Sheikh Kutoka Burundi Awashushia Nyundo Masheikh Wanaotangaza Pete Za Majini Kuwapotosha Waislam

  Рет қаралды 40,345

QIBLATEIN ONLINE

QIBLATEIN ONLINE

29 күн бұрын

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZbin @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Пікірлер: 182
@Assiya39
@Assiya39 22 күн бұрын
Barakallahu fiyqih Sheikh shakuru umeongea maneno mazito yenye mazingatio 😊
@Zanha582
@Zanha582 23 күн бұрын
Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu yoote
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 11 күн бұрын
Allahuma amiin thumma amiin
@kisaujibabou9436
@kisaujibabou9436 19 күн бұрын
Burudani nchi nambar moja kwa umaskini nambar moja kwa upendo mansha Allah tunarizika nakila Hali ushirikina upo ila hatuuamini hongera sana sheh wetu Abdul shakur imamu mku mskiti 17 nambar 11 buyenzi anatuhelimishaga kweli kweli Allah atujaaliye tuwe wene kuyafwata nakuyatekeleza
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 24 күн бұрын
Sheikh umeongea maneno mazuri sana , ma sha allah
@azamomar9920
@azamomar9920 23 күн бұрын
Allah akuhifadhi shekh akujalie umri mrefu wenye manufaa. Hakika umefikisha
@hassanmchengwa2950
@hassanmchengwa2950 23 күн бұрын
Allahu Akbar, Allah atunusuru inshallah
@lilmojr7
@lilmojr7 24 күн бұрын
Allah sheikh akulipe kheri nyingi sana umesema ukweli mashekhe njaa na washirikina wanapotosha sana watu Allah atuongoze
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 27 күн бұрын
Mambo ya pete za majini ni ushirikina Allah atunusuru
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 22 күн бұрын
maashaallah shekh kemea wazushi hao wanaozuka kila kukicha
@user-tt4yv9zl7i
@user-tt4yv9zl7i 24 күн бұрын
Allah akulipe heri sheikh wetu. Kua madha mazuri sana❤❤kaka yangu.Allah atupe muisho muema
@RehemaJuma-es4jk
@RehemaJuma-es4jk 7 күн бұрын
Jazakah Allah kher sheikh Allah akuhifadh na atusameh makosa yetu yasiri n yadhahir hakika maneno mazito
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 3 күн бұрын
Allah akuifwazi sheikh wetu suberi❤❤
@user-um8lt3vx3u
@user-um8lt3vx3u 22 күн бұрын
Masha'Allah Allah akuhifadh na akujalie mwisho mwema inshaaAllah
@imamumohamedmalina6995
@imamumohamedmalina6995 26 күн бұрын
Allah akulipe kwa elimu hii
@user-xb3nf9dq8k
@user-xb3nf9dq8k 25 күн бұрын
Binafsi nimekuelewa sana Allah atufanyie wepesi sote kwa jumla
@hamisisaid-zz2ye
@hamisisaid-zz2ye 24 күн бұрын
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh
@JUBRANBULAYHl-yb4ke
@JUBRANBULAYHl-yb4ke 24 күн бұрын
Mungu azirehemu roho ambazo haziwezi kubadilishwa au kuzaliwa mara ya pili Ee Mungu, wasamehe wale ambao tuliishi nao miaka ya kupendeza zaidi na ambao tulihisi tamaa kwao. Ee Mungu, tukusanye pamoja nao katika bustani za neema, Ee Mungu, uwasamehe walio wa thamani zaidi waliotoweka machoni pangu sikia sauti yao. Mungu airehemu kila nafsi inayopendwa na moyo wangu chini ya ardhi Nakula kiapo? idhini ya Mola wangu Mlezi, Ametakasika, na ulitukuze jina Lako, Uso wa Mtukufu, Mungu wangu, namaanisha, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai , Ewe Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu, Mwenye kurehemu, katika kutimiza na kuamini kwa kiapo na maagano kwa hakika, agano ni la kuwajibika Mwenyezi Mungu mkiiamini, na mkataba wake mnapofanya mkataba nayo, na mmejifaradhishia nafsi zenu kuwa ni haki kwa yule mliyefunga naye mkataba na mkamuamini, wala msivunje viapo baada ya kuvithibitisha. Basi mkavunja viapo vyenu, na mkavivunjia uwongo, na mkavivunja Wallahi, Hakuvunja ahadi, na kiapo, ni wajibu kutoka kwa Mwenyezi Mungu .Enyi mlioamini, kwa nini mnasema msiyo yatenda? Ishara za mnafiki ni tatu: Na anapoahidi huvunja amana yake, na anapoaminiwa humfanyia khiyana walifanya ahadi na Mwenyezi Mungu, kwani miongoni mwao wapo walio kufa, na waliopoteza maisha yao. Hao ndio wanaongoja, na hawakufanya mabadiliko yoyote, ili Mwenyezi Mungu awalipe.
