AISHA: Mlinzi HATARI aliyekufa KISHUJAA, alizuia RISASI kwa mwili wake zisimpige MUAMMAR GADDAFI

  Рет қаралды 695,359

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti

Пікірлер: 252
@Julius-jt5sy
@Julius-jt5sy Жыл бұрын
There had hardly been and neither shall there be a Great leader like Muammar Gaddafi.Very patriotic not only to his country Libia but to the whole Great continent of Africa.He was and shall ever be the Best president.Carnal Muammar Gaddafi the Great,a true Hero Libia and Africa.
@muhammedsaid3659
@muhammedsaid3659 Жыл бұрын
Good and Hero the Great president iin Africa❤❤❤❤the peoples of Libya they lost Diamond,Gold and don't forgotten Muhammad Gaddafi the Great power in Africa😂😂😂😂We are crying Avery day 😂😂😂we lost good and nice leader ❤❤❤
@FatnaAlly-hp7kw
@FatnaAlly-hp7kw Жыл бұрын
Allah yaaa Allah tujaalie tuwe in wenye kutenda haki na kufuata nyendo za viongozi wema yarabi
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Aisha hakika umenitoa chozi kweli!! Mungu akubariki huko ulipo!! Amen.
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
@Jacline David acha tu abarikiwe hukohuko!!
@sandrauwase9521
@sandrauwase9521 Жыл бұрын
Maskini mungu amrehemuuu yupo sehemu nzuri Aisha R.i.p. 😢😢😢😢
@SafariGurty
@SafariGurty 5 ай бұрын
Apumzike kwa amani
@ahmedhamisi-jc2hs
@ahmedhamisi-jc2hs Жыл бұрын
Sasa watu wa Libya wanajuta kwani walikua na maisha mazuri sana
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Makafiri wameisambaratisha libya kwa uchoyo tuu na husda na mtambue mataifa wla ya ulaya ni wachoyo husuda wauwaji
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 Жыл бұрын
Gadafu ali uliwa na watu libya wenyewe
@Husenimuddi
@Husenimuddi Жыл бұрын
@@exprodigitaltechtv5571 tatizo walibya wenyewe hawakuwa na udhalendo Kama tulivyo watanzania sio wadhalendo na hatusamini cha kwetu
@silverman6930
@silverman6930 Жыл бұрын
Sky the master your a great translator you don’t miss even a sing word … 🇬🇧🇬🇧🇬🇧💯💯💯💯🙏
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
RIP Aisha❤
@sadickcheyo2324
@sadickcheyo2324 6 ай бұрын
Mungu mwema kweli alifanya mema kweli
@festogeorgekwakala4146
@festogeorgekwakala4146 Жыл бұрын
Daah mungu amurehemu
@nasirkhator6796
@nasirkhator6796 Жыл бұрын
May Allah rest your beloved iul in eternal peace legend
@assanicikurukeke5236
@assanicikurukeke5236 Жыл бұрын
Kweliile kabisa
@alfredndimbo1826
@alfredndimbo1826 Жыл бұрын
Pamoja na hayo yote ila wananchi wa Libya walikuwa na maisha mazuri kuliko nchi yoyote ya ulaya na hawatolisahau na watajutia milele dhambi waliyoifanya ya kumsaliti kiongozi wao
@ayoub1906
@ayoub1906 Жыл бұрын
Mi wakwanz nipen like zang
@emanuelmlelwa6595
@emanuelmlelwa6595 Жыл бұрын
🙏🏿🤝✅
@geoffreyruhinda8875
@geoffreyruhinda8875 Жыл бұрын
RIP Shujja w'Afrika Ghadaff
@theheraldbroadcastingnetwo4836
@theheraldbroadcastingnetwo4836 Жыл бұрын
Wanawake hawawezi kuwa malinzi wanzuri,.....just kwa urembo wa macho❗
@husseinmoshe6630
@husseinmoshe6630 Жыл бұрын
Who killed Muhammed gaddafi and why???
