KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN

  Рет қаралды 212,898

arkas online tv

arkas online tv

Күн бұрын

Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA

Пікірлер: 172
@AminaAhmadShaban-tp9zu
@AminaAhmadShaban-tp9zu 10 ай бұрын
Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha
@zubedaalice8172
@zubedaalice8172 2 ай бұрын
jazakAllah kheir
@kingramah8213
@kingramah8213 9 ай бұрын
وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri
@rizikishahari6948
@rizikishahari6948 11 ай бұрын
Amin Amin Amin! Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏
@MohammedPakia
@MohammedPakia 5 ай бұрын
Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid
@rahmamohammed9678
@rahmamohammed9678 9 ай бұрын
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️
@HajraAkida
@HajraAkida 9 ай бұрын
Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 11 ай бұрын
Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu
@fareedkhalipher3590
@fareedkhalipher3590 5 ай бұрын
Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 5 ай бұрын
Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅
@khadijasoud8026
@khadijasoud8026 14 күн бұрын
Allah mlinde sheikh wetu umpe mwisho mwema anatuelimisha sana
@abdallamohamed406
@abdallamohamed406 9 ай бұрын
Swadakta Sheikh Othman Maalim, Masha'Allah nakubali
@sadiahassan5316
@sadiahassan5316 9 ай бұрын
Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤
@Hashim-p4d
@Hashim-p4d 5 ай бұрын
SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@AbdiHamad-yb5kg
@AbdiHamad-yb5kg 5 ай бұрын
Ma Sha allah
@abdaladelo371
@abdaladelo371 Жыл бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati
@abeliever6823
@abeliever6823 Жыл бұрын
رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169 Жыл бұрын
اللهما امين
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu Жыл бұрын
اللهم امين
@taibamreh1785
@taibamreh1785 11 ай бұрын
I’m spsystetww we
@shinayzashiraaz4588
@shinayzashiraaz4588 4 ай бұрын
Ameeen
@abubakrcikuru750
@abubakrcikuru750 2 ай бұрын
May Allah accept and bless you with all good in this world and in the here after ❤🤲
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 6 ай бұрын
Sheih wetu tu NAKUPENDA sana
@bachumohamed6804
@bachumohamed6804 5 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 6 ай бұрын
Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali
@hassanngala9894
@hassanngala9894 5 ай бұрын
Shukran sheikh
@MusaSaidi-s8u
@MusaSaidi-s8u 5 ай бұрын
Mashallah
@omaryally3489
@omaryally3489 8 ай бұрын
Marshall Allah atupe mwsho mwema....
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 4 ай бұрын
Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu
@mohammedsembe9040
@mohammedsembe9040 11 ай бұрын
Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi
@ahmedyusuf9547
@ahmedyusuf9547 11 ай бұрын
Jazakallahu kheir
@kingusaid7175
@kingusaid7175 Жыл бұрын
Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 10 ай бұрын
Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq
@abduljecha7779
@abduljecha7779 11 ай бұрын
Maashallah, alhamdullillah
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@staraamr2770
@staraamr2770 5 ай бұрын
As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha. Naomba munikamilishie
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 2 ай бұрын
Sijakufamu
@staraamr2770
@staraamr2770 2 ай бұрын
@@AbdullahOmar-be4wy Niandikie hiyo dua
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 2 ай бұрын
@@staraamr2770 nipe email yako au namba za wasapu
@AishaSalumu-tv4kb
@AishaSalumu-tv4kb 11 ай бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe khery
@halimaomari3415
@halimaomari3415 Жыл бұрын
Subhana llah
@mohdysaid2856
@mohdysaid2856 9 ай бұрын
Allahu Akbar!
@salumsodangu1372
@salumsodangu1372 11 ай бұрын
Mashallah Ballaka lwahu fii
@a.856
@a.856 11 ай бұрын
Jazakallah khayran
@hawa6052
@hawa6052 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@othmanmasoud1672
@othmanmasoud1672 8 ай бұрын
Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga
@shillasalimjuma6986
@shillasalimjuma6986 11 ай бұрын
Marshall ah mawaidha mazuri
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Barakallahufiyk wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi
@zuwenasaleh4693
@zuwenasaleh4693 10 ай бұрын
Shukran shekh wetu mungu akubaarik
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 9 ай бұрын
Jazakallah
@Nzai-g4d
@Nzai-g4d 6 ай бұрын
Mashallaa
@mammym4185
@mammym4185 11 ай бұрын
Allahu Akbar 😢
@daudimichael7338
@daudimichael7338 11 ай бұрын
Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.
@mohdali2408
@mohdali2408 11 ай бұрын
Kuabudiwa Mungu 1 tu
@AllyHizza-f9c
@AllyHizza-f9c 9 ай бұрын
Inshaallah
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 Жыл бұрын
Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 11 ай бұрын
Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna
@ShaniHaji-bf2on
@ShaniHaji-bf2on 16 күн бұрын
Kama huamin unasikiliza vyann kasome unayoyaona yanakufaa naona ww unaelim yakutoshaa Sana Hadi unapingana na Aya za Quran maana anayoyaongea hatoi kichwan kwake amesoma
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 6 ай бұрын
Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂
@RehemaOmary-xp4fk
@RehemaOmary-xp4fk 5 ай бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊
@hanafichinemba9196
@hanafichinemba9196 5 ай бұрын
Bi Rehma nicheck
@Izikiel55
@Izikiel55 Жыл бұрын
Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 11 ай бұрын
Jalibu kuelewa ulikua mtiani kwetu ivi unazan apa dunian tumeletwa bule lazma tupewe mtian ili wengne wafaulu waende pepon wanaokufulu moton
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?
@swalehejuma6611
@swalehejuma6611 10 ай бұрын
​@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@edwardmwandu3564
@edwardmwandu3564 11 ай бұрын
mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 11 ай бұрын
Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 11 ай бұрын
ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 10 ай бұрын
Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 10 ай бұрын
Hulijui hata ulisemalo
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 4 ай бұрын
Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 11 ай бұрын
Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu
@lookmanmustapha6366
@lookmanmustapha6366 11 ай бұрын
Rudia suratil baqara aya 102
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 10 ай бұрын
Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 10 ай бұрын
Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Masimba njoo kwenye ukristo😂
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 10 ай бұрын
@@LastdayJesu4153 kama umetumwa
@jamesalphonce1889
@jamesalphonce1889 9 ай бұрын
Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 10 ай бұрын
Majini ni ya waislamu
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 10 ай бұрын
Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
D😂
@siretv6934
@siretv6934 9 ай бұрын
sehem ya pili...?
@munirasuleiman2006
@munirasuleiman2006 Жыл бұрын
Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Si uskilize
@abdillaahirichardkasisi8691
@abdillaahirichardkasisi8691 5 ай бұрын
Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 5 ай бұрын
Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 9 ай бұрын
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 6 ай бұрын
Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂
@aceofspades3728
@aceofspades3728 11 ай бұрын
Yan Mungu ndo alileta shirk!?
@HombeloZabron-v4v
@HombeloZabron-v4v 9 ай бұрын
Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 Жыл бұрын
Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢
@Izikiel55
@Izikiel55 Жыл бұрын
Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!? Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee
@Izikiel55
@Izikiel55 Жыл бұрын
Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂
@IssaFumo-o7j
@IssaFumo-o7j 11 ай бұрын
We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee
@omaryhaytham2899
@omaryhaytham2899 11 ай бұрын
We mgumu kuelewa
@AzaShamba
@AzaShamba 10 ай бұрын
Ingia school
@feisalathumani31
@feisalathumani31 Жыл бұрын
Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi
@mahamedhussen6734
@mahamedhussen6734 11 ай бұрын
Ulizatena
@listonjiwe3467
@listonjiwe3467 8 ай бұрын
Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu
@DullahMamu
@DullahMamu 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo
@DullahMamu
@DullahMamu 5 ай бұрын
​@@AishaHassan-o2y😂😂😂😂😂😂muulize tn
@jacksonrock6535
@jacksonrock6535 9 ай бұрын
Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani
@mohamedimohamedi8933
@mohamedimohamedi8933 9 ай бұрын
Mungu kafa msalabani it's make sense to u
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..
@Daudisalim71
@Daudisalim71 5 ай бұрын
Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni
@ShaniHaji-bf2on
@ShaniHaji-bf2on 16 күн бұрын
Nashetan kaletwa na nan au kajiumba yeye??
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 11 ай бұрын
Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine
@amazingvideo1497
@amazingvideo1497 11 ай бұрын
Tuambie ww msomi
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 11 ай бұрын
Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 9 ай бұрын
Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 8 ай бұрын
Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani
@daudimichael7338
@daudimichael7338 11 ай бұрын
Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂
@lmaniash3268
@lmaniash3268 11 ай бұрын
Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.
@mohammedal7864
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika
@MohamedAhmed-xi5jk
@MohamedAhmed-xi5jk Жыл бұрын
Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Kwani unataka kumkosowa Allah ?
@mohammedal7864
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah
@wazirimakua12
@wazirimakua12 Жыл бұрын
​@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra.. Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini
@MohamedKimbwembwe
@MohamedKimbwembwe Жыл бұрын
Quraan inasema malaika
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 10 ай бұрын
Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 10 ай бұрын
Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 10 ай бұрын
Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅
@saidiMsume
@saidiMsume 4 ай бұрын
Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana
@maimunasaidi
@maimunasaidi Жыл бұрын
Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa
@mohammedal7864
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta
@octomontana4214
@octomontana4214 Жыл бұрын
Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani
@IssaFumo-o7j
@IssaFumo-o7j 11 ай бұрын
Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata
@Kimochatv
@Kimochatv 9 ай бұрын
Mashaaaalaaah
@NyaparaKitengo
@NyaparaKitengo 7 ай бұрын
Mashallah❤
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤
@AishaHassan-o2y
@AishaHassan-o2y 6 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@apexmombasa6809
@apexmombasa6809 11 ай бұрын
Ma sha Allah
MWANAMKE KAMA HUNA TABIA HIZI CHAFU | JUA WEWE NI MKE MWEMA | SHEIKH OTHMAN MAALIM
57:41
DUNIANI HAKUNA FURAHA KILA KITU MTIHANI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
34:48
arkas online tv
Рет қаралды 37 М.
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,7 МЛН
Поветкин заставил себя уважать!
01:00
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 5 МЛН
KISA CHA NABII IDRISA NA MALAIKA MTOA ROHO //SHEIKH OTHMAN MAALIM
19:47
KISA CHA MAYAHUDI KUGEUZWA MANYANI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
17:14
arkas online tv
Рет қаралды 48 М.
MAMBO NANE UKIYAFANYA MALAIKA HUKUOMBEA DUAA / SHEIKH HASSAN AHMED
32:41
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 353 М.
068 OTHMAN MAALIM....UKAIDI WA BANI ISRAEL
1:18:51
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 469 М.
Historia/Kisa cha nabii Lut (A.S) (Sehemu ya 1) - Sheikh Othman Maalim
27:43
KISA CHA MCHUNGA MBUZI// OTHMAN MAALIM
32:51
arkas online tv
Рет қаралды 296 М.
047 2 OTHMAN MAALIM   KISA CHA NABII ADAM
1:05:17
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 858 М.
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,7 МЛН