@rizikiali328
@rizikiali328 24 күн бұрын
Huyo shékh mshirikina laana za zimshukie ametudhalilisha waislamu
@Ibrahim-om2lu
@Ibrahim-om2lu 15 күн бұрын
Haifai mtu kumlaani muislamu mwenzake
@Aziza12999
@Aziza12999 8 күн бұрын
Allah atukinge na shirki na washirikina atufishe kwenye Tauhidi
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 27 күн бұрын
Upo sahihi sekhe, ila Kuna wengii watakupinga na kuyadharau maneno yako, hii kwasababu watu wengi hua tunajali nani kasema. Na sio nini kinasemwa, hii ndo shida ya Waislaam wa zama hizi tunajali watu sio maneno yanayotoka kinywan kwa mtuu
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 26 күн бұрын
Shida imeingia katika uisilam, mashehe wasababisha kwaku sema wau wanagawa utajiri, baraka kuja ufanyewe dua
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 26 күн бұрын
@@the-homeboyztv2689 🤣 Kama ni hivyo umaskin ingekua hakuna ,lkn ni upotoshaji ulotujaa viumbee, mtu hataki aende motion mwenyewe laazim awe na wafuasi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 26 күн бұрын
Watanzania huwa wanaangalia MTU siyo NENO.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 22 күн бұрын
Mbona mahubiri. Ya kikristo??? C ubatizwe? Usiwe na miunnngu mingine iila mimi Kutoka 20:1... ..
@allahisone6386
@allahisone6386 21 күн бұрын
​ NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 27 күн бұрын
Swadacta sheh nimekuelewa
@NdikumanaAmisdi
@NdikumanaAmisdi 25 күн бұрын
Allaah akujaze kheri Sheikh wetu.
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 26 күн бұрын
Hawa wanafiki wameficha kufuru katika miyoo yao ndio mana wanamtangaza sheitwan baada ya kumtangaza allah subhana wataalah
@OGONGOMBAMEDI
@OGONGOMBAMEDI 4 күн бұрын
Maashaallah❤❤
@NassorNassor-p1i
@NassorNassor-p1i 23 күн бұрын
Sahihi sheikh
@AbdihakimMohamedy
@AbdihakimMohamedy 24 күн бұрын
Mashaallah sheikh
@aishamumy8402
@aishamumy8402 15 күн бұрын
MashaAllah sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri wenye kher uweze kutujuza🙏🙏🙏
@Abdoulnibigira
@Abdoulnibigira 22 күн бұрын
Jazzakaallah kher
@NoraKedir
@NoraKedir 15 күн бұрын
Barakallah fiki
@maulideabdala3832
@maulideabdala3832 24 күн бұрын
Masha Allah Safi sana allah atunusuru wote. Kwa mambo ayo
@ZulfaAmri-u6i
@ZulfaAmri-u6i Күн бұрын
Allah akulipe kwa darasa lako
@user-qv8uo3bc6o
@user-qv8uo3bc6o 17 күн бұрын
MashaAllah MashaAllah ALLAH HUAKBAR 💯
@GamingLimbe
@GamingLimbe 25 күн бұрын
Mashaallah❤
@sakinahassani1455
@sakinahassani1455 13 күн бұрын
MashaAllah MashaAllah shekh
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 11 күн бұрын
Alhamdulilah rab
@user-ih4zi8ss9y
@user-ih4zi8ss9y 20 күн бұрын
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah hkeir 🤲
@nelson-cd7fr
@nelson-cd7fr 25 күн бұрын
Jazakumllahu kheiran
@user-ws8uk2ip3l
@user-ws8uk2ip3l 10 күн бұрын
Viizuri sana sheikh
@AmadeChafimBacar
@AmadeChafimBacar 23 күн бұрын
Allah te abençoar shekh
@Jigflou
@Jigflou 19 күн бұрын
Masha Allah, Allah azidi kukupa ujasiri waku kemeya Ayo mambo sheikh 🎉🎉❤
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 11 күн бұрын
Manshaallah tabarakallah sheikh Uposahihi allah akujaliye umri mrefu
@AsdASD-xc3sw
@AsdASD-xc3sw 24 күн бұрын
Kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@rizikiali328
@rizikiali328 24 күн бұрын
Sheikh unasema kweli na hawa masheke wanao jiita waumni wanafiq hawa waupotoa uislam mpaka wasio waislamu wana tukejeli Allah awaongoze hawa wanaojiita mashekh
@ZainabHassan-hz4no
@ZainabHassan-hz4no 23 күн бұрын
Alhamdullah wafundishe hap wanao tupotosha
@hemedyusuf8835
@hemedyusuf8835 23 күн бұрын
Mtihani wallah Allah atunusuru
@destineluna5768
@destineluna5768 24 күн бұрын
Mashaallah shekhe
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 26 күн бұрын
Bismillah ❤
@MariamMwamba-lm4oe
@MariamMwamba-lm4oe 9 күн бұрын
Shekhe mola akuafu Kwa kutoa daawa nzuri
@AthuuSainga
@AthuuSainga 24 күн бұрын
Baaraqallahu fiiqa
@SultanSaid-js9yj
@SultanSaid-js9yj 27 күн бұрын
Shukrani
@KheyriHassani
@KheyriHassani 26 күн бұрын
Sera moja tuu mashekhe wote akuna mabadiriko
@user-ds1cy3dc7z
@user-ds1cy3dc7z 19 күн бұрын
Naam 😊Allah akuifadh Shkh Shkrn sana Kwa Dawa 👏🏼
@ZainabuIrakoze
@ZainabuIrakoze 24 күн бұрын
Allah Akulipe Kwa mawaidha mazuri
@MunezeroIsmail
@MunezeroIsmail 23 күн бұрын
Allah atulinde na mitihani hiyo
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 12 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu na ufunuo zaidi sheikh
@brianaugust9737
@brianaugust9737 18 күн бұрын
Sheikh, nimekuelewa sana, umenifungua vizur kuhusu pete na uislam, kumbe masheikh wengine wanaupotesha uislam na watu wanakaa kimya, mimi ni mkristo ila nimefurahia sana darasa lako leo
@omarynguhwe3961
@omarynguhwe3961 18 күн бұрын
Sheikh umenigusa sana alhamdu li LLAH Rabil Ghalamiiyn
@harerimanaaisha7613
@harerimanaaisha7613 21 күн бұрын
Mansha'Allah Mansha'Allah
@user-ej2hj4zr9y
@user-ej2hj4zr9y 24 күн бұрын
Jazzakaallahu kheri 😂❤
@user-dv4md3vi5u
@user-dv4md3vi5u 27 күн бұрын
Shukran
@ShemsaKeza-mo8wf
@ShemsaKeza-mo8wf 24 күн бұрын
Allah akulipe kwakufunguwa watu masho
@Gaddafi-knight
@Gaddafi-knight 23 күн бұрын
Allahu Akbar
@AmadHassanRashid
@AmadHassanRashid 20 күн бұрын
Allah hatie kherry kwenye helimu na kuwaongoza mashekhe kama haw lnshaalla
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo 24 күн бұрын
allah sw akupekher
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 24 күн бұрын
Maashallah❤😂😂😂 Tabaraqallah imeenda iyoo😂
@latifanyari8912
@latifanyari8912 21 күн бұрын
Allah akuhifadhi inshaallah na akujazie kwenye mizani yako siku ya hesabu
@NahimanaMariamu
@NahimanaMariamu 17 күн бұрын
Mansha Allah 🇧🇮
@ButoyiRukiya
@ButoyiRukiya 22 күн бұрын
Allahu Akbar mawaidha mazuri saana.
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 26 күн бұрын
Diwani Mbogo Sulyman mnaaasikia hayaaaaa Acheni ushirikina someni dini
@husseinkudra-gp6gp
@husseinkudra-gp6gp 21 күн бұрын
Allah akuhifadhi❤
@ShamiraMbululo
@ShamiraMbululo 25 күн бұрын
Allah akulipe
@user-pg2xj9jd9l
@user-pg2xj9jd9l 10 күн бұрын
Dk Sule. Nimushilkina maana Ana Amini sana pete
@ngendakumanaselemani6722
@ngendakumanaselemani6722 5 күн бұрын
❤❤❤❤
@salehbahovu9303
@salehbahovu9303 16 күн бұрын
Sheikh yupo sahihi saana, Allah akuihifadhi in shaa Allah… ila naona sheikh na yeye ana pete zake 2 mikono yote miwili 😊
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 19 күн бұрын
Mimi na shangaa sana mnajua mtu anajinasibisha naushekh hamumuiti na kumnasihi akiendelea kukaidi mnamuwajibisha kwanini mashekhe wetu mnashindwa kumuonya kwani anababaisha mara mhadhir , muomba dua, mganga na kujifakhalisha kwa vijimali kufanya mambo ya lia. tumejifunza kutoka kwa Allah kupitia kwa Mtume wetu Muhammad na wema walio tangulia kumtegemea Allah lakini akuja mtu mpuuzi hana dalili ilio thibit ya kusemea uislam kama ana hati miliki ya kubadilisha uislamu namnamuangalia tu anaeneza ushirikina kwa kuwapaka mafuta wasio elewa tauhid pete haina jambo lingine zaidi ya pambo tu hamna bahati wala ulinzi vyote hivyo vinatoka kwa Allah Subhanallah Wataala tuamke tumtegemee Allah tuache matapeli wanao jinasibisha na dini yakimchongo mchongo. Allah atuongoze ktk dini yake Shekhe nakumshukulu kwa kuliongelea hilo ila naomba muliongezee kulisema zaidi na zaidi kwani wanaleta uenyeji ktk dini na UISLAM ni SUNNA na SUNNA ndio UISLAM
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 27 күн бұрын
Hio ndio shida kubwa limekumba uisilam kwasasa watu waamin mashehe kuliko Allah, mashehe wagawa utajiri, baraka, huu ni ugojwa wakumbwa uisilam ( tafuteni dawa
@Djdiho257
@Djdiho257 21 күн бұрын
Umeongea fact
@amimwinni4829
@amimwinni4829 22 күн бұрын
ALLAH AKBAR
@hashiru_bayona
@hashiru_bayona 22 күн бұрын
Jazaaka llahu khaira sheikh, Allah akuhifadhi
@RévérienDusabe-w8z
@RévérienDusabe-w8z 21 күн бұрын
Allah akulipe kila laheri
@DjumaIssa-w8v
@DjumaIssa-w8v 12 күн бұрын
Kuna watu hawa elewi kabisaa sikilizeni vizuri Haifaï kumushirikisha Allah nachochote Harizie hilo
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 26 күн бұрын
Soma hiyo ان الله ابى ان يجري الأمور الا باسبابها
@Faharizuckerberg
@Faharizuckerberg 26 күн бұрын
نعم، صحيح أن الله لا يهتم بالمصالح الشخصية
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 23 күн бұрын
نعم، وما قصدك في ذلك
@keidykudrat2533
@keidykudrat2533 26 күн бұрын
Kweli
@omaar5693
@omaar5693 26 күн бұрын
jibuni kama mwaweza
@loner_wolf
@loner_wolf 24 күн бұрын
Dr Sule anatutia aibu sana waislam ...... mungu ktk quran anasema tumuombe yeye na tumtegemee yeye , na yeye ndio anatulinda . Lkn Bro Sule anataka tutegemee pete . Quran haijasema tutegemee pete . Fuckin Sule . Mungu amuongoze aongoke .😢😢
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 24 күн бұрын
Usihukumu kabla ujaukumiwa unaweza kuonyesha mahari ambapo sule amesema tutegemee Pete sio allah
@loner_wolf
@loner_wolf 23 күн бұрын
@@malikmasoud3190 mfuatilie.
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d 21 күн бұрын
We na we in Amana ujui au unajizima data, ​@@malikmasoud3190
@tanvalley7544
@tanvalley7544 6 күн бұрын
Ndoman Sipend ten kumsikia Dr. Sule
@sulekhan7119
@sulekhan7119 26 күн бұрын
Hapa duniani kama kuna watu niwanafki sana
@wiseman7133
@wiseman7133 26 күн бұрын
Naam
@user-yy2rk4wi3p
@user-yy2rk4wi3p 26 күн бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Wambie kbs
@AliMsellem
@AliMsellem 26 күн бұрын
Pete km Pete sio haramu wala shiriki ila pete Sasa watu wadanganywa tuu pete haina uwezo wowote
@ShukranSaidi
@ShukranSaidi 21 күн бұрын
Asant Abdl Shakur Wetu Wape vidongi vyao wa TZ😂😂😂😂
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d 21 күн бұрын
Ni kweli, majisifu anawakashifu mashekh wasio na kipato yani daa sio yule wazamini ambae akiingia mskitini itoki saa iz akiingia mskitini watu waondoka aibu sana
@aishamukandanga6892
@aishamukandanga6892 14 күн бұрын
Naaam
@amrozwhite1073
@amrozwhite1073 11 күн бұрын
SASA WW SHEIKH NA WW PIA UNAYO PETE TUELEZE PETE ULIOVAA NA YANINI
@user-xl3cd6iq2u
@user-xl3cd6iq2u 24 күн бұрын
Maisha yaharaka matokeo nihayo
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 26 күн бұрын
Khaswah
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 26 күн бұрын
Swadaktana. Umesema kweli.
@aboubakarirakoze7611
@aboubakarirakoze7611 2 күн бұрын
Asalam aleykum Warahmatullahi Naombeni namba ya sheh
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 26 күн бұрын
Kwanza nchekee maana sio kwa dongo hilo
@drsaeedherbs
@drsaeedherbs 26 күн бұрын
Usiyoyajua wachananayo
@RamadhaniMsukuma
@RamadhaniMsukuma 23 күн бұрын
Nitaipataje namba ya sheikh huyu
@FazilKarim-nm8vd
@FazilKarim-nm8vd 9 күн бұрын
Ninayo anaitwa Abdul shakur
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 24 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
VIPI UTAFUGA MAJINI
8:09
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 10 М.
WACHUNGUZE MAHASIDI WAKO TABIA HIZI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
55:59
arkas online tv
Рет қаралды 46 М.
ZIARA YA SHEIKH KISHK KWA MUFTI WA BURUNDI SHEIKH SHAABAN ALLY JUMANNE
12:26
QARAXII LIIDO YAA KA DANBEEYAY MAXKAMADA DAHIR ALASOW
48:22
Sagal media 24k
Рет қаралды 8 М.
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН