ACHENI KIBURI NYINYI SIO SALAFI, SHIA, SUUFI WALA SUNNIH HUKO NI KUMKOSEA MOLA WENU KISA ELIMU ZENU

  Рет қаралды 123,544

Riyadh Tv Online Znz

Riyadh Tv Online Znz

Күн бұрын

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkMuharramMziwanda

Пікірлер: 141
@HassanHassan-sn5cj
@HassanHassan-sn5cj 2 жыл бұрын
Mimi kwa uchache wangu wa kujua pengine naona yupo sahihi Sana anajitahidi kuurudisha umma pamoja kwa alivyofaham nami nmuunga mkono!! Ila elimu Wallah nipana mnooo !! Allah anajua zaidi!!
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 3 ай бұрын
Allah akup pepo shwkh una elimu ya hali ya juu matunda ya shekh amer tajo
@awadhgahtan9643
@awadhgahtan9643 2 жыл бұрын
Masha Allah shekhe Allah akuhifadhi na akupe umbri mlefu wenye kheri kwa kweli ulionao
@salumselemani1059
@salumselemani1059 2 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze ktk njia iliyonjooka
@saidyusuf9245
@saidyusuf9245 2 жыл бұрын
Shukran shekhe wangu kwa nasaha yako mungu atu oneshe haki tuiyandame nabatili tuiyepuke
@hadijaosman7704
@hadijaosman7704 2 жыл бұрын
MashaAllah Jazakkah llahu khair sheikh kwa ilmu hii nzuri
@yusufsadic2930
@yusufsadic2930 2 жыл бұрын
Kama ingekuwa inawezekan Ujumbe kam huuu Ingekuwa unatafasiriw kwa Luga ya kingerez ili unufaishe Duniy mzima Haswa haswa Malawi kuna watu Amvao wanajit kuwa ni Wailsam lakin kuna ujinga mkubwa san
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 2 жыл бұрын
mashaalah shekh Allah akulipe
@abdichongowe2255
@abdichongowe2255 2 жыл бұрын
Ukimsikiliza vizuri shekh huyu kwa mtazamo usiowakimadhehebu na Ushabiki utamuelewa, tumuombe Allah tuchukue haki kwa yeyote
@muhammadmwakitubu6548
@muhammadmwakitubu6548 2 жыл бұрын
M'Mungu akuhifadhi na akuzidishie ilimu akupe umri mrefu wenye kheri tuendelee kunufaika nawe
@Mustafaxelad
@Mustafaxelad 2 ай бұрын
خزاك خيرا
@gichanidd.jazaakumullaahkh2856
@gichanidd.jazaakumullaahkh2856 2 жыл бұрын
Maashaallah Jazaakumullaahu Shukrani Aksant
@hashakimanaasman5331
@hashakimanaasman5331 2 жыл бұрын
Assante mashekhe ALLAH awape mwisho mwema
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 2 жыл бұрын
جزاك الله خيرا
@halimali2740
@halimali2740 2 жыл бұрын
Mashaallah jazzakum allah kher
@fathmaoman1186
@fathmaoman1186 2 жыл бұрын
Waleykumsalaam warahmatullah wabarakatuh
@la_raib953
@la_raib953 2 жыл бұрын
MashaaAllah
@jimjam4148
@jimjam4148 2 жыл бұрын
MASHAA ALLAH.
@khalidimuridi5958
@khalidimuridi5958 Жыл бұрын
Mashaallah, Allah akulinde sannnnna sheikh wetu.....
@ramadhaniharouna9609
@ramadhaniharouna9609 2 жыл бұрын
Shukran wajazakallahu kheir
@halimaauthman9324
@halimaauthman9324 2 жыл бұрын
Shukran sana
@muhidinzaidi1408
@muhidinzaidi1408 2 жыл бұрын
Masha Allah
@shishybaby4524
@shishybaby4524 2 жыл бұрын
Subuhana llah taqbiriiiiii .
@shishybaby4524
@shishybaby4524 2 жыл бұрын
Mwenyezimungu atuafikishe inshallah
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Barakallahu
@salmamrembo4360
@salmamrembo4360 2 жыл бұрын
Mashallah
@HassanAli-eq8ko
@HassanAli-eq8ko 2 жыл бұрын
Mashaallaah jazakumullah kheir
@udymakame5269
@udymakame5269 2 жыл бұрын
Mashallah...
@yasinamiri7649
@yasinamiri7649 2 жыл бұрын
Waleiku salam warahmatullah wabarakatuh ijumaa mubarak
@badimruma6695
@badimruma6695 2 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@jumabias4917
@jumabias4917 2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 2 жыл бұрын
حييت وبوركت سيدي الأستاذ
@saadaabdallah7473
@saadaabdallah7473 2 жыл бұрын
MashaAllah
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 2 жыл бұрын
Allah atufahamishe zaidi 🤲
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kwani wenye pesa ndio wanawatuma mashekh watoe fatwa au vitabu ndio vinaongea kila aamini abacho kiona kipo sawa lakini usiseme matajiri ndio wanawatuma unakosea kwa hapo
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Shekh mziwanda baarallah fiikum...taarifuu hizo ziko kwenye kitabuu ganiii??? Na Kuna mwanazuoni aliekutangulia katika hizoo taarifuu ulizo zitioa???? Baarallah fiikum..
@jengajuma8825
@jengajuma8825 2 жыл бұрын
MAASHAALLAH
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Sheikh AlhamduLiLah unafamisha uzuri baina yamaimu pia mamu hapana hata moja aliji kimedhebi wate walikua wana madheb moja nayalokuja kufudisha Nabi Mhamad wasalatu wasalam ni uwislamu si madheb kausemavo maimamu tuwapede khitalafu Zao zitufaida tuwe kuta patapokua wepesi katika shida
@abuuaminah5655
@abuuaminah5655 2 жыл бұрын
Ma Sha Allah, maneno mazito
@jafarimpawa8237
@jafarimpawa8237 2 жыл бұрын
Vipi waislamu kutofautiana katika masiala ya kiakida,ikhtirafu hii mbona hujaizungumzia,je ikhtirafu hii waislamu watakua wamoja
@salum-mkumbila2016
@salum-mkumbila2016 2 жыл бұрын
Manen matam MashaAllah shekhe wang
@jengajuma8825
@jengajuma8825 2 жыл бұрын
جملآ جيدا
@shabanimngazija3409
@shabanimngazija3409 2 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema
@rashidmwambala775
@rashidmwambala775 Жыл бұрын
Uko sawa n mkeo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 жыл бұрын
UISILAM UNA DHEHEBU MOJA TU!! NA NI ILE ALIYOKUWA NA MTU ME WETU NA MASWAHABA WAKE!!
@petercharles747
@petercharles747 2 жыл бұрын
Mashaallah Yuko gudsana
@JRN2612
@JRN2612 2 жыл бұрын
Sheikh anaongea in general, hajabase upande wa dhehebi lolote., hoja yake ni kulingania umoja tu. But kuna wale visirani ambao wanadhani pepo ni kwa ajili yao peke yao ndio wanamtolea maneno. Shubamiti zao😅😅😅
@thaniali3030
@thaniali3030 2 жыл бұрын
Shekh gn
@jumannekambi232
@jumannekambi232 2 жыл бұрын
Umesema kweli shkh
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Shekh wangu naona maadaa ya Askofu kamtukana angaliya kauli tamkoo alisema Askifu
@mudarisuburhan7182
@mudarisuburhan7182 2 жыл бұрын
Kasome wew bado huna hoja Katka ...unaudhaifu mkubwaa sana
@JRN2612
@JRN2612 2 жыл бұрын
Ukisoma wewe inatosha😅
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 жыл бұрын
Kwakweli mtihani mzito Jamani haya madhehebu ndio yanayo tufanye tubaguane waislam Kwa waislam.. haya yalitabiriwa na mtume Kuwa itafika kipindi cha akhiru Zamaan Uislam utagawika makundi Kwa makundi ndio Sasa tunaona athari zake
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kuna watu watabeba sana lawama kwa kuanzisha mikanganyiko hii hasa baada ya kufa mtume na Ukhalifa wa Abuu bakr Omar Othmaan na Ali,sijui ushia sijui sunni na vyengine.Kwa nini wasingeacha vile alivyofundisha tu mtume S.A.W ehh,
@SaidAli-qb8kd
@SaidAli-qb8kd 2 жыл бұрын
Shekh leo umenifunua kichwa sawa sawa, inshaallah
@abdulkadiryowerimahmud4193
@abdulkadiryowerimahmud4193 2 жыл бұрын
usiache kumfollow inshaAllah 🙏🙏🙏💯 ubarikiwe
@nasrahashimu5675
@nasrahashimu5675 Жыл бұрын
Masalaf Ni kikundi kilichoundwa na mayahudi lengo kuja kuleta mifarakano na wahakikishe nuru ya mtume waizime
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 жыл бұрын
ustadh leo umenichanganya
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 2 жыл бұрын
Huyu ni mtu wa kupewa nasaha
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 2 жыл бұрын
Tumepewa akili kuitafuta akili timam, hizi dini za mapokeo ni chanamoto sana
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kipozeo alisema ujinga cio tusi ni mtu ambaye hajui lakini hataki kujua lakini usimuite mwinzio mjinga mbele za watu
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 2 ай бұрын
Hafidhimaalim una matatizo kichwani
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 2 жыл бұрын
رضي الله عنك شيخي محرم
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Sababu yako mengi yakuchangiwa kuhusuana na Ibada Bali washerehekea na kuchamgia mashekhe kugombana ni makafiri nafkiri wanifanya Waislam
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Maulidi
@wakwetu2444
@wakwetu2444 2 жыл бұрын
Ni Muhadhara mzuri sana.
@engineertuwere6028
@engineertuwere6028 2 жыл бұрын
Kinacho sikitisha ni kwamba, nondo hizi zilitakiwa kumwagwa mbele hasa ya madaaiya wetu ambao imma kwa kughafilika au kwa makusudi wanajua lakini wanayumbisha umma, hiyo hadhira yote hapo haina shida na mada hiyo. walengwa hasa wako pembeni wanasubiri kuja potosha mantiki na lengo la shekhe kuandaa mada hiyo.
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Hizi TV ni zakikafiri manake kazi zao kuwagombanisha mashekhe na maustaz Hawa ni banuuu Izrail
@bigdawstz7258
@bigdawstz7258 2 жыл бұрын
MashaAlllah.... Shekh wangu iii itapendeza Kama mutaifanya Maulamaa wote wa Tanzania!!!!!
@rachidesaide3638
@rachidesaide3638 2 жыл бұрын
Wakomeshe manaa hatuna hatuna Amani na hawajui lolote
@SalimSalim-ec9jo
@SalimSalim-ec9jo 2 жыл бұрын
Huku kusoma Sana mwishowe nikuburi kwa maana kila mtu nimjuaji... Heri tuwe mazuzu kwa kile kidogo tulichonacho na tufwate sheria za Allah
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
SALIMU bin Salimu@ Unawezaje muislaam kufuata sheria za Allah ukiwa zuzu bila ya elimu? (kujuwa elimu ya dini)
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
MWISLAM anapokuwa zuzu au mbumbumbu Kisha akazungumzia masuala ya dini kwenye kahawa tambua atawapoteza watu wengi sana. @Salimi Salimu
@nyawebabu5644
@nyawebabu5644 2 жыл бұрын
Hayo makundi yote wanzilishi ni mayahudi wanawapa pesa kama masheikh wa bakwata ili kugombanisha waislam
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 2 жыл бұрын
Maneno yako yahitaji dalili habeeb
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 2 жыл бұрын
Hata wasingekuepo mayahudi bado tungetafautiana kwa sababu twatafautiana maono
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Watuletea mambo ya kifikhir eti utuchanganye ..twende kwenye itikadi sheikh usiwazonge watu
@asaduzamanalmaxmud7671
@asaduzamanalmaxmud7671 2 жыл бұрын
M.a
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 2 ай бұрын
Ahamadi faki Ina one kanaunafungu unapata upended mwengine Yani kwama Neno haya mazuri una andaika upuuzi
@musabadawi9950
@musabadawi9950 2 жыл бұрын
Umisema saw ila ulikua unaogea nawatu uwelewa wa wao wa chini
@gaboudghussein527
@gaboudghussein527 2 жыл бұрын
Umejuaje mwenzetu
@AhmedSaid-mn4vv
@AhmedSaid-mn4vv 2 жыл бұрын
@@gaboudghussein527 jamaa akiona tu watu anawajua....intelligent sana😆😆😆
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 2 жыл бұрын
Kipengele Cha kinyume Cha elimu ni ujinga anapinga kwa hoja ipi?
