Kama mmoja Wana familia ya fans of SIMBA SC. Nakuamini na nakuelewa Sana Mkuu! Na Asante Sana MUNGU akubariki Zaidi! SIMBA NGUVU MOKO!!
@youtubesuccessshorts73894 жыл бұрын
@Youth Insider KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzbin.info/www/bejne/p4TOipmJrd-Hibs 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
@ngagidaudi59584 жыл бұрын
Mwenyekiti usibabaike na hao wee fanya mambo yako kwa mipango yako inaendaje
@Kukuvillagepoultrysolutions4 жыл бұрын
Yani mbongo hamuamini tajiri walitaka uwaoneshe cash sijui wakati billion 20 ni unajaza carry moja inajaa noti za sh 10000 ziwe note 2000000
@venstonvedasto4 жыл бұрын
Tipa mzee @saidi mpondi sio lorry 😂😂😂😂😂
@youtubesuccessshorts73894 жыл бұрын
@@venstonvedasto KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzbin.info/www/bejne/p4TOipmJrd-Hibs 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
@Valdo.Suleiman4 жыл бұрын
Ni vyema.umempaa za fact haha watu wengine ni ngumu kuelewa,i like your response.
@bensonhharygabriel86514 жыл бұрын
Saf
@SubiragaKabango3 ай бұрын
Hongera sana Rais waheshima team ya SsC, tatizo Limbukeni hajikisi, hao watani wetu wanjadi wameona tumewanyanyua kiwango cha CAF wameanza majigambo! Eti wao ndo wenye wananchi! Kumbe SsC ndo wenye Nchi! Achana nao One day yes! Mungu yu pamoja nasi MO( Biblia,Kitabu cha Isaya 41:10)
@frankmnazareti54614 жыл бұрын
Ustaarabu acha watu waseme sio ujisemee alone Mr MO Sema yako achana na YoungAfrican yetu team ya wananchii
@edwardtungu87104 жыл бұрын
Wacha uongo wewe. Kumbe nawaw
@edwardtungu87104 жыл бұрын
Muongo wewe acha mbwembwe
@innocentbugomola5494 жыл бұрын
Nkwel mkuu atakuwa amekuelewa Mr mo
@depaolo34614 жыл бұрын
😂😂😂 inaumaga hiyo
@eliewahabaraka43714 жыл бұрын
mtu anajitengeneza mwizi anajijua , kibaka anajijua na hat mstaarabu anajijua kwa 7bu kila ki2 ni maamuzi jua hlo kwanz
Longolongo nyingi, hizo pesa anazoziingiza ni mkopo au nini? Na kwenye vitabu zinarekodiwa vipi? Mkopo kwa club? Maana share capital bado hajaingiza, transformation ni 90% kwanini aingizi CAPITAL? AKILI KUMKICHWA😁
@kelvinlyimo30394 жыл бұрын
Unazo ww
@omarnyau3304 жыл бұрын
Kaka mo dewji pole.... kuifadhiri simba na yanga ni sawa na kujaza maji ktk kichuguu piliii hizo pesa ni zako au za club ? Swali la tatu litafata baadae
@MyMercy844 жыл бұрын
Duh, kweli huyu billionaire
@fahadfaraj18224 жыл бұрын
Ulikua huamini
@nawihadj66744 жыл бұрын
Njoo nkpe nmb yk
@gideonmwalyego4664 жыл бұрын
Mercy nn mama
@daudimkude25224 жыл бұрын
Mambo Mercy?
@a.s.afishfarming62254 жыл бұрын
Tunajua simba ni team ya watoto
@lameckkabondo70164 жыл бұрын
Haji lopolopo🤣🤣🤣
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Haji anaweza kuropoka vitu 😂
@rajabukimosa33774 жыл бұрын
Kumbe hata bwanake Haji anajua kuwa ni Mropokaji daah
@frankmnazareti54614 жыл бұрын
Risi D. Trump wa Marekani anasemwa na anajibu iweje wewe na simba yenu msisemwe Kama champions singer mbele nyie ni mabingea lazima msemwe Mr Mo... Hongera kwa kazi nzuri unayofanya huko simba japo mimi ni YOUNG AFRICANs damu
@abdallahjuma54754 жыл бұрын
Muheshimiwa Kama Kama utapitia hizi koment mi naomba ajira mungu akuongoze njia iliyonyooka!
Yani ata kidogo ukimchokonoa basi hakavii kutotangaza mchango wake.... haha Mwanahabari: "Bwana Mo, ati kwanini........" Mo: (ata kabla Mwanahabari hajamaliza swali) "Unajua nimetoa pesa ngapi mpaka sasa hivi?" HAHAHAHAHAH
@mussachuo39104 жыл бұрын
Toa pesa hyo ukiulizwa simba guvu moja
@fikirinimedard20182 ай бұрын
Hongera mo,
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Ombi langu naomba jina la uwanja wa Simba kule Bunju libadilishwe usiitwe Mo Arena bora hata tungeuuita Aden Rage Arena maana yule ndyo aliyeupigania ule uwanja mapaka ukapatikana..mbona bakhresa ana uwanja lakin hajauita Bakharesa Arena ameuuita Machinga coplex..
@estherdavic85214 жыл бұрын
Wasitudanganye😂SIMBA Oyeeeeeeeee
@siskimkimu22984 жыл бұрын
Very right
@daudichawo2404 жыл бұрын
We kajamaa mo....unahela khaa mpka unakera😍😍😍
@kelvinmgaya34063 жыл бұрын
Huyu albno anatafuta kula njaa mbaya Sanaa mamae sanaa
@twahirburhan372610 ай бұрын
Hahahahaha! Muhindi muongo sana,anatoa data kwa kupimia macho tu
@lainoshababi75004 жыл бұрын
ivi ni elfu ishilini au bilioni ishilini maana daah🤣🤣🤣🤣🤣
@subiradalabu66164 жыл бұрын
Bilioni hy
@aggreyenock12214 жыл бұрын
😂😂😂
@lumax_tz4 жыл бұрын
Ni hela ndogo sana kwake, kutokana na utajiri wake
@lumax_tz4 жыл бұрын
Utajiri wake ni billion 1.9 US dollar. So ukibadili kwa pesa ya kibongo ni kama trilioni 3.4... sasa billion 20 hapo ni ktu gani mzee
@i.gconnectiontztv89724 жыл бұрын
JINSI YA KUANGALIA MOVIE ZA DJ AFRO KWAKUTUMIA APPLICATION kzbin.info/www/bejne/g5qkoH9vg794hrs WE NEED YOU SUPPORT
@aybkham57954 жыл бұрын
Safi
@rufijichannel98204 жыл бұрын
Unawaongopea Simba sio zaidi kuliko Yanga hivi ww ni zaidi kuliko Baba yako wema pesa hizo acha ubabaishaji
@babayao37914 жыл бұрын
umepotea 😂
@theresiachigali94823 жыл бұрын
Simbaaaaa juuuuu mungu akubariki na akurinde mo
@jayjay88454 жыл бұрын
Afadhali umewachana...mwanaspoti hata ukipititia online headlines zao ni kuponda Simba always without back facts. For past 3 years, kipindi cha usajili wao ni kusifia utopolo tu..but matokeo ya uwanjani wote tunayafahamu. Go mnyama...go Mo
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Mbona kama unamtisha mwandishi tena Mo,kama lisemwalo lipo prove kwa matokeo chanya.na siyo ukakasi.
@simonidibili5554 жыл бұрын
Siku zotee mtuu akisemaa ukwelii anaoonekanaa mnafikii achaa zako kawekee pesaa porojoo za nnn mooo
@lucamatiku15323 жыл бұрын
Mo uko sahihi ,,shida inakuja wnaohoji maswli ykujirudia ni wale wenye mapemzi na uto
@greatiq46494 жыл бұрын
Kwa hivyo, Sumba SC ni timu ya watoto?
@adolphmwangoje28874 жыл бұрын
Akiliyko ndogo
@greatiq46494 жыл бұрын
@@adolphmwangoje2887 lakini si punguani kama wewe!
@minzagabriel61504 жыл бұрын
Simba❤
@user-dh3jm4xn2p6 ай бұрын
Mo kiukwer huwez kumfikia mumwekezaji wa yanga uongoz wa yanga uko Makin Sana kwenye usajili Simba bado Sana uongoz wako wanaokota wachezaji mitaan jifunze kutoka kwa yanga hawalet wachezaji kuja kufanya majalibio wanakuja kushindana broo
@biglizer4 жыл бұрын
Hizo glasses tu nmezikubali aseeh
@ramashekiao27174 жыл бұрын
Nimeamini yanga ni timu kubwa hata MO hawezi kuongea yake mpaka aitaje yanga
@subiradalabu66164 жыл бұрын
Utajua t..
