Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.
@CharafimalisalimoAli-qw3hkАй бұрын
NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.
@heridunia28 күн бұрын
mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi
@louangesid22 күн бұрын
😅😅😂😂
@pilotmadata5791Ай бұрын
Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...
@RamadanPaulАй бұрын
😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅
@DjMswati28 күн бұрын
@@RamadanPaul kaka unazingua😂😂
@afandechanel150728 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili
@johnmwangi9231Ай бұрын
Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga Gender equality Wizi wa mali ya wengine Mauaji ya watu bira hatia!
@mariaalenge2106Ай бұрын
Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu
@HassanbaomaАй бұрын
M/mungu mlinde putin
@atutweve4160Ай бұрын
HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣
@melkizedckАй бұрын
Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.
@philemonyesaya4353Ай бұрын
Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...
@FranckDaniel-cc5rgАй бұрын
Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia
@itsdvoice.Ай бұрын
😂😂😂😂 kweli Akili una 😅
@hafidhyakoub8369Ай бұрын
Ww dvoice na ww shoga au
@JgjgjggjaieifhfvАй бұрын
D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo
@lakasid3860Ай бұрын
Hii KZbin ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂
@user-cf6qo9rs4fАй бұрын
Nakupenda sna dj smaa
@davidwalalason7630Ай бұрын
Apeleke silaha palestine na yemen
@hafidhyakoub8369Ай бұрын
Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa
@user-xl9so6jg1e23 күн бұрын
Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne
@issalyanali411922 күн бұрын
Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂
@adrianomaulaga159920 күн бұрын
@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki
@issalyanali41198 сағат бұрын
@@hafidhyakoub8369 silaha za NATO zimechakazwa mpaka zikapelekwa urusi wananchi wakapiga nazo selfie,,,wewe ulikuwa umelala Nini na usingizi,,,ahhh kumbe mwafrika Bado western civilization inakusumbua ikiwepo ushoga,,,,urusi kapigana vita nyingi ,,,,halafu,,,watu waliojaribu kugombana na Russia hawajawahi kuwa salama mfano Napoleon Bonaparte,,, Adolf Hitler,,,,sasa USA Ataweza wapi,,,kuhusu teknolojia ya vifaa vya kivita marekani mchumba TU ,,we ndo unamtukuza,,,,china ,,urusi,,,north Korea,,,wanaona america taifa la kawaida TU ,,SI kama wewe mwaafrikaaa😄😄
@AliNassor-qt6fmАй бұрын
Time wii tell
@YohanaMaseboАй бұрын
Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji
@josephelias7364Ай бұрын
Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR
@AbdiBenderaАй бұрын
Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii
@GraceMashinga-be9wbАй бұрын
Sana tu
@jkifutu7936Ай бұрын
Absolutely 💯 💯 💯
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!
@Khalid-oi9qbАй бұрын
Awape tu
@josephfrank444619 күн бұрын
Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu
@Brunotarimo10Ай бұрын
Mwamba Putin namkubali sana
@melkizedckАй бұрын
Urus wamechoka, vitisho tu.
@stevenlugojeremia2323Ай бұрын
@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅
@Brunotarimo10Ай бұрын
@@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba
@user-km4kb3xj3yАй бұрын
Safiii wape
@noel3290Ай бұрын
Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena
@MiriamAbdallahАй бұрын
Mbona hamfikirii kuhusu Gaza
@festokasongi4537Ай бұрын
gaza acha wafe mbona auwazi kongo
@Shehasweet-hy6xnАй бұрын
Safiiiiiiiii
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe
@MiriamAbdallahАй бұрын
Kule gaza mnongea au ni Ukraine tuu
@ramadhanhassan5285Ай бұрын
Huyu ndie kiboko wa marekani
@atutweve4160Ай бұрын
🙄🙄🙄
@YusuphLiyangaАй бұрын
Sns mnatisha kwa habar
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Wape na cuba wawanyoshe marekani pale ndo karibu
@soudmoshmnyika5813Ай бұрын
Ndio maana hakusema Tampa nani ila nchi nyingi zitakuwa za kiarabu
@Gulfnas1Ай бұрын
@@soudmoshmnyika5813 Cuba pia ina asilimia kubwa tu
@user-lt1bi5nr1x22 күн бұрын
Tayali
@CastoryKapinga-nb7htАй бұрын
UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI
@MajutoElliasiАй бұрын
Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere
@atutweve4160Ай бұрын
@@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU
@MajutoElliasiАй бұрын
@@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu
@minicooper9642Ай бұрын
Wewe ndio mjinga Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.
@atutweve4160Ай бұрын
@@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄
@user-ju4md1yq6oАй бұрын
Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine
@leonardjohnson2058Ай бұрын
Mwenye uzoefu anaogopa silaha za masafa
@sharifuahmed8340Ай бұрын
BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO
@Maxpaul-oi8pwАй бұрын
Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida
@abdullahhilalabdullahalmug3168Ай бұрын
Putin yupo Sahihi kabisa
@koudrashabani1912Ай бұрын
Ndio Na inshallah Atafanye vizuri Huu Akishindwa Ulimwengu inaharibika Sana Sana Sisi wa Afrique Na Asie Tutakuwa watumwa wa kwanza
@yuvencepatrice79215 күн бұрын
Si awashe 🔥 tu! Kwann anasem iv na kutokutekeleza
@SwedyMohamed-vt5zmАй бұрын
Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.
@MiriamAbdallahАй бұрын
,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅
@melanialeonard4031Ай бұрын
Mtakatifu tena????
@Maxpaul-oi8pwАй бұрын
Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo
@fahadabdalla819421 күн бұрын
@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko
@adrianomaulaga159920 күн бұрын
@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine
@GraceMashinga-be9wbАй бұрын
Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏
@user-gh4mg2wn8yАй бұрын
Faza watandike hao mashoga wa magharibi
@leonardjohnson2058Ай бұрын
Na hawa mashoga wa kwetu vipi kule mafia
@Gulfnas1Ай бұрын
The situation is getting worse than ever...
@peterilimwa5754Ай бұрын
so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.
@yusuphmashallah3732Ай бұрын
Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
@@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .
@salimwangaАй бұрын
Good hope for Africa.❤🎉🎉
@newtonmwewa6220Ай бұрын
The greatest of all time
@SalickSuleimanАй бұрын
Im warning USA
@athumaniamani9905Ай бұрын
Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia
@MiriamAbdallahАй бұрын
Athumani kakaangu unalipeka wapi au g......
@evelynemugeni2369Ай бұрын
@@MiriamAbdallah😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Tena kalipue israhell mamae
@ebengapierre8826Ай бұрын
wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo
@MnyongeMuganza10 күн бұрын
💯
@adamfungamwango464017 күн бұрын
Hivi hii vita haijaisha tu!! Kila siku jamaa anaonya tu!!!
@YustaMfugaleАй бұрын
Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you
@user-rq8zq1mf7uАй бұрын
Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us
@academicsite8524Ай бұрын
US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA
@meckmussa1840Ай бұрын
Kabisa aisee
@fredymushy9674Ай бұрын
Marekani kubwa sana akuna wakuwasumbua
@MauaLucas-st6beАй бұрын
Kwahiyo urus ni ndogo
@meckmussa1840Ай бұрын
Kabisa
@Dr.O-md1hyАй бұрын
Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu Lakini tunawakubali sana
@uwimana6533Ай бұрын
Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂
@peterilimwa5754Ай бұрын
wakati unaanza kuipiga Ukraine ulizan Dunia itakaa kimya
@yuvencepatrice79215 күн бұрын
Ila sidhan Kam Ukraine anauwez w kishambulia
@jackhans7708Ай бұрын
Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga
@magigesabai867424 күн бұрын
kivipi na uku raia wake wako salama
@AshaDanyАй бұрын
Vita ya dunia inakuja
@hamishatibu699Ай бұрын
MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA
@democritenzoisaba9117Ай бұрын
Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria
@hijazhija316Ай бұрын
Hisabati
@user-xo9we4yx1cАй бұрын
Poga hao wafe manyangau
@sleifikhajjir262Ай бұрын
Putin 🎉🎉🎉
@yusafbayu7016Ай бұрын
Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia
@almasbakari5359Ай бұрын
Fredrick bundala🔥🔥🔥
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo
@atutweve4160Ай бұрын
Weeeee tusubir tuone 🤣
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo
@atutweve4160Ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉
@elvira9325Ай бұрын
Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz
@ibrahimaziz7158Ай бұрын
Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio
@user-eg1ts2fu9zАй бұрын
Putin ni mtu asiyekiwa na masihara
@magigesabai867424 күн бұрын
Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇹🇿❣️🇷🇺
@aziza9093Ай бұрын
Pige mashoga hao
@hamudshabani7801Ай бұрын
Hii vita si urusi na NATO bali INA athiri usalama wa ulimwengu mzima kwa hiyo tuombe visi sambae
@user-sd5hj2im4qАй бұрын
Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe
@zainabwage4658Ай бұрын
😂😂😂
@amantuyininahaze779428 күн бұрын
Sawa tunaelewa, na huyo mbwa anaebweka, je??? 😐
@HansChumaАй бұрын
Toa baba we are already Tired with America marekan niwashenz navibaraka wake
@magigesabai867424 күн бұрын
Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda
@josepheriah5977Ай бұрын
Boya uyo
@abdullahnassor943325 күн бұрын
ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.
@MankoWeitala-pe7miАй бұрын
Putini❤❤❤
@user-xo9we4yx1cАй бұрын
Mungu mlinde puttin
@Shafikimanga7Ай бұрын
Hili swali la mwamba Lina zaidi ya utata.
@user-pd5hl9di2qАй бұрын
Fanya hivyo urusi dawa ya moto ni moto
@user-km1dm8et9xАй бұрын
Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael
@babumrishaАй бұрын
Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...
@assateke7199Ай бұрын
Ila Putin ni kichwa sn...😂 Western na hela zao na silaha zao na Kila kitu chao lkn huyu jamaa amewazidi...😂😂😂
@GregoryModaha18 күн бұрын
Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu
@khamisomar889Ай бұрын
Hapa kwa smaaa ndo nakubali, habari inachangamka
@JgjgjggjaieifhfvАй бұрын
Congo 🇨🇩 ❤️atupe sisi hata sasa ivi tuh sisi na Rwanda tu malizane mara moja
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Piga USA na EU wanauza minerals zenu na ma campun ya Apple,Tesla na Microsoft
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Resources zenu zinauzwa Eu na USA
@JgjgjggjaieifhfvАй бұрын
Ndiyo
@user-lt1bi5nr1x22 күн бұрын
Piga nuklia mzee time Time befor
@akbarkisamo8392Ай бұрын
Uyo mbwa vipi😂😂 nae anajambo lake asikilizwe
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@abdulhalimomar5329Ай бұрын
Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu
@user-jp9tf5nw9lАй бұрын
Yani awape hamas
@RajabuHussein-to7jzАй бұрын
Acha uruss iwatandike hao maboyo
@dullahtechtz3422Ай бұрын
Nakubal putin
@ErickMwashamboАй бұрын
Alie skia mbwa akibwe weka comment
@godfredkimaro3292Ай бұрын
Nani kasikia mbwa
@colmanlesulie250Ай бұрын
Hivi ni Vita so Ukraine naye anahaki ya kushambulia, Why Putin anatumia Silaa kutoka China, North Korea, Iran sasa na yeye akae mkao wa kula.
@josepheriah5977Ай бұрын
Acha waliuee
@Emanueli-vz6fdАй бұрын
Nani ss mbona usomeki
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
.. "pumba tupu!..." Hahaaa
@ALIMANIZIGIYIMANA-yd7jc23 күн бұрын
Putin yaipe silaha nzito Burundi kama izo iwape somo mabeberu
@user-zn4jl5wy3dАй бұрын
Mashoga huwa wanaunga mkono mashoga wenzao pasina haya
@elikundangoye763323 күн бұрын
Mwamba huyuuu.lazima NATO wakaee
@bosssyedmund8785Ай бұрын
🤒
@raydanfrenkАй бұрын
😂😂😂😂😂amna kila kitu si afanye kama anajikubali
@ameirzapy1318Ай бұрын
Anatoa tahadhari ,, msije kusema hajaonya
@computerjoshua96Ай бұрын
Sasa ashambulie yeye kwanini awape wengine
@heridunia28 күн бұрын
popote pale litakapoonekana chembe ya silaa ya USA bas iyo ni vita tu akuna kulud nyuma