UNABII: (1) Kuujua Wakati; Na mwinjilisti Godfrey J Machota
18:05
7. Kuinuka kwa Mpinga Kristo ( The Rise of Antichrist )
54:25
Godfrey Machota
Рет қаралды 142 М.
КОНЦЕРТЫ:  2 сезон | 1 выпуск | Камызяки
46:36
ТНТ Смотри еще!
Рет қаралды 3,7 МЛН
진짜✅ 아님 가짜❌???
0:21
승비니 Seungbini
Рет қаралды 10 МЛН
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН
Their Boat Engine Fell Off
0:13
Newsflare
Рет қаралды 15 МЛН
UMOJA NA UTENGANO KATIKA KILIO KIKUU SEH:2
1:03:07
NITUME MIMI TV
Рет қаралды 96
Neno la Mungu | "Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu" (Sehemu ya Kwanz)
49:04
Kanisa la Mwenyezi Mungu
Рет қаралды 33 М.
Sirah Nabawiyyah Ke 3 - Entry of Judaism and Christianity into the Arabian Peninsula
2:03:51
Khalid Basalamah Official
Рет қаралды 3,1 МЛН
EPISTEMOLOGI - Haryatmoko
3:53:29
Pustaka Matahari
Рет қаралды 565 М.
KUSHINDA ROHO YA USINGIZI NA UZITO || PASTOR GEORGE MUKABWA
1:39:05
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 159 М.
8. Kuzifungua Siri za Mihuri Saba ( Mystery of the Seven Seals )
44:38
Godfrey Machota
Рет қаралды 27 М.
3. AMRI YA KUZUIA KUNUNUA AU KUUZA
1:28:30
Godfrey Machota
Рет қаралды 15 М.
КОНЦЕРТЫ:  2 сезон | 1 выпуск | Камызяки
46:36
ТНТ Смотри еще!
Рет қаралды 3,7 МЛН