@enockkikanae
@enockkikanae Жыл бұрын
Ruto will be the second gadafi
@raiyaaaraiyaa6054
@raiyaaaraiyaa6054 6 ай бұрын
Huwez linganisha Gaddafi na lile shetani lenu Ruto hata kwa cent moja
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@ernestmwanza7747
@ernestmwanza7747 Жыл бұрын
Uongo mtupu Gagafi alikufa peke yake baadaya kushikwa
@juvenaryburchard719
@juvenaryburchard719 Жыл бұрын
Alikuwa kiongozi mzuri nchini kwake, walio muua walimwonea na labda waliogopa falsafa zake za kuiunganisha Usa ya Africa na one currency
@KhairathemedSaid
@KhairathemedSaid Жыл бұрын
Hakikaa
@hamisimkulupalile9461
@hamisimkulupalile9461 Жыл бұрын
Ni kauli ya wapuuzi pekee,huwezi kumbaka (kumtendea ubaya) mtu ambae ndio mlinzi wa usalama wako,haiingii akilini,na mkumbuke ghadafi ni kanali wa jeshi,so anajua ishu zote za kiusalama so asingeweza kufanya huo upuuzi
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 Жыл бұрын
ALLAH awrehemu wote Waliotangulia mbele y Haki Kw kumkinga kioz wao Daima tutawakumbuka Shukran kw Story nzr yenye mafunzo n kusisimua
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Ilivyokuja tu notification nikaplay napenda sana hizi makala jmani😍
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
Iki Kiumbe Mwanamke Kikiamua Kujitolea Maisha Yake Kwa Ajili Yako Yni Kinajitolea Kweli Kwel Mpka Shetan Anakosa Njia Ya kuwachanisha Uyoo Ndio Mwanamke. Na Akiamua Kukuacha ili Dunia Ikufunze My Friend Dunia Itakufunza Kweli Kwel MUNGU Awalipe Wanawake Yalio Mema Kesho Mbinguni 🤲🤲
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 Жыл бұрын
Ni kweli maana Dr mwaka anakiona cha moto saiv 😂😂😂 acha Dr mwaka manara sasa amekua wazim fresh. 😂 Achana na manara harmonizer jee anatamani aimbe nyimbo za dini. 🤣 Sijui alikiba nae anamkumbukaje Aisha 😂😂😂😂 ila wanawake shikamoni mkiamua lenu ata shetani huchanganyikiwa 😂😂
@omarychipeta3148
@omarychipeta3148 Жыл бұрын
hahahaa aipingwi mm mwenyewe nimeponea milembe shikamoo maravi davi
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
@@suleimanrashid3918 Umejua Nikuchekesha Yni Nimecheka Kma Mjinga vile 🤣🤣
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
@@omarychipeta3148 Duuh 🙄🙄pole Mzee mwezangu
@mwajeimsangi2125
@mwajeimsangi2125 Жыл бұрын
@@suleimanrashid3918 dunia inawafunza kwa coment
@yarmfayce167
@yarmfayce167 Ай бұрын
Msipendelee sana kubezi/kutegemea sana kuzinukuu taarifa kutoka katika mashirika au vyombo maarufu vya habari vya nchi za magharibi. Si taarifa zote huwa ni sahihi kutoka kwao. Kuweni independent kiuchunguzi wa kina wa taarifa zozote, makala au habari. Tunahitaji kuiamini zaidi sns.
@zesootv6726
@zesootv6726 Жыл бұрын
Shujaa wetu kalala hila bado inaishi milele gaddafi the great
@MbomaLungwa-fy3oc
@MbomaLungwa-fy3oc Жыл бұрын
Mungu amrehem sana Aisha Kwa kazi yake nzuri
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Жыл бұрын
Huwezi kujua una neema mpaka ikuondoke...Sasa hivi Libya wanalia kilio cha mbwa mdomo juu...hawatosahau usaliti walioufanya kwa rais wao!
@tatujuma8781
@tatujuma8781 Жыл бұрын
Watabaki kujuta
@rwenenahomechannel1634
@rwenenahomechannel1634 Жыл бұрын
Wanadamu hawakosi la kusema ujinga unapowazidi... Pumzika kwa Amani mwamba Gadafi.
@Lamar-l1f
@Lamar-l1f Жыл бұрын
A true leader after,Nelson Mandela 🇿🇦 n Raila Amollo Odinga 🇰🇪.this r the true leaders who'r fought for 1 beautiful African continent.we have just been left with 1 icon in Africa Raila Amollo Odinga 🇰🇪.let God rest the 2 fallen soldiers rest in enternal place n may the Almighty Lord protect Raila Amollo Odinga 🇰🇪 n our beautiful African continent.MAD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ MY BEAUTIFUL AFRICAN CONTINENT
@emmanuelmichael7130
@emmanuelmichael7130 11 ай бұрын
What did Mandela do?!
