Mungu nipe mwisho mwema matukio ni mengi ee mungu tetea family zetu zilinde zitakase ondolea kila kitu kibaya katika ulimwengu wa giza na kishetani maana wewe ndio baba naomba uilinde tanzania 🇹🇿kwa ujumla mungu itakase 😭😭🙏🙏
@EstermsuyaMsuya5 күн бұрын
Mungu wangu naomba ulete farajnkwa hii familia. Wahusika wafiikishwe kwenye vyombo vya sheria
@kabulaphilipo79858 күн бұрын
Daa! Sina la kusema. Pombe kupita kiasi ,bangi, madawa ya kulevya ni Atari kwa Taifa letu. Tuombe Mungu atuepushe na haya.
@juliethmassawe1446Күн бұрын
Jaman dah
@ScopionScopion-zj9cd9 күн бұрын
dah isee huuu uchungu hauerezeki mimi2 Najskia vibya je mzazi wake mama pole sana Ndio maisha mungu atakulipia
@BahatiAsael8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akupe nguvu mama 😢
@ashachitemo78169 күн бұрын
Aisee mauwaji Tanzania yamekuwa kama mauwa viongozi wadini jitahidini kuongoza waumini kufanya Dua kuomba mungu aingilie kati aisee watu wamekuwa wakatilina Allah anomba unusuru vizazi vyetu
@ElizabethPalanjo7 күн бұрын
Daàa?? Hakika binadam wamekua wanyama jmn, pole sana mama ang,,, mungu tusaidie jaman!!!!!
@mercykariithi79198 күн бұрын
Pole Sana mama wajua kijana wako alikosea kwa kutokusema mapema angelipona pole Sana mama
@ElinahStephano8 күн бұрын
Aliona aibu jmn😢
@mariej69623 күн бұрын
Israel kafa kifo cha maumivu makali sana. Ujumbe kwa jamii, ukiona mtu anaumwa usisubiri hela, nenda hospitali au mpeleke mgonjwa wako moja kwa moja hospitali. Kijana alificha tatizo lakini alipozidiwa alikujulisha mama, hapo ilikuwa ni kwenda hospitali moja kwa moja na angekuwa hai leo. Umesisubirisha kama siku ambazo zilikuwa crucial za kuokoa uhai wake. Poleni.
@dorahmushi-we6ts8 күн бұрын
Arusha ni jiji la tofauti na miji mingine hapa nchini... Waombaji uombeeni mkoa wa Arusha na Tanzania yote kwa ujumla,mauwaji yamezidiii.
@Ndu-wa.uroony28 күн бұрын
Acha kuhusisha ubaya na Mji wa Arusha, mbona Dar kuna mambo mengi?
@ummySheikh728 күн бұрын
Saana Arusha kama sio Tanźania? Balaaa😮😢😢
@ummySheikh728 күн бұрын
@@Ndu-wa.uroony2sio kweli
@KisaMax8 күн бұрын
Arusha watu wake wana roho zakichafu sana@@Ndu-wa.uroony2
@khalinaJuma7 күн бұрын
Arusha kumezidi
@kizittohescary12138 күн бұрын
Eee Mungu tusamehe sisi wenye dhambi this is too much,huu ni unyama uliopitiliza jmn,😭😭😭😭Arusha tuacheji hizi Mambo jmn mbna tunafanya unyama hivii
@WemaSamil-p4s6 күн бұрын
Maumivu jmn hyu mama
@mgayamgaya8 күн бұрын
Pole sana mama, tatizo ubabe mwingi Arumeru
@rosemaryKalega-c5s7 күн бұрын
Uwiiiiiii moyo wangu umeuma sana sana ukatili gani huo binadam tunaogopana sasa pole mama wa kijana
@BahatiMlelwa4 күн бұрын
P
@conjestamashallo84589 күн бұрын
Naomba hao watu wakamatwe wafanyiwe hivyo hivyo
@shakilamasoud29837 күн бұрын
Eeee Mwenyezi Mungu wewe usiye lala. Eee Mungu wetu wewe. Allahu Akbaru. Pole Mama yangu viatu vyako havinitoshi. Malipo ni hapa duniani, walaaniwe hao waovu.
@roseafrael759 күн бұрын
Jamani classmate wangu uwiiiiiiii umekufa kifo cha maumivu makali sana,,, hao waliofanya hicho kitendo na wao wafanyiwe hivyohivyo 😢😢😢
@HappyPallangyo-vt7xx7 күн бұрын
Mwaka gani jmn?
@HappyPallangyo-vt7xx7 күн бұрын
Yaan mlimaliza shule mwaka gani
@ryobanchagwa24996 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@BeatriceLyatuu-w8j6 күн бұрын
4rusha bang na Pombe zisizo a vipimo zimeharibu vijana wengi wameharibiwa mnooo.. Mungu turehemu Sawa Sawa na FADHILI ZAKO kiasi cha WINGI WA rehema zako
@norbertjosephat78319 күн бұрын
Arusha ukatili dhidi ya binadamu umezidi sana
@mage53713 күн бұрын
Pole sana mama😢
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 күн бұрын
Utumiaji wa bangi ulevi na ukosefu wa nidhamu na kumkataa Mungu mioyoni mwa vijana wengi ndiyo chanzo cha mauaji na ukatili unaoendelea nchini.
@karibunyumbani38249 күн бұрын
Ni kweli hii ni mbinu ya shetani kuangamiza roho za watu maana neno linasema kwa kua walikataa kua na MUNGU katika fahamu zao MUNGU nae aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa waangamie ...wazazi tujifunze kuwalea watoto wetu wamche MUNGU
@anodearsulusi75368 күн бұрын
Hakika
@calvin64456 күн бұрын
Ni kweli mtumishi wa Mungu Utumiaji wa vilewesho kunasababisha kufa kwa Imani (kiroho)kwa vijana wengi na hata wazee hayo ndiyo madhara ya uraibu
@jumapiliissa48355 күн бұрын
Pole sana mama M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahali pema peponi niunyama mkubwa sana aliyo fanyiwa aisee
@YunisJerald8 күн бұрын
Jamani😢😢 hela hiyo ndogo
@fatmaahmed86372 күн бұрын
Woga tu huu,angekwenda hosp mara moja angepata msaada.na wao wafungee na wauliwe
@estonhaule92538 күн бұрын
I feel that pain oooh God im sorry for that
@fatmaahmed86372 күн бұрын
WEEE WACHA MASWALI HAYOOO..MTU ANAUCHUNGU UNAONGEA BILA KUFIKIRI
@superwomanmwenyeheri.13676 күн бұрын
Mungu wa haki mrehemu huyo kijana msamehe pia makosa yake. Husika na kila aliefanya kitendo cha kinyama kwa kijana huyo. Wajaalie baadhi ya wameru nguvu ya roho mtakatifu wako ili wawe na hofu ya ki Mungu maishani mwao.ili Waweze kufikiri kwanza kabla ya kuamua kufanya jambo lolote.
@mage53713 күн бұрын
Ila Arusha jamn mbn vurugu za kikatili kila kuchapo? Ebu mgeukie Mungu atakase upya vizazi vyenu nakuvitakasa
@MedronundersonMkuyu5 күн бұрын
Nimeumia sana hawa wanyongwe
@nikodemmwahangila33348 күн бұрын
Ila arusha nyie sio wa Tanzania mnaroho mbaya Mungu anawaona
@pendomariki5 күн бұрын
Jaman elfu15 tu imtoe mtu roho tuwe na ubinadam jaman uhai wa mtu haununuliwi
@MustafaMgeni-c9m9 күн бұрын
Kesi kama hii kwangu mimi mahakama yangu ni panga nakula vichwa vyao hadharani,tutakutana mbinguni
@HamisMghuna-fj3vz9 күн бұрын
Saw panga,hadhara,c binadamu n iblis,
@lamecksayenda8 күн бұрын
Hcho ndo klchobak!
@Ayuminchasi8 күн бұрын
Kabisaaaa
@breymbasa34517 күн бұрын
niko na wewe mwanangu🙌🏾
@SalumMzee-cw8do9 күн бұрын
Daa Iman imetoweka duniani hii hatari kubwa sana mm nilipo naogopa hii Habar kusikiliza Jinsi inavyo Tisha
@HalfanHemedi-r8z9 күн бұрын
Ni kweli iman
@NuruZebedayombise-ie5zb8 күн бұрын
Jamani shangazi yangu pole sana Mungu akupe uvumilivu kumpoteza binamu yangu
@CatherineScott-d1t3 күн бұрын
Poleni sana
@Justinaombay6 күн бұрын
Ee mwenyezi Mungu tusaidie
@MunaShaibu22 сағат бұрын
Jmn
@NoelaJohn-p5dКүн бұрын
Amna aja wapingw hivy hivy nao jaman iwe fundish daah
@mwanamwendy92659 күн бұрын
Eeeeee Mungu weee upo wapi jamaniii, njoo Mungu wangu tupunguzie haya daaah 😭😭😭
@charleskaozya99246 күн бұрын
😭😭😭😭😭mama pole sanaaa
@neemareuben3117 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢uwiiiiii nimeumiaaa aiseeee
@dorisfabian47763 күн бұрын
Maskiniii dah😭
@NoelaJohn-p5dКүн бұрын
Arusha siy mkoa jaman nchi ya mauwaj mno
@ImmaBahati5 күн бұрын
😢asee ila wameruu siyo watu kabisa😢😢
@christermlewa84717 күн бұрын
😭😭😭Mungu naomba ututetee hali imekuwa mbaya sana wanadamu tumekuwa wakatili sana
@jerome31438 күн бұрын
poleni sana ndugu sasa walikuwa vijana wangapi
@dorahmushi-we6ts8 күн бұрын
Pole sana mama.
@w40588 күн бұрын
Ndio maana kuna majanga na kupewa Viongozi waovu pia Subhanallah
@Mina.152 күн бұрын
Daa rip makende
@ElinahStephano8 күн бұрын
Duh 😢😢 poleni Familia
@mwendemercy44888 күн бұрын
Jamani siata angeambia family hingelipa aki mbona mumezidi kuuwana hao walio muua nao wachukuliwe hatua jamani mungu tulindie watoto....aki sisi wamama tunapitia mengi.😭😭😭😭😭😭
@amidahaamida58925 күн бұрын
Duuuuh Hiii Arusha ni kuzimu
@romwaldoamsi27835 күн бұрын
😢
@Pixxmoleli9 күн бұрын
Mungu husika
@AlexKinunda-j9l4 күн бұрын
Yaani matukio ya mkoa wa Arusha kwa kweli umevunja record kwa matukio ya ajabu sana .Yaani huwa nawafutilia sana matukio ya mkoani arusha.Yaani sh 15000 ndio zakutolea mtu uhai.?.Sheria ichukue mkonda wake.
@absm80847 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 hivi walofanya ni binadam kabisaaaah au mashetani😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@NoelaJohn-p5dКүн бұрын
Kwan jaman hii nchi inamatesh sn daah
@SwahiliSister-o5v9 күн бұрын
Subhana llah yarabb atustiri 🤲
@hidayamarawi37648 күн бұрын
😭😭😭pumzika kwa amani israa
@AngelJuma-q2n7 күн бұрын
Apumzike kwa amaniii kaka angu tulikupenda sana iila pole mama a ng u😭😭😭😭😭😭😭😭
@bahatibushiri16103 күн бұрын
Arusha nyie wakazi wa huko Mungu awasimamie
@ASALABOY9 күн бұрын
GADI tv ukweli n uwakika
@breymbasa34517 күн бұрын
marehem pia alikosea sana suara la kumficha mzazi wako wakati umeumizwa ninini sasa😢 Nini cha aibu unaficha kwanini asingeenda hospital dailyct Ni makosa sana R.I.P kijana na Hao walomponda mwenzao Tafuteni mabandit Wapite na vichwa vyao Tu over
@CashMoney-zf4qr9 күн бұрын
Kisa elfu 15 tu utafkiri Sheria hazipo aah hapa Dunia iko ukingoni Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema sisi wanao na utusamee dhambi pale tulipokosea😢😢😢😢
@TullyMwakibete-xt5xm8 күн бұрын
Dunia imeisha hii ,ee Mungu tuhurumie
@JennyPallangyo8 күн бұрын
Daah jamani...siamini mungu asimame maana siyo akili za watu kbsa
@ShamilaZanz-g4k6 күн бұрын
Mungu wangu jamaniiiiii 😢😢😢
@SilasJacob-z6v8 күн бұрын
Daah hatariiiii watuhumiwa nao wafanyiwe ivohivo
@GoodnessTarimo8 күн бұрын
Dhaaaa??? Mungu ampe nguvuu mamaa
@LoshilaaMollel-qh5pb5 күн бұрын
Jamani hii ni nini eti binadamu kumfanyia mwingine hivyo
@EstherJerald-tc6ct8 күн бұрын
Uwiiiiii Nimeumia kama na mwoona huyo kijana Poleni sana jamani rip kijana
@pungopungo411Күн бұрын
Jamani hua mkipata matatizo yanayovuka vieango mbona mnajitahidi kuomba misaada ya pesa badala ya kusikitika? Mnapata ujasili gani kuomba pesa na kuanza kula zitwasaidia nini
@lidiamageta99588 күн бұрын
Najiuliza kwann Arusha imekua na visa vingi vya unyanyasi na mauaji kila kukicha! Mungu tusaidie waja wako
@AlHamra-k4u8 күн бұрын
Pole Sana mama. Kuna makabila mengine huwezi hata kuwapa nchi waiongoze watawaua wananchi kwa siku moja
@MrA24G5 күн бұрын
Kabisa Al hamra tena hawafai
@ZainaRashid-t3m9 күн бұрын
Poleni familia ila mungu anawaona waiuaji wote
@GraceLucas-t7l8 күн бұрын
😢😢mmh! Jamani
@MunaShaibu22 сағат бұрын
Kwaiy uyo mbwa aliefanya ivo bado yupo jmn au
@user-cg3vf2bl6b8 күн бұрын
😢😢😢 Aiiii mungu na hii inchi bado ina serikali kweli?
@SwahiliSister-o5v9 күн бұрын
Matatizo mengi sana mtihani huu yarabb 🤲🤲
@cristaezekiel10368 күн бұрын
😭😭😭😭😭Jamani
@supermoodworld8 күн бұрын
Mzazi pole san 😭😭😭
@LoveMwakihaba9 күн бұрын
Jamaniii mbona tunaumizana ivyo😭😭😭😭😭😭😭 uwiiii
@happinessmchome91015 күн бұрын
Jamani uchungu wa huyu mama hauelezeki.daaah
@RoseKimishabhalemi8 күн бұрын
Watu wa arusha namoshi mnapenda pesa mno
@monicamassawe34358 күн бұрын
Ee mungu simamaa kwa hilii
@theopisterngimai39869 күн бұрын
Duh Mungu wangu
@yohananyamaruri91058 күн бұрын
Dunia hii usiamini mtu kabisa kisa ni Rafiki yako😢😢😢😢😢
@NadhiraNa-vm5hs8 күн бұрын
Pore sana mama mm imeniuma sana binadam atuna uruma jamn
@monicachacha4557 күн бұрын
arusha arusha jamani
@joshuanassary87747 күн бұрын
So sad
@reginaedward48839 күн бұрын
Hii Arusha ni hawa wanyongwe iwe fundisho kwa wengine,
@faridsalehmohamed12309 күн бұрын
Arusha kuna nini kila siku ni mauwaji
@noot-oe2mw9 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg8 күн бұрын
Elf kum n tano kwel au wanavisa jaman mbon binadam kawa mnyama
@AliphonceMartina-q1u5 күн бұрын
Hii yote ni sababu ya rais wetu kusema kwamba watu walikuwaga wanakufa toka zamani 😢😢😢😢
@PendoMatemba9 күн бұрын
Mama pole sana, Ila someni albadiri
@NoelaJohn-p5dКүн бұрын
Sh 15000 unamuuw mtu jaman mbon binadam atun urum hay maumiv aliyopat bas iwafikiy na yey mliyomtendea kak wawatu 😢😢😢😢
@JOSEPHMwakibinga8 күн бұрын
Kweli tuko pamwosho. Watu wanapotea wanasema ni kawaida