Nipo Zambia,nimeanza kufuga kuku baada ya kuingia utube na kuiona channel ya Agalus,vema na shukrani kabisa.changamoto vifaranga wangu wadogo wanazima njia ya haja kubwa na wanakufa sana,natumia dawa ya sulfa..nachanganya na antibiotics,lakini matokeo bado si fresh,usafi wa chumba na kutoa maji ya kutosha umezingatiwa sana,naomba suluhu ya kitaalam.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pole Sana ndugu. Ufaham uo ugonjwa vizuri kupitia video hii kzbin.info/www/bejne/bHXMn2qIpKidg9U
@queenmmole8 ай бұрын
Vifatanga wamevimba nundu kwenye masikio dawa ya asili ya kuyibu ni hipi msaada tafadhali
@elikandone8 ай бұрын
Sawa ya asili ya vinundu kwenye macho paka mafuta ya mawese penye nundu atapona kwa mda mfupi tu
@Mammy798 ай бұрын
Tafadhali mafuta ya Mawes ni gani/ni nini.
@annamikamollel3607 ай бұрын
Mnapatikana wapi? Na je ninaweza kuja kununua kuku kwako? Napenda sana masomo yako
@rehemaissa61643 жыл бұрын
Ahsante Sana, nimeanza kufuga na hili SoMo litanisaidia Sana, matamani kuwa na kuku wengi
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana Mungu awe nawe🙏🙏🙏 Katika ufugaji wako
@NaasriRamadhani-c6g2 күн бұрын
Safi sana boss wangu nazidi kupata elimu ya fugaji
@AGALUSTV2 күн бұрын
🤝 pamoja
@FarashuuNassor3 ай бұрын
Shukran kijana, somo ni zur sana sanaa sana. Je vifaranga vinapewa status mpaka wakifikia umri gan
@AGALUSTV3 ай бұрын
Asante sana ndugu. Hadi wiki 6 kisha unàanga wachanginyishia na grower kufika wiki 8 .utawapa grower tu
@aggymonyela37753 жыл бұрын
Somo nimelipenda sana. Asante
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Narikiwa sana🙌
@TULIMKUMBWA8 ай бұрын
Asante kwa somo zuri mm nataka nianze tafadhali Bushoke mkono
@AGALUSTV8 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@SalmaShabani-ou6gk7 ай бұрын
Ahsante kwa elim hii GOD bless you
@AGALUSTV7 ай бұрын
Amen to you
@merymrema4203 жыл бұрын
Ubarikiwe samo zuri
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝
@ESTERMFUGALE-wp5le11 ай бұрын
Waoh. Asante sana.
@AGALUSTV11 ай бұрын
Barikiwa pia
@MussaMussamubaraka10 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV10 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@thobiassmollel26083 жыл бұрын
Very nice advise
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Welcome🙏
@jairosgreyson32682 ай бұрын
Ubarikiwe, naomba msaada dawa Kwanza kwa vifaranga asante
@AGALUSTV2 ай бұрын
Video hii itakusaidia Sana kzbin.info/www/bejne/mJuYqYWNpt-bnq8
@MagdaleneMagdalene-rz1sp Жыл бұрын
Asante sana barikiwa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ndugu nawe pia
@BossLoshilu-j8k11 ай бұрын
Good hakili Mingi
@AGALUSTV11 ай бұрын
Pamoja ndugu
@rahayirwacelestin17683 жыл бұрын
Good kwa elimu umetupea tuhangalilie sungura
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1🤝🤝
@VeronicaMacha-pl3xt8 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri.
@AGALUSTV8 ай бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
@marykundi41703 жыл бұрын
Thanks.a very good tuition
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Be blessed🙏
@MussaMussamubaraka10 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV10 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@SusanWanjiku-xc1lq7 ай бұрын
Thank you for your advice brother
@AGALUSTV7 ай бұрын
Your welcome
@denismsalasye92133 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
amina
@OTAIGOMNANDE-kh7ny8 ай бұрын
Ubarikiwe kwa some zuri
@AGALUSTV8 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@agisojephrice40568 ай бұрын
Thank you for lesson
@AGALUSTV8 ай бұрын
Your welcome
@DaatwoNamkon7 ай бұрын
Asante kaka lengo langu nikitaka nianze kufuga kuku Tena wawe wengi, nashukuru kwa somo lako
@AGALUSTV7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@estherokumu89278 ай бұрын
Asante kwa funzo mazuri
@AGALUSTV8 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿 tupo pamoja
@TresorVikalava7 ай бұрын
Ubarikiwe sana na Mungu
@AGALUSTV7 ай бұрын
Amina ndugu barikiwa pia
@babamando76293 жыл бұрын
Asanten San. UK vizur
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@tinalulule9178 ай бұрын
Good thank you
@AGALUSTV8 ай бұрын
Welcome
@alexkisineh6 ай бұрын
Hongera sana kwa hilo somo,,mungu akubariki .Nikona swali ,,sasa ukifugia uyo kuku kwa siku nne bila kumpa chakula,,je hataweza kufa ama kupatwa n magonjwa?asante
@AGALUSTV6 ай бұрын
Hawez ndugu. Barikiwa pia
@theresiawapalina19887 ай бұрын
Nineshukuru sana kwa somo zuri
@AGALUSTV7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@mwanamisihamisilibondo95413 жыл бұрын
shukran kwa somo. ubarikiwe ndugu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Amina Kubwa🙏
@feniussimon58223 жыл бұрын
Japo napata taalifa leoo ngoja nijarbuu
@feniussimon58223 жыл бұрын
Njia ya kuku kutaga kwa mapemaa tafadhar naombaa msaadaa
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana
@MarySinaibu6 ай бұрын
Asante sana kwemsada elimu nzur
@AGALUSTV6 ай бұрын
Barikiwa pia
@tatujumwa85108 ай бұрын
Somo zuri, asante
@AGALUSTV8 ай бұрын
Barikiwa pia. Tunakutakia utekelezaji tu
@AzinaKitery7 ай бұрын
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
@AGALUSTV7 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@fatheroficial59438 ай бұрын
Hii inakitu safi 👏
@AGALUSTV8 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@aminamooni14883 жыл бұрын
Asante. Santa. Nimejifunza. Kitu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏
@BeatriceKanja-z7r4 ай бұрын
Asante nimepata elimu vizuri san
@AGALUSTV4 ай бұрын
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi
@jackurio98482 жыл бұрын
Asante kwa somo nitafanya
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Poa
@estherchebet67053 жыл бұрын
Good lesson
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Welcome🙏
@aminachoga92668 ай бұрын
Shukran ❤❤
@AGALUSTV8 ай бұрын
Barikiwa pia ❤️🔥🙏🏿
@veronicagathiru15238 ай бұрын
Asante kwa masomo na marifa. Nitaaza kufuga kuku kienjeji
@AGALUSTV8 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Na Endelea kufuatilia masomo mengine ktk channel hii Kuhusu ufugaji kuku utajifunza mengi
@FelisterNgajua7 ай бұрын
Some lako nimelipenda ubarikiwe sanaaa
@AGALUSTV7 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@karenjacob51753 жыл бұрын
Nimeelew kaka asant kwa somo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1 sana, 🤝🤝🤝
@elikandone8 ай бұрын
Thanks alot
@AGALUSTV8 ай бұрын
Be blessed
@sylivialingo54383 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Asante sana Ubarikiwe🙏🙌
@charleskyando62557 ай бұрын
Good,wengi hatujui
@AGALUSTV7 ай бұрын
Hakika ndugu
@claudiahkinara40536 ай бұрын
Actually May God bless you,I want to start
@AGALUSTV6 ай бұрын
Amen 🙏🏿 Your welcome
@magrethmbogela34012 жыл бұрын
Asante kwa maarifa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana Ndugu
@youniyou20593 жыл бұрын
Asante saana kwa hunielimisha kuhusu kulea kuku asante
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok kuhusu kulea vifaranga somo hili 👇kzbin.info/www/bejne/aqnUhXV3gKd7qZY ila kwa maelezo zaidi tuwasiliane wasap tu. +255765467484
@ponsianabyarugaba1564 Жыл бұрын
asante kwa SoMo zuri ukimuyangaya vifaranga kitu Cha Kwanza vifaranga unaanza kuwapa chakula gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Stater ya vifaranga cha dukani
@mardhiahamisi43323 жыл бұрын
Nimefurahi sana kuanzakujifunza ufugaji bora wa kuku,nawaombea Mungu awazidishie maendeleo ilinasi tupate faida juu ya kukuwa kienyeji nazidikuananya ilinipate elimu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu🙏🙏🙏🙏Amina
@mirriamjohn58853 жыл бұрын
Somo zuri sana nitajaribu tu.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana🙏 Kwenye hii mbinu
@praxedachenya41016 ай бұрын
Asante kwa somo zuri sana ,swali naomba unieleze jinsi ya kutunza mayai kabla yakumwekea kuku kulalia
@AGALUSTV6 ай бұрын
Sawa ndugu
@AGALUSTV6 ай бұрын
Sawa ndugu
@AllySengao7 ай бұрын
Mungu akupe kaul thabit il uendlee kutoa som zur zaid
@AGALUSTV7 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@henrygabriel28926 ай бұрын
kipindi hiki kinapatikana lini mimi ndiyo nimekiona sasa hivi
@SalimKombo-xo4pq7 ай бұрын
Asante sana bro
@AGALUSTV7 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@LinetMaranga-t2t Жыл бұрын
Like this one nitakuwa mfugachi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Welcome
@SurprisedDrumKit-sn9so9 ай бұрын
Asante kwa darasa nawezaje kupata vifaranga au kuku
@AGALUSTV9 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@ZakariaKapaya4 ай бұрын
Nashukulu kaka kwa somo naitaji kuwa mfugaji mkubwa wa kuku wa kienyeji.
