Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA
Пікірлер: 172
@AminaAhmadShaban-tp9zu10 ай бұрын
Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha
@zubedaalice81722 ай бұрын
jazakAllah kheir
@kingramah82139 ай бұрын
وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri
@rizikishahari694811 ай бұрын
Amin Amin Amin! Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
@shadyahamad37245 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏
@MohammedPakia5 ай бұрын
Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid
@rahmamohammed96789 ай бұрын
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️
@HajraAkida9 ай бұрын
Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah
@shabansumaiya477011 ай бұрын
Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu
@fareedkhalipher35905 ай бұрын
Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani
@sefuriyembe78645 ай бұрын
Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅
@khadijasoud802614 күн бұрын
Allah mlinde sheikh wetu umpe mwisho mwema anatuelimisha sana
Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤
@Hashim-p4d5 ай бұрын
SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@AbdiHamad-yb5kg5 ай бұрын
Ma Sha allah
@abdaladelo371 Жыл бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati
@abeliever6823 Жыл бұрын
رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169 Жыл бұрын
اللهما امين
@HusseinMohamed-jq7hu Жыл бұрын
اللهم امين
@taibamreh178511 ай бұрын
I’m spsystetww we
@shinayzashiraaz45884 ай бұрын
Ameeen
@abubakrcikuru7502 ай бұрын
May Allah accept and bless you with all good in this world and in the here after ❤🤲
@HakizimanaFiston6 ай бұрын
Sheih wetu tu NAKUPENDA sana
@bachumohamed68045 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@ZawadiHassan-dp6tw6 ай бұрын
Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali
@hassanngala98945 ай бұрын
Shukran sheikh
@MusaSaidi-s8u5 ай бұрын
Mashallah
@omaryally34898 ай бұрын
Marshall Allah atupe mwsho mwema....
@Omary_Mjema4 ай бұрын
Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu
@mohammedsembe904011 ай бұрын
Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi
@ahmedyusuf954711 ай бұрын
Jazakallahu kheir
@kingusaid7175 Жыл бұрын
Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe
@AndulHida-hs5py10 ай бұрын
Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq
@abduljecha777911 ай бұрын
Maashallah, alhamdullillah
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@staraamr27705 ай бұрын
As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha. Naomba munikamilishie
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Sijakufamu
@staraamr27702 ай бұрын
@@AbdullahOmar-be4wy Niandikie hiyo dua
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
@@staraamr2770 nipe email yako au namba za wasapu
@AishaSalumu-tv4kb11 ай бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe khery
@halimaomari3415 Жыл бұрын
Subhana llah
@mohdysaid28569 ай бұрын
Allahu Akbar!
@salumsodangu137211 ай бұрын
Mashallah Ballaka lwahu fii
@a.85611 ай бұрын
Jazakallah khayran
@hawa6052 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@othmanmasoud16728 ай бұрын
Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga
@shillasalimjuma698611 ай бұрын
Marshall ah mawaidha mazuri
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Barakallahufiyk wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi
@zuwenasaleh469310 ай бұрын
Shukran shekh wetu mungu akubaarik
@dezainermedia10359 ай бұрын
Jazakallah
@Nzai-g4d6 ай бұрын
Mashallaa
@mammym418511 ай бұрын
Allahu Akbar 😢
@daudimichael733811 ай бұрын
Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.
@mohdali240811 ай бұрын
Kuabudiwa Mungu 1 tu
@AllyHizza-f9c9 ай бұрын
Inshaallah
@mzeehassan2913 Жыл бұрын
Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu
@umsulaiman746811 ай бұрын
Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna
@ShaniHaji-bf2on16 күн бұрын
Kama huamin unasikiliza vyann kasome unayoyaona yanakufaa naona ww unaelim yakutoshaa Sana Hadi unapingana na Aya za Quran maana anayoyaongea hatoi kichwan kwake amesoma
@ZawadiHassan-dp6tw6 ай бұрын
Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini
@LastdayJesu415310 ай бұрын
Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂
@RehemaOmary-xp4fk5 ай бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊
@hanafichinemba91965 ай бұрын
Bi Rehma nicheck
@Izikiel55 Жыл бұрын
Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee
Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂
@LastdayJesu415310 ай бұрын
Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh
@LastdayJesu415310 ай бұрын
Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?