@hafidhmaalim408
@hafidhmaalim408 2 жыл бұрын
Anapotosha kielimu
@maulideabdala3832
@maulideabdala3832 2 жыл бұрын
w.masha Allah
@shekhlukuman
@shekhlukuman 2 ай бұрын
𝑨𝒔𝒂𝒍𝒂𝒎𝒘𝒂𝒓𝒚𝒌𝒎𝒖 𝒏𝒂𝒘𝒎𝒃𝒂𝒖𝒏𝒊𝒑𝒊𝒈𝒊𝒚𝒆
@user-tw4nf6bv8b
@user-tw4nf6bv8b 2 ай бұрын
Tatizo la mafuriko hayo ya mpasuko ni nn?? Ili upate suluhisho ndio mada yako italeta manufaaa Lkn kuwataka kua pamoja waislam ni ngumu moja ya sbb za kuwagawa waislam tz ni baraza
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kasa wa ada ya bidaa haliwi
@ibnomar8144
@ibnomar8144 2 жыл бұрын
Sheikh kachanganya saana tu haeleweki nini anachotaka kufika eko ila umeleweka wale ambao wametaka kusikiya haqqi pasina ushabiki jazzakallahkheir. Wallah a'alam
@abdulkadiryowerimahmud4193
@abdulkadiryowerimahmud4193 2 жыл бұрын
Naomba rejeleya kuiya sikiliza haya mawaidha Mara nyingine asanti 👏👏👏
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 2 жыл бұрын
KALALE
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Kivuko tazara
@jamalbahdela524
@jamalbahdela524 2 жыл бұрын
Maghribi ni mchana?
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 жыл бұрын
mwanzoni mwa usiku
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 Жыл бұрын
Kwa Mujibu wa Qur'an ni Mchana
@jengajuma8825
@jengajuma8825 2 жыл бұрын
Nime elimika sana
@abdulkadiryowerimahmud4193
@abdulkadiryowerimahmud4193 2 жыл бұрын
Sheikhe abarikiwe kwakufaidika kwako💚💚💚
@ahmadashauqiy4615
@ahmadashauqiy4615 2 жыл бұрын
Mwambaaaaaaaa
@maulidihassani8324
@maulidihassani8324 2 жыл бұрын
Silisilayake tuijueeee
@ahmadifakimjaka1433
@ahmadifakimjaka1433 2 жыл бұрын
Asituelezee tofauti za kifiqhi hizo hazipelekei mgawanyiko aeleze tofauti ktk Aqidah ambazo zinagawa watu kutokana na utofauti wa misingi yao hilo ndio la muhimu. Pia hata ktk fiqhi si kila mahala itazingatiwa ikhtilafu bali inapothibiti dalili yenye nguvu yenye kuzidi nguvu dalili za wanachuoni wengine basi hiyo ndio yakufuata. Kuna watu wanataka kuutumia mlango wa ikhtilafu kufanya biddah
@al-itrahenterprise2862
@al-itrahenterprise2862 2 жыл бұрын
Ahmad wewe ni wahabi wa waaasziii
@hosseinmiraj6509
@hosseinmiraj6509 2 жыл бұрын
Mashaalla
@ashamachano5101
@ashamachano5101 2 жыл бұрын
O
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 2 жыл бұрын
Pengine hicho kitabu alosoma uyu jamaa hajakifaham yaonekana kajisomea mwenyew t Arudi akasomeshwe kabsaa aache kibri hakitamsaidia Mfikishien nasaha izi huenda zkamfika
@ramadhanimsukuma8438
@ramadhanimsukuma8438 2 жыл бұрын
wee umesomeshwa na mtume ?
@abubakarkassanura3515
@abubakarkassanura3515 2 жыл бұрын
@@ramadhanimsukuma8438 🤣🤣🤣🤣
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 2 жыл бұрын
Wee lala uko
@juwairiakimaro2119
@juwairiakimaro2119 2 жыл бұрын
Allah akuongoze acha dharau na ushabiki ktk mambo ya dini.umma umegawanyika kwa sababu yenu ,shekh yuko vizuri
@mwinyimohamed9746
@mwinyimohamed9746 2 жыл бұрын
Salafi ni wewe mganga wa kienyeji
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 2 жыл бұрын
Asalam aleykum hii ndio taabu ya ss Waisilam sasa ww wenamkejeli at toka ww ndio salafi na nio maana mganga unamdhalilisha uwisilam unatwambia motoring mwezako na mungu atakustiri ss ww mbona unamdhalilisha
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 2 жыл бұрын
Huyu ndugu inafaa apewe nasaha kwa upole hivi huyu anajua kiarabu kuliko sheikh Abdulrahmaan bin Abdulrazizi ibn Baaz rahimahullah ktk kitabu chake maarufu kiitwacho Darsa muhimu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
Kelele nyamaza dawa ikuingie
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 ukhty vp mbona unakuwa Kama tupo kwenye Vita? nakuomba Kama unahoja tuzungumze
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
@@ibnhassan9980 una hoja ndugu yangu wewe tulia dawa ya ostadhi ikuingie
@burhanimahmoud8985
@burhanimahmoud8985 2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 wewe hoja hoja yako ipo wapi?
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
@@burhanimahmoud8985 unataka kuiona hojayangu ili iweje tulia dawa ya ostazi iwaingie
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 2 жыл бұрын
KWA MFANO UKAUONA MWEZI UMEANDAMA UKIWA TZ JE AMBAO KWAO MUDA HUO HUO NI SAA 9 USIKU AU SAA 10 AU 12 ALFAJILI WANAWEZAJE KUAMKA NA SWAUMU AU WAKASALI EID ? NAOMBENI MAJIBU SIO UJANJA UJANJA
@rashidabdul-aziz3399
@rashidabdul-aziz3399 2 жыл бұрын
Kila mji utafata muandamo wake kwa mujibu wa swahaba wa mtume ibni abasi
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 2 жыл бұрын
kufunga ndevu ni amri arrasuul ukiipinga umekwendanae kinyume ukinyoa ww demutu
@kinyauherbalist2806
@kinyauherbalist2806 Жыл бұрын
Huna Adabu
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 2 жыл бұрын
Na wewe kasome uwe na elimu
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 2 жыл бұрын
Wewepotofu hujuwi usemalo
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 2 жыл бұрын
kama unanyoa ndevu wewe demtu
@mwalimumuhidini1544
@mwalimumuhidini1544 2 жыл бұрын
Wewe huna akili
@ramadhanimsukuma8438
@ramadhanimsukuma8438 2 жыл бұрын
kama ww
@kinyauherbalist2806
@kinyauherbalist2806 Жыл бұрын
Sasa ndio uislaam gani huo haya tupe dalili kutoka kwenye quran au hadiyth kwamba ukinyoa ndevu ni demu
@fatimasaid4855
@fatimasaid4855 2 жыл бұрын
Masha Allah
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 2 жыл бұрын
Wewepotofu hujuwi usemalo
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 2 жыл бұрын
Subhanallah mtihani.Allah atupe elimu.Maana uislam siyo kufuata mkumbo.
@yusuphpazzy4880
@yusuphpazzy4880 2 жыл бұрын
Masha allwa
@aishandwata2207
@aishandwata2207 2 жыл бұрын
Masha Allah
@suleimanhaji8
@suleimanhaji8 2 жыл бұрын
Khamisi Ali mustapha rudi kasome fiqih utaujua ukweli wa dini ya kiislam sheghe amezama kifiqih kufuga ndevu ni sunna si faradhi.
UFUNDI WA SHEIKH MZIWANDA AKIIELEZEA BID'AA - SHEKH MZIWANDA
19:41
SHEKH MZIWANDA ONLINE TV
Рет қаралды 2,2 М.
SHEIKH MZIWANDA ATEMA CHECHE MKOANI KIGOMA JIFUNZE MAHUSIANO MAZURI NA WATU
19:42
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 126 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 17 МЛН
SHAIRI LA AMENIHAMA KITANDA SABABU PESA YA DIRA
14:22
MASHAIRI YA MWAMBAO
Рет қаралды 7 М.
MSIMAMO WETU NIKUA MASHIA SIYO WAISLAMU
27:46
SHALBA OnlineTV
Рет қаралды 27 М.
KAMA MKEO HAIJUI SIRI HII HUNA MKE | SHEIKH IZUDIN
38:55
Adil TV
Рет қаралды 206 М.
KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN
29:15
arkas online tv
Рет қаралды 203 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 126 МЛН