@AGALUSTV4 ай бұрын
Karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii
@danielmwakatuma14383 жыл бұрын
Nashukur kwa ushauri namiongozo.mbarikiwe.je hamna vitabu kwa ajili ya ufugaji wa kuku.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Vitabu vipo
@shabanimsemwa12023 жыл бұрын
Asante sana.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🙏
@nazleenibrabim8 ай бұрын
Kitabu pesa ngapi@@AGALUSTV
@baidrufamau60333 жыл бұрын
ASSALAMU ALAIKUM wabatakatuh Mm nategemea kazi yadereva na ningependa kuwa mufugaji nimejaribu maranyingtu kwa kutumia wenzangu lakini sajafaulu nakuiaca kazi nawona ngumu mana ndo kula yangu navile navyo Iona kazi ya ufugaji inaweza kulipatu lakini kulingana namajukumu nilio nayo uwa nashindwa kuka nyumbani waweza nipa ushaurigan mwenzio kwajina badru f kutoka ug nitafurai ukinijibu asante
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ufugaji ni kaz na inahitaji umakini sana umpte mtu Unae mwamini. Kwa ufupi Kama utaweza karibu tufanye kaz nasi. Tutakusimamia. Kwa maelewano nafuu. Karibu🙏 Wasap namba +255765467484 kwa wasap tu.
@azizahassan20973 жыл бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa🙌
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Asante kaka sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa🤝🙌
@joyceraphael2073 жыл бұрын
Kuku wangu wakianza tu kulalia baada yasiku nne wanaanza kula mayai naomba msaada tafadhali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pole sana ila wape madini ya chokaa na mifupa au kanunue DCP uo ni upungufu wa madini tu kwnye chakula🙏
@joyceraphael2073 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante sana kaka ubarikiwe
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Amina KUBWA🙏🤝
@FaustaMgina-ko4ji7 ай бұрын
Nimelifurahia somo zuri.
@AGALUSTV7 ай бұрын
Barikiwa pia
@jumannesama33573 жыл бұрын
Tunashukuru kwafaids
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@raymondonyona.2736 Жыл бұрын
Nimelipenda somo lako la ufugaji kuku wa kienyeji. Niko Mza Tz.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Hongera Sana ndugu karibu tuzid Kujifunza kupitia channel hii
@Batulimussa5 ай бұрын
Nashukuru kwa somo zuri
@AGALUSTV5 ай бұрын
Tupo pamoja sana ndugu
@salimomarhamad10243 жыл бұрын
Very nice
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝
@JoycePatriciaKaduma7 ай бұрын
Asante kwa somo lako, ninaweza kununua mayai ya kuku wa kisasa?
@AGALUSTV7 ай бұрын
Hayata totolewa
@ernestthomas38663 жыл бұрын
Unafundisha vizuri sana,je vipi whatsup group
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Asante tupo pa 1 kwa wasap bado kidogo ila tupo njiani🙏🙏
@marthaokerio73363 жыл бұрын
Thank you that is a very good lesson i like it God bless you.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Amen🙏
@pmgpmg77173 жыл бұрын
Funzo zuri sana.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@magrethmbogela34012 жыл бұрын
Asanten
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa pia
@RehemaMgeni-k6m Жыл бұрын
Ahsante
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja
@adelimarsialphonce818 Жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu je kuku akianza kuvimba macho na umeshampa dawa ya mafua unafanyeje
@AGALUSTV Жыл бұрын
KWENYE MACHO UKIFUNGUA KUNA VITU VYEUPE AU
@GuneMphuru Жыл бұрын
Ni elimu na ujuzi tosha kabisa 👍
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@sporahnicholas31623 жыл бұрын
Je whatsap unalo group
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Lipo telegram karibu sana🙏
@sporahnicholas31623 жыл бұрын
P1
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
Somo nzuri hio, ningetaka kujua chenye inafanya kuku wawe na miguu ya yellow,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hatuja elewa fafanua vizur kidogo una maana rangi ya miguu kua yellow kw muonekano au
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
@@AGALUSTV Hello, ndio namaanisha kwa maonekano kwa miguu na kwa mdomo ni yellow,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok tumekupata ngoja soon🙏🙏 kua na subira kidogo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Miguu kua yellow usababishwa na mambo 2 la 1. Ni urithi yaaani vinasaba (genes) au 2. Ulaji wa mahindi kwa wingi yaani nafaka za mahindi kwa wingi 👉Japo haina madhara kwa kuku🙏
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
Nashukuru sana,ntawapa mahindi kwa wingi.