@swalehejuma661110 ай бұрын
@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@edwardmwandu356411 ай бұрын
mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi
@shubebunyesi54211 ай бұрын
Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe
@imanmohamed221511 ай бұрын
ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢
@AishaAbbas-mw6ef10 ай бұрын
Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume
@nayyarnassor76210 ай бұрын
Hulijui hata ulisemalo
@Omary_Mjema4 ай бұрын
Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo
@adorchmassimba441311 ай бұрын
Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu
@lookmanmustapha636611 ай бұрын
Rudia suratil baqara aya 102
@AishaAbbas-mw6ef10 ай бұрын
Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho
@AishaAbbas-mw6ef10 ай бұрын
Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?
@LastdayJesu415310 ай бұрын
Masimba njoo kwenye ukristo😂
@nayyarnassor76210 ай бұрын
@@LastdayJesu4153 kama umetumwa
@jamesalphonce18899 ай бұрын
Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa
@Am-vo5cu10 ай бұрын
Majini ni ya waislamu
@AishaAbbas-mw6ef10 ай бұрын
Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu
@LastdayJesu415310 ай бұрын
D😂
@siretv69349 ай бұрын
sehem ya pili...?
@munirasuleiman2006 Жыл бұрын
Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Si uskilize
@abdillaahirichardkasisi86915 ай бұрын
Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k
@sefuriyembe78645 ай бұрын
Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅
@dezainermedia10359 ай бұрын
❤
@ZawadiHassan-dp6tw6 ай бұрын
Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂
@aceofspades372811 ай бұрын
Yan Mungu ndo alileta shirk!?
@HombeloZabron-v4v9 ай бұрын
Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani
@mzeehassan2913 Жыл бұрын
Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢
@Izikiel55 Жыл бұрын
Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!? Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee
@Izikiel55 Жыл бұрын
Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂
@IssaFumo-o7j11 ай бұрын
We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee
@omaryhaytham289911 ай бұрын
We mgumu kuelewa
@AzaShamba10 ай бұрын
Ingia school
@feisalathumani31 Жыл бұрын
Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi
@mahamedhussen673411 ай бұрын
Ulizatena
@listonjiwe34678 ай бұрын
Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu
@DullahMamu5 ай бұрын
😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo
@DullahMamu5 ай бұрын
@@AishaHassan-o2y😂😂😂😂😂😂muulize tn
@jacksonrock65359 ай бұрын
Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani
@mohamedimohamedi89339 ай бұрын
Mungu kafa msalabani it's make sense to u
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..
@Daudisalim715 ай бұрын
Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni
@ShaniHaji-bf2on16 күн бұрын
Nashetan kaletwa na nan au kajiumba yeye??
@rajabuathumani158611 ай бұрын
Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine
@amazingvideo149711 ай бұрын
Tuambie ww msomi
@salehsultan-755411 ай бұрын
Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar
@user-zs6qg7ql1i9 ай бұрын
Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe
@rashidsuleiman92538 ай бұрын
Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani
@daudimichael733811 ай бұрын
Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂
@lmaniash326811 ай бұрын
Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika
@MohamedAhmed-xi5jk Жыл бұрын
Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema
@balkisamisi2131 Жыл бұрын
Kwani unataka kumkosowa Allah ?
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah
@wazirimakua12 Жыл бұрын
@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra.. Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini
@MohamedKimbwembwe Жыл бұрын
Quraan inasema malaika
@Am-vo5cu10 ай бұрын
Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote
@AishaAbbas-mw6ef10 ай бұрын
Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah
@LastdayJesu415310 ай бұрын
Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅
@saidiMsume4 ай бұрын
Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana
@maimunasaidi Жыл бұрын
Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta
@octomontana4214 Жыл бұрын
Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani
@IssaFumo-o7j11 ай бұрын
Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata
@Kimochatv9 ай бұрын
Mashaaaalaaah
@NyaparaKitengo7 ай бұрын
Mashallah❤
@sadunabdallah7303 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤
@AishaHassan-o2y6 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha