Jinsi ya kupata kuku wengi wa kienyeji

  Рет қаралды 365,707

AGALUS  TV

AGALUS TV

Күн бұрын

Пікірлер: 804
@rosella_255
@rosella_255 2 жыл бұрын
Somo Zuri sana, Mungu azidi kukubariki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amina KUBWA ndugu nawe endelea kubaki na agalus tv 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝
@RasiyaRasi-m1f
@RasiyaRasi-m1f Жыл бұрын
Shukran mungu atupe hekma namaarifa akustiri tuzidi kunufaika zaidi kupitia mafunzo yako amini 🤲
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina✍️🙏🏿
@EdithNdalichako
@EdithNdalichako 14 күн бұрын
Naomba namba za simu
@EdithNdalichako
@EdithNdalichako 14 күн бұрын
Nahitaji vifaranga hivyo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 14 күн бұрын
@EdithNdalichako wasap+255765467484
@paschalmagubo6337
@paschalmagubo6337 3 жыл бұрын
Njia nzuri sana hii kwa waoanza ufugaji na kuku wachache
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Sana🙏🙏
@veronicamwanalinze9532
@veronicamwanalinze9532 3 жыл бұрын
Hongereni sana. Mmefuzu vizuri sana, nitajaribu. Asante sanaaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante nawe kila la heri 🙏
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 Жыл бұрын
Nipo Zambia,nimeanza kufuga kuku baada ya kuingia utube na kuiona channel ya Agalus,vema na shukrani kabisa.changamoto vifaranga wangu wadogo wanazima njia ya haja kubwa na wanakufa sana,natumia dawa ya sulfa..nachanganya na antibiotics,lakini matokeo bado si fresh,usafi wa chumba na kutoa maji ya kutosha umezingatiwa sana,naomba suluhu ya kitaalam.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pole Sana ndugu. Ufaham uo ugonjwa vizuri kupitia video hii kzbin.info/www/bejne/bHXMn2qIpKidg9U
@queenmmole
@queenmmole 8 ай бұрын
Vifatanga wamevimba nundu kwenye masikio dawa ya asili ya kuyibu ni hipi msaada tafadhali
@elikandone
@elikandone 8 ай бұрын
Sawa ya asili ya vinundu kwenye macho paka mafuta ya mawese penye nundu atapona kwa mda mfupi tu
@Mammy79
@Mammy79 8 ай бұрын
Tafadhali mafuta ya Mawes ni gani/ni nini.
@annamikamollel360
@annamikamollel360 7 ай бұрын
Mnapatikana wapi? Na je ninaweza kuja kununua kuku kwako? Napenda sana masomo yako
@rehemaissa6164
@rehemaissa6164 3 жыл бұрын
Ahsante Sana, nimeanza kufuga na hili SoMo litanisaidia Sana, matamani kuwa na kuku wengi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu sana Mungu awe nawe🙏🙏🙏 Katika ufugaji wako
@NaasriRamadhani-c6g
@NaasriRamadhani-c6g 2 күн бұрын
Safi sana boss wangu nazidi kupata elimu ya fugaji
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 күн бұрын
🤝 pamoja
@FarashuuNassor
@FarashuuNassor 3 ай бұрын
Shukran kijana, somo ni zur sana sanaa sana. Je vifaranga vinapewa status mpaka wakifikia umri gan
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Asante sana ndugu. Hadi wiki 6 kisha unàanga wachanginyishia na grower kufika wiki 8 .utawapa grower tu
@aggymonyela3775
@aggymonyela3775 3 жыл бұрын
Somo nimelipenda sana. Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Narikiwa sana🙌
@TULIMKUMBWA
@TULIMKUMBWA 8 ай бұрын
Asante kwa somo zuri mm nataka nianze tafadhali Bushoke mkono
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@SalmaShabani-ou6gk
@SalmaShabani-ou6gk 7 ай бұрын
Ahsante kwa elim hii GOD bless you
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Amen to you
@merymrema420
@merymrema420 3 жыл бұрын
Ubarikiwe samo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🤝
@ESTERMFUGALE-wp5le
@ESTERMFUGALE-wp5le 11 ай бұрын
Waoh. Asante sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 ай бұрын
Barikiwa pia
@MussaMussamubaraka
@MussaMussamubaraka 10 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@thobiassmollel2608
@thobiassmollel2608 3 жыл бұрын
Very nice advise
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Welcome🙏
@jairosgreyson3268
@jairosgreyson3268 2 ай бұрын
Ubarikiwe, naomba msaada dawa Kwanza kwa vifaranga asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Video hii itakusaidia Sana kzbin.info/www/bejne/mJuYqYWNpt-bnq8
@MagdaleneMagdalene-rz1sp
@MagdaleneMagdalene-rz1sp Жыл бұрын
Asante sana barikiwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ndugu nawe pia
@BossLoshilu-j8k
@BossLoshilu-j8k 11 ай бұрын
Good hakili Mingi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 ай бұрын
Pamoja ndugu
@rahayirwacelestin1768
@rahayirwacelestin1768 3 жыл бұрын
Good kwa elimu umetupea tuhangalilie sungura
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1🤝🤝
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 8 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
@marykundi4170
@marykundi4170 3 жыл бұрын
Thanks.a very good tuition
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Be blessed🙏
@MussaMussamubaraka
@MussaMussamubaraka 10 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@SusanWanjiku-xc1lq
@SusanWanjiku-xc1lq 7 ай бұрын
Thank you for your advice brother
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Your welcome
@denismsalasye9213
@denismsalasye9213 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
amina
@OTAIGOMNANDE-kh7ny
@OTAIGOMNANDE-kh7ny 8 ай бұрын
Ubarikiwe kwa some zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@agisojephrice4056
@agisojephrice4056 8 ай бұрын
Thank you for lesson
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Your welcome
@DaatwoNamkon
@DaatwoNamkon 7 ай бұрын
Asante kaka lengo langu nikitaka nianze kufuga kuku Tena wawe wengi, nashukuru kwa somo lako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@estherokumu8927
@estherokumu8927 8 ай бұрын
Asante kwa funzo mazuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿 tupo pamoja
@TresorVikalava
@TresorVikalava 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana na Mungu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Amina ndugu barikiwa pia
@babamando7629
@babamando7629 3 жыл бұрын
Asanten San. UK vizur
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@tinalulule917
@tinalulule917 8 ай бұрын
Good thank you
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Welcome
@alexkisineh
@alexkisineh 6 ай бұрын
Hongera sana kwa hilo somo,,mungu akubariki .Nikona swali ,,sasa ukifugia uyo kuku kwa siku nne bila kumpa chakula,,je hataweza kufa ama kupatwa n magonjwa?asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Hawez ndugu. Barikiwa pia
@theresiawapalina1988
@theresiawapalina1988 7 ай бұрын
Nineshukuru sana kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@mwanamisihamisilibondo9541
@mwanamisihamisilibondo9541 3 жыл бұрын
shukran kwa somo. ubarikiwe ndugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Amina Kubwa🙏
@feniussimon5822
@feniussimon5822 3 жыл бұрын
Japo napata taalifa leoo ngoja nijarbuu
@feniussimon5822
@feniussimon5822 3 жыл бұрын
Njia ya kuku kutaga kwa mapemaa tafadhar naombaa msaadaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu sana
@MarySinaibu
@MarySinaibu 6 ай бұрын
Asante sana kwemsada elimu nzur
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Barikiwa pia
@tatujumwa8510
@tatujumwa8510 8 ай бұрын
Somo zuri, asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa pia. Tunakutakia utekelezaji tu
@AzinaKitery
@AzinaKitery 7 ай бұрын
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@fatheroficial5943
@fatheroficial5943 8 ай бұрын
Hii inakitu safi 👏
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@aminamooni1488
@aminamooni1488 3 жыл бұрын
Asante. Santa. Nimejifunza. Kitu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏
@BeatriceKanja-z7r
@BeatriceKanja-z7r 4 ай бұрын
Asante nimepata elimu vizuri san
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
@jackurio9848
@jackurio9848 2 жыл бұрын
Asante kwa somo nitafanya
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Poa
@estherchebet6705
@estherchebet6705 3 жыл бұрын
Good lesson
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Welcome🙏
@aminachoga9266
@aminachoga9266 8 ай бұрын
Shukran ❤❤
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa pia ❤️🔥🙏🏿
@veronicagathiru1523
@veronicagathiru1523 8 ай бұрын
Asante kwa masomo na marifa. Nitaaza kufuga kuku kienjeji
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Na Endelea kufuatilia masomo mengine ktk channel hii Kuhusu ufugaji kuku utajifunza mengi
@FelisterNgajua
@FelisterNgajua 7 ай бұрын
Some lako nimelipenda ubarikiwe sanaaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@karenjacob5175
@karenjacob5175 3 жыл бұрын
Nimeelew kaka asant kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1 sana, 🤝🤝🤝
@elikandone
@elikandone 8 ай бұрын
Thanks alot
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Be blessed
@sylivialingo5438
@sylivialingo5438 3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante sana Ubarikiwe🙏🙌
@charleskyando6255
@charleskyando6255 7 ай бұрын
Good,wengi hatujui
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Hakika ndugu
@claudiahkinara4053
@claudiahkinara4053 6 ай бұрын
Actually May God bless you,I want to start
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Amen 🙏🏿 Your welcome
@magrethmbogela3401
@magrethmbogela3401 2 жыл бұрын
Asante kwa maarifa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Ndugu
@youniyou2059
@youniyou2059 3 жыл бұрын
Asante saana kwa hunielimisha kuhusu kulea kuku asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok kuhusu kulea vifaranga somo hili 👇kzbin.info/www/bejne/aqnUhXV3gKd7qZY ila kwa maelezo zaidi tuwasiliane wasap tu. +255765467484
@ponsianabyarugaba1564
@ponsianabyarugaba1564 Жыл бұрын
asante kwa SoMo zuri ukimuyangaya vifaranga kitu Cha Kwanza vifaranga unaanza kuwapa chakula gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Stater ya vifaranga cha dukani
@mardhiahamisi4332
@mardhiahamisi4332 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana kuanzakujifunza ufugaji bora wa kuku,nawaombea Mungu awazidishie maendeleo ilinasi tupate faida juu ya kukuwa kienyeji nazidikuananya ilinipate elimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu🙏🙏🙏🙏Amina
@mirriamjohn5885
@mirriamjohn5885 3 жыл бұрын
Somo zuri sana nitajaribu tu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu sana🙏 Kwenye hii mbinu
@praxedachenya4101
@praxedachenya4101 6 ай бұрын
Asante kwa somo zuri sana ,swali naomba unieleze jinsi ya kutunza mayai kabla yakumwekea kuku kulalia
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Sawa ndugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Sawa ndugu
@AllySengao
@AllySengao 7 ай бұрын
Mungu akupe kaul thabit il uendlee kutoa som zur zaid
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@henrygabriel2892
@henrygabriel2892 6 ай бұрын
kipindi hiki kinapatikana lini mimi ndiyo nimekiona sasa hivi
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 7 ай бұрын
Asante sana bro
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@LinetMaranga-t2t
@LinetMaranga-t2t Жыл бұрын
Like this one nitakuwa mfugachi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Welcome
@SurprisedDrumKit-sn9so
@SurprisedDrumKit-sn9so 9 ай бұрын
Asante kwa darasa nawezaje kupata vifaranga au kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@ZakariaKapaya
@ZakariaKapaya 4 ай бұрын
Nashukulu kaka kwa somo naitaji kuwa mfugaji mkubwa wa kuku wa kienyeji.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii
@danielmwakatuma1438
@danielmwakatuma1438 3 жыл бұрын
Nashukur kwa ushauri namiongozo.mbarikiwe.je hamna vitabu kwa ajili ya ufugaji wa kuku.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Vitabu vipo
@shabanimsemwa1202
@shabanimsemwa1202 3 жыл бұрын
Asante sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🙏
@nazleenibrabim
@nazleenibrabim 8 ай бұрын
Kitabu pesa ngapi​@@AGALUSTV
@baidrufamau6033
@baidrufamau6033 3 жыл бұрын
ASSALAMU ALAIKUM wabatakatuh Mm nategemea kazi yadereva na ningependa kuwa mufugaji nimejaribu maranyingtu kwa kutumia wenzangu lakini sajafaulu nakuiaca kazi nawona ngumu mana ndo kula yangu navile navyo Iona kazi ya ufugaji inaweza kulipatu lakini kulingana namajukumu nilio nayo uwa nashindwa kuka nyumbani waweza nipa ushaurigan mwenzio kwajina badru f kutoka ug nitafurai ukinijibu asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ufugaji ni kaz na inahitaji umakini sana umpte mtu Unae mwamini. Kwa ufupi Kama utaweza karibu tufanye kaz nasi. Tutakusimamia. Kwa maelewano nafuu. Karibu🙏 Wasap namba +255765467484 kwa wasap tu.
@azizahassan2097
@azizahassan2097 3 жыл бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 жыл бұрын
Asante kaka sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa🤝🙌
@joyceraphael207
@joyceraphael207 3 жыл бұрын
Kuku wangu wakianza tu kulalia baada yasiku nne wanaanza kula mayai naomba msaada tafadhali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pole sana ila wape madini ya chokaa na mifupa au kanunue DCP uo ni upungufu wa madini tu kwnye chakula🙏
@joyceraphael207
@joyceraphael207 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante sana kaka ubarikiwe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Amina KUBWA🙏🤝
@FaustaMgina-ko4ji
@FaustaMgina-ko4ji 7 ай бұрын
Nimelifurahia somo zuri.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa pia
@jumannesama3357
@jumannesama3357 3 жыл бұрын
Tunashukuru kwafaids
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 Жыл бұрын
Nimelipenda somo lako la ufugaji kuku wa kienyeji. Niko Mza Tz.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hongera Sana ndugu karibu tuzid Kujifunza kupitia channel hii
@Batulimussa
@Batulimussa 5 ай бұрын
Nashukuru kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Tupo pamoja sana ndugu
@salimomarhamad1024
@salimomarhamad1024 3 жыл бұрын
Very nice
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🤝
@JoycePatriciaKaduma
@JoycePatriciaKaduma 7 ай бұрын
Asante kwa somo lako, ninaweza kununua mayai ya kuku wa kisasa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Hayata totolewa
@ernestthomas3866
@ernestthomas3866 3 жыл бұрын
Unafundisha vizuri sana,je vipi whatsup group
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante tupo pa 1 kwa wasap bado kidogo ila tupo njiani🙏🙏
@marthaokerio7336
@marthaokerio7336 3 жыл бұрын
Thank you that is a very good lesson i like it God bless you.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Amen🙏
@pmgpmg7717
@pmgpmg7717 3 жыл бұрын
Funzo zuri sana.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@magrethmbogela3401
@magrethmbogela3401 2 жыл бұрын
Asanten
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa pia
@RehemaMgeni-k6m
@RehemaMgeni-k6m Жыл бұрын
Ahsante
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja
@adelimarsialphonce818
@adelimarsialphonce818 Жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu je kuku akianza kuvimba macho na umeshampa dawa ya mafua unafanyeje
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
KWENYE MACHO UKIFUNGUA KUNA VITU VYEUPE AU
@GuneMphuru
@GuneMphuru Жыл бұрын
Ni elimu na ujuzi tosha kabisa 👍
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@sporahnicholas3162
@sporahnicholas3162 3 жыл бұрын
Je whatsap unalo group
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Lipo telegram karibu sana🙏
@sporahnicholas3162
@sporahnicholas3162 3 жыл бұрын
P1
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 жыл бұрын
Somo nzuri hio, ningetaka kujua chenye inafanya kuku wawe na miguu ya yellow,
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Hatuja elewa fafanua vizur kidogo una maana rangi ya miguu kua yellow kw muonekano au
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Hello, ndio namaanisha kwa maonekano kwa miguu na kwa mdomo ni yellow,
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok tumekupata ngoja soon🙏🙏 kua na subira kidogo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Miguu kua yellow usababishwa na mambo 2 la 1. Ni urithi yaaani vinasaba (genes) au 2. Ulaji wa mahindi kwa wingi yaani nafaka za mahindi kwa wingi 👉Japo haina madhara kwa kuku🙏
@judithwanjiku4102
@judithwanjiku4102 3 жыл бұрын
Nashukuru sana,ntawapa mahindi kwa wingi.
@mayasamayasa1205
@mayasamayasa1205 3 жыл бұрын
Asante kaka
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Asante .
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa
@davidshekighenda5206
@davidshekighenda5206 3 жыл бұрын
Maarifa mazuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Hakika🙏
@samwelgaspar7361
@samwelgaspar7361 2 жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pamoja🤝
@ammakhan2239
@ammakhan2239 7 ай бұрын
Habari kaka unapatikana wapi... Asante sana kwa somo lakoo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@hassaniMkosa
@hassaniMkosa 7 ай бұрын
Nakubar
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@hassaniMkosa
@hassaniMkosa 7 ай бұрын
Naitaji kuku wakununua nipo dar es salaam mbande.
@euzebiayotham6459
@euzebiayotham6459 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kuku ukinyanganya vifaranga halafu ukamnyima chakula ck tatu hawezi kufa na njaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Hawez Amin ivyo 🙏
@mariamumbapirafreefaturt9644
@mariamumbapirafreefaturt9644 3 жыл бұрын
Naomba munifahamishe sehemu nzuri namaanisha mazingira mazuri ya kufuga kuku wastawi bila bugdha mahitajj ya vyakula ili update mifugo mingi na bora Mimi ni mgeni nataka kuanza ufugaji naomba msaada
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu kwenye ufugaji naomba ufuatilie somo hili👇 mambo ya kuzingatia ili upate mbegu bora ya kuku w kienyeji. Unapo anza kufunga kzbin.info/www/bejne/hF6nc4Kwlshrprc
@SamweliKereine
@SamweliKereine 8 ай бұрын
Somo safi lakini nauliza swali mm nina kuku kwenye mazingira yenye jua Kali au joto halafu wanamlalia mayai wanaacha bila kutatoa nitafanyaje hapo?
@juliettesagamiko5877
@juliettesagamiko5877 3 жыл бұрын
ELIMU nzuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🙏
@flotheashayo6233
@flotheashayo6233 3 жыл бұрын
Thanks sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1🤝
@AshamMussa
@AshamMussa 8 ай бұрын
Allah akubarik kwa SoMo laki mashaallah
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Amina ndugu nawe iwe heri pia
@rosembwambo6079
@rosembwambo6079 8 ай бұрын
Naomba elimu kulea vifaranga bila mama yao...pia bila kutumia madawa ya dukani....
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Andika you tube jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA taratibu. Tiba asili kwa vifaranga hapana angalau wafike mwez
@nurudinamchome6852
@nurudinamchome6852 3 жыл бұрын
Asante mkuu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1 🤝
@beautykamaghe9778
@beautykamaghe9778 3 жыл бұрын
Asante nimejifunza naweza kupata kitabu wap nipo mtwara mjin
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ucjari tunamalizia kukiandaa
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 жыл бұрын
Nimependa sana ninapenda KuFa nga kuku nitajalibu asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙌
@HadijaKidunda
@HadijaKidunda 7 ай бұрын
Hili somo nimelipenda sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@HadijaKidunda
@HadijaKidunda 7 ай бұрын
@@AGALUSTV Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Endelea Kujifunza zaidi ufugaji kuku, kulea vifaranga, magonjwa, dawa za kuku, mbinu mbalimbali za ufugaji kuku, tiba asili, chanjo za kuku pia. Video zote zipo
@mukandayisengagentille62
@mukandayisengagentille62 3 жыл бұрын
Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pamoja sana ndugu. Barikiwa ila cjui kama ulikumbuka Kusubscribe. Ili upate video zi gine
@halimamvuoni1117
@halimamvuoni1117 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV unda grup tunufaike Zaidi nimekukubali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ucjali linakuja soon🙏🙏
@cassianrobert4217
@cassianrobert4217 3 жыл бұрын
Good
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Thank you🙏🙏
@florahkuhabwa5228
@florahkuhabwa5228 3 жыл бұрын
Somo Zuri sana.I like lakini hawa kuku wa kienyeji si wanahitahitaji kutoka nje muda mwingine wapate madini na wadudu ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kila cku jion uwe unawatoa
@ngwadaratifa1008
@ngwadaratifa1008 8 ай бұрын
Ni somo zuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa pia
@NickoMapikipik
@NickoMapikipik Жыл бұрын
Nimeipenda
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@LameckMachemko
@LameckMachemko 8 ай бұрын
Engineer machemko from 🇹🇿 nimekubari uzalishaji wenu wa kuki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Barikiwa Sana Engineer
JINSI YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU WA ASILI BILA MAMA YAO
19:45
AGALUS TV
Рет қаралды 149 М.
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
Mbinu 8 za Kupata kuku bora wa Kufuga wa kienyeji
14:11
AGALUS TV
Рет қаралды 31 М.
2025: ANZA NA IDADI HII YA KUKU ILI KUTENGENEZA FAIDA KATIKA MRADI WAKO
10:19
FAHAMU NAMNA BORA YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU
11:56
Amina Mollel
Рет қаралды 24 М.
JINSI YA KUPATA KUKU 100 WA KIENYEJI KWA MIEZI 3 TU
10:29
AGALUS TV
Рет қаралды 42 М.
TIBA ASILI KWA KUKU:  MIMEA. 12 KAMA KINGA NA. TIBA KWA KUKU
14:12
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 285 М.
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН