Рет қаралды 660
Kijiji cha Loiborsoit ni Miongoni mwa vijiji vinavyunda kata ya Emboret Vyenye vitongoji 9, Safari yangu kutoka Arusha mjini ni kufika hapa kujua hali ya upatikanaji wa Maji safi na salama .
Licha ya Maeneo Mengine katika jamii za kifugaji kuwa na matumizi makubwa ya maji ya Mabwawa hapa loiborsoit A hali ni tofauti kdg, Wananchi hao wanatumia maji safi na salama kutoka katika visima vilivyochimbwa 8 zote zinatumika.