@mayasamayasa12053 жыл бұрын
Asante kaka
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@mwanatz59802 жыл бұрын
Asante .
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa
@davidshekighenda52063 жыл бұрын
Maarifa mazuri sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hakika🙏
@samwelgaspar73612 жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pamoja🤝
@ammakhan22397 ай бұрын
Habari kaka unapatikana wapi... Asante sana kwa somo lakoo
@AGALUSTV7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@hassaniMkosa7 ай бұрын
Nakubar
@AGALUSTV7 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@hassaniMkosa7 ай бұрын
Naitaji kuku wakununua nipo dar es salaam mbande.
@euzebiayotham64593 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kuku ukinyanganya vifaranga halafu ukamnyima chakula ck tatu hawezi kufa na njaa
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hawez Amin ivyo 🙏
@mariamumbapirafreefaturt96443 жыл бұрын
Naomba munifahamishe sehemu nzuri namaanisha mazingira mazuri ya kufuga kuku wastawi bila bugdha mahitajj ya vyakula ili update mifugo mingi na bora Mimi ni mgeni nataka kuanza ufugaji naomba msaada
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu kwenye ufugaji naomba ufuatilie somo hili👇 mambo ya kuzingatia ili upate mbegu bora ya kuku w kienyeji. Unapo anza kufunga kzbin.info/www/bejne/hF6nc4Kwlshrprc
@SamweliKereine8 ай бұрын
Somo safi lakini nauliza swali mm nina kuku kwenye mazingira yenye jua Kali au joto halafu wanamlalia mayai wanaacha bila kutatoa nitafanyaje hapo?
@juliettesagamiko58773 жыл бұрын
ELIMU nzuri sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🙏
@flotheashayo62333 жыл бұрын
Thanks sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝
@AshamMussa8 ай бұрын
Allah akubarik kwa SoMo laki mashaallah
@AGALUSTV8 ай бұрын
Amina ndugu nawe iwe heri pia
@rosembwambo60798 ай бұрын
Naomba elimu kulea vifaranga bila mama yao...pia bila kutumia madawa ya dukani....
@AGALUSTV8 ай бұрын
Andika you tube jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA taratibu. Tiba asili kwa vifaranga hapana angalau wafike mwez
@nurudinamchome68523 жыл бұрын
Asante mkuu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1 🤝
@beautykamaghe97783 жыл бұрын
Asante nimejifunza naweza kupata kitabu wap nipo mtwara mjin
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ucjari tunamalizia kukiandaa
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Nimependa sana ninapenda KuFa nga kuku nitajalibu asante
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙌
@HadijaKidunda7 ай бұрын
Hili somo nimelipenda sana
@AGALUSTV7 ай бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@HadijaKidunda7 ай бұрын
@@AGALUSTV Asante sana
@AGALUSTV7 ай бұрын
Endelea Kujifunza zaidi ufugaji kuku, kulea vifaranga, magonjwa, dawa za kuku, mbinu mbalimbali za ufugaji kuku, tiba asili, chanjo za kuku pia. Video zote zipo
@mukandayisengagentille623 жыл бұрын
Asante sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pamoja sana ndugu. Barikiwa ila cjui kama ulikumbuka Kusubscribe. Ili upate video zi gine
@halimamvuoni11173 жыл бұрын
@@AGALUSTV unda grup tunufaike Zaidi nimekukubali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ucjali linakuja soon🙏🙏
@cassianrobert42173 жыл бұрын
Good
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Thank you🙏🙏
@florahkuhabwa52283 жыл бұрын
Somo Zuri sana.I like lakini hawa kuku wa kienyeji si wanahitahitaji kutoka nje muda mwingine wapate madini na wadudu ?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kila cku jion uwe unawatoa
@ngwadaratifa10088 ай бұрын
Ni somo zuri sana
@AGALUSTV8 ай бұрын
Barikiwa pia
@NickoMapikipik Жыл бұрын
Nimeipenda
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@LameckMachemko8 ай бұрын
Engineer machemko from 🇹🇿 nimekubari uzalishaji wenu wa kuki