Adawnage Band - Safari

  Рет қаралды 6,442

911Yohana

911Yohana

Күн бұрын

African
East african gospel
The Seven Stevens
Pacific ft Nathalie & Adelaro
Nduta's Choir
Denis Lison Burundi bujumbura
Pacific ft Nathalie & Adelaro
BAHATI BUKUKU
Nduta's Choir
bethel choir
KURASINI SDA
Christina Shusho
GEITA CENTRAL SDA CHOIR
Songambele Choir
Martha Mwaipaja
Bonny Mwaitege
Tumaini sda choir
Vijana Choir
Tumaini sda Kizota
onga mbele Choir
Geuka Indirimbo
Zabo Zose
Christ Ambassadors of Chris
Ev. Joshua
Vaeni silaha
The Seven Stevens
Faith Kithele
Tabata New Life Choir
Clinton Jeffa
Zippy Muoso
Godwin Shayo
Carson
Mercy Wairegi
akongamimi
Karen Men's Chorale
Alex & Mary Ominde
David Prince
London Swahili Furaha Choir
Nesta Sanga
Ben Bahati
Sanga
Burka sda
Uryankulu Choir
Choir SOUTH DAKOTA
Rose muhando
Sporah Show
Dr David Owuor
Bongo flava
Atu Dave
Tanzanian Singer
swahili gospel
Christian Music
Swahili worship latest
tanzanian music
Kanumba movies
Gospel Choir Tanzania 2012
Dr. Paul Hamisi Hussein
New kenya
Kikuyu
Rwanda
Burundi
Upendo Amon
Kilahiro
Martha Ramadhani
Angela Chibalonza
Ben Githae
Yesu
Kwaya
choir
muziki
kanisa
injili
congo
rwanda
burundi
omba sala nyimbo
Paul Mwai
Ambassadors of Christ
Martha Mwaipaja
SAIMON MAENGO,
kenyan,
gospel music 2012,
Orijino
comedy,
Justina Nzomo,
rose muhando,
bahati bakuku,
Dr Owuor,
SALOMON MUKUBWA,s
wahili gospel,
Sarah Mbogo,
mary Ngugi,
RUTH WAMUYU,
Alex & Mary Ominde,
Angela Chibalonza,
Isaac Kahurah,
Daddy Owen ,
Emmy Kosgei,
Esther Wahome,
Angela Chibalonza,
Furaha London Nyimbo za dini
Church songs Kilutheri

Пікірлер: 11
@BRUCEMWENDWA
@BRUCEMWENDWA 12 жыл бұрын
Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Mtu huyu angejua ukweli, angeyakana mambo anayoyasema kwa aibu kuu! Yesu pekee ndiye njia. Paulo asisitiza hayo katika biblia. Namuombea Mungu akamfunue macho apate kufahamu ukweli.
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
Tatizo lenu nyinyi makafiri mnajifanya mna elimu kwelikweli kumbe elimu zenyewe ziro. Mana mnaweza kulifahamu neno lakini mkashindwa kulitafasili. Sasa sijui ukosefu wa kutofahamu kiswahili fasagha au ndo hivyo sheitwani amekuingieni ktk damu mpaka kwenye mifupa. Mana nyinyi mnaojiita wakristo. Mana cha kwanza hakuna dini inayoitwa ukristo bali hiyo dini mmejipa wenyewe na hata ukitazama ktk vitabu vyote mnavovijuwa nyinyi hakuna andiko linalosema ukristo ni dina bali lipo ktk vinywa vya watu tu. Cha pili kwanza nyinyi hampo hata kwenye ufuasi wa Yesu kristo mana wafuasi wa Yesu wote wapo mbele ya haki. Hapo mlipo hamna dini wala mungu wala Mtume. Yaani hapo mlipo mpo kama maroboti vile.Na hata huyo Yesu wala hakujueni. Mana Nabii Yesu alikuwa na umma wake na huwo umma wake wote ulikuwa unaabudu mungu mmoja. Kwahiyo nyinyi mnaijiita wakristo na sisi waislam wote Mtume wetu Mohammad na sisi sote ni umma wa Mtume Mohammad. Sasa nyinyi mnaemkataa Mtume Mohammad kesho kiama nyinyi Yesu atakwambieni hakujueni anaujuwa umma wake ambao aliokuwa anawaongoza pindi anautumikia ufarme wake na Utume wake. Na Mtume Mohammad atakwambieni hakutakini kwakuwa mlikuwa hamumtaki ktk hii dunia sasa sijui mtakuwa wageni wa nani masikini wa mungu. Kwanza jambo la kwanza hamshtuki hao Mapastor wenu kwanini wanaslimu wengi kiasi hicho. Ekesha jiulize hivi wewe unaelimu gani na unaufahamu gani kuliko hao Mapasto walioslimu.
@kimanijohn5550
@kimanijohn5550 12 жыл бұрын
MAONI - Kwa kutokuwa na ufahamu wa kina katika mambo ya kiroho, mtu huyu anayatafsiri mambo asiyoyaelewa kamwe kwa maarifa yake mwenyewe. Elimu hii yake inayo bidii lakini haina ufahamu. Lakini - si vyema kumhukumu mtu kwa unyonge wa maarifa. Injili sanifu ya Mwokozi Yesu inafundisha sote kuongozwa na upendo. hata kwake huyu, upendo usambazwe.
@mumenguvuze5505
@mumenguvuze5505 9 жыл бұрын
nONSENSE. WHY USE ADAWNAGE BAND TO POST UPIZI.
@muhamadazizi7962
@muhamadazizi7962 10 жыл бұрын
Sisi waislamu kilamara tuna uliza wakristu: Wapi kwenye biblia Yesu ana sema iko mungu? Majibu yako ndani ya kurani. Hakuna kitabu kina hakikisha kama Yesu iko Allah zaidi ya kurani.Biblia inyewe inazungumuzia kindani alakini kurani imezungumuzia wazi.-1/ Allah na KAULI YAKE ni kitu kimoja. Allah chochote ana choumba ana tumia KAULI YAKE : sura ya 6:73 / 16:40 na sura 36:82. -2/ Kurani ina hakikisha mara kwa mara kama Yesu ni KAULI YA ALLAH : Sura ya 3:45 / 4: 171 na sura 19:34. Hapa kurani ina kubaliana na kitabu cha YOHANI (1: 1...5).Wazi kabisa kama YESU NDIO ALLAH. -3/ Katika majina 99 ya Allah 75% ya majina yale ni majina ya YESU. Ndugu hauelewe kurani kwa hio unapiga kelele. Kurani ni gasia,ni magugu. Pahali pazuri ya kutia kurani ni yalala.
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
Wewe hebu fahamu hakuna Muslim ambaye asiyemkubali yesu kuwa ni alikuwa mtu wa M/mungu. Lakini tatizo lenu nyinyi sijui niseme ukosefu wa kujuwa kiswahili. Huyo Yesu alikuwa anamuabudu M/mungu mpaka wanafunzi wake wote walikuwa wanamuabudu M/mungu mmoja. Ndo mana huyo Shekhe anakwambieni Paulo ndo aliekupoteaheni. Ekesha tambua Kira Nabii alikuwa na Umma wake. Kama huyo Nabii Yesu alikuwa na Umma wake na huwo umma wake wote ulikuwa unaabudu M/mungu mmoja. Ekesha tatizo lenu lingine hamjui kuwa Yesu Zama zake za Unabii ushakwisha ndo akaja Nabii Mohammad. Ndo mana unaambiwa huu umma wote wa Mtume Mohammad ambae ndo mtume wa mwisho wa M/mungu. Lakini unajuwa tatizo nini Wazungu ndo waliokurogeni ninyi kwa sayansi mana baada ya kupewa Utume Mohammad wazungu kwa ujinga wao hawakutaka kuongozwa na Mwarabu. Unajua Warabu na Wazungu hawaelewani toka long time hiyo ni story ndefu na ndo mana mpaka hivi sasa Mzungu na Mwarabu kama chui na paka. Sasa wazungu baada ya kukataa kuongozwa na Mwarabu ndo waliamua kuandika hiki kitabu cha Biblia. Ndo mana unaambiwa hiki kitabu cha biblia si kitabu cha M/mungu bali ni kitabu kilichoandikwa na watu binafsi na kunukuu baadhi ya maneno ya vitabu vilivopita na kuandika maneno mengine ambayo wanaojisikia wenyewe. Lakini kwa ujanja wao wote lakini wameshindwa kuandika hata andiko moja la usibitisho wa kuwa kama kunadini inaitwa Ukristo. Au andiko linalosema Ukristo ni dini ya kweli kutoka kwa M/mungu. Na rait hiyo wenyewe anayoiita dini ya kikristo ingekuwa dini watu wote tungeingia ukristo. Kwasababu jinsi mnavoishi utafikiri mmejiumba wenyewe ukitazama ibada zenu na matendo yenu. Ndo mana kuna Pastor mmoja anakwambia ukitaka kujuwa uislamu kama ni dini kweli ya M/mungu tazama ibada zao na matendo yao tu licha kunawengine ndo hivyo mtihani lakini ukiwatazama wanaojielewa na jinsi matendo yao yanaashilia wazi wanaimani ya kweli na wanadini ya kweli. Sasa mwenyewe sabab ya kwanza iliyomfanya mpaka akadilik kuslimu ni hiyo licha kuna mambo mengi yanayoashilia kuonesha djahili kuwa uislam ndo dini ya kweli..!
@muhamadazizi7962
@muhamadazizi7962 8 жыл бұрын
Asalam-aleikum, wewe haujuwe Biblia wala Qurani haujuwe. Sasa wewe mpumbavu tena mjinga. Unandika kibarua kirefu alakini inakushinda kutoa ushahidi ndani ya Qurani ao Biblia. Huyu anao ubiri ni muongo ana mwita Mtume Paulo magugu na wakati huo Qurani inamtukuza mtume Paolo. Qurani sura 36 aya 14--21 tafsiri ya Ibn Kathir ina mtukuza mtume Paulo. Rose Muhando hajuwe lolote ni muongo kwasababu hio anabishana hajuwe Biblia wala Qurani. Anaposema mtume Paulo ni magugu tayari anakwisha pinga Qurani.Mtume Paulo waislamu wana mchukia sababu ni hii : Hakutoa ushahidi wa Yesu mwanadamu kwasababu hakukutana nae wala hakumuona alakini kakutana na kuonana na maswahaba wa Yesu wote na wengine akawatia ndani ya jela wengine aka wauwisha, kama aliviosema mwenyewe ndani ya Biblia kitabu cha Acts 26 verses 9---11. Story ya Yesu na Mariamu ni kiroho sio kimwili. Mtume Paulo hakumuona Mariamu wala Yesu wanadamu, hakuwaona. Kaandika vitabu 13 hakutia jina ya Mariamu mamake Yesu, sababu hakumuona yule mwana mke. Qurani sura 19(Mariam) ni uongo mkubwa sana. Story ya Yesu na mamake Mariamu ni kiroho sio kimwili. Qurani inasema uongo na kushahidia uongo. Qurani ina ngangania Yesu wakimwili na Mariamu wakimwili(wanadamu) huu ni uongo mkubwa sana. Mtume Paulo kasema kukitabu cha Galatians 1 verses7--9 wowote ataoleta Enjili tafauti na yakwake alaaniwe hata kama ni Malaika kutoka mbinguni. Enjili ya mtume Paulo ni Yesu wakiroho sio mwanadamu(kimwili) tayari Mtume Muhammad kazalika karina 6 baada ya Mtume Paulo kusema kauli hii.Tayari Qurani imekwisha laaniwa na kitabu cha uongo. Wabishi wakiislamu ni wauongo sio wao ndio wanatowa makosa ya Biblia, laaa, ni wazungu wenyewe. Wabishi wa kiislamu wanakosoa Biblia na yale yale makosa yako ndani ya Qurani. Ukikosoa Biblia kuyale makosa yaukweli basi hapo hapo Qurani imeanguka. Alakini wewe ni mpumbavu najisumbua bure kukuilimisha nikama kumchezea mbuzi kidari.
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
+muhamad azizi.. Wewe ni muslim au upo miongoni mwa wale wanaojiita wakristo..! Mana hata sikufahamu unaongea kitu gani..? Na hayo matusi yako unamtukana nani sasa. Mm ama Imani Petro..?
@ibrahimabdul5490
@ibrahimabdul5490 8 жыл бұрын
Wewe unajita Mohammad Azizi lakin si Mohammad Azizi nishakubain wewe ni mnafki tu. Et Imani Petro anamkashfu mtume Paulo. Nani kasema Paulo ni mtume na huo utume amepewa na Mungu gani Khafir mkubwa. Na tena maneno kama hayo usiongee kwa watu mana watakuona kama mjinga mmoja ambae usiejifahamu. Ekesha unajinasibu haswa et kwenye kitabu cha Quran kuna aya zinasema et Yesu ndio Allah duh wee kweli shoti. Ekesha unakuja mpaka kwenye Majina ya M/mungu ktk majina 99 et majina 75 ya Yesu duh wee kweli mgonjwa..! Ekesha unatumia majina ya Mohammad Azizi kwahiyo umeogopa kujiandika John au Maiko eeh..! Mpuuzi mkubwa wee.!
@muhamadazizi7962
@muhamadazizi7962 8 жыл бұрын
Asalam-alekum, Huyu anae uburi ni muongo hata Qurani wala Biblia hajuwe, wala haelewe . Qurani ina mtukuza mtume / mjumbe Paulo. Q36 aya 14---21 inamtukuza mtume Paulo, tafsiri ya IBN KATHIR. Wewe na huyu anae ubiri nyinyi wote hamuelewe luga ya kiarabu, sababu hio inanushinda kusoma tafsiri ya IBN KATHIR. Kusema kama mtume Paulo ni magugu tayari amekwisha pinga Qurani. Hata maulamaa wakiarabu hawaseme hivio. Nyinyi ni wabishi, wapumbavu tena wajinga. Mpumbavu asaidiwe na Mungu abadan. MTUME manaake mtu anae tumwa kufanya kazi fulani. Paulo katumwa na Mungu tena na Yesu kufanya kazi ya kufundisha watu Ukristu. Paulo ndio kaumba Ukristu. Ukristu manaake wanaofata mafunzo ya Yesu. Ukristu sio dini ni habari njema. Kukuilimisha wewe nikama kumpigia mbuzi kidari, wewe mpumbavu sana.
MUATHIRIKA WA NDOA
17:09
911Yohana
Рет қаралды 6 М.
NANI mwana
10:01
911Yohana
Рет қаралды 7 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 13 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 18 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 50 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 16 МЛН
kanisa
9:57
911Yohana
Рет қаралды 192 М.
Kanumba new film( movies)
10:53
911Yohana
Рет қаралды 56 М.
Community Library for Kanoni Gomba
11:36
BE PEACE AFRICA PODCAST
Рет қаралды 504
Kaa Nami
8:50
911Yohana
Рет қаралды 56 М.
Nangojea Mke Mwema | Bony Mwaitege | Official Audio
6:06
Bony Mwaitege
Рет қаралды 114 М.
Adawnage Band - City Changer (Lyric Video)
3:32
Adawnage Band
Рет қаралды 7 М.
DARE JUSTIFIED HYMNS AND HIGHLIFE MEDLEY
37:01
Dare Justified
Рет қаралды 612 М.
Amenisamehe / Nimkimbilie Nani / Njia Ya Uzima / Jana Leo na Milele
17:09
Emmanuel Emachichi - Topic
Рет қаралды 1,5 МЛН
Eliya
12:01
911Yohana
Рет қаралды 6 М.
kenyan gospel 2012
14:59
911Yohana
Рет қаралды 6 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 13 МЛН