Mimi nalindwa na malaika wengi wenye magari ya Moto,wamepewa mafunzo na Mungu mwenyewe. Mimi ni wathamani sana mbele za MUNGU NINAUJASIRI
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
Putting analindwa na nan
@rehemafungo50422 жыл бұрын
Amina
@nenenelly18782 жыл бұрын
amena
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Huyo mlinzi wako ni mlinzi wa kila mtu pamoja na huyo Putin. Huyo wetu sote. Hata Muhammad S.A.W alikuwa na ulinzi na aendapo humfata, hutoa habari wanapo kwa usalama wao.
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Una nini? Hahahaa
@mohammednassor30812 жыл бұрын
وما الحياة الدنيا الامتاع قليل
@athumanisudi8912 жыл бұрын
Juu ya ulnzi wote huu lkn wakati ukifika anaozea kaburin unamkwepa mwanadam lkn mungu akwepeki kwa kweli ss wanadam bado ni dhaifu juu ya yote tunayoyafanya mbele ya mungu Hanna kitu.
@juansifaelmsogoya20692 жыл бұрын
Hzoo sasa ndo akili za kibongo kufa kupo unapoishi tumia nafasi ya kuishi uache historia uitwe majina ya heshima
@iddikazimoto22472 жыл бұрын
Daah, eti kila mtu amefka na dege lake kwa mbwembwe, 😂😂😂
@ericksagara17192 жыл бұрын
Putin ni kati ya marais wachache niaowapenda. Hasa stail yake ya maisha.
@fatmahchambo31312 жыл бұрын
Hata mie nampenda huyu baba
@fatemahjing92592 жыл бұрын
Tupo wengi 😘😘
@yussufpandu18522 жыл бұрын
Staili ya kuuwa watu na kuwakandamiza wapinzani wake kama yule jamaa navalni aliyetka kumuuwa kwa sumu akaponea kule ujarumani
@clintonbomani70262 жыл бұрын
Kama mm
@ericksagara17192 жыл бұрын
@@yussufpandu1852 bro, hakuna nchi inayoua kama Marekani, wanajivalia ngozi ya kondoo huku wakitumia vyombo vyao vya habari kama siraha. Ghadafhi wa watu walimuua bila sababu na kuisambaratisha Libya. Sadam Huseein naye vile vile. Mbona hamkumbuki USSR walipotaka kuungana una Cuba kijeshi mwa 1962 USA walichokifanya? Na leo wao wanafanya vile kwa Ukraine. Wao wakae kimya?
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allah awape maraisi wote utulivu wa nafsi na imani ktk kuiendeleza nchi
@user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын
Yaani huyu jamaa nampenda huyu jamaa aiseee, Putin. Rafiki yangu wa kwanza. Safi sana kiongozi huyu mzalendo wa kweli wa Russia. Ahsante sana!!
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Ana akili nzuri sana Na anaipenda nchi yake kama JPM
@alikimera15832 жыл бұрын
You are right
@rehemafungo50422 жыл бұрын
Kabisa.hatatokea km jpm😭
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Ah wapi
@rajabukuziganika48237 ай бұрын
Nakubali sana
@gabrielnduwayo82772 жыл бұрын
Putine is very important in the world
@thomasyibrahim70922 жыл бұрын
Huyu mwamba namkubal sana Tz tumempoteza Jpm
@albadrysadiq88842 жыл бұрын
We fala kweli kweli unamzungumzia KIMA JPM mbwa wewe
@savaynerjuma39342 жыл бұрын
Wewe al badry sadiq nikichaa no moja mwanaharamu mkubwa unamzarau vipi kiongozi wako wanchi idiot
@albadrysadiq88842 жыл бұрын
@@savaynerjuma3934 kiongozi wa nchi wawapi alichaguliwa na nani? Ccm haijawahi kuchaguliwa tokea vyama vingi vianze ama waiba mchakato wa uchaguzi ama kutumia dola kuharibu umbwa wewe
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Kidogo vitendo vyake anafanana na JPM
@yussufpandu18522 жыл бұрын
@@albadrysadiq8884 safi sana umezungumza ukweli.. Tokea lini mtu anaepindua demokrasia akawa mzalendo?
@bayishemezealberic71822 жыл бұрын
Ahsante Mutangazaji kazi nzuli kabisa huwa napenda kujuwa habali kama hizi. Big up sana bwana Mtangazaji🙏🙏🙏
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Binadamu Sijui Vipi Mbona Mnachukia Sana Raisi Kulindwa Eti Atakufa2 Kwani Kasema Afi Jamani Hata Ao Walinzi Wanapata Ajila Jamani Mtu Yuko Urusi Wewe Tanzania Tena Utakuta Kiongozi Anaweza Kuita Ulaya Duniani Uku Gizani Lakini Wewe Unamchukia Mtu Wa Uko Sasa Kama Wambali Ivo Unamchukia Vipi Alie Karibu Nawe Ndio Maana Waafrika Atupendani Sana Sana
@casmirmakori10922 жыл бұрын
But the bottom line, death is inevitable
@festomilinga70542 жыл бұрын
Vizuri Sana bwana Shedy
@matokeojoel40592 жыл бұрын
Hata aweje siku Allah akimuhitaji hata sekunde hatochukua
Iyo yenyewe kila mtu ALLaaa akitaka mda wowote baana ,kama huna swaga kaa kimya
@issaahmad12642 жыл бұрын
Allaahu akbar huyo ndiye allaah!!
@chiefmajai93452 жыл бұрын
Hakika unaweza kwa taarifa zako Mungu awenawe
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Noma sana Putin 😍😍😍
@bertha63222 жыл бұрын
Namkubali san huy mwamba putin
@user-dy5fn6qj1q2 ай бұрын
Mungu awajalie hekima busara uchaji kipawa kuifanya Dunia pahala pazuri pa kuishi hayo yote tumeubwa tuishi tusameheya kama mungu anavyotusamehe na tuheshimiane mungu. Mungu hutembea na mishale mingi alioumbiwa nayo lakini hofu hamwishi aonapo simba au adui wake Duniani tunapita tuu safarini siku mola ( mungu) akisema imetosha hata ukilindwa vipi utaondoka tuuuu hayo yote ni mahangaiko tuuuu
@benleyan2 жыл бұрын
Kwa ubora na mwonekano, vya Marekani vipo juu sana
@hassanomary1459 Жыл бұрын
Exactly
@user-is9xs1kd9z2 ай бұрын
Ubora na mwonekano sio uwezo wa kitu
@user-tb1ko5wm1x17 күн бұрын
America is n old obsolete imperialist...Russia is too high for colonial jokers
@carolmuchiri99212 жыл бұрын
Ana Safili Kibabe na Mali ya Uwizi na Ufisadi loo🤔😱😡😡😡
@MaldineKumbiАй бұрын
You can't use all those things at the same time. We are being hoodwinked
@samweleibucwa76352 жыл бұрын
Mimi nakubali video zako sana
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad2 ай бұрын
Nakubali
@msukumamnywamaziwa2785 Жыл бұрын
hongera putin
@loisekamau62852 жыл бұрын
Great 👍
@yussufpandu18522 жыл бұрын
Madicteta maisha yote huwa wanapewa ulinzi mkali ..urusi ni nchi ambayo haiongozwi kidemikrasia drmokrasia yao ya kubabaisha .wapinzsni wa serikali mara kwamara wanakamatwa
@masanyiwamullagwanyawawa62442 жыл бұрын
Kama ulikuwa hujui Putin alimaliza muda wake, Ila Raia wakamtaka arudi madarakani na akarudi bila shida
@ashaali71542 жыл бұрын
@@masanyiwamullagwanyawawa6244 Urusi hakuna raia mwenye sauti kila kitu ni Putin sasa huyo anaesema aache uongozi au aendelee atatokea wapi. Jaribu kwenda Urusi kuishi ndio ujue ukweli acha kuongea usiyoyajua.
@yussufpandu18522 жыл бұрын
@@ashaali7154 ndio kabisa kama sisi tanzania bunge la sasa utasema la wananchi? Wanaweza wakapitisha mambo wanayotaka wenyewe halafu ukasema tumeridhia sisi wananchi... Wakati ccm walipora uchaguzi na putin hivyo hivyo amerejeshwa katika uongozi na wale wapambe wake wanapenda udicteta kwa sheria za udicteta
@JerubaalXerxes2 жыл бұрын
Sio coincidence kua umesoma elimu ya magharibi. Wao wanaamini kiongozi akikaa sana madarakani ni dicteta. Wakati wao wanaviongozi ambao serekali zao ni za familia. Ni kwamba wanajua ungozi wa kubadilibadili haunaga tija na unaruhusu manipulation kutoka kwao. Wao uongozi wowote thabiti unao wabana wasiwanyonye watauita mbaya tu. Hilo halijaanza leo na kwa mwafrika kuongea kitu kama hicho basi umeshaharibiwa akili na fikra. Angalia nchi zetu zilivyofanywa na hawa mnaowaabudu na kuona wao wametoboa wakati nchi zao wamejenga kwa vibarua wasiowalipa ndugu zetu. Wanatukopesha fedha walizotuibia. Serekali zao zina rusha ya makarne.
@user-tb1ko5wm1x17 күн бұрын
Peleka akili punguani kea wakiloni...denocrasia Gani Iko America na uingereza...enda shule
@arodymfinanga81592 жыл бұрын
Good job braza
@meekman18052 жыл бұрын
Huyu jamaa ni noma.
@ebrahimosman54772 жыл бұрын
👌👍
@footballnews4142 жыл бұрын
👍👍👍👌
@hafsalucky1088Ай бұрын
I love Putin ❤❤❤
@hilalili98172 жыл бұрын
Dah ulinzi wote huo mauti yanakuchukua kama uko pekeako unaenda kaburini huna ata mlinzi mmoja
@anoldjoseph29472 жыл бұрын
Namwelewa Sana prezdar huyu
@rashidkalimbo2451 Жыл бұрын
Mmh haya yote kwani hatakufa huyu Putin jameni?? Yani kulindwa kana kwamba si binadamu wa kawaida na anaenda chooni kukunya kama mimi...
@qasammawa53102 жыл бұрын
Wajamaa oyeee,dunia itardi tena mikonon mwetu, tena mda cm mrefu
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Umeonaee
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Yote maisha tu.
@user-gc1ez1yv4k2 ай бұрын
Kujiamini siyo suluhisho,. Siku ikifika hata mafua yanakuchukua acha ushamba wa kumshobokea mwanaume mwenzio,eti magufuli.mara putin Dicteta uchwara.
@ahmadiabdul9187 Жыл бұрын
Nchi ya urusi Ni taifa pekee linamlothamini mwafrka,haijawa kuchukua hata kipande kmoja Cha ardh ya mwafrika,mikataba yake na nchi yoyote duniani Ni rafiki kwa manufaa ya nchi husika,cio wamarekan wanatulaghai alafu Kila Kona wanaposto kwa msaada wa watu wamarekani,warusi hawapo hivyo.
@pastorteddywaziri57542 жыл бұрын
Ninachompendea putin ni ujasiri wake aliounyesha kwenye vita hii ya nchi yake na ukraine
@georgeopiyoochieng75232 жыл бұрын
Mungu atamchukua tu
@jamal-dintz64652 жыл бұрын
Nimegundua kitu kwa raisi putin ni kwamba hana body gard ambae hua yupo nyuma kama maraisi wetu.
@user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын
Yeye mwenyewe pale alipo ni Bodyguard 😀😀😀
@jamal-dintz64652 жыл бұрын
Kwann ukasema hivyo
@user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын
@@jamal-dintz6465 Huyo alishawahi kuwa JASUSI ndio maana hana haja na Bodyguard.
@jamal-dintz64652 жыл бұрын
@@user-ot2io4cy6w sawa
@fatmahchambo31312 жыл бұрын
@@user-ot2io4cy6w 🤣🤣🤣
@SEMANKA972 жыл бұрын
I like him
@fatmahchambo31312 жыл бұрын
Me too
@cleophaxgeremy21485 ай бұрын
,🤣😂😅thanks for the video,but Huyu mjamaa bado ni mtoto kwa Mmarekani
@HusseinSaguti-sj9nh2 ай бұрын
Pole sn
@MiriamAbdallahАй бұрын
Hujielewi NATO wenyewe wanamhara
@benardhargreaves9853Ай бұрын
The LIONKING
@josephmuchangi3674Ай бұрын
Akuna lingine ila kusifia adui Putin.
@elifarajasamsonsengi2195 Жыл бұрын
Vichwa vya habari haviendani na ya ndani
@johnlihanda43192 жыл бұрын
Goon history
@jayblack43132 жыл бұрын
Kidume hicho mbona America haindi kumpiga washazoeya kutesa arabs and Africans naaendi Russia basi kudadeki
@MiriamAbdallahАй бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤
@ezeckielsyantata12952 жыл бұрын
Vladimir Putin my beloved president in the world
@TaremwaSimon-eo4unАй бұрын
Wow
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Izo zote ni mbwembwe za kidunia tu,pepon ndo Kuna raha za kudumuuuuu
@jonlocha19572 жыл бұрын
Umefika!?
@user-gc1ez1yv4k2 ай бұрын
Kweli,Biden ni mstaarabu, analiwakilisua vizuri taifa.Mtu yeyote anayetumia mamlaka aliyopewa kudhulum roho ya mtu mnyonge hafai,msitutajie watu hao bora hata wengine wametangulia.
@MiriamAbdallahАй бұрын
Joe Biden ni mstaarabu unadanganywa na nani ndiye anaye ingiza mauaji yaliyopo duniani kwa sasa ananuka damu za watu
@daudichoghoghwe46712 жыл бұрын
Namkubali saaaana jembehuyu kwa putin watajua hawajui
@danieldavid47332 жыл бұрын
Siku moja tutamzikaaa aiseee maisha ni kujilisha upepo
@m-tatu10502 жыл бұрын
inawezekana yeye akakuzika wew kwanza, unaweza ukaanza kufa wewe kabla yake usiseme tutamzika sema atazikwa.
@kitukurukarashidngure85892 жыл бұрын
My ? Is awez kufa akiwa apo ndani bila kushambuliwa?
@xhampoza_252 жыл бұрын
Mimi naitwa justin shedi sasa twende kazi
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Jembe letu baana linai nyoosha yukrein ,muraaa
@mutabebwa17132 жыл бұрын
Je,watu wake huko Urusi wana hali gani kimaisha? Ubabe wa maana unatakiwa ushuke hadi chini kwa Warusi wa kawaida.
@jumakibwana1810 Жыл бұрын
Warusi wanampenda rais wao
@ashaali71542 жыл бұрын
Hata siku ya kufa pia alindwe basi asife kama ana uwezo huo.
@farajajoseph29712 жыл бұрын
Sasa twende kazi
@margrethjonesmshana8555 Жыл бұрын
💯💯💯💯💯
@abdallahlugendo3221 Жыл бұрын
Kweli ni ndege
@mandlasakhile91092 жыл бұрын
Who came here after the Russia invasion of Ukraine
@teresiamaina95732 жыл бұрын
Here
@zuleyvendor65772 жыл бұрын
Me too
@hisilahshabani-yu2di Жыл бұрын
Sawa
@josephmuchangi3674 Жыл бұрын
Aiii mbona mnaongelelea ya Putin tu kama yeye si binadamu?
@revocatusedward57392 жыл бұрын
sasa viongozi wa tz hayo ma trilion wanayoiba huwa wanapeleka wapi
@MiriamAbdallahАй бұрын
Wanakula na family zao 😢😢😢😢😢
@walimwengu_creation60582 жыл бұрын
Daaaaah kumbe nae mtam
@dannykyungay65272 жыл бұрын
Na bado atakufa tu...dah
@zarihassan47542 жыл бұрын
Ana mwanamuke
@anthonymunywoki94682 жыл бұрын
hapana
@zarihassan47542 жыл бұрын
@@anthonymunywoki9468 for real 😳😳😳
@babaluxe86262 жыл бұрын
Hakuna rais asie mke dunia nzima labda rais wa, wcb ndo rais pekee ambae Hana mke.
@anthonymunywoki94682 жыл бұрын
@@zarihassan4754 Laizma Kuna space ya side chick 😛
@zarihassan47542 жыл бұрын
@@anthonymunywoki9468 haha 😂
@yujinxhing37662 жыл бұрын
Watu wanaishi bana
@kelvinkaganjo22222 жыл бұрын
Make a story of this cannibal *Armin Meiwes*
@kasimuibrahimu23152 жыл бұрын
Duuh jasus kweli
@salumsalum57122 жыл бұрын
Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@kelvinerick67262 жыл бұрын
Wa kwanza leo ku comment
@nkonoshetela21912 жыл бұрын
Arikiba
@adornessentials522 жыл бұрын
Vanity
@jamesmwangi60842 жыл бұрын
you can not ask would nothing My friend stay like Putin the Man now what's saying about the world
@easternyerembe72712 жыл бұрын
Nampendaga anavyotembea
@krizofrancisco12872 жыл бұрын
Nipende na mm natembeaga hivohivo
@mbngoikram76682 жыл бұрын
🤔
@zuu__952 жыл бұрын
And of the day vyote ataviacha.
@muichorekishagani17512 жыл бұрын
kampuni gani iliyoetengeneza ndege ya rais wa urusi?
@elihakivianga1912 жыл бұрын
Yupo vizuri
@waltergodwin25292 жыл бұрын
Uyu mwamba ni mbabe sio poa.
@mayengaharun4265 Жыл бұрын
Yug
@rukialulosman37122 жыл бұрын
Ubabe na mwisho unarudi kwa mchanga
@micamathew25952 жыл бұрын
Unatakiwa ujiamini!!! Kama Hayati Magufuli. Kama Putin.
@salimsaid72002 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@moseswilliam20632 жыл бұрын
Sa uyu Dem alopewa nchi na wauaji. Wa dingi,sioni hata % anangapi za kujilinda,ukilinganisha na dume Hilo.
@charleskamau57182 жыл бұрын
You can't mention put in and magufuli in the same sentence
@edwinmandela56582 жыл бұрын
@@charleskamau5718 true said
@justaenglibert39762 жыл бұрын
@@charleskamau5718 Magufuli was also best
@ziyandamhlana87762 жыл бұрын
Mari za inchiii
@omarmhmammed2162 жыл бұрын
Dah watu wanakula maisha yaan ...
@abelsabibi88362 жыл бұрын
Yote ubatili mtupu na kujilisha upepo,muda wowote unaweza kunyamaza kimya
@m-tatu10502 жыл бұрын
Ila put muda mwingine anazingua
@christophertarimo50472 жыл бұрын
Putin like kagame paul
@roymwiti75202 жыл бұрын
Washenzi waop
@mohammedgulamali88492 жыл бұрын
Russia piga hawo ukarein.
@jairusogutu16642 жыл бұрын
I don't like what he's doing to ukrain
@frankdanford82452 жыл бұрын
Chopa ya rais aiwezi kuwa na bei cheap namna hiyo yaani hiyo helkopta ata diamond anaweza kuinunua kweli? 2$ million aiwezi kuwa kweli.
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Hizo ni dollar na sio shiling mbona Ndugu Kma kilaza ivyo