@abrahambalamba66794 жыл бұрын
Hongera Mr. Tupatupa, wewe kweli mpenzi wa Simba. Tuone utashikilia Bomba mpaka lini!?
@ntegrity2775 ай бұрын
Kweli simba ni team ya watoto Mo hapo umesema ukweli
@jacquesjoseph38844 жыл бұрын
Acha majitapo wewe ni kiongozi Yanga ni brand yenye historia kubwa. Unapo ongea ongelea timu yako Simba sio Yanga we as Young African we believe action not talking on media.
@johnmlay47594 жыл бұрын
Action ipi tena zaidi ya 4G??
@moshiparesso81224 жыл бұрын
Mimi binafsi nakuamini asilimia zote
@suleimanjokoro4 жыл бұрын
Kwa hiyo unataka habari zinazokufurahisha tu?,Lia basi tujue umechukia!
@jilalalunilija81374 жыл бұрын
Simba ya mo
@renatuswilson15774 жыл бұрын
Swali kwa watani (Simba) kwa mwenye akili kichwani tu ndo anisaidie jibu. Kwa speech Kama hii je, nikiomba jibu utasema Timu ya Simba niyanani???? Dhahili kabisa nitimu ya mtu binafsi. Kwa uelewa wa kinachozungumzwa hapojuu.
@ibrahimkadibo8104 жыл бұрын
Sasa ww uliitaka iwe tim ya chama tawala au,
@renatuswilson15774 жыл бұрын
@@ibrahimkadibo810 @ hahaaa umepanik mtani?
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Yanga inakuhusu nini wewe
@subiradalabu66164 жыл бұрын
Mutuachie yanga yetu...
@amanidaudi2104 жыл бұрын
Subira karibu simba
@saliminyusuph61225 ай бұрын
Wahindi tunaangaliaga filam zao zina komedian nyingi sana na uwongo kibwilo. Hishu uza hisa wapo wawekezaji wengi wanapenda kuwekeza simba spot club ushirikiane nao.
@matridachatila68393 жыл бұрын
Sasa wandishi msicheke mnamkatisha tamaa aliye uliza swali
@SaidySaidysalum2 ай бұрын
Kweli kbs kiongozi
@richardchaula21584 жыл бұрын
Kwaiyo haji analopoka😂🤣😂🤣
@ramadhanmoshi10384 жыл бұрын
Yes
@vailetherasto22884 жыл бұрын
Simbaaaaa oyeeeee
@rajabmnyimwa31264 жыл бұрын
Waandishi wetu ni wapuuzi sana, mtu ana miliki zaidi ya trilioni 4 sasa bilioni 20 ni ela ya mboga tu.
@mohamediramadhani29964 жыл бұрын
Anawaweza Manara tu hawa
@emanuelmwanga44 жыл бұрын
Trl dahh pesa hain kiwango
@graphixmaster61464 жыл бұрын
Anaweza akawa na Tr4 ila ukamuomba msimbazi akakutolea nje
@shabaazbikorwa25804 жыл бұрын
Acha majigambo Mungu asije kukushusha
@bakarimpame38244 жыл бұрын
Big Up MO
@mr.flavourmusic54414 жыл бұрын
Kam unaamin Billion 20 zipo gonga like
@issayaibrahim84904 жыл бұрын
Kumbe haji mropokaji tu
@issayaibrahim84904 жыл бұрын
Wewe tapeli toa mzigo
@issayaibrahim84904 жыл бұрын
Simba wamefeli jamaa atawapiga
@felixmjale94834 жыл бұрын
Wanataka uweke pesa wakuibie tu hao
@mr.flavourmusic54414 жыл бұрын
*
@sabrinamussah80594 жыл бұрын
Simba baba laooooo
@twahirabasi97654 жыл бұрын
Sasa Mo mmekopi na kupaste logo kutoka kampuni ya Adobe, mtashitakiwa mfirisiwe!
@mackpinno104 жыл бұрын
Weka huo mkeka acha maneno mengi kama mwanasiasa toa hizo hela kama zipo tatizo nini!?,toa hela Usilete habari za uwanja haziusiani na hizo hela,epusha maneno toa hela uwazibe mdomo.
@jashakishabany64364 жыл бұрын
Lakini hizi hela si aliahidi mwenyewe huko kujitetea gni kusema eti amejnga uwnja ooh anatoa ruzku sasa kwni yeye angekuwepo simba kma hapti faida ase aache janja janja bhna ye atuambie hzo b 20 anatoa au hatoi😏😏😎
@emanuelgermanus70344 жыл бұрын
Nazani hapo watu tunataka kujua kwenye akauti ya simba hiyo bilio. 20,imesha imgia?hawaswmi kuwa ww huna,tunajua kuwa unazo,ila simba wanazo?
@hijangwele31074 жыл бұрын
Kwer kaka kama ela anazo yy sio simba
@ibrahimkadibo8104 жыл бұрын
We yanakuhusu nini
@charliechaplin33594 жыл бұрын
Nakubari mo dewji
@jacksonprince96724 жыл бұрын
Kweli kumbe unajua manara n mropokaji kinacho msumbua ni nn?
@aggreyenock12214 жыл бұрын
Yule hii ni kazi yake Mo dewji ameongea kwa utani
@lameckmbelwamrbrand65534 жыл бұрын
Waambie Boss
@hadijamgamba43972 жыл бұрын
Tuko pamoja boss mlopokaji alopoke tuuu ss hatujalii
@rinovarthiliwi13144 жыл бұрын
Kigwangala kashindwa Wizara yake ya MALI ASILI NA UTALII ameanza chokochoko Simba. Uliona wapi gari inatozwa dola 300 kuingia mahali kwa masaa 4 tu. Mimi ni Yanga lakini kiukweli Dewji ameiweka Simba pazuri sana watu kama Kigwangala wakae mbali na Simba.
@jaribhamis92474 жыл бұрын
Mo umeongea ukwel wew sio wa kukos bil 20.
@barakamtei4264 жыл бұрын
simba baba lao
@damasmfundiri74564 жыл бұрын
Huna, mbona huweki Kwa account?
@cleophacemasole3 ай бұрын
Weledi unapungua sna kwa baadhi ya Mashabiki na kuanzia kuongea vitu bila data wala evidence
@mohammedkijuso68954 жыл бұрын
Transfomeshen mwaka mzma😁😁😁
@badrumbarouk33774 жыл бұрын
Tunakukubal mo fanya kaz achana na manluk wa yanga hao ndo wanao leta chokochoko hawapend kuna simba ikisonga mbele wanataka iwe kama tim lao lautopolo ombaomba vyura awo
@brownenas6034 жыл бұрын
Moo dewj umekuwa unalewa now dayz,coz hata cmba day ulikuwa tilalila sana asee had wachezaji walishika vichwa,mkude
@christinatuyangale35774 жыл бұрын
Kibwangala atuache na mo wetu simba oyeeee
@tizokarim14904 жыл бұрын
Safi sana mo
@andulilemwakihabha20484 жыл бұрын
Simba nguvu moja
@salvadormalaia2464 жыл бұрын
Babu acha maneno maneno weka mziki b 20 ww ni tapeli tu na mashabiki mambumbumbu ndo watakuelewa maana mpaka leo pessa bado huja weka weka pesa kwanza maneno maneno ya nini?
@kacherosimba57624 жыл бұрын
Tatizo waandishi wa bongo waweza useme kama wame tumwa na yanga acheni ku mchefua boss wetu boss wetu banw boss sisi simba tume kuelewa
@mekumeku24844 жыл бұрын
Haji mhamasishaji zaidi..teh
@mudysingo36983 жыл бұрын
𝑊𝑤𝑒 𝑚𝑢𝑖𝑛𝑑𝑖 𝑚𝑢𝑜𝑛𝑔𝑜𝑜
@rashidimpabuka75254 жыл бұрын
We jisifie....tu. wale jamaa wa Colloseum wakikusikia ndio unawatamanisha
@daudkhatib50904 жыл бұрын
Kumbe hata uyoo MO anajuwa Kama lile zeruzeru lake linaropoka no ropokaji
@frozen4rozen4754 жыл бұрын
Muhindi anapanic haraka ajui wabongo wanapenda utani na uzushi
@deodatusrweyongeza28803 жыл бұрын
Kakaaa billion 20 zipo piaaa NA kifo kipo tumeelewana