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 5 ай бұрын
Which raila is a true leader. A chaos leader
@stonetown578
@stonetown578 Жыл бұрын
I ❤ Gaddafi, Allah amrahamu huko alipo.
@yarmfayce167
@yarmfayce167 Ай бұрын
(1977) Wanaokumbuka Vita ya Kagera Tz na hitoria iliyojazwa chumvi dhidi ya Iddy Amini wa Uganda, bila shaka na juu ya Muammari Gaddafi wa Libya, Sasa mtakuwa mmeelewa vyema.
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Alijua jinsi wanawake walivo hatari ndomana akaweka hao.
@ElishaLucas-i6r
@ElishaLucas-i6r Жыл бұрын
walio muua gadafi walaaniwe maishan mwao
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 Жыл бұрын
Obama nadhani kifo cha Gaddafi kinamtafuna hadi kesho
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Жыл бұрын
Kabisa
@halifafupi5395
@halifafupi5395 Жыл бұрын
Sana
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 Жыл бұрын
Obama nadhani kifo cha Gaddafi kinamtafuna hadi kesho
@esamwakilasa
@esamwakilasa 6 ай бұрын
Kwakweli 😢
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Жыл бұрын
Shida wanazopitia sasa hivi,uchumi wao ulivyoporomoka hata ningekuwa mimi ningefuta MABAYA yote aliyokuwa nayo
@rodriguesvictorvalerio6886
@rodriguesvictorvalerio6886 Жыл бұрын
Nimeipenda sana simulizi. Hongera msimulizi.
@billian1914
@billian1914 Жыл бұрын
Asante kwa hili historia Njema na Ukweli isalia Mia moja kwangu na Wengine.
@jeffojambo160
@jeffojambo160 Жыл бұрын
Libya 🇱🇾. And Africa at large will never forget the great leader 👑
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 3 күн бұрын
Tuwaenzi wslinzi wa Wah Marais. Daima tuwaombee hata wakwetu. Hakika kils askari anaejitambua wa kuombewa.
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Marekani na NATO hiyo damu itawalilia
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Жыл бұрын
Swadakta
@SurprisedFloatingIceberg-sk5ks
@SurprisedFloatingIceberg-sk5ks 8 ай бұрын
Obama maluuni ndio kisababishi nakama nigaidi mbon kaenda kupiga naye picha
@JuniorJaadn
@JuniorJaadn 4 ай бұрын
Alijitaidi sana ilikupambaniya uhuru wa wanadamu usasan wa africa
@alouisejohn7752
@alouisejohn7752 Жыл бұрын
Big up Africans power ex president we will miss you
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Libia walipewa maisha mazuli ikafikia wakakufuru sasa imekula kwao wamuombe M/MUNGU awafutie dhambi ya uchonganishi
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
HAPATAWALIKI SASA LIBYA UGAID KILA KONA
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 22 күн бұрын
Kwaio walinzi wote mpk gadafi anakufa walikuw bikra?
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 Жыл бұрын
Wanajaribu kumchafua kama walivyofanya Gaddafi alikuwa ni kiongozi na nusu saivi wanauwana tu let them reap what they sowed
@leitonyngayama6882
@leitonyngayama6882 Жыл бұрын
HIZO NI KASHFA ZA WAMAREKANI UMBWA KABISA
@joghindahsingh8420
@joghindahsingh8420 Жыл бұрын
Wazungu sio watu wazuri kabisa
@ngagishow2614
@ngagishow2614 11 ай бұрын
Aisha kbsa anafahamu kazi yake kbsa
@artemisneoy9596
@artemisneoy9596 Жыл бұрын
Mwanamke ni kiumbe hatari sana akiamua kulinda, pia ni kiumbe chema sana akiamua kupenda
@omanmct135
@omanmct135 Жыл бұрын
Wameuwa watu washuja nasadamu nayeye aaalllah amrehemu wote
@jumasaid106
@jumasaid106 5 ай бұрын
Mungu awarehem wote aisha na kadafi shujaa wa Africa😢😢😢
@J4UPro
@J4UPro Жыл бұрын
R.I.P Aisha.
@gefreyazeki5158
@gefreyazeki5158 Жыл бұрын
Malekani sjawai kuipenda
@arafatmbaruku8927
@arafatmbaruku8927 10 күн бұрын
Hakuna kufa kishajaa kifo n kifo tu
@omanmct135
@omanmct135 Жыл бұрын
Aaalllah anrehemu kaghafi yende peponi amin
@khadijambuya794
@khadijambuya794 Жыл бұрын
Mungu amrehemu in shaallah
@MohammadyMohammady-l5y
@MohammadyMohammady-l5y 2 күн бұрын
Uwaombee watu piyawawe naibada
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao Жыл бұрын
Naipenda Makala Ya 360 Emu nilete Makala Ya Obama Kwa Urefu Zaidi..Daima Tutamkumbuka Gaddafi Ondoka Usemwe Vibaya
@medardtungaraza8445
@medardtungaraza8445 6 ай бұрын
maybe now libya ingekua kam usa rip gadaffi
@RashidMrisho-u7d
@RashidMrisho-u7d Жыл бұрын
COLONEL MU'AMMAR GHADAFI, Laiti angelikuwa mpaka mda huu wa brand za ushoga nahisi mwamba angewanyonga mashoga wote wa africaaaa!!
@johnwamai7904
@johnwamai7904 Жыл бұрын
Bro umemzungumzia AISHA lkn hujamuonesha , unaonesha walinz wote how'll we know yupi ni AISHA Kati yao be relevant bwan
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Hakuwahi kujulikana kwa picha exactly Aisha ni yupi kati ya hao..
@oledolokos802
@oledolokos802 Жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti katika wanae pana AISHA pia
@yarmfayce167
@yarmfayce167 Ай бұрын
MAKALA "360" Kazi nzuri sana kwenu sns. Lakini ongezeni bidii katika kujikita kwenye uchambuzi wa kina na utafiti wa kina na kuchimba kiundani taarifa mbali mbali kabla mziandae katika makala zenu.
@juvenaryburchard719
@juvenaryburchard719 Жыл бұрын
Sidhani kama ni walibya walimuua nafikiri ni vikosi vya majambazi vilivyo ratibiwa kutoka nchi zenye uchu na rasilimali za mafuta ya Libya na kueneza propaganda za kumpindua kiongozi halali wa nchi.
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 Жыл бұрын
Paz a sua alma Muamad Gadafi
@bienvenunono2364
@bienvenunono2364 Жыл бұрын
Kazi nzuri saana Brother Fred Kundala a.k.a Sky. Nimependa vile ulivyo isimuliya na sauti yako nzuri, Mungu akupe kila hitaji la moyo wako na akutanguliye katika harakati zako zote
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Жыл бұрын
Ni Fred Bundala dear not Kundala
@Trys6254
@Trys6254 Жыл бұрын
hakika bro sky ni next level trust me its just a matter of time
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 😂😂
@abdurahkhomeyn6999
@abdurahkhomeyn6999 Жыл бұрын
Amin amin huyu ni mwamba wa hal ya juu namuita ghost voyce kuanzia leo
@olgavicbindo14
@olgavicbindo14 Жыл бұрын
Muongo, fuatilia mambo kiundani kabla ya kusimulia ,kipindi cha vita hao wanajeshi wanawake wapambe wake,alikua nao mbali, hawakuwa na jukumu la usalama wake wa karibu tena, tangu machafuko yalivyokuwa serious, Usidanganye watu,Tunafatilia hayo mambo kuliko wewe na vitu vipo wazi ,,fuatilia jambo kwanza kabla ya kutoa story zako kwa watu.
@amanifilsdemfumukimbangu6807
@amanifilsdemfumukimbangu6807 Жыл бұрын
Namu kubali gadhafi rest in peace Muzalendo
@khadijaabdulkarim4567
@khadijaabdulkarim4567 Жыл бұрын
Mtetezi kafa wanahangaika tu wananchi
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Жыл бұрын
Kafa kizembe waafrica wamemtenga
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Hongera!!!! Matangazo Yako very clear...
@ahmedabdallah3297
@ahmedabdallah3297 Жыл бұрын
He was a great leader colonel muamar Gaddafi. ALLAHUMA FIRLAHU WARHAMHU WASKINOO FIL JANAAT. AMEEN YARABAL ALAMEEN.
@pngarage5229
@pngarage5229 Жыл бұрын
Gadafi alikua kiongozi aliowapeda Africa na watu wake Hakua na makosa Bali alipeda Mumoja wa Africa
@abdallakhamis8708
@abdallakhamis8708 Жыл бұрын
Ebuniambiwewe wakatiwa uhaiwaGaddaafi kunayeyote alienitokeza nakudai katendewa visivyo na Gaddaafiff Gaddaafiaafii auhizi nakutaka kuhhalalishha kilewalichomtenndeatuu kuhhalalishha dhulmaaookama Gaddaafi alikuwa mm'bamm'bayaAllaahndieajuwaaye nakama alikuwa mwema pia Allaah ndieajuwayepia
@GodwinWilson-m3j
@GodwinWilson-m3j 7 ай бұрын
Tutakukumbuka daima kiongozi xhujaa ,ulikuwa ni wamfano kwa kuonyexha uzalendo wa kishujaa
@MsiliBilali
@MsiliBilali Жыл бұрын
Kama angelikua amewafanyia hivyo wao ndio wangekuwa wa kwanza kumdhuru kiongoz wao ,ni uzushi tu walioaminishwa ili aonekane si wa maana kwa wanna wananchi wake
@aziza9093
@aziza9093 10 ай бұрын
Sikuizi katepeta
@FatnaAlly-hp7kw
@FatnaAlly-hp7kw Жыл бұрын
Allah Allahu Akbar subhanaallah ama kweli mwenyezimungu ni mjuzi wa ya kini
@omarnkeshimana5007
@omarnkeshimana5007 Жыл бұрын
Uongo mtupu kwanini waesubiria hadi afariki nakuanza kutoa maneno hayo ya Ubakaji ? mwenye kila Siri ni Allahu Mimi nitakubali kitu ambaco nitakacokiona na maco Yangu
@zainaburamadhani1444
@zainaburamadhani1444 11 ай бұрын
Sasa laaana iko inawakumba lybia nabado hawajaona laana kwa kitendo walicho mfanyia rais wao
@kamaluissackkalonkano1348
@kamaluissackkalonkano1348 Жыл бұрын
Mola amrehem gadafi
@kabwikaibrahim-up3vg
@kabwikaibrahim-up3vg Жыл бұрын
Let her rest in peace!!
@malcomg1004
@malcomg1004 Жыл бұрын
Sasa hapo Aisha ni yupi maana mnatuonyesha mademu kibao hapo?
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Жыл бұрын
Mwanamke akikushika anakushika kwelikweli ILA huyohuyo ukimchefua akakuachilia siii mbingu pekee zitakutaa hadi kuzimu shetani mwenyewe ataweka Moto wake getini kwake ili usiingie.Huwa nasema Kuna viumbe hatari sana duniani lkn kati ya wote MWANAMKE ni namba moja kama huamini subiri yakukute utajuwa kuwa kumbe ni kweli.
@sabihaassed3902
@sabihaassed3902 5 ай бұрын
Huyu hatar
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 Жыл бұрын
STORY NI NZURI SANA SEMA MPANGILIO WA PICHA UNASINZISHA WAFATILIAJI... YAAN HAZIZUNGUMZI STORY INAVYO SEMA, ZINAKAA MUDA MREFU NA HAZIMUONYESHI MUHISIKA KWA WAKATI...
@lelozaina8711
@lelozaina8711 Жыл бұрын
Mabebero wenyi chuki na wivu walimua kwa wivu wao. Mungu baba yetu siku gani utawala wa ma bebero itaisha??
@SharifuKhamis-r5v
@SharifuKhamis-r5v 2 ай бұрын
Allah litie nuru kaburi la muammar gaddafi na yaumul kiyama umwinguze peponi amini i
@danielsanga8730
@danielsanga8730 Жыл бұрын
Duuuuu mm unanivitia Sana kwenye merodi yako brother nakupa ,,✊✊
@FestoBUNONDWE
@FestoBUNONDWE 13 күн бұрын
Sa mbona bikra jaman
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Asante sana kaka
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 Жыл бұрын
Imeanza vizuri... imeishia vibaya
@tiagomilanzi3290
@tiagomilanzi3290 Жыл бұрын
Usimdharau mrinzi wa Rais hatakama mlinzi huyo unamuona kuwa n mwanamke usije mchukulia poa.
@rashidmoshi8438
@rashidmoshi8438 Жыл бұрын
Toka lini laisi akabaka Kama sio kumtukana mkombozi wetu
@martinchangawa90
@martinchangawa90 Жыл бұрын
I really liked this guy. Surely why kill such a man?
@mussaayubu1167
@mussaayubu1167 Жыл бұрын
Sky anajua Xana
@barnabasviva2245
@barnabasviva2245 Жыл бұрын
Huo arikua mwanaume
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 21 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 23 МЛН