Mimi kwa uchache wangu wa kujua pengine naona yupo sahihi Sana anajitahidi kuurudisha umma pamoja kwa alivyofaham nami nmuunga mkono!! Ila elimu Wallah nipana mnooo !! Allah anajua zaidi!!
@user-zs6qg7ql1i3 ай бұрын
Allah akup pepo shwkh una elimu ya hali ya juu matunda ya shekh amer tajo
@awadhgahtan96432 жыл бұрын
Masha Allah shekhe Allah akuhifadhi na akupe umbri mlefu wenye kheri kwa kweli ulionao
@salumselemani10592 жыл бұрын
Mashallah Allah atuongoze ktk njia iliyonjooka
@saidyusuf92452 жыл бұрын
Shukran shekhe wangu kwa nasaha yako mungu atu oneshe haki tuiyandame nabatili tuiyepuke
@hadijaosman77042 жыл бұрын
MashaAllah Jazakkah llahu khair sheikh kwa ilmu hii nzuri
@yusufsadic29302 жыл бұрын
Kama ingekuwa inawezekan Ujumbe kam huuu Ingekuwa unatafasiriw kwa Luga ya kingerez ili unufaishe Duniy mzima Haswa haswa Malawi kuna watu Amvao wanajit kuwa ni Wailsam lakin kuna ujinga mkubwa san
@dungayusufu19542 жыл бұрын
mashaalah shekh Allah akulipe
@abdichongowe22552 жыл бұрын
Ukimsikiliza vizuri shekh huyu kwa mtazamo usiowakimadhehebu na Ushabiki utamuelewa, tumuombe Allah tuchukue haki kwa yeyote
@muhammadmwakitubu65482 жыл бұрын
M'Mungu akuhifadhi na akuzidishie ilimu akupe umri mrefu wenye kheri tuendelee kunufaika nawe
@Mustafaxelad2 ай бұрын
خزاك خيرا
@gichanidd.jazaakumullaahkh28562 жыл бұрын
Maashaallah Jazaakumullaahu Shukrani Aksant
@hashakimanaasman53312 жыл бұрын
Assante mashekhe ALLAH awape mwisho mwema
@sheikhabuusakakin32432 жыл бұрын
جزاك الله خيرا
@halimali27402 жыл бұрын
Mashaallah jazzakum allah kher
@fathmaoman11862 жыл бұрын
Waleykumsalaam warahmatullah wabarakatuh
@la_raib9532 жыл бұрын
MashaaAllah
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHAA ALLAH.
@khalidimuridi5958 Жыл бұрын
Mashaallah, Allah akulinde sannnnna sheikh wetu.....
Kwani wenye pesa ndio wanawatuma mashekh watoe fatwa au vitabu ndio vinaongea kila aamini abacho kiona kipo sawa lakini usiseme matajiri ndio wanawatuma unakosea kwa hapo
@abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын
Shekh mziwanda baarallah fiikum...taarifuu hizo ziko kwenye kitabuu ganiii??? Na Kuna mwanazuoni aliekutangulia katika hizoo taarifuu ulizo zitioa???? Baarallah fiikum..
@jengajuma88252 жыл бұрын
MAASHAALLAH
@sulimanmasoud93372 жыл бұрын
Sheikh AlhamduLiLah unafamisha uzuri baina yamaimu pia mamu hapana hata moja aliji kimedhebi wate walikua wana madheb moja nayalokuja kufudisha Nabi Mhamad wasalatu wasalam ni uwislamu si madheb kausemavo maimamu tuwapede khitalafu Zao zitufaida tuwe kuta patapokua wepesi katika shida
@abuuaminah56552 жыл бұрын
Ma Sha Allah, maneno mazito
@jafarimpawa82372 жыл бұрын
Vipi waislamu kutofautiana katika masiala ya kiakida,ikhtirafu hii mbona hujaizungumzia,je ikhtirafu hii waislamu watakua wamoja
@salum-mkumbila20162 жыл бұрын
Manen matam MashaAllah shekhe wang
@jengajuma88252 жыл бұрын
جملآ جيدا
@shabanimngazija34092 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema
@rashidmwambala775 Жыл бұрын
Uko sawa n mkeo
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
UISILAM UNA DHEHEBU MOJA TU!! NA NI ILE ALIYOKUWA NA MTU ME WETU NA MASWAHABA WAKE!!
@petercharles7472 жыл бұрын
Mashaallah Yuko gudsana
@JRN26122 жыл бұрын
Sheikh anaongea in general, hajabase upande wa dhehebi lolote., hoja yake ni kulingania umoja tu. But kuna wale visirani ambao wanadhani pepo ni kwa ajili yao peke yao ndio wanamtolea maneno. Shubamiti zao😅😅😅
Kasome wew bado huna hoja Katka ...unaudhaifu mkubwaa sana
@JRN26122 жыл бұрын
Ukisoma wewe inatosha😅
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Kwakweli mtihani mzito Jamani haya madhehebu ndio yanayo tufanye tubaguane waislam Kwa waislam.. haya yalitabiriwa na mtume Kuwa itafika kipindi cha akhiru Zamaan Uislam utagawika makundi Kwa makundi ndio Sasa tunaona athari zake
@Pedeshee012 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kuna watu watabeba sana lawama kwa kuanzisha mikanganyiko hii hasa baada ya kufa mtume na Ukhalifa wa Abuu bakr Omar Othmaan na Ali,sijui ushia sijui sunni na vyengine.Kwa nini wasingeacha vile alivyofundisha tu mtume S.A.W ehh,
@SaidAli-qb8kd2 жыл бұрын
Shekh leo umenifunua kichwa sawa sawa, inshaallah
@abdulkadiryowerimahmud41932 жыл бұрын
usiache kumfollow inshaAllah 🙏🙏🙏💯 ubarikiwe
@nasrahashimu5675 Жыл бұрын
Masalaf Ni kikundi kilichoundwa na mayahudi lengo kuja kuleta mifarakano na wahakikishe nuru ya mtume waizime
@bimumaulid11712 жыл бұрын
ustadh leo umenichanganya
@ibnhassan99802 жыл бұрын
Huyu ni mtu wa kupewa nasaha
@nasrikileo72912 жыл бұрын
Tumepewa akili kuitafuta akili timam, hizi dini za mapokeo ni chanamoto sana
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kipozeo alisema ujinga cio tusi ni mtu ambaye hajui lakini hataki kujua lakini usimuite mwinzio mjinga mbele za watu
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Hafidhimaalim una matatizo kichwani
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
رضي الله عنك شيخي محرم
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Sababu yako mengi yakuchangiwa kuhusuana na Ibada Bali washerehekea na kuchamgia mashekhe kugombana ni makafiri nafkiri wanifanya Waislam
@feisal6592 Жыл бұрын
Maulidi
@wakwetu24442 жыл бұрын
Ni Muhadhara mzuri sana.
@engineertuwere60282 жыл бұрын
Kinacho sikitisha ni kwamba, nondo hizi zilitakiwa kumwagwa mbele hasa ya madaaiya wetu ambao imma kwa kughafilika au kwa makusudi wanajua lakini wanayumbisha umma, hiyo hadhira yote hapo haina shida na mada hiyo. walengwa hasa wako pembeni wanasubiri kuja potosha mantiki na lengo la shekhe kuandaa mada hiyo.
@Auf-uh3jq Жыл бұрын
Hizi TV ni zakikafiri manake kazi zao kuwagombanisha mashekhe na maustaz Hawa ni banuuu Izrail
@bigdawstz72582 жыл бұрын
MashaAlllah.... Shekh wangu iii itapendeza Kama mutaifanya Maulamaa wote wa Tanzania!!!!!
@rachidesaide36382 жыл бұрын
Wakomeshe manaa hatuna hatuna Amani na hawajui lolote
@SalimSalim-ec9jo2 жыл бұрын
Huku kusoma Sana mwishowe nikuburi kwa maana kila mtu nimjuaji... Heri tuwe mazuzu kwa kile kidogo tulichonacho na tufwate sheria za Allah
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
SALIMU bin Salimu@ Unawezaje muislaam kufuata sheria za Allah ukiwa zuzu bila ya elimu? (kujuwa elimu ya dini)
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
MWISLAM anapokuwa zuzu au mbumbumbu Kisha akazungumzia masuala ya dini kwenye kahawa tambua atawapoteza watu wengi sana. @Salimi Salimu
@nyawebabu56442 жыл бұрын
Hayo makundi yote wanzilishi ni mayahudi wanawapa pesa kama masheikh wa bakwata ili kugombanisha waislam
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
Maneno yako yahitaji dalili habeeb
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
Hata wasingekuepo mayahudi bado tungetafautiana kwa sababu twatafautiana maono
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Watuletea mambo ya kifikhir eti utuchanganye ..twende kwenye itikadi sheikh usiwazonge watu
@asaduzamanalmaxmud76712 жыл бұрын
M.a
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Ahamadi faki Ina one kanaunafungu unapata upended mwengine Yani kwama Neno haya mazuri una andaika upuuzi
@musabadawi99502 жыл бұрын
Umisema saw ila ulikua unaogea nawatu uwelewa wa wao wa chini
@gaboudghussein5272 жыл бұрын
Umejuaje mwenzetu
@AhmedSaid-mn4vv2 жыл бұрын
@@gaboudghussein527 jamaa akiona tu watu anawajua....intelligent sana😆😆😆
@ibnhassan99802 жыл бұрын
Kipengele Cha kinyume Cha elimu ni ujinga anapinga kwa hoja ipi?
@hafidhmaalim4082 жыл бұрын
Anapotosha kielimu
@maulideabdala38322 жыл бұрын
w.masha Allah
@shekhlukuman2 ай бұрын
𝑨𝒔𝒂𝒍𝒂𝒎𝒘𝒂𝒓𝒚𝒌𝒎𝒖 𝒏𝒂𝒘𝒎𝒃𝒂𝒖𝒏𝒊𝒑𝒊𝒈𝒊𝒚𝒆
@user-tw4nf6bv8b2 ай бұрын
Tatizo la mafuriko hayo ya mpasuko ni nn?? Ili upate suluhisho ndio mada yako italeta manufaaa Lkn kuwataka kua pamoja waislam ni ngumu moja ya sbb za kuwagawa waislam tz ni baraza
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Kasa wa ada ya bidaa haliwi
@ibnomar81442 жыл бұрын
Sheikh kachanganya saana tu haeleweki nini anachotaka kufika eko ila umeleweka wale ambao wametaka kusikiya haqqi pasina ushabiki jazzakallahkheir. Wallah a'alam
@abdulkadiryowerimahmud41932 жыл бұрын
Naomba rejeleya kuiya sikiliza haya mawaidha Mara nyingine asanti 👏👏👏
@mussamsuya85952 жыл бұрын
KALALE
@feisal6592 Жыл бұрын
Kivuko tazara
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Maghribi ni mchana?
@bimumaulid11712 жыл бұрын
mwanzoni mwa usiku
@abdulrahmanmwadini5925 Жыл бұрын
Kwa Mujibu wa Qur'an ni Mchana
@jengajuma88252 жыл бұрын
Nime elimika sana
@abdulkadiryowerimahmud41932 жыл бұрын
Sheikhe abarikiwe kwakufaidika kwako💚💚💚
@ahmadashauqiy46152 жыл бұрын
Mwambaaaaaaaa
@maulidihassani83242 жыл бұрын
Silisilayake tuijueeee
@ahmadifakimjaka14332 жыл бұрын
Asituelezee tofauti za kifiqhi hizo hazipelekei mgawanyiko aeleze tofauti ktk Aqidah ambazo zinagawa watu kutokana na utofauti wa misingi yao hilo ndio la muhimu. Pia hata ktk fiqhi si kila mahala itazingatiwa ikhtilafu bali inapothibiti dalili yenye nguvu yenye kuzidi nguvu dalili za wanachuoni wengine basi hiyo ndio yakufuata. Kuna watu wanataka kuutumia mlango wa ikhtilafu kufanya biddah
Allah akuongoze acha dharau na ushabiki ktk mambo ya dini.umma umegawanyika kwa sababu yenu ,shekh yuko vizuri
@mwinyimohamed97462 жыл бұрын
Salafi ni wewe mganga wa kienyeji
@jamilahjamilah41572 жыл бұрын
Asalam aleykum hii ndio taabu ya ss Waisilam sasa ww wenamkejeli at toka ww ndio salafi na nio maana mganga unamdhalilisha uwisilam unatwambia motoring mwezako na mungu atakustiri ss ww mbona unamdhalilisha
@ibnhassan99802 жыл бұрын
Huyu ndugu inafaa apewe nasaha kwa upole hivi huyu anajua kiarabu kuliko sheikh Abdulrahmaan bin Abdulrazizi ibn Baaz rahimahullah ktk kitabu chake maarufu kiitwacho Darsa muhimu
@aishaarusha8942 жыл бұрын
Kelele nyamaza dawa ikuingie
@ibnhassan99802 жыл бұрын
@@aishaarusha894 ukhty vp mbona unakuwa Kama tupo kwenye Vita? nakuomba Kama unahoja tuzungumze
@aishaarusha8942 жыл бұрын
@@ibnhassan9980 una hoja ndugu yangu wewe tulia dawa ya ostadhi ikuingie
@burhanimahmoud89852 жыл бұрын
@@aishaarusha894 wewe hoja hoja yako ipo wapi?
@aishaarusha8942 жыл бұрын
@@burhanimahmoud8985 unataka kuiona hojayangu ili iweje tulia dawa ya ostazi iwaingie
@habibrwegoshora66242 жыл бұрын
KWA MFANO UKAUONA MWEZI UMEANDAMA UKIWA TZ JE AMBAO KWAO MUDA HUO HUO NI SAA 9 USIKU AU SAA 10 AU 12 ALFAJILI WANAWEZAJE KUAMKA NA SWAUMU AU WAKASALI EID ? NAOMBENI MAJIBU SIO UJANJA UJANJA
@rashidabdul-aziz33992 жыл бұрын
Kila mji utafata muandamo wake kwa mujibu wa swahaba wa mtume